CHINA ina BALAA! Yapeleka CHOMBO mwezini - CHANG'E-6, haijawahi kutokea SAFARI kama hii

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 พ.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 201

  • @abushaddad989
    @abushaddad989 หลายเดือนก่อน +6

    SnS imepata mchambuzi makini sana jamaa Hana vijembe kabisa Mtu Makini na Msomi,Congrats SnS.

  • @kelvinkitego8471
    @kelvinkitego8471 หลายเดือนก่อน +19

    Huyu jamaaa ana NONDO sanaa ... anamwaga vituu , yuko vizurii sana kuelezea

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m หลายเดือนก่อน +1

      Saaanaaaaa ana nondo za kweli

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 หลายเดือนก่อน +21

    Congratulations China 🇨🇳 ❤

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 หลายเดือนก่อน +16

    Wakat miak 60 ya CCM hata barabar bado hazijakamilik

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 หลายเดือนก่อน +1

      Comment Bora ya mwenzi huu

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi หลายเดือนก่อน

      Mmh kweli et

    • @HamzaMbasha
      @HamzaMbasha หลายเดือนก่อน

      Tumelaaniwa akija wa kuboresha anaishia kutukanwa na kusemwa vibaya

    • @aminielkombe66
      @aminielkombe66 หลายเดือนก่อน

      Leadership is evrrything

    • @user-vh4vf7pm6u
      @user-vh4vf7pm6u หลายเดือนก่อน

      Hahahaha

  • @FerdinandCharles-ko7de
    @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน +14

    Wako vizur china nawakubari sana

  • @PetPeter-no6xi
    @PetPeter-no6xi หลายเดือนก่อน +13

    Katika bala la Asia china ilikua inadhalaulika sana kama sisi Africa tunavo dhalaulika lakini Leo hii china imekua ni taifa moja kubwa na lamfano Kwa mataifa yanayo jikakamua kutokana na umaskini 😢 wamarekani mda wao umeisha..

    • @rayyanothumanmohammed8261
      @rayyanothumanmohammed8261 หลายเดือนก่อน

      Kweli waliteseka sana wachina ndiyo matunda lkn cc hapa Tanzania hatuna amani na nchi Yetu so hamna tegemeo tutafika huko

  • @J_Pabloescobar0806
    @J_Pabloescobar0806 หลายเดือนก่อน +4

    Nakubali information zako ziko in details safi sana
    Nakusikilizaga kila mara niko africa ya kusini ila tz arusha ndio home
    One love❤

    • @mayunga..777
      @mayunga..777 หลายเดือนก่อน

      Mwanangu nataman Nije afrika kusin kutafuta maish

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 หลายเดือนก่อน +37

    😂😂😂😂yani marekani saivi ukizuia uku uku panavuja safi we need a Multipolar world ushoga wao wabaki nao uko

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 หลายเดือนก่อน +2

      Umewahi kumuona Mmarekani anafanya umachinga? Mmarekani ukimuona nje ya Amerika ni mtalii au yuko kazini. China ingekuwa vile inasifiwa na SNS wachina wasingekuwa wanakimbia kwao. Asilimia kubwa ya wachina wanamaisha ya shida sana.

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@zuricakes6817maisha ya shida hata America yapo 😂 machinga new York wapo kibao wapange ambao hawajafika

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 หลายเดือนก่อน

      E​@@zuricakes6817endelea kuganda Akili dada

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 หลายเดือนก่อน

      @@sosbrayantbenjamin9701 Shida nazo zina viwango. Swali ni umewahi kumuona Mmarekani mmachinnga, nje ya Amerika? Kama wachina wa Kariakoo ?😅

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 หลายเดือนก่อน +1

      @@zuricakes6817 nn maana ya umachinga kwanza nadhan hata hujui ? Shida Zina viwango vp wale maskin wa Merryland wanao lala nje hapa marekan majobless kibaoa uchum wa marekan kwa asilimia kubwa unajengwa na sisi Foreigner au hujui Hilo Military Industry unaijua ww😂

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l หลายเดือนก่อน +14

    Tz tunasom lkn mwish wake tunakuw wanasias,honger chins

    • @jofreykilangila4118
      @jofreykilangila4118 หลายเดือนก่อน +3

      Umesahau wizi

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 หลายเดือนก่อน +1

      Labda nadharia Tz nado sana

    • @rpynoel566
      @rpynoel566 หลายเดือนก่อน

      Wizi wenyewe hatuwezi Teja anakuibia kitu Cha aftatu ni udokozi na ukibaka ​@@jofreykilangila4118

    • @hassanmangale2323
      @hassanmangale2323 หลายเดือนก่อน

      Mjifunze kingereza kwanza

    • @jamalimussa4928
      @jamalimussa4928 หลายเดือนก่อน +1

      @@hassanmangale2323
      Aliekwambia kingereza ndio elimu nan
      China anajua kingereza??

