We tulia sema Mchambuzi Mzuri basi inatosha, Mbona na wewe unamsagia kunguni Mchambuzi mwingine. Wewe ni kama hiyo unae mkataa ....Tofauti yako na yeye wewe ni msikilizaji hujui chochote na yeye ni Mchambuzi Mtaalam. Kwa Maneno machache Wewe ni 🚮
Fitna uwa inakurejeya we ulie ianzisha sio uongo kabisa. Mmarekani kabana watu ulimwengu mzima kwa miaka nenda rudi ila sasa mambo yanaanza kubadilika taratibuuuu
Masubi nimekuelewa sana maelezo yako....mimi ua nawambia rafiki zangu Iphone anamshart yasiyokua na maana ni ubinafsi wake likin hana makubwa kiviile. sasa nadhani kwa uchambuzi huu watanielwa maana Masubi kapita mulemule kwenye mabishano yangu.... ayo mashitaku kuhusu iPhone kama waliniona!
Kibiashara kutengeneza monopoli ya soko huo ndio mchezo wa soko ( Moat ) ukipata mteja abaki kuwa wako muda mrefu zaidi, Kesi za Marekani si lazima zifanikiwe hata wakati wa Monopoli ya Window ya Microsoft ila hawakuamua kuivuja Company kwa wakati huo, Nokia hakuangushwa na Sumsung kwa ushindani wa soko ila ni tatizo la Nokia kutokubali kutumia Software ya Android na hapo ndipo Nokia na Blackberry zilipo jimaliza.
Mchambuzi kasema if you fail to inovate you will face your demice hvyo ndo ilivyokuwa kwa b.berry, nokia and kodac na wengine wengi mjomba.ckiliza vzuri.
Mchambuzi kaongea vyema,kwamba monopoli inatakiwa iwe katika misingi ya ubunifu,sio ubabe. Iphone iliingia sokoni kwa ubunifu na upekee,mbeleni ikabadiri gia angani,sasa wenye nguvu wanataka wamrudishe kwenye mstari,aanze kupambana na wenzake kuleta feature mpya sio kuziboresha za zamani na kujipigia mifaida bila kutoboka ktk research.
Yani kushuka kwa 10% unasema ni kidogo? Daaah kweli hapa rudia tena maana kwenye swala la biashara ukisikia kamapuni imeshuka kwa 10% ogopa sana andugu
BB ni kiburi kilimzoa,na Apple wanamtumia kama shule,hawawezi kukubali mafuriko yawabebe,type C tayari wameweka,sideloading inakuja,RTC chart from google wataiweka tu, Na mwisho kabisa itakuwa uwe na iphone au simu nyingine utapata perfomance ile ile ktk airpods,ipad,imac,macbook nk
Ukisoma Maths Haiwezi shangaa Percentage Zinauwezo wa kuwa Zaidi 100 brother usishangae😂 Tafsri Ya Asilimia Kupita Mia Ni Kuvuka Malengo Uliyojiwekea . Rudi class
Samsung ilianza kutumia AI kwa sim zake mpya S24 zilizo toka mwaka huu mwezi wa pili na pia shida za apple hawanaga ubunifu tola 2011 hadi sasa hivi hawajabadilisha chochote kwenye sim Yao labda camera na mfumo wa kuchajia.
kama back ground ya zile app za apple jaman tang hawabadilik kila appl ndan iko vile vile mweny apple pro max 11 12 13 14 15 wote wakishika hamna hata tofauti had mtu aseme
Samsung na huawei na google pixels hongera yetu 🎉❤🎉❤🎉
Wanangu wa pixel tujuane
Tupo hapa kama dawa kama kawa
Tupo kaka
Awoteeee
Kubabaaake
Mapema
Huuuu Ally hua namwelewa sana. Chakwanza hachambui kwa kujigamba ao kwa kujisifu na kubishiana na watu. Kiufupi anachambua kihalisia
We tulia sema Mchambuzi Mzuri basi inatosha, Mbona na wewe unamsagia kunguni Mchambuzi mwingine.
Wewe ni kama hiyo unae mkataa ....Tofauti yako na yeye wewe ni msikilizaji hujui chochote na yeye ni Mchambuzi Mtaalam. Kwa Maneno machache Wewe ni 🚮
Huawei wapo juu sana..especially upande wa camera🤞💞
Ikishuka ikipanda My favorite ni IPhone 2 na forever 🔥🔥🔥😁🙌
Watu wameanza kupata akili kidogo.
Kama unapenda samsung nipe like
Nani anaipenda sasa Samsung ni trash
👍
@@RamadhanKahn kaanza kuharibu samsung s20-s24 amefanya kurudia kitu kilekile ila jina tofauti.
Lazima ya shuke S24 ni hatari na Huawei pura 70 ni Atari sana
Huwawei 🇨🇳 tupo hapa machine kitambo 5G 😂😂
Fitna uwa inakurejeya we ulie ianzisha sio uongo kabisa.
