Katika bala la Asia china ilikua inadhalaulika sana kama sisi Africa tunavo dhalaulika lakini Leo hii china imekua ni taifa moja kubwa na lamfano Kwa mataifa yanayo jikakamua kutokana na umaskini 😢 wamarekani mda wao umeisha..
Umewahi kumuona Mmarekani anafanya umachinga? Mmarekani ukimuona nje ya Amerika ni mtalii au yuko kazini. China ingekuwa vile inasifiwa na SNS wachina wasingekuwa wanakimbia kwao. Asilimia kubwa ya wachina wanamaisha ya shida sana.
@@zuricakes6817 nn maana ya umachinga kwanza nadhan hata hujui ? Shida Zina viwango vp wale maskin wa Merryland wanao lala nje hapa marekan majobless kibaoa uchum wa marekan kwa asilimia kubwa unajengwa na sisi Foreigner au hujui Hilo Military Industry unaijua ww😂
Mambo makubwa hapa Tanzania ni upigaji,rushwa, dhuluma na elimu yenye michango mingi. Tanzania mwanasiasa analipwa pesa nyingi Sana kuliko mwanataaluma. Hebu jiulize mbunge analipwa Milioni 16 kwa mwezi kwa kazi gani anayofanya? TAFAKARI Tanzania bado Kuna wanafunzi wanakaa chini Sasa utapata lini mainjinia na wanasayansi?
Jamani emungu tu saidie sasa ni kutafu kumchokoza mungu jamani ya hapa duniyani ya metushinda sasa tuna kwenda kutafuta ya siyo tuhusu emungu tu saidi 🤲🏻🤲🏻😭😭😭
Mungu ametuumba na akatuongezea utashi ambao haupo kwenye viumbe wengine. Kazi ya huo utashi ni kuhakikisha unautumia na hiki ndicho wanachofanya Chini. Tulivyoumbwa hatukupewa simu, magari, ndege wala Rocket. Tulipewa dunia tuitawale na akili za kuitawala. Haya ni matumizi mazuri ya akili alozotupa mwenyezi Mungu. Karibu 👋
Kila kilichopo duniani kinatuhusu.....Huko juu ndio kuna satelite zinazofanya hata tunaweza kutabiri hali ya hewa. Mtu anayetumia akili alizopewa na Mungu kufanya mambo yatokee anadhihirisha utukufu wa Mungu kuliko yule anayeketi kusali siku nzima nzima akiamini Maombi ndio yatamsaidia. We shuld use this brain effectively.
Tanzania umeme shida, maji shida, barabara shida, elimu mbaya serikali mmh. Ndo maana JPM alikuwa siriazi kufufua shule za vipaji ambazo iliziua makusudi ili shule binafsi zianzishwe kwa wingi. Yaani Tanzania kuna viongozi walitakiwa wafungwe gerezani kwa kuiua elimu yetu. Elimu ndio kila kitu
Mwalimu Nyerere kuhusu elimu alitengeneza mfumo mzuri Sana ambao mwanafunzi mwenye akili hata akiwa shule ya msingi olmotonyi au sambasha serikali inaanza tu kumfuatilia kuanzia sekondari, sekondari ya juu, chuo Hadi ajira. Ndio sababu alianzisha shule za vipaji za sekondari yote haya ni kuwapata wasomi wenye akili Sana iliserikali iwatumie kwa maendeleo ya nchi. Lakini baada ya Nyerere kuondoka waliyefuata walifanya ni kuhusu elimu? Fuatilia mwenyewe utapata jibu. Wenzetu Mambo yao muhimu yanachimbwa na wasomi wenye akili nyingi kwasababu kipau mbele Cha Kwanza ni nchi yao. Lakini Tanzania kipaumbele Cha Kwanza ni nini? TAFAKARI.
