@@deogratiusyudatadei5658 Sema mkuu uchumi wa Dunia ukishuka ni faida sana Kwa Marekani na Serikali yake, kumbuka elfu 2008 uchumi uliposhuka wa Dunia na Marekani faida aliyoipata, maana Dollar ndo itazidi kuwa na nguvu na nguvu zaidi.
Kweli nimeamini nchi za Magharibi ni zakishoga kweli wao wanvyomsaidia Ukren watu hawasemi watu wengine wakimsaidia Urusi nikosa kwa nini sasa kweli mmeisha amini nimashoga
Nyani haoni kundule rafiki anamsaidia rafiki yake wao G7 na NATO rafiki yao ni Ukraine sasa watuache sisi na china rafiki yetu ni mrusi na yajayo ndio kifo cha NATO na ndio kifo cha G7 hata 2030 haifiki Amerika kwishine
Aliekudanganya alishakufa china inafanya biashara na nchi za Asia zaidi kuliko nchi yoyote za dunia export kubwa ya china ipo Asia kuliko uko ulaya na marekani
Anawauzia nini hao mashoga unachokijua wewe? hao watu wako wamedandia mtumbwi wa vimbengo hapo Putin anawachezesha huku mchina akiendelea kupiga ela mpaka watakapokuja kukumbuka tayari wameishiwa mchina atawakopesha pesa hao watu wako kwa mashart mazito huo nd utakuwa mwisho wa marekan na nchi za ulaya, kiongoz wa dunia anachokifanya ni kumtengenezea njia mchina na baada ya vita kwisha Putin atakuwa anauza silaha kwa uwingi dunian kwa kuwa nchi nyingi watatamani silaha kutoka Urusi kwa kuwa ni Bora zaidi na za NATO huu ni mchezo wa kufilisiana na juzi tu Saudi Arabia amegoma kuuza mafuta yake kwa kutumia dola yajayo yanafurahisha sana unafuu wa marekan ni kumpitisha Trump tofaut na hapo anguko kubwa litawakabiri zaidi
Hawa G7 hawaweki wao wenyewe vikwazo wanawawekea mpaka wateja watakaonunua bidhaa za China, hapo ndipo Kuna anguko lake, maana wataungana na India, ufilipino, Singapore,n.k
G7 ndo mpinga kristo,mungu ibariki urusi ifunike kwa damu ya yesu, hawa mashoga wa ulaya wapukutike,
Brother Sky hemu ongelea kuhusu Hezbollah naoan huku wanakiwasha kinoma Israel tujue nini kinaendelea
Majambazi katika ubora wao
Mr Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nyie mbona mnasaidia
Kaka G7 wakishashindwa vita muda tuu wanatafuta kichaka cha kujifichia maana Russia anazalisha silaha mara 3 ya Europe na USA kwa mwaka
Hapa wameferi mana hakuna cku nilioskia Ukraine imekomboa kijiji kimya 😂😂😂 wakat mrusi utaskia amechukua vijiji chapu
HUFATILII VZR NCHI ZA ULAYA ZILIVYO NDOGO BASI MIAKA MIWILI HUYO MBABE WENU ANGESHAMALIZA VITA 😂
Hapa kazi tu - Putin & Shij pin.
Mbona wao wanaisadia Ukraine Marekani sijui wanajiona wakina nani
Kama umegundua zelensky hana nguo nyingine gonga like hapa
Hahahahah.
Kwan mwanajeshi anakuwaga na nguo ngap!!!
Yeye ni mwanajesi au raisi hahahaha
Anavaa nguo hizoo kila siku kwasababu nchi yake ipo kwenye vita na Russia
@@tekashisixtynin9threewithd727 huyo sio mwanajeshi ni Ukranian Movie
Kwaio wao wanaona Ukraine ndio inapigwa pekeake lakini sio palastine
Hawa viongozi wajitathmini badala ya kuzuia ugaidi wa Israel,wanajifanya hawaoni hii double standard haitawasaidia sikio la kufa halisikii dawa
Usikalili fuatilia chanzo Israel Iko sahihi kujilinda kama taifa teule
Ww ni muislam tu nilazima uione Israel kuwa ni magaid wakat magaid wa dunia ni warabu wanauwa sana watu Mozambique AL shabby
Nyani haoni kundule wao wanavyomsaidia Ukraine nani anawawekea vikwazo
Marekani ni wajinga sana wao wanampa silaha Ukraine aipige urusi lakini urusi akijiami anawakosea upuuzi mtupu
Mfa maji haishi kutapatapa
Mbona Israel mnamuwezesha Kila anachokitaka iwe silaha,pesa nk..... ???
Watakaa mpaka vikao vya ushoga uchumi wao umeshikwa pabaya wanatapa tapa
Mkuki kwa nguruwe
Vikwazo vikwazo vikwazo this is to much
Mbona wenyewe wanamsaidia Ukraine!!!
Hata mm nashangaa
Naona uchumi wa Dunia unaenda kuparanganyika tena.Maana china kwa sasa kumuwekea vikwazo kama urusi ni ngumu sana na uchumi wa Dunia utashuka sana.
@@GeorgeAkasha-zx2rjkaka wewe ndiyo umeelewa huu mchezo Sasa 😂😂😂😂
@@deogratiusyudatadei5658 Sema mkuu uchumi wa Dunia ukishuka ni faida sana Kwa Marekani na Serikali yake, kumbuka elfu 2008 uchumi uliposhuka wa Dunia na Marekani faida aliyoipata, maana Dollar ndo itazidi kuwa na nguvu na nguvu zaidi.