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w หลายเดือนก่อน +2

    wangapi walikuwaa wanajuaaa ako ka nyiimbooo mwishoooni apo kumbe ni kakwetuuu wan SNS 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 wangap

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 หลายเดือนก่อน +2

    Sns mko juuu nawafatilia sanaaa

  • @gervasonvenansi9204
    @gervasonvenansi9204 28 วันที่ผ่านมา

    Acha waichokonoe miamba ya mungu badae mara oooh mara hivi mungu atuhurumie

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg mchambuzi yangu ni hayo tu

  • @gamerstech5689
    @gamerstech5689 หลายเดือนก่อน +5

    Huyo ally masud ni hatar sanaaaa🎉🎉🎉😂

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 26 วันที่ผ่านมา

    Urusi kumbe ndio namba moja kwenye technology dah, mbona wanasbushwa sana thamani

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mama

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 หลายเดือนก่อน +2

    Nikama chadema zaidi ya miaka 20 mwenyekiti ni yuleyule pamoja na mabilioni ya kodi za wanachi wanazopata kupitia luzuku hawajawahi kutoa kwa jamii

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 27 วันที่ผ่านมา

    Uyo anaupendereo wakijinga sn

  • @chax255
    @chax255 หลายเดือนก่อน +1

    mchambuzi ana uelewa wa hali ya juu na anaufikisha katika lugha ya taifa

  • @HansChuma
    @HansChuma หลายเดือนก่อน +5

    Wakati wenzetuwanapigana kwamaendeleo sisi huku vyama na waongozi wao kula kunya upumbavu mtupu maendeleo hafifu uchafu tuu myoyoni mwao

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 หลายเดือนก่อน

    Safi sana, sasa mchambuzi tueleze na namna hicho chombo kinavyorudi duniani

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani emungu tu saidie sasa ni kutafu kumchokoza mungu jamani ya hapa duniyani ya metushinda sasa tuna kwenda kutafuta ya siyo tuhusu emungu tu saidi 🤲🏻🤲🏻😭😭😭

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 หลายเดือนก่อน +2

      Mungu ametuumba na akatuongezea utashi ambao haupo kwenye viumbe wengine. Kazi ya huo utashi ni kuhakikisha unautumia na hiki ndicho wanachofanya Chini. Tulivyoumbwa hatukupewa simu, magari, ndege wala Rocket. Tulipewa dunia tuitawale na akili za kuitawala. Haya ni matumizi mazuri ya akili alozotupa mwenyezi Mungu. Karibu 👋

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 หลายเดือนก่อน

      Kila kilichopo duniani kinatuhusu.....Huko juu ndio kuna satelite zinazofanya hata tunaweza kutabiri hali ya hewa. Mtu anayetumia akili alizopewa na Mungu kufanya mambo yatokee anadhihirisha utukufu wa Mungu kuliko yule anayeketi kusali siku nzima nzima akiamini Maombi ndio yatamsaidia. We shuld use this brain effectively.

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo หลายเดือนก่อน

    Sns forever 🎉🎉

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati nchi nyingne inarusha vyombo angani,bongo wanarusha nyungo kwenda kuwanga😟😟

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 หลายเดือนก่อน

    Atapata vikwazo hy kutoka kwa marekani na 🇬🇧 uk

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln หลายเดือนก่อน

    Yani marekani sahiv akajitafute zile zama za power kwa taifa moja zimekwisha kila taifa sahiv linakuja na technology yake

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km หลายเดือนก่อน +1

    Sky wakati ujao tuletee makala ya chombo kikienda angani na kurudi

  • @user-fc3gu3kh4i
    @user-fc3gu3kh4i หลายเดือนก่อน

    Ukisoma San unakuw mwehu wallah yaan hd unakufuru

  • @HusseinHaule-pr5ov
    @HusseinHaule-pr5ov หลายเดือนก่อน +2

    China ipo on fire

  • @christophermbenna5235
    @christophermbenna5235 หลายเดือนก่อน +14

    Sisi bado tunatengeneza tu barabara zisizo isha kila mwaka miaka 60😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน +2

      Yah nakujenga vyoo vya shule za msingi .