Hata sisis tukipewa nafasi na serikali tukawezeshwa tukaangaliwa kwa jicho lingine kuna mengi sana tutafanya ila tunapuuzwa watu wanawekeza kwenye siasa sisi tunazeeka na science yetu
hongera sana china! kwetu tuna vituo vingi vya utafiti wa dawa za asili natarajia miaka 1000 mbele tunaweza kurusha roket ya ungo kwenda kuchunguza dawa hukohuko mwezini tangulieni tutakutana pamoja
Bado tunachora panzi hiyo ndo sayansi yetu na kukaririshwa effect of WW2 hatuna mikakati ya kujikwamua kazi ni kutembeza bakuli kila kona ya dunia eti atujiwezi sisi ni maskini asee tunalaani vizazi vyetu kwa mitaala mibuvu kisha tunarudi kusema kizazi hiki kimekosa malezi ni cha hovyo hovyo, duh Mwenyezi Mungu utusaidie kwa nguvu zetu hapa ni kama tunagonga mwamba tunahitaji kutoka hapa ase
Story ya kina Amstrong Iko very complicated ni Waongo waongo maelezo yao inasemekana ni video ilotengenezwa na wataalamu wa Hali ya Juu Angalia bendera yao Ile Angalia vivuli vinatia mashaka
Qur'aan imetaja Mambo Sana. Umma huu wa Muhammad umebarikiwa Sana kuliko ummati mwingine wowote uliotangulia. Tunachokosa hapa Tanzania ni mifumo thabiti iliyoandikwa kwa vitabu na kupigwa ringforce ili Kila raia na viongozi wote wafuate mifumo hiyo. Na hakuna wa kuiboa. Unajua wenzetu walioendelea wanafanya kazi na watu wenye akili Sana kwasababu kwao kipaumbele ni elimu na ndio sababu mifumo yao imenyooka.
Asee jamaa wanakua kwa kasi kiuchumi, sasa ni zamu yao wale wezi washaozoea kutuibia huku mataifa ya Afrika saizi wanakula zapua,,wnyeji wamefanya mapinduzi ya kijeshi🤔kila mtu kwao😅,, na hawa nao wanafanya mapinduzi ya sayansi ya anga mbona patamuasee👍
Inamaana wanachukua sampo ya mwezi yani wanavunja mwezi au? Kama ndio hivyo tafadhali msije kuleta majanga diniani mwezi tunahitaji kujua ramadhani imefika au sikukuuu ya idi. Tafadhali wa china
Ndugu kwahiyo we peke yako ndo unasema ivyo china ndio wa mwanzo kwenda darkest side of the moon india akenda tua south pole Huyu anakwenda further sasa sjui unatuambia nini.
Wachina wamewekeza Sana kwenye elimu. Wako siriazi kwenye elimu sio hapa Tanzania serikali inasema elimu bure lakini ukifika shuleni michango mingi balaa. Waalimu wanafanya wanavyotaka na sio serikali inavyotaka
SnS imepata mchambuzi makini sana jamaa Hana vijembe kabisa Mtu Makini na Msomi,Congrats SnS.
Huyu jamaaa ana NONDO sanaa ... anamwaga vituu , yuko vizurii sana kuelezea
Saaanaaaaa ana nondo za kweli
Congratulations China 🇨🇳 ❤
Wako vizur china nawakubari sana
Nakubali information zako ziko in details safi sana
Nakusikilizaga kila mara niko africa ya kusini ila tz arusha ndio home
One love❤
Mwanangu nataman Nije afrika kusin kutafuta maish
Tz tunasom lkn mwish wake tunakuw wanasias,honger chins
Umesahau wizi
Labda nadharia Tz nado sana
Wizi wenyewe hatuwezi Teja anakuibia kitu Cha aftatu ni udokozi na ukibaka @@jofreykilangila4118
Mjifunze kingereza kwanza
@@hassanmangale2323
Aliekwambia kingereza ndio elimu nan
China anajua kingereza??
Wakat miak 60 ya CCM hata barabar bado hazijakamilik
Comment Bora ya mwenzi huu
Mmh kweli et
Tumelaaniwa akija wa kuboresha anaishia kutukanwa na kusemwa vibaya
Leadership is evrrything
Hahahaha
Katika bala la Asia china ilikua inadhalaulika sana kama sisi Africa tunavo dhalaulika lakini Leo hii china imekua ni taifa moja kubwa na lamfano Kwa mataifa yanayo jikakamua kutokana na umaskini 😢 wamarekani mda wao umeisha..