Nasikia Tanzania inataka kuiuzia Russia magari ya kivita aina ya Nyumbu😂😂😂😂😂
😂😂😂
Tungoje vikwazo😂😂
🤣🤣🤣
G 7 SIO UN WAACHE UPUUZIWAO
Vikwanzo avina nguvu.kwa sababu wenyewe wamekalia kuti kavu.
Wamekwisha enzi yao hao wanahangaika tu
Putin kiboko Jamaa zangu naona hawalali
Wanajindaganya kama poutine sio kadafi walicinja kama mbuzi.yeye kajipanga kupigananawo myaka mingi sana
Dunia hii razima ushabikie upande mmoja sio kuchagulowa
URAAAAAAAAAAAAAAA RUSSIA 💪💪💪💪💪, WE ARE WITH YOU AFRICA
Wanatapatapa tu nyau ao
Wapumbavu Tu hawa
Na bado hawajasema mpaka waseme # Putin 🔥🔥🔥🔥
Huraaaa ptini
Zalesk ata haya hana tena ataomba mpaka shati maana habadili
Sky wewe ni mwanahabari bora sana kaka, nikupe maua yako
Wao wakimsaidia myahudi wa michongo michongo hakuna mtu anayesema 😂😂 hovyo kabisa too late now
Majambazi wamekwama
Putin uwa mashoga aaoo🗣🗣🗣
Sasa mbona wao wanaisaidia Ukraine? Ila watu wanajipend kweli
Kweli nimeamini nchi za Magharibi ni zakishoga kweli wao wanvyomsaidia Ukren watu hawasemi watu wengine wakimsaidia Urusi nikosa kwa nini sasa kweli mmeisha amini nimashoga
Ama kweli Marekani ni vichaa
Mbona waowanasidia Ukraine
Hawo nchi za G7 wamechanganyikiwa hawajui wapi washike Uloo Umewatokea puwani
Vikwazo vita hit back Kwao G7
Hatutishwi
Hivi BRICS nao hawawezi kuwa na umoja wao kwenye ulinzi kama ilivyo NATO?
Ili nao wawe na lao moja ktk kumsaidia MRUS
picha ya pamoja mashoga
Kweli hasidi hana sababu kuani gari za umeme pia zinasaidia Russia hahaa😂😂 respect to Russian 🇰🇪
Mkutano wanapanga upande mmoja ujinga mtupu yaani urusi kweli mwamba yaani wote wanamjadili mtu mmoja
Wameshindwa putin awanyoshe mpaka wapige magoti
Machawa wa urusi mchina kaonywa tuu anajitetea nyie vilaza msiojua kitu mnashabikia et g7 hawamuwezichina na urusi
Marekani Trump ndo anaiweza huyu Biden shuhuli yake imeisha ashindi tena uchaguzi
Nchi 32 na usa zinalalamika
Nilisema Putin hayoko peke yake watu wanapanga kuungasha uchumi wawazungu mazima 😂😂😂
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Wameishia wacha kwanza dolla walipige malufuku BRGS
Nyani haoni kundule rafiki anamsaidia rafiki yake wao G7 na NATO rafiki yao ni Ukraine sasa watuache sisi na china rafiki yetu ni mrusi na yajayo ndio kifo cha NATO na ndio kifo cha G7 hata 2030 haifiki Amerika kwishine
Wanataka waimiliki dunia mkononi mwao
Kama wa shirika wengine hawakujumuika hivi hii ni G7 tena Hama!! Wala ni G vurugo tu
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione uraaàaaaaaaaaaaa
Bricks plus to big more than G7
marekani ye ni naaani hasa 😮
China nayo vikwazo tumuwekee
Mkiwa na nani ,china kwa uchumi ilio nao wakimwekea vikwazo USA na Marekani watalala njaa kama wanavyo hangaika kwa Mrusi.
Putin mmoja + G7😅 vita muraa😅
Putin afe
Kum wew
We utakuwa shoga
Labda wafe ndugu zako
We hujitambui
Hujui lolote
Na CHINA BILA G7 HATOBOI ATABAKI KUWAUZIA MALAPULAPU AFRIKA, PESA YA MAANA ANAYOINGIZA KUTOKA G7 ASAHAU 🤣JE ATAKUBALI ASHUKE KIUCHUMI? TUPO HAPA😂
Aliekudanganya alishakufa china inafanya biashara na nchi za Asia zaidi kuliko nchi yoyote za dunia export kubwa ya china ipo Asia kuliko uko ulaya na marekani
@@MujuniKamugisha SAWA 🤣
Anawauzia nini hao mashoga unachokijua wewe? hao watu wako wamedandia mtumbwi wa vimbengo hapo Putin anawachezesha huku mchina akiendelea kupiga ela mpaka watakapokuja kukumbuka tayari wameishiwa mchina atawakopesha pesa hao watu wako kwa mashart mazito huo nd utakuwa mwisho wa marekan na nchi za ulaya, kiongoz wa dunia anachokifanya ni kumtengenezea njia mchina na baada ya vita kwisha Putin atakuwa anauza silaha kwa uwingi dunian kwa kuwa nchi nyingi watatamani silaha kutoka Urusi kwa kuwa ni Bora zaidi na za NATO huu ni mchezo wa kufilisiana na juzi tu Saudi Arabia amegoma kuuza mafuta yake kwa kutumia dola yajayo yanafurahisha sana unafuu wa marekan ni kumpitisha Trump tofaut na hapo anguko kubwa litawakabiri zaidi
Hawa G7 hawaweki wao wenyewe vikwazo wanawawekea mpaka wateja watakaonunua bidhaa za China, hapo ndipo Kuna anguko lake, maana wataungana na India, ufilipino, Singapore,n.k
Hivyo G7 watanunulia wapi ?wakimuwekea china vikwazo,wao ndio wanamtegemea kama walivyokuwa wanategemea ngano toka urusi