Mmarekani kabana watu ulimwengu mzima kwa miaka nenda rudi ila sasa mambo yanaanza kubadilika taratibuuuu
IPhone have been on top for decades but you can't maintain that for ever, every brand have a upp and down that's normal in any business.
Hata wafenyeje Apple tuko juu na c wezi hama hata zikatoka simu gani c wezi hama Apple
Sio shida zetu
Apple kampuni sio nyinyi wateja😂😂,nyinyi wateja hakuna kitu mnachojua zaidi ya kununua bidhaa tu.
@@michaeldoroleo4864 wachina hao wamepanic toweni hata Huawei ngapi hivyo ni vita tu vya biashara
Choko ww
lazima zishuke mana mtaani watu wote wanatumia pxel tena usiombe upigwe picha usiku
Iphone hauzii watu wa mtaani 😂😂😂
Watumiaji wa Iphone ni iphone tuu
Hayo mambo ya biashara huwezi jua ww
Nasikiliza hapa ❤
Team samsung on top
Hatari asee😢
Ali masoud ni mwamba.san kwenye ufafanuzi kuliko dj smaa🎉
Ndio, haegemei upande
Kila mtu anastyle yake ya uchambuzi sasa unataka dj sma awe ally.. bro acheni izo
@@lodricophd728amini
Wabongo kitu mnachojua ni kushindana tuu Kila mtu na aina yake lakini bado mnataka kushindanisha sio kila mtu maisha yake
Hisia zako za dini ndo zinakufanya umchukie dj sma jitafakali Anko
S,24 AI
Masubi nimekuelewa sana maelezo yako....mimi ua nawambia rafiki zangu Iphone anamshart yasiyokua na maana ni ubinafsi wake likin hana makubwa kiviile. sasa nadhani kwa uchambuzi huu watanielwa maana Masubi kapita mulemule kwenye mabishano yangu.... ayo mashitaku kuhusu iPhone kama waliniona!
Nina Samsung yangu ina karibia miaka 8 sijawahi hata badili chaji weee Samsung simu na nusu
Sasa miaka minane inamaana unatumia 2G sasa
@@karimhamisi4627 unajua Samsung note8 imetoka mwaka gani? 4g toka miaka hiyo labda hujui huku kwenye nchi za wenzetu tofauti Sana na Tanzania
Huawei ni simu ya maana sana, niko na Huawei nova 3i miaka mitano sasa na haina shida yoyote
Mauzo yapaa sana
Mimi natumia Huawei ni simu nzuri sana ni kwamba tu waafrika tunafuata mkumbo wa kuaminishwa kwamba iphone ni Bora
Huawei baba Lao kuanzia betrii mpk muonekano
@@omarifadhili651 kabisa pia hata Bei zake zipo juuu kuliko simu yoyote Duniani
Perfect elaboration
Kibiashara kutengeneza monopoli ya soko huo ndio mchezo wa soko ( Moat ) ukipata mteja abaki kuwa wako muda mrefu zaidi, Kesi za Marekani si lazima zifanikiwe hata wakati wa Monopoli ya Window ya Microsoft ila hawakuamua kuivuja Company kwa wakati huo, Nokia hakuangushwa na Sumsung kwa ushindani wa soko ila ni tatizo la Nokia kutokubali kutumia Software ya Android na hapo ndipo Nokia na Blackberry zilipo jimaliza.
Mchambuzi kasema if you fail to inovate you will face your demice hvyo ndo ilivyokuwa kwa b.berry, nokia and kodac na wengine wengi mjomba.ckiliza vzuri.
wewe nimchanbuzi bora kabisa. watu wana upgrade nokia wamekwamilia kwa windows tu
Mchambuzi kaongea vyema,kwamba monopoli inatakiwa iwe katika misingi ya ubunifu,sio ubabe.
Iphone iliingia sokoni kwa ubunifu na upekee,mbeleni ikabadiri gia angani,sasa wenye nguvu wanataka wamrudishe kwenye mstari,aanze kupambana na wenzake kuleta feature mpya sio kuziboresha za zamani na kujipigia mifaida bila kutoboka ktk research.
Ally masubi mtu mbaya sana kwa uchambuzi..tumehamia kwenye biashara sasa mabomu tumeeka pembeni kidogo😂😂
🤣🤣🤣🤣yo funny
😂😂😂✍️✍️
Naichukia mno iPhone na siwezi nunua bidhaa zao .. sio kwa sababu sina pesa ila nachukia kampuni wanaoibia wateja.
huyu jamaa anajua ila 💯.