Kweli waliteseka sana wachina ndiyo matunda lkn cc hapa Tanzania hatuna amani na nchi Yetu so hamna tegemeo tutafika huko
Sns mko juuu nawafatilia sanaaa
Good bless SnS
wangapi walikuwaa wanajuaaa ako ka nyiimbooo mwishoooni apo kumbe ni kakwetuuu wan SNS 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 wangap
Acha waichokonoe miamba ya mungu badae mara oooh mara hivi mungu atuhurumie
Huyo ally masud ni hatar sanaaaa🎉🎉🎉😂
😂😂😂😂yani marekani saivi ukizuia uku uku panavuja safi we need a Multipolar world ushoga wao wabaki nao uko
Umewahi kumuona Mmarekani anafanya umachinga? Mmarekani ukimuona nje ya Amerika ni mtalii au yuko kazini. China ingekuwa vile inasifiwa na SNS wachina wasingekuwa wanakimbia kwao. Asilimia kubwa ya wachina wanamaisha ya shida sana.
@@zuricakes6817maisha ya shida hata America yapo 😂 machinga new York wapo kibao wapange ambao hawajafika
E@@zuricakes6817endelea kuganda Akili dada
@@sosbrayantbenjamin9701 Shida nazo zina viwango. Swali ni umewahi kumuona Mmarekani mmachinnga, nje ya Amerika? Kama wachina wa Kariakoo ?😅
@@zuricakes6817 nn maana ya umachinga kwanza nadhan hata hujui ? Shida Zina viwango vp wale maskin wa Merryland wanao lala nje hapa marekan majobless kibaoa uchum wa marekan kwa asilimia kubwa unajengwa na sisi Foreigner au hujui Hilo Military Industry unaijua ww😂
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg mchambuzi yangu ni hayo tu
Jamani kwani MUNGU amewapatia akili wazungu na wachina tu? Mbona kwetu Tanzania hakuna hata dalili za kufanya mambo makubwa kama wenzetu?
Mambo makubwa hapa Tanzania ni upigaji,rushwa, dhuluma na elimu yenye michango mingi. Tanzania mwanasiasa analipwa pesa nyingi Sana kuliko mwanataaluma. Hebu jiulize mbunge analipwa Milioni 16 kwa mwezi kwa kazi gani anayofanya? TAFAKARI
Tanzania bado Kuna wanafunzi wanakaa chini Sasa utapata lini mainjinia na wanasayansi?
Tanzania mwanasiasa anasikilizwa kuliko mwanataaluma. Tanzania up to now ni failure njiti za meno tunaagiza China, ni aibu kubwa!!
Nikama chadema zaidi ya miaka 20 mwenyekiti ni yuleyule pamoja na mabilioni ya kodi za wanachi wanazopata kupitia luzuku hawajawahi kutoa kwa jamii
Wakati wenzetuwanapigana kwamaendeleo sisi huku vyama na waongozi wao kula kunya upumbavu mtupu maendeleo hafifu uchafu tuu myoyoni mwao
Sisi bado tunatengeneza tu barabara zisizo isha kila mwaka miaka 60😂
Yah nakujenga vyoo vya shule za msingi .
Siuhame
Kwani nchi gani Africa imepeleka chombo angani
😂 how about Burundi?