    • @magretangel5242
      @magretangel5242 หลายเดือนก่อน +2

      Siuhame

    • @VictorDominick
      @VictorDominick หลายเดือนก่อน

      Kwani nchi gani Africa imepeleka chombo angani

    • @rajcasa7101
      @rajcasa7101 หลายเดือนก่อน

      😂 how about Burundi?

    • @user-tb4ol6yp6c
      @user-tb4ol6yp6c หลายเดือนก่อน

      Barabara Ina viraka kama suruali ya babu yangu

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 หลายเดือนก่อน

    Wanasayansi wetu wa Tanzania lini nasisi tutarusha chombochetu?

  • @user-vh4vf7pm6u
    @user-vh4vf7pm6u หลายเดือนก่อน +1

    Jamani kwani MUNGU amewapatia akili wazungu na wachina tu? Mbona kwetu Tanzania hakuna hata dalili za kufanya mambo makubwa kama wenzetu?

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน

      Mambo makubwa hapa Tanzania ni upigaji,rushwa, dhuluma na elimu yenye michango mingi. Tanzania mwanasiasa analipwa pesa nyingi Sana kuliko mwanataaluma. Hebu jiulize mbunge analipwa Milioni 16 kwa mwezi kwa kazi gani anayofanya? TAFAKARI
      Tanzania bado Kuna wanafunzi wanakaa chini Sasa utapata lini mainjinia na wanasayansi?

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน

      Tanzania mwanasiasa anasikilizwa kuliko mwanataaluma. Tanzania up to now ni failure njiti za meno tunaagiza China, ni aibu kubwa!!

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 หลายเดือนก่อน +2

    Last apollo mission ni 17 , walienda gene cernan , Harrison schmitt , na Michael Collins.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 หลายเดือนก่อน

      Last was 1972 after there apollo missions zilikuwa aborted.though kuna mpaka apollo 20.

    • @charackally8846
      @charackally8846 หลายเดือนก่อน +2

      Tafuta platform yako na ww uwelezee izo 17 za kwako

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@charackally8846😂😂😂😂

  • @officialwinaboy
    @officialwinaboy หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 tunia itaripuka 😂😂😂 tunataka kuona gisi itakuwa😅😅😅😅😅😅

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

    China kila cku ina jambo jipya, unstoppable

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy หลายเดือนก่อน +1

    Yani kunawatu wanaichukia marekani kama wehu 😂😂😂

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 หลายเดือนก่อน

      Sasa marekani si mashoga lazima tuwachukieee

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 หลายเดือนก่อน

    "Tafuteni elimu hata kama ni uchina"
    haya ni maneno ya Mtume Mohammad (s.a.w) alipokuwa anawaambia masahaba wake, lilipokuja swala la Elimu.

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo maana naona mwezi toka juz unatobo kumbe washatoboa wachina yaan watatuletea vitu vya ajabu hawa

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania tutarusha chombo chin ya aridhi😂

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania umeme shida, maji shida, barabara shida, elimu mbaya serikali mmh. Ndo maana JPM alikuwa siriazi kufufua shule za vipaji ambazo iliziua makusudi ili shule binafsi zianzishwe kwa wingi. Yaani Tanzania kuna viongozi walitakiwa wafungwe gerezani kwa kuiua elimu yetu. Elimu ndio kila kitu

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaa

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน

      Mwalimu Nyerere kuhusu elimu alitengeneza mfumo mzuri Sana ambao mwanafunzi mwenye akili hata akiwa shule ya msingi olmotonyi au sambasha serikali inaanza tu kumfuatilia kuanzia sekondari, sekondari ya juu, chuo Hadi ajira. Ndio sababu alianzisha shule za vipaji za sekondari yote haya ni kuwapata wasomi wenye akili Sana iliserikali iwatumie kwa maendeleo ya nchi. Lakini baada ya Nyerere kuondoka waliyefuata walifanya ni kuhusu elimu? Fuatilia mwenyewe utapata jibu. Wenzetu Mambo yao muhimu yanachimbwa na wasomi wenye akili nyingi kwasababu kipau mbele Cha Kwanza ni nchi yao. Lakini Tanzania kipaumbele Cha Kwanza ni nini? TAFAKARI.

