Mauzo ya iPhone yashuka kwa 10% duniani! Hizi hapa ndizo sababu, Mchina anahusika!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 139

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 4 หลายเดือนก่อน +9

    Samsung na huawei na google pixels hongera yetu 🎉❤🎉❤🎉

  • @veryboyplatnumz3506
    @veryboyplatnumz3506 4 หลายเดือนก่อน +28

    Wanangu wa pixel tujuane

  • @BenyassearButoyialfred
    @BenyassearButoyialfred 4 หลายเดือนก่อน +14

    Huuuu Ally hua namwelewa sana. Chakwanza hachambui kwa kujigamba ao kwa kujisifu na kubishiana na watu. Kiufupi anachambua kihalisia

    • @lucasmartin431
      @lucasmartin431 4 หลายเดือนก่อน

      We tulia sema Mchambuzi Mzuri basi inatosha, Mbona na wewe unamsagia kunguni Mchambuzi mwingine.
      Wewe ni kama hiyo unae mkataa ....Tofauti yako na yeye wewe ni msikilizaji hujui chochote na yeye ni Mchambuzi Mtaalam. Kwa Maneno machache Wewe ni 🚮

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..junior 4 หลายเดือนก่อน +8

    Huawei wapo juu sana..especially upande wa camera🤞💞

  • @eddietaxidriverzanzibar4395
    @eddietaxidriverzanzibar4395 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ikishuka ikipanda My favorite ni IPhone 2 na forever 🔥🔥🔥😁🙌

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 4 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wameanza kupata akili kidogo.

  • @papamukulu1045
    @papamukulu1045 4 หลายเดือนก่อน +32

    Kama unapenda samsung nipe like

    • @RamadhanKahn
      @RamadhanKahn 4 หลายเดือนก่อน

      Nani anaipenda sasa Samsung ni trash

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 4 หลายเดือนก่อน

      👍

    • @ch4rst0n3
      @ch4rst0n3 4 หลายเดือนก่อน

      @@RamadhanKahn kaanza kuharibu samsung s20-s24 amefanya kurudia kitu kilekile ila jina tofauti.

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 4 หลายเดือนก่อน +3

    Lazima ya shuke S24 ni hatari na Huawei pura 70 ni Atari sana

  • @MustafaChinanda
    @MustafaChinanda 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huwawei 🇨🇳 tupo hapa machine kitambo 5G 😂😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fitna uwa inakurejeya we ulie ianzisha sio uongo kabisa.
    Mmarekani kabana watu ulimwengu mzima kwa miaka nenda rudi ila sasa mambo yanaanza kubadilika taratibuuuu

  • @mothedon202
    @mothedon202 4 หลายเดือนก่อน +1

    IPhone have been on top for decades but you can't maintain that for ever, every brand have a upp and down that's normal in any business.

  • @Michealfarah-n1w
    @Michealfarah-n1w 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hata wafenyeje Apple tuko juu na c wezi hama hata zikatoka simu gani c wezi hama Apple

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 4 หลายเดือนก่อน

      Sio shida zetu

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 4 หลายเดือนก่อน +2

      Apple kampuni sio nyinyi wateja😂😂,nyinyi wateja hakuna kitu mnachojua zaidi ya kununua bidhaa tu.

    • @Michealfarah-n1w
      @Michealfarah-n1w 4 หลายเดือนก่อน

      @@michaeldoroleo4864 wachina hao wamepanic toweni hata Huawei ngapi hivyo ni vita tu vya biashara

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 4 หลายเดือนก่อน

      Choko ww

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 4 หลายเดือนก่อน +4

    lazima zishuke mana mtaani watu wote wanatumia pxel tena usiombe upigwe picha usiku

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home 4 หลายเดือนก่อน +1

      Iphone hauzii watu wa mtaani 😂😂😂
      Watumiaji wa Iphone ni iphone tuu

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home 4 หลายเดือนก่อน

      Hayo mambo ya biashara huwezi jua ww

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nasikiliza hapa ❤

  • @thehurricaneshow216
    @thehurricaneshow216 4 หลายเดือนก่อน +2

    Team samsung on top

  • @Socialtz
    @Socialtz 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hatari asee😢

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 4 หลายเดือนก่อน +9

    Ali masoud ni mwamba.san kwenye ufafanuzi kuliko dj smaa🎉

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio, haegemei upande

    • @lodricophd728
      @lodricophd728 4 หลายเดือนก่อน +4

      Kila mtu anastyle yake ya uchambuzi sasa unataka dj sma awe ally.. bro acheni izo