Barabara Ina viraka kama suruali ya babu yangu
Safi sana, sasa mchambuzi tueleze na namna hicho chombo kinavyorudi duniani
Jamani emungu tu saidie sasa ni kutafu kumchokoza mungu jamani ya hapa duniyani ya metushinda sasa tuna kwenda kutafuta ya siyo tuhusu emungu tu saidi 🤲🏻🤲🏻😭😭😭
Mungu ametuumba na akatuongezea utashi ambao haupo kwenye viumbe wengine. Kazi ya huo utashi ni kuhakikisha unautumia na hiki ndicho wanachofanya Chini. Tulivyoumbwa hatukupewa simu, magari, ndege wala Rocket. Tulipewa dunia tuitawale na akili za kuitawala. Haya ni matumizi mazuri ya akili alozotupa mwenyezi Mungu. Karibu 👋
Kila kilichopo duniani kinatuhusu.....Huko juu ndio kuna satelite zinazofanya hata tunaweza kutabiri hali ya hewa. Mtu anayetumia akili alizopewa na Mungu kufanya mambo yatokee anadhihirisha utukufu wa Mungu kuliko yule anayeketi kusali siku nzima nzima akiamini Maombi ndio yatamsaidia. We shuld use this brain effectively.
Asante sana mama
Urusi kumbe ndio namba moja kwenye technology dah, mbona wanasbushwa sana thamani
mchambuzi ana uelewa wa hali ya juu na anaufikisha katika lugha ya taifa
😂😂😂😂 tunia itaripuka 😂😂😂 tunataka kuona gisi itakuwa😅😅😅😅😅😅
Uyo anaupendereo wakijinga sn
Tanzania umeme shida, maji shida, barabara shida, elimu mbaya serikali mmh. Ndo maana JPM alikuwa siriazi kufufua shule za vipaji ambazo iliziua makusudi ili shule binafsi zianzishwe kwa wingi. Yaani Tanzania kuna viongozi walitakiwa wafungwe gerezani kwa kuiua elimu yetu. Elimu ndio kila kitu
Kwel kabisaa
Mwalimu Nyerere kuhusu elimu alitengeneza mfumo mzuri Sana ambao mwanafunzi mwenye akili hata akiwa shule ya msingi olmotonyi au sambasha serikali inaanza tu kumfuatilia kuanzia sekondari, sekondari ya juu, chuo Hadi ajira. Ndio sababu alianzisha shule za vipaji za sekondari yote haya ni kuwapata wasomi wenye akili Sana iliserikali iwatumie kwa maendeleo ya nchi. Lakini baada ya Nyerere kuondoka waliyefuata walifanya ni kuhusu elimu? Fuatilia mwenyewe utapata jibu. Wenzetu Mambo yao muhimu yanachimbwa na wasomi wenye akili nyingi kwasababu kipau mbele Cha Kwanza ni nchi yao. Lakini Tanzania kipaumbele Cha Kwanza ni nini? TAFAKARI.
Sns forever 🎉🎉
"Tafuteni elimu hata kama ni uchina"
haya ni maneno ya Mtume Mohammad (s.a.w) alipokuwa anawaambia masahaba wake, lilipokuja swala la Elimu.
Umeonaee!!
Masoud yuko vzr xna br sky sio sma dj
Ayo nimapenzi you ww ss22nampendA smaa dj
Dj sma yuko pow cana antenna dip
Yani marekani sahiv akajitafute zile zama za power kwa taifa moja zimekwisha kila taifa sahiv linakuja na technology yake
China ipo on fire
Wakati nchi nyingne inarusha vyombo angani,bongo wanarusha nyungo kwenda kuwanga😟😟
Ndo maana naona mwezi toka juz unatobo kumbe washatoboa wachina yaan watatuletea vitu vya ajabu hawa
Yan china awezi kua anasifa kama nchi za ulaya na america kiufupi tu Music, Football,moves yan mzungu alimaliza kwo mchina ajipange
Atapata vikwazo hy kutoka kwa marekani na 🇬🇧 uk
Ukisoma San unakuw mwehu wallah yaan hd unakufuru
Sky wakati ujao tuletee makala ya chombo kikienda angani na kurudi
Tanzania tutarusha chombo chin ya aridhi😂
China kila cku ina jambo jipya, unstoppable
Hata sisis tukipewa nafasi na serikali tukawezeshwa tukaangaliwa kwa jicho lingine kuna mengi sana tutafanya ila tunapuuzwa watu wanawekeza kwenye siasa sisi tunazeeka na science yetu
hongera sana china! kwetu tuna vituo vingi vya utafiti wa dawa za asili natarajia miaka 1000 mbele tunaweza kurusha roket ya ungo kwenda kuchunguza dawa hukohuko mwezini tangulieni tutakutana pamoja
Kwani sisi MUNGU ametunyima hizo akili mbona wenzetu kila siku wanafanya mambo makubwa.