  • @ibrahimshabani3544
    @ibrahimshabani3544 หลายเดือนก่อน +1

    wachina wanatisha Balaa jmni hii nichi Ambayo nishida

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 27 วันที่ผ่านมา

    Uyu mtangazija wakuitwa bundara nihatari

  • @TheChapakazi
    @TheChapakazi หลายเดือนก่อน

    Hata sisis tukipewa nafasi na serikali tukawezeshwa tukaangaliwa kwa jicho lingine kuna mengi sana tutafanya ila tunapuuzwa watu wanawekeza kwenye siasa sisi tunazeeka na science yetu

  • @nathanaelshombana645
    @nathanaelshombana645 หลายเดือนก่อน

    Apolo 11 ilikuwa uongo!

  • @Msumbwa23
    @Msumbwa23 หลายเดือนก่อน

    hongera sana china! kwetu tuna vituo vingi vya utafiti wa dawa za asili natarajia miaka 1000 mbele tunaweza kurusha roket ya ungo kwenda kuchunguza dawa hukohuko mwezini tangulieni tutakutana pamoja

    • @user-vh4vf7pm6u
      @user-vh4vf7pm6u หลายเดือนก่อน

      Kwani sisi MUNGU ametunyima hizo akili mbona wenzetu kila siku wanafanya mambo makubwa.

  • @GeorgeMagadula
    @GeorgeMagadula หลายเดือนก่อน +6

    Masoud yuko vzr xna br sky sio sma dj

    • @user-km4kb3xj3y
      @user-km4kb3xj3y หลายเดือนก่อน +2

      Ayo nimapenzi you ww ss22nampendA smaa dj

    • @ZubeirJuma-up7kb
      @ZubeirJuma-up7kb หลายเดือนก่อน

      Dj sma yuko pow cana antenna dip

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437 หลายเดือนก่อน

    Yan china awezi kua anasifa kama nchi za ulaya na america kiufupi tu Music, Football,moves yan mzungu alimaliza kwo mchina ajipange

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche หลายเดือนก่อน +1

    Marekani ana kitu ila propaganda

  • @zamoyonimaulidmangile7016
    @zamoyonimaulidmangile7016 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ufaransa,uingeleza na ujerumaluni bado hawajafikia levo hizo

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 หลายเดือนก่อน +1

    Bado tunaendelea kutengemeza magari ya kipanya😂

  • @johnsonlekashu7901
    @johnsonlekashu7901 28 วันที่ผ่านมา

    Ccm mbele kwa mbele watot wetu wana poteza vipaji tuendele na phd zetu ila wasomi wengi ni maskini kuliko wale ambao awaja soma

  • @HabibuMohamedlujuo
    @HabibuMohamedlujuo หลายเดือนก่อน

    Sky ukielezea we ni vzur Zaid huyo mwana kama haskiki vzur

  • @DANTAGRAPHICS
    @DANTAGRAPHICS หลายเดือนก่อน

    Hii haitarudi, the dark side of the moon kuna vitu vya ajabu huko

  • @IvanBenjamin-fy9lg
    @IvanBenjamin-fy9lg หลายเดือนก่อน

    Nchi za Africa n ngumu kufika huko kutokana na fikra zetu finyu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👊✌️👍.

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 หลายเดือนก่อน

    Km 200,000 jamani kha sio 300,000

  • @HamzaMbasha
    @HamzaMbasha หลายเดือนก่อน

    china iko mbali sana..

  • @kisingastanford4521
    @kisingastanford4521 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo wanaenda kuutoboa mwezi wapate sample hii hatar sasa

    • @lameckraphael3743
      @lameckraphael3743 หลายเดือนก่อน +1

      😢 ndo maana naona mwezi unatobo sasa toka juz

  • @johnlongoy7952
    @johnlongoy7952 หลายเดือนก่อน +2

    Bado tunachora panzi hiyo ndo sayansi yetu na kukaririshwa effect of WW2 hatuna mikakati ya kujikwamua kazi ni kutembeza bakuli kila kona ya dunia eti atujiwezi sisi ni maskini asee tunalaani vizazi vyetu kwa mitaala mibuvu kisha tunarudi kusema kizazi hiki kimekosa malezi ni cha hovyo hovyo, duh Mwenyezi Mungu utusaidie kwa nguvu zetu hapa ni kama tunagonga mwamba tunahitaji kutoka hapa ase