Yan hii tarifa angeichambua dj smaa tunge faid sana
Hapana yule anatatizo la kuchagua side habalance story yake
Yani kushuka kwa 10% unasema ni kidogo? Daaah kweli hapa rudia tena maana kwenye swala la biashara ukisikia kamapuni imeshuka kwa 10% ogopa sana andugu
Ally Masoud🫡🫡🤝🤝
binafsi sijawahi kuzipenda cm za apple lakin pia sijui ni kwa nin hazikai na chaji
Itakuwa ulinunua feki😅
Wanaofurahia habari hii ni watu ambao hawatumii iPhone.. 😅 watu mnachuki sana
Wanatakiwa wajue Iphone sio ya kila mtu. Yaani mimi bila MACHO MATATU sitoboi😁
Sasa wewe unachukia habari hii na unatumia iphone 12 huoni kwamba unapoteza muda😂😂😂
Fact
Iphone wanatumia mashoga
HUAWEI IS BEST ❤❤❤
iPhones ni namba moja hata iwe vip yaani ukipanda daladala ikilia tuuh watu hugeuka 😂😂
We nae ni dishi tu 😂
Sas iPhone na daladala vinaendana wap, nlitegemea uzungumzie kumiliki usafir kabisa
Iphone wanatumia mashoga
Iphone za makumbusho hizo ndio tunazoziona kwenye daladala
Muwe mnatoa zawadi kwa wasikilizaj wenu sns😂😂😂😂tunawafuatilia sn
Weee nawe 😂😂😂
Iphone tuko juuu😂😂😂 wanga wafe
TUSBRIE IYO SIMU YAO MPYA
Kumekucha huyu iphone alicho mfanyia blackberry atalipa😂
BlackBerry hakufanyiwa kitu na mtu.. nikwamba ndio simu iliyovujisha siri za serikali ya Marekani. Na baada yabkubainika kampuni ikafunhiwa🤝
BlackBerry hakufanyiwa kitu na mtu.. nikwamba ndio simu iliyovujisha siri za serikali ya Marekani. Na baada yabkubainika kampuni ikafunhiwa🤝
BB ni kiburi kilimzoa,na Apple wanamtumia kama shule,hawawezi kukubali mafuriko yawabebe,type C tayari wameweka,sideloading inakuja,RTC chart from google wataiweka tu,
Na mwisho kabisa itakuwa uwe na iphone au simu nyingine utapata perfomance ile ile ktk airpods,ipad,imac,macbook nk
China anahusika kiasi kikubwa kwa IPhone ku shake
yakishuka wewe inakuuma nini😂😂
iPhone uwez linganisha na sim za kijinga kijinga Kama Huawei,Teckno,infinix iphone ni brand ataukiwanayo unaonekana unamaisha ulisha mwona chrisbrown ,davido,diamond wakitumia Ayo masim yen amtasema wamefilisika
Ukisikiliza vizuri sio kuwa iphon ndo sm bora ila wana brand bora kibiaashara
Comment yako yaonyesha wewe ni mjinga kiasi gani
😂
Endeleeni kujipa moyo
bado una akili ya kitoto.. mi natumia 15 pro max na kuna vitu huwez meet satisfaction ya kwenye samsung na huawei
Asilimia 500😂😂
Ukisoma Maths Haiwezi shangaa Percentage Zinauwezo wa kuwa Zaidi 100 brother usishangae😂 Tafsri Ya Asilimia Kupita Mia Ni Kuvuka Malengo Uliyojiwekea . Rudi class
We huna era nenda madkan iPhone inauza xana acha wiv
Ata miee simu ina macho matatu na sio iphon
Baby ninunulie tekno
Hiyo pura k*mamake iphone lazima apigwe pumbu😂😂😂😂
iPhone babalao
dead 🤣🤣🤣🤣
Kaka huyu anajuwa kuchambuwa kwa kweli ni kiboko
Hakuna kama dj sma East Africa nzima
@@KidugaZubery-ku3so mtazamo wako
Samsung ilianza kutumia AI kwa sim zake mpya S24 zilizo toka mwaka huu mwezi wa pili na pia shida za apple hawanaga ubunifu tola 2011 hadi sasa hivi hawajabadilisha chochote kwenye sim Yao labda camera na mfumo wa kuchajia.
kama back ground ya zile app za apple jaman tang hawabadilik kila appl ndan iko vile vile mweny apple pro max 11 12 13 14 15 wote wakishika hamna hata tofauti had mtu aseme
hicho ndicho hata wazungu wenyewe wanakilalamikia lkni waswahili akili zao zpo kwenye uchi tu
Sio kweli iPhone ni problem ingine labda Africa hawana pesa hakuuza iPhone
Kama hujaelewa bora usikomenti unakurupuka tu
Hii comment inaonyesha umaskini wako kutaka kutoa picha nzma afrika...
Unaonyesha umaskini wako
@@husseinmramba😂😂😂
Mrudishie mwenye sim mana unaonekana umeazima sim ili ucomment😂
Huwawei haiwezi kua simu
Ni kweli, Huawei ni zaidi ya simu
nilikua nasibiri hii coment
@@geomangi6123 Hajazifahamu bado
Buy samsung 😂😂