Ccm mbele kwa mbele watot wetu wana poteza vipaji tuendele na phd zetu ila wasomi wengi ni maskini kuliko wale ambao awaja soma
👊✌️👍.
Bado tunachora panzi hiyo ndo sayansi yetu na kukaririshwa effect of WW2 hatuna mikakati ya kujikwamua kazi ni kutembeza bakuli kila kona ya dunia eti atujiwezi sisi ni maskini asee tunalaani vizazi vyetu kwa mitaala mibuvu kisha tunarudi kusema kizazi hiki kimekosa malezi ni cha hovyo hovyo, duh Mwenyezi Mungu utusaidie kwa nguvu zetu hapa ni kama tunagonga mwamba tunahitaji kutoka hapa ase
Afadhali Yako, ulishapata ukombozi wa fikra!!!
Hahah
Bado tunaendelea kutengemeza magari ya kipanya😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamn mrus na mchina ni nyoko asee
wachina wanatisha Balaa jmni hii nichi Ambayo nishida
Tuambieni faida ya kuchukua sample za kwenyemwezi. Biaadamu watafaidikaje n tafiti za aina hii?
Kutafuta madini ambayo huenda yakasaidia kuendeleza technology ijayo
Mbona hamtuambii hezbollah wanalipuka Huko au hamna habari mpaka Israel ikishambuliwa au Ukrain ishambuliwe ndo inakuwa habari wapi dj asma
china iko mbali sana..
Kwahiyo wanaenda kuutoboa mwezi wapate sample hii hatar sasa
😢 ndo maana naona mwezi unatobo sasa toka juz
Sijaelewa kitu kama mmarekani aliwatuma watu na wakatua salama Sasa mbona unasema urusi ndio watu wa kwanza kureta sample duniani kutoka mwezini
Kumbe ufaransa,uingeleza na ujerumaluni bado hawajafikia levo hizo
Km 200,000 jamani kha sio 300,000
Hii haitarudi, the dark side of the moon kuna vitu vya ajabu huko
Nchi za Africa n ngumu kufika huko kutokana na fikra zetu finyu
Tutamkumboka sana Magu
Uyu mtangazija wakuitwa bundara nihatari
Duh wenzetu wanafanya ugunduzi sisi wabongo tunakalishiana elimu ya ugali tu
Babu we jaribu kesho uite wenye vyeti vya degree za uinjinia bongo utapata mpk harmonise anayo,,ila angalau kinu na mtwangio tunaweza kutengeneza
Story ya kina Amstrong Iko very complicated ni Waongo waongo maelezo yao inasemekana ni video ilotengenezwa na wataalamu wa Hali ya Juu Angalia bendera yao Ile Angalia vivuli vinatia mashaka
Congratulations china
Imezunguluka 😅 ikazungulukaaa 😂
Kitaenda kwakutumia njia ya mzunguluko
China na Russia. Russia ni boss.
hawa wajama watatulipua
Wanasayansi wetu wa Tanzania lini nasisi tutarusha chombochetu?
Mwezi huu huu unao Waka usiku au Kuna kitu kinaitwa mwezini
Apewae hujiongeza cng 🇨🇳
Endeleeeni kujifunza Nan alingundua mulima kilimajalo
Hiyo kungundua n wana sayansu wakigundua kitu wana ita jina wanalotaka ss kama kimbunga kinaitwa idaya ww unaamini kinaitwa idaya
Tuliambiwa na Allah ndani ya Qur'an tukufu yakwamba tutafute elimu mbaka China, kwa nn Allah aliitaja China kielimu ndan ya Qur'an,
Ni Hadith shekh maneno ya mtu yalikua na maana kubwa sana
@@honeykhaska5372 hadith ya nani
@@honeykhaska5372 ndio nyny mnao jalibu kupotosha watu wapuuz nyie
Qur'aan imetaja Mambo Sana.