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 หลายเดือนก่อน

    Congratulations china

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 หลายเดือนก่อน +1

    Apewae hujiongeza cng 🇨🇳

  • @user-hl4pd2fy5x
    @user-hl4pd2fy5x หลายเดือนก่อน

    Tutamkumboka sana Magu

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 หลายเดือนก่อน

    Sijaelewa kitu kama mmarekani aliwatuma watu na wakatua salama Sasa mbona unasema urusi ndio watu wa kwanza kureta sample duniani kutoka mwezini

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 หลายเดือนก่อน

    Babu we jaribu kesho uite wenye vyeti vya degree za uinjinia bongo utapata mpk harmonise anayo,,ila angalau kinu na mtwangio tunaweza kutengeneza

  • @user-bz2cv8ni8d
    @user-bz2cv8ni8d หลายเดือนก่อน

    hawa wajama watatulipua

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t หลายเดือนก่อน

    Tuambieni faida ya kuchukua sample za kwenyemwezi. Biaadamu watafaidikaje n tafiti za aina hii?

    • @jogechi2105
      @jogechi2105 หลายเดือนก่อน

      Kutafuta madini ambayo huenda yakasaidia kuendeleza technology ijayo

  • @allykomsonde7813
    @allykomsonde7813 หลายเดือนก่อน

    Tanzania tunawaza kubunya nakubunyana yaani

  • @kevohotcomedy
    @kevohotcomedy หลายเดือนก่อน

    Hakuna kitu inaitwa moon landing. Wacheni kudanganywa na hizi inchi.

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 หลายเดือนก่อน

    Wachina walikua washamba sana Karne izo ila sasaiv wamekua wanasayansi wakubwa duh! Sijui elimu ii wameipata wapi ila🤔 awa jamaa wanajiongeza sana🙏

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน

      Wachina wamewekeza Sana kwenye elimu. Wako siriazi kwenye elimu sio hapa Tanzania serikali inasema elimu bure lakini ukifika shuleni michango mingi balaa. Waalimu wanafanya wanavyotaka na sio serikali inavyotaka

  • @elidadinyalemaelidadinyale3686
    @elidadinyalemaelidadinyale3686 หลายเดือนก่อน

    Mwezi huu huu unao Waka usiku au Kuna kitu kinaitwa mwezini

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um หลายเดือนก่อน

    Duh wenzetu wanafanya ugunduzi sisi wabongo tunakalishiana elimu ya ugali tu

  • @edisonbayona-rz9ed
    @edisonbayona-rz9ed หลายเดือนก่อน +1

    Endeleeeni kujifunza Nan alingundua mulima kilimajalo

    • @MauaLucas-st6be
      @MauaLucas-st6be หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo kungundua n wana sayansu wakigundua kitu wana ita jina wanalotaka ss kama kimbunga kinaitwa idaya ww unaamini kinaitwa idaya

  • @shabanmasoud9102
    @shabanmasoud9102 หลายเดือนก่อน

    Bado tupo kwenye maj na barabara umeme had leo

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 หลายเดือนก่อน

    Story ya kina Amstrong Iko very complicated ni Waongo waongo maelezo yao inasemekana ni video ilotengenezwa na wataalamu wa Hali ya Juu Angalia bendera yao Ile Angalia vivuli vinatia mashaka

  • @shabanmasoud9102
    @shabanmasoud9102 หลายเดือนก่อน

    Cc tutatuma changali na 60

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m หลายเดือนก่อน

    China na Russia. Russia ni boss.

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 หลายเดือนก่อน

    China ni nchi ya kupigiwa mfano sana.

