🤣🤣😂😂 ndio mana tulivopata uhuru watu walikatazwa kusoma mngesumbua kama china walitaka muwe wa jinga na dini zao alafu wao wabaki na mambo ya msingi 😂😂🤣🤣
@@tayk4745 watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa kwakua umeyakataa mariafa Mimi nami nitakukataa wewe wewe hujui uko ndani yandunia ili utoke inakubidi ufe kwahiyo hawa wachina na wa marekani wanajua wanacho kifanya sawa nanazalia isemayo mwanadamu alitokana na nyani niungo washetani
hahaha bad san zaid sabab kul mwak nchi inajenga barbar 2 kil mwak uzenz wa maji sas hatua ii wenzetu washasahau kbs ndug wenzak awajuw lin umeme ulikatk alf unatk ujifananishe nao 😂😂
Waliamua kwa dhati kupata iyo elimu na wakapata kwa kuwa makini na serious China 1948 ilikua sawa na nchi nyingi sana za afrika wakaamua kujitoa na kukomaa bila kuwa maomba omba wa misaada sisi tumeamua kua watumwa wa wazungu hivyo hatuna chetu hadi net za mbu tunapewa.
Jamaa muongo katupanga sana hasa anaposema hatua ya kwanza ilkua chombo kurushwa na setilite... Hapana setilite hairushi chombo Chombo kinarushwa na rocket
Mwaka huuuu tutaona mengi aiseeee huu mwaka uisheeee jaman❤🎉wa kwanza kulike naitaji like zangu🎉🎉🎉🎉
Hizo likes unaenda nazo wapi.?😂
@@nizarrama225 kulewa nazoooooo🥰🥰🥰
Mwaka upo pale pale, labda wew utembee
Sns hongeren sana tunaomba mtujuilishe kila hatua itayoendelea
Wanamjaribu mungu . Km wana uwezo wazuie mafuriko manchini kwao
namuachia mungu kila ki2 mmepewa binadau lakin bado unachokowa visifyoo julikan ipo siku moja mtapat jibu
Kazi zuri sana
Thank u guys for the daily updates GOD blesse url
Mwanadamu ameumbwa ili aishi Duniani; hayo mengine wanajitafutia ni inje ya uwezo wa mwanadamu
Ama kweli
Hii ndio tofauti kubwa sn kati yetu na wao, wakati Afrika tunabishana kuhusu dini ya kweli ni ipi, wenzetu wanashindana kiteknolojia.
Ndio, ukifika kaburini huulizwi kama ulifika mwezini.
Utakachoulizwa ni amali zako ulizofanya hapa duniani.
Umeonge point sana uwo mwez unatatizo gan na ss lakin dini ndio inakupa muelekeo umju Mungu 😅😅😅😅
🤣🤣😂😂 ndio mana tulivopata uhuru watu walikatazwa kusoma mngesumbua kama china walitaka muwe wa jinga na dini zao alafu wao wabaki na mambo ya msingi 😂😂🤣🤣
Mungu kawapa hapa hapa duniani km umekosa duniani basi shuhulika na dini ili angalau upate pepo
@@mussammanga7791hakuna alyeenda kaburini akarudi unauhakika gan kama hizo Habar ni za kwel?
kun fa ya kun...! binadamu tunahangaika sana.!
Noma noma
Ivi huyu ali ana elimu ya kila kitu au
😂
Mambo mengine sio issue na elimu ni ufuatiliaji wa mambo tu maana vyombo tofauti vya habari vinaliangazia Ili swala
Hii dunia siku moja tutailipua sisi wenyewe 🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️🚶🏾♀️
Kabisa yan
😂😂😂
Tarehee
Dunia hata choka kudanganywa hakuna mwanadamu atakae toka inje na dunia hii sio nasa au hawa wachina Mungu anaishi
Njee gan ww uliambiwa na nani unakaa ndani ya dunia bichwa kubwa ubongo wa sisimizi
@@tayk4745 watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa kwakua umeyakataa mariafa Mimi nami nitakukataa wewe wewe hujui uko ndani yandunia ili utoke inakubidi ufe kwahiyo hawa wachina na wa marekani wanajua wanacho kifanya sawa nanazalia isemayo mwanadamu alitokana na nyani niungo washetani
Mmmmmh Hii ni kitu ingine kabisa
Wanatafiti vitu vya MUNGU . Hawakuumba wao
Mwana kulifind mwana kuliget
Mwenyezi mungu anasema katika quran tukufu ama hakika nimewabainishia kila kitu ni uwezo wa kutumia akili zenu kuyajua yale msio yajua ALLAH AKBAR
Acha upumbavu ww apo kilipo bado hakijatoka nje ya duniya
Ss kazi yetu huku kupishana mambo ya simba na yanga na misabwanda ya kina poch Quen
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pumbavo
😅😂😂 poshi tena daa tz raha san😂😂
Na nyiee mnaboaa kila sikuu ali masudii piga ww mwenyewe sky walker mbona mwanzonii hakuwepoo
wenzetu wanazidi kufanya maajabu , sisi umbea na unafki ndo kipaumbele chetu
Wanipeleke nikaishi mwezini
Mh
Cc wabongo, tunakazi ya kupiga show ,na dada,zetu, kuzaa matako, mtandaoni, wenzentu wachina, wanatuacha na tekenolojia ya hari ya juu
hahaha bad san zaid sabab kul mwak nchi inajenga barbar 2 kil mwak uzenz wa maji sas hatua ii wenzetu washasahau kbs ndug wenzak awajuw lin umeme ulikatk alf unatk ujifananishe nao 😂😂
Watu wana elimu kubwa sana mungu kawapa
Waliamua kwa dhati kupata iyo elimu na wakapata kwa kuwa makini na serious China 1948 ilikua sawa na nchi nyingi sana za afrika wakaamua kujitoa na kukomaa bila kuwa maomba omba wa misaada sisi tumeamua kua watumwa wa wazungu hivyo hatuna chetu hadi net za mbu tunapewa.
Jamaa muongo katupanga sana hasa anaposema hatua ya kwanza ilkua chombo kurushwa na setilite...
Hapana setilite hairushi chombo
Chombo kinarushwa na rocket
KWANI HUYU ANAEONGEA WA PILI HAIWEZEKANI KUONGEKA KAWAIDA NI LAZIMA OONGEE KAMA YUPO KWENYE SM SAUTI YAKE INACHOAM MASIKIO DAAAH INABOA KIIUKWELI😡😡😡😡
Ama kweli
Ama kweli