    • @starjay3052
      @starjay3052 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@lodricophd728amini

    • @fatumaninga5522
      @fatumaninga5522 4 หลายเดือนก่อน +2

      Wabongo kitu mnachojua ni kushindana tuu Kila mtu na aina yake lakini bado mnataka kushindanisha sio kila mtu maisha yake

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 4 หลายเดือนก่อน

      Hisia zako za dini ndo zinakufanya umchukie dj sma jitafakali Anko

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757 4 หลายเดือนก่อน +1

    S,24 AI

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 4 หลายเดือนก่อน

    Masubi nimekuelewa sana maelezo yako....mimi ua nawambia rafiki zangu Iphone anamshart yasiyokua na maana ni ubinafsi wake likin hana makubwa kiviile. sasa nadhani kwa uchambuzi huu watanielwa maana Masubi kapita mulemule kwenye mabishano yangu.... ayo mashitaku kuhusu iPhone kama waliniona!

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nina Samsung yangu ina karibia miaka 8 sijawahi hata badili chaji weee Samsung simu na nusu

    • @karimhamisi4627
      @karimhamisi4627 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa miaka minane inamaana unatumia 2G sasa

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 4 หลายเดือนก่อน

      @@karimhamisi4627 unajua Samsung note8 imetoka mwaka gani? 4g toka miaka hiyo labda hujui huku kwenye nchi za wenzetu tofauti Sana na Tanzania

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huawei ni simu ya maana sana, niko na Huawei nova 3i miaka mitano sasa na haina shida yoyote

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    Mauzo yapaa sana

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mimi natumia Huawei ni simu nzuri sana ni kwamba tu waafrika tunafuata mkumbo wa kuaminishwa kwamba iphone ni Bora

    • @omarifadhili651
      @omarifadhili651 4 หลายเดือนก่อน +1

      Huawei baba Lao kuanzia betrii mpk muonekano

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 4 หลายเดือนก่อน

      @@omarifadhili651 kabisa pia hata Bei zake zipo juuu kuliko simu yoyote Duniani

  • @techbossbernardo2093
    @techbossbernardo2093 4 หลายเดือนก่อน +1

    Perfect elaboration

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kibiashara kutengeneza monopoli ya soko huo ndio mchezo wa soko ( Moat ) ukipata mteja abaki kuwa wako muda mrefu zaidi, Kesi za Marekani si lazima zifanikiwe hata wakati wa Monopoli ya Window ya Microsoft ila hawakuamua kuivuja Company kwa wakati huo, Nokia hakuangushwa na Sumsung kwa ushindani wa soko ila ni tatizo la Nokia kutokubali kutumia Software ya Android na hapo ndipo Nokia na Blackberry zilipo jimaliza.

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 หลายเดือนก่อน

      Mchambuzi kasema if you fail to inovate you will face your demice hvyo ndo ilivyokuwa kwa b.berry, nokia and kodac na wengine wengi mjomba.ckiliza vzuri.

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 4 หลายเดือนก่อน

      wewe nimchanbuzi bora kabisa. watu wana upgrade nokia wamekwamilia kwa windows tu

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mchambuzi kaongea vyema,kwamba monopoli inatakiwa iwe katika misingi ya ubunifu,sio ubabe.
      Iphone iliingia sokoni kwa ubunifu na upekee,mbeleni ikabadiri gia angani,sasa wenye nguvu wanataka wamrudishe kwenye mstari,aanze kupambana na wenzake kuleta feature mpya sio kuziboresha za zamani na kujipigia mifaida bila kutoboka ktk research.

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ally masubi mtu mbaya sana kwa uchambuzi..tumehamia kwenye biashara sasa mabomu tumeeka pembeni kidogo😂😂

    • @lisawilliam2491
      @lisawilliam2491 4 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣yo funny

    • @simonmlowe2675
      @simonmlowe2675 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂✍️✍️

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 หลายเดือนก่อน

    Naichukia mno iPhone na siwezi nunua bidhaa zao .. sio kwa sababu sina pesa ila nachukia kampuni wanaoibia wateja.

  • @danmusa2980
    @danmusa2980 4 หลายเดือนก่อน +1

    huyu jamaa anajua ila 💯.