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE หลายเดือนก่อน

    💥💥

  • @suleim505
    @suleim505 หลายเดือนก่อน

    Asee jamaa wanakua kwa kasi kiuchumi, sasa ni zamu yao wale wezi washaozoea kutuibia huku mataifa ya Afrika saizi wanakula zapua,,wnyeji wamefanya mapinduzi ya kijeshi🤔kila mtu kwao😅,, na hawa nao wanafanya mapinduzi ya sayansi ya anga mbona patamuasee👍

  • @joelmilendo4705
    @joelmilendo4705 หลายเดือนก่อน

    Imezunguluka 😅 ikazungulukaaa 😂

    • @joelmilendo4705
      @joelmilendo4705 หลายเดือนก่อน

      Kitaenda kwakutumia njia ya mzunguluko

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j หลายเดือนก่อน

    Huku duniani hawalali huku kwetu Ni kubeti na kulala

  • @allymohamed5328
    @allymohamed5328 หลายเดือนก่อน

    Inamaana wanachukua sampo ya mwezi yani wanavunja mwezi au? Kama ndio hivyo tafadhali msije kuleta majanga diniani mwezi tunahitaji kujua ramadhani imefika au sikukuuu ya idi. Tafadhali wa china

  • @mokitaa8750
    @mokitaa8750 หลายเดือนก่อน +2

    Watakipata wanacho kitaka na haya maendeleo ya technology ndio Yana tumaliza

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 หลายเดือนก่อน +1

      Yanakumaliza kivipi? Wee laa na akili yako mgando.

    • @veterinarytips8059
      @veterinarytips8059 หลายเดือนก่อน

      Acha ushamba wewe tembea uone wenzako walivyo mbali

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd หลายเดือนก่อน

    Tuliambiwa na Allah ndani ya Qur'an tukufu yakwamba tutafute elimu mbaka China, kwa nn Allah aliitaja China kielimu ndan ya Qur'an,

    • @honeykhaska5372
      @honeykhaska5372 หลายเดือนก่อน

      Ni Hadith shekh maneno ya mtu yalikua na maana kubwa sana

    • @kalamamuller-qe1yd
      @kalamamuller-qe1yd หลายเดือนก่อน

      @@honeykhaska5372 hadith ya nani

    • @kalamamuller-qe1yd
      @kalamamuller-qe1yd หลายเดือนก่อน

      @@honeykhaska5372 ndio nyny mnao jalibu kupotosha watu wapuuz nyie

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t หลายเดือนก่อน

      Qur'aan imetaja Mambo Sana.
      Umma huu wa Muhammad umebarikiwa Sana kuliko ummati mwingine wowote uliotangulia. Tunachokosa hapa Tanzania ni mifumo thabiti iliyoandikwa kwa vitabu na kupigwa ringforce ili Kila raia na viongozi wote wafuate mifumo hiyo. Na hakuna wa kuiboa. Unajua wenzetu walioendelea wanafanya kazi na watu wenye akili Sana kwasababu kwao kipaumbele ni elimu na ndio sababu mifumo yao imenyooka.

  • @directorimmah_vfx3043
    @directorimmah_vfx3043 หลายเดือนก่อน

    Djsmah kapotlea wap wazeee

    • @erickmillanei4346
      @erickmillanei4346 2 วันที่ผ่านมา

      Mbna Yupo Rudi video Mbili Za Mwisho Za Fyuz yupo Ila Pia Anaumwa Mshikaji

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 หลายเดือนก่อน

    Kila siku mwenzini hadi tumechoka siwaende kwingine

    • @issamuhammedi
      @issamuhammedi หลายเดือนก่อน

      Wapi Sasa

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 หลายเดือนก่อน

      @@issamuhammedi sayari sizipo nyingi au nini ukijui sasa

    • @ISSACKRICHARD
      @ISSACKRICHARD หลายเดือนก่อน

      Kama wao wajuaji waende kwenye jua😂😂😂😂😂

    • @Badvoice707
      @Badvoice707 หลายเดือนก่อน

      @@ISSACKRICHARD hata kusogelea hawawezi 😀😀😀😀😀😀😀

  • @JanvierNtakirutimana-fx7id
    @JanvierNtakirutimana-fx7id หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @KeyzBeatsglobal
    @KeyzBeatsglobal หลายเดือนก่อน

    India wametua karibu sana na south pole juzi tu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน

      Ndugu kwahiyo we peke yako ndo unasema ivyo china ndio wa mwanzo kwenda darkest side of the moon india akenda tua south pole Huyu anakwenda further sasa sjui unatuambia nini.

  • @musaabbinumeir7718
    @musaabbinumeir7718 หลายเดือนก่อน +1

    Hawezi kufika mtu katika mwezi wasitudanganyee hata marekani hawajawahi kufika ktk mwezi