Umma huu wa Muhammad umebarikiwa Sana kuliko ummati mwingine wowote uliotangulia. Tunachokosa hapa Tanzania ni mifumo thabiti iliyoandikwa kwa vitabu na kupigwa ringforce ili Kila raia na viongozi wote wafuate mifumo hiyo. Na hakuna wa kuiboa. Unajua wenzetu walioendelea wanafanya kazi na watu wenye akili Sana kwasababu kwao kipaumbele ni elimu na ndio sababu mifumo yao imenyooka.
Tanzania tunawaza kubunya nakubunyana yaani
Hakuna kitu inaitwa moon landing. Wacheni kudanganywa na hizi inchi.
Inaitwaje?
Asee jamaa wanakua kwa kasi kiuchumi, sasa ni zamu yao wale wezi washaozoea kutuibia huku mataifa ya Afrika saizi wanakula zapua,,wnyeji wamefanya mapinduzi ya kijeshi🤔kila mtu kwao😅,, na hawa nao wanafanya mapinduzi ya sayansi ya anga mbona patamuasee👍
Huku duniani hawalali huku kwetu Ni kubeti na kulala
Watakipata wanacho kitaka na haya maendeleo ya technology ndio Yana tumaliza
Yanakumaliza kivipi? Wee laa na akili yako mgando.
Acha ushamba wewe tembea uone wenzako walivyo mbali
Bado tupo kwenye maj na barabara umeme had leo
China ni nchi ya kupigiwa mfano sana.
Inamaana wanachukua sampo ya mwezi yani wanavunja mwezi au? Kama ndio hivyo tafadhali msije kuleta majanga diniani mwezi tunahitaji kujua ramadhani imefika au sikukuuu ya idi. Tafadhali wa china
💥💥
Cc tutatuma changali na 60
Djsmah kapotlea wap wazeee
Mbna Yupo Rudi video Mbili Za Mwisho Za Fyuz yupo Ila Pia Anaumwa Mshikaji
Kila siku mwenzini hadi tumechoka siwaende kwingine
Wapi Sasa
@@issamuhammedi sayari sizipo nyingi au nini ukijui sasa
Kama wao wajuaji waende kwenye jua😂😂😂😂😂
@@ISSACKRICHARD hata kusogelea hawawezi 😀😀😀😀😀😀😀
😂😂😂
India wametua karibu sana na south pole juzi tu
Ndugu kwahiyo we peke yako ndo unasema ivyo china ndio wa mwanzo kwenda darkest side of the moon india akenda tua south pole Huyu anakwenda further sasa sjui unatuambia nini.
Hawezi kufika mtu katika mwezi wasitudanganyee hata marekani hawajawahi kufika ktk mwezi
Baki Ivo ivo
@@josephkiwale374😂😂
Yani kunawatu wanaichukia marekani kama wehu 😂😂😂
Sasa marekani si mashoga lazima tuwachukieee
Marekani ana kitu ila propaganda
Apolo 11 ilikuwa uongo!
Wachina walikua washamba sana Karne izo ila sasaiv wamekua wanasayansi wakubwa duh! Sijui elimu ii wameipata wapi ila🤔 awa jamaa wanajiongeza sana🙏
Wachina wamewekeza Sana kwenye elimu. Wako siriazi kwenye elimu sio hapa Tanzania serikali inasema elimu bure lakini ukifika shuleni michango mingi balaa. Waalimu wanafanya wanavyotaka na sio serikali inavyotaka
Last apollo mission ni 17 , walienda gene cernan , Harrison schmitt , na Michael Collins.
Last was 1972 after there apollo missions zilikuwa aborted.though kuna mpaka apollo 20.
Tafuta platform yako na ww uwelezee izo 17 za kwako
@@charackally8846😂😂😂😂
Sky ukielezea we ni vzur Zaid huyo mwana kama haskiki vzur