  • @officialkachu3388
    @officialkachu3388 4 หลายเดือนก่อน +5

    Yan hii tarifa angeichambua dj smaa tunge faid sana

    • @charlesmtesigwa2923
      @charlesmtesigwa2923 4 หลายเดือนก่อน +2

      Hapana yule anatatizo la kuchagua side habalance story yake

  • @bakarially253
    @bakarially253 4 หลายเดือนก่อน

    Yani kushuka kwa 10% unasema ni kidogo? Daaah kweli hapa rudia tena maana kwenye swala la biashara ukisikia kamapuni imeshuka kwa 10% ogopa sana andugu

  • @Eng2460
    @Eng2460 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Masoud🫡🫡🤝🤝

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 4 หลายเดือนก่อน

    binafsi sijawahi kuzipenda cm za apple lakin pia sijui ni kwa nin hazikai na chaji

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 4 หลายเดือนก่อน

      Itakuwa ulinunua feki😅

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 4 หลายเดือนก่อน +3

    Wanaofurahia habari hii ni watu ambao hawatumii iPhone.. 😅 watu mnachuki sana

    • @zuricakes6817
      @zuricakes6817 4 หลายเดือนก่อน

      Wanatakiwa wajue Iphone sio ya kila mtu. Yaani mimi bila MACHO MATATU sitoboi😁

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe unachukia habari hii na unatumia iphone 12 huoni kwamba unapoteza muda😂😂😂

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 4 หลายเดือนก่อน

      Fact

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 4 หลายเดือนก่อน

      Iphone wanatumia mashoga

  • @kanboi5
    @kanboi5 4 หลายเดือนก่อน +1

    HUAWEI IS BEST ❤❤❤

  • @abasmligo4323
    @abasmligo4323 4 หลายเดือนก่อน +2

    iPhones ni namba moja hata iwe vip yaani ukipanda daladala ikilia tuuh watu hugeuka 😂😂

    • @CamilasJohn-ik6cr
      @CamilasJohn-ik6cr 4 หลายเดือนก่อน +1

      We nae ni dishi tu 😂

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sas iPhone na daladala vinaendana wap, nlitegemea uzungumzie kumiliki usafir kabisa

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 4 หลายเดือนก่อน

      Iphone wanatumia mashoga

    • @karimhamisi4627
      @karimhamisi4627 4 หลายเดือนก่อน

      Iphone za makumbusho hizo ndio tunazoziona kwenye daladala

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 4 หลายเดือนก่อน +2

    Muwe mnatoa zawadi kwa wasikilizaj wenu sns😂😂😂😂tunawafuatilia sn

  • @Michealfarah-n1w
    @Michealfarah-n1w 4 หลายเดือนก่อน +1

    Iphone tuko juuu😂😂😂 wanga wafe

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 4 หลายเดือนก่อน +1

    TUSBRIE IYO SIMU YAO MPYA

  • @pumpandnozeltec3019
    @pumpandnozeltec3019 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kumekucha huyu iphone alicho mfanyia blackberry atalipa😂

    • @abdulsambi9011
      @abdulsambi9011 4 หลายเดือนก่อน +1

      BlackBerry hakufanyiwa kitu na mtu.. nikwamba ndio simu iliyovujisha siri za serikali ya Marekani. Na baada yabkubainika kampuni ikafunhiwa🤝

    • @abdulsambi9011
      @abdulsambi9011 4 หลายเดือนก่อน

      BlackBerry hakufanyiwa kitu na mtu.. nikwamba ndio simu iliyovujisha siri za serikali ya Marekani. Na baada yabkubainika kampuni ikafunhiwa🤝

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 4 หลายเดือนก่อน

      BB ni kiburi kilimzoa,na Apple wanamtumia kama shule,hawawezi kukubali mafuriko yawabebe,type C tayari wameweka,sideloading inakuja,RTC chart from google wataiweka tu,
      Na mwisho kabisa itakuwa uwe na iphone au simu nyingine utapata perfomance ile ile ktk airpods,ipad,imac,macbook nk

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 4 หลายเดือนก่อน

    China anahusika kiasi kikubwa kwa IPhone ku shake

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 4 หลายเดือนก่อน

    yakishuka wewe inakuuma nini😂😂

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437 4 หลายเดือนก่อน +4

    iPhone uwez linganisha na sim za kijinga kijinga Kama Huawei,Teckno,infinix iphone ni brand ataukiwanayo unaonekana unamaisha ulisha mwona chrisbrown ,davido,diamond wakitumia Ayo masim yen amtasema wamefilisika

    • @ayk20
      @ayk20 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ukisikiliza vizuri sio kuwa iphon ndo sm bora ila wana brand bora kibiaashara

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 4 หลายเดือนก่อน +5

      Comment yako yaonyesha wewe ni mjinga kiasi gani

    • @Zrss602
      @Zrss602 4 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @thetrailerzone2791
      @thetrailerzone2791 4 หลายเดือนก่อน +1

      Endeleeni kujipa moyo

    • @yuzlongodfrey1622
      @yuzlongodfrey1622 4 หลายเดือนก่อน +4

      bado una akili ya kitoto.. mi natumia 15 pro max na kuna vitu huwez meet satisfaction ya kwenye samsung na huawei

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 4 หลายเดือนก่อน

    Asilimia 500😂😂

    • @erickmillanei4346
      @erickmillanei4346 4 หลายเดือนก่อน

      Ukisoma Maths Haiwezi shangaa Percentage Zinauwezo wa kuwa Zaidi 100 brother usishangae😂 Tafsri Ya Asilimia Kupita Mia Ni Kuvuka Malengo Uliyojiwekea . Rudi class

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    We huna era nenda madkan iPhone inauza xana acha wiv

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 หลายเดือนก่อน

    Ata miee simu ina macho matatu na sio iphon

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 หลายเดือนก่อน

      Baby ninunulie tekno

  • @royphotostore6535
    @royphotostore6535 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo pura k*mamake iphone lazima apigwe pumbu😂😂😂😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 หลายเดือนก่อน

    iPhone babalao

  • @Abdulmajid79072
    @Abdulmajid79072 4 หลายเดือนก่อน

    dead 🤣🤣🤣🤣

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 4 หลายเดือนก่อน +18

    Kaka huyu anajuwa kuchambuwa kwa kweli ni kiboko

    • @KidugaZubery-ku3so
      @KidugaZubery-ku3so 4 หลายเดือนก่อน

      Hakuna kama dj sma East Africa nzima

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 4 หลายเดือนก่อน

      @@KidugaZubery-ku3so mtazamo wako

  • @izack9191
    @izack9191 4 หลายเดือนก่อน +1

    Samsung ilianza kutumia AI kwa sim zake mpya S24 zilizo toka mwaka huu mwezi wa pili na pia shida za apple hawanaga ubunifu tola 2011 hadi sasa hivi hawajabadilisha chochote kwenye sim Yao labda camera na mfumo wa kuchajia.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 4 หลายเดือนก่อน

      kama back ground ya zile app za apple jaman tang hawabadilik kila appl ndan iko vile vile mweny apple pro max 11 12 13 14 15 wote wakishika hamna hata tofauti had mtu aseme

    • @ustazanzibartechnicalsuppo999
      @ustazanzibartechnicalsuppo999 4 หลายเดือนก่อน

      hicho ndicho hata wazungu wenyewe wanakilalamikia lkni waswahili akili zao zpo kwenye uchi tu

  • @BenMamadou-w9e
    @BenMamadou-w9e 4 หลายเดือนก่อน +3

    Sio kweli iPhone ni problem ingine labda Africa hawana pesa hakuuza iPhone

    • @YudaMsafiri-c4j
      @YudaMsafiri-c4j 4 หลายเดือนก่อน

      Kama hujaelewa bora usikomenti unakurupuka tu

    • @husseinmramba
      @husseinmramba 4 หลายเดือนก่อน

      Hii comment inaonyesha umaskini wako kutaka kutoa picha nzma afrika...

    • @CamilasJohn-ik6cr
      @CamilasJohn-ik6cr 4 หลายเดือนก่อน

      Unaonyesha umaskini wako

    • @sarahrashidabdallah3109
      @sarahrashidabdallah3109 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@husseinmramba😂😂😂

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 2 หลายเดือนก่อน

      Mrudishie mwenye sim mana unaonekana umeazima sim ili ucomment😂

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huwawei haiwezi kua simu

    • @idrisjuma2259
      @idrisjuma2259 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli, Huawei ni zaidi ya simu

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 4 หลายเดือนก่อน

      nilikua nasibiri hii coment

    • @idrisjuma2259
      @idrisjuma2259 4 หลายเดือนก่อน

      @@geomangi6123 Hajazifahamu bado

  • @aminaniyubushbozi5799
    @aminaniyubushbozi5799 4 หลายเดือนก่อน

    Buy samsung 😂😂