Hapa ndipo kilipofika chombo cha China 'Chang'e 6' kilichoenda mwezini kukusanya Sampuli

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 52

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona4107 หลายเดือนก่อน +10

    Mwaka huuuu tutaona mengi aiseeee huu mwaka uisheeee jaman❤🎉wa kwanza kulike naitaji like zangu🎉🎉🎉🎉

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 หลายเดือนก่อน

      Hizo likes unaenda nazo wapi.?😂

    • @stevkaliona4107
      @stevkaliona4107 หลายเดือนก่อน +1

      @@nizarrama225 kulewa nazoooooo🥰🥰🥰

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

      Mwaka upo pale pale, labda wew utembee

  • @MAHAN-099
    @MAHAN-099 หลายเดือนก่อน +4

    Sns hongeren sana tunaomba mtujuilishe kila hatua itayoendelea

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 หลายเดือนก่อน +2

    Wanamjaribu mungu . Km wana uwezo wazuie mafuriko manchini kwao

  • @SalimuKhatibu-eo4yk
    @SalimuKhatibu-eo4yk หลายเดือนก่อน

    namuachia mungu kila ki2 mmepewa binadau lakin bado unachokowa visifyoo julikan ipo siku moja mtapat jibu

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi zuri sana

  • @shebbylove3140
    @shebbylove3140 หลายเดือนก่อน

    Thank u guys for the daily updates GOD blesse url

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 หลายเดือนก่อน

    Mwanadamu ameumbwa ili aishi Duniani; hayo mengine wanajitafutia ni inje ya uwezo wa mwanadamu

  • @DavidTizo
    @DavidTizo หลายเดือนก่อน

    Ama kweli

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 หลายเดือนก่อน +3

    Hii ndio tofauti kubwa sn kati yetu na wao, wakati Afrika tunabishana kuhusu dini ya kweli ni ipi, wenzetu wanashindana kiteknolojia.

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 หลายเดือนก่อน +3

      Ndio, ukifika kaburini huulizwi kama ulifika mwezini.
      Utakachoulizwa ni amali zako ulizofanya hapa duniani.

    • @Elybwayz
      @Elybwayz หลายเดือนก่อน +1

      Umeonge point sana uwo mwez unatatizo gan na ss lakin dini ndio inakupa muelekeo umju Mungu 😅😅😅😅

    • @starjay3052
      @starjay3052 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣😂😂 ndio mana tulivopata uhuru watu walikatazwa kusoma mngesumbua kama china walitaka muwe wa jinga na dini zao alafu wao wabaki na mambo ya msingi 😂😂🤣🤣

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 หลายเดือนก่อน

      Mungu kawapa hapa hapa duniani km umekosa duniani basi shuhulika na dini ili angalau upate pepo

    • @ce-08
      @ce-08 หลายเดือนก่อน

      ​@@mussammanga7791hakuna alyeenda kaburini akarudi unauhakika gan kama hizo Habar ni za kwel?

  • @kenyzach9124
    @kenyzach9124 หลายเดือนก่อน

    kun fa ya kun...! binadamu tunahangaika sana.!

  • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
    @peteremmanuelymatwimatwiem3258 หลายเดือนก่อน

    Noma noma

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 หลายเดือนก่อน +4

    Ivi huyu ali ana elimu ya kila kitu au

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @kidatokassim7616
      @kidatokassim7616 หลายเดือนก่อน +1

      Mambo mengine sio issue na elimu ni ufuatiliaji wa mambo tu maana vyombo tofauti vya habari vinaliangazia Ili swala

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 หลายเดือนก่อน +1

    Hii dunia siku moja tutailipua sisi wenyewe 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht หลายเดือนก่อน

    Tarehee

  • @ZefaniaChales
    @ZefaniaChales หลายเดือนก่อน +1

    Dunia hata choka kudanganywa hakuna mwanadamu atakae toka inje na dunia hii sio nasa au hawa wachina Mungu anaishi

    • @tayk4745
      @tayk4745 หลายเดือนก่อน +1

      Njee gan ww uliambiwa na nani unakaa ndani ya dunia bichwa kubwa ubongo wa sisimizi

    • @ZefaniaChales
      @ZefaniaChales หลายเดือนก่อน

      @@tayk4745 watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa kwakua umeyakataa mariafa Mimi nami nitakukataa wewe wewe hujui uko ndani yandunia ili utoke inakubidi ufe kwahiyo hawa wachina na wa marekani wanajua wanacho kifanya sawa nanazalia isemayo mwanadamu alitokana na nyani niungo washetani

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmh Hii ni kitu ingine kabisa

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 หลายเดือนก่อน

    Wanatafiti vitu vya MUNGU . Hawakuumba wao

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 หลายเดือนก่อน

    Mwana kulifind mwana kuliget

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi mungu anasema katika quran tukufu ama hakika nimewabainishia kila kitu ni uwezo wa kutumia akili zenu kuyajua yale msio yajua ALLAH AKBAR

  • @AhmedMahoni
    @AhmedMahoni หลายเดือนก่อน

    Acha upumbavu ww apo kilipo bado hakijatoka nje ya duniya

  • @ngasamashauri4937
    @ngasamashauri4937 หลายเดือนก่อน +3

    Ss kazi yetu huku kupishana mambo ya simba na yanga na misabwanda ya kina poch Quen

    • @ZulpaRashid
      @ZulpaRashid หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @nafoinvestimento9688
      @nafoinvestimento9688 หลายเดือนก่อน

      Pumbavo

    • @Elybwayz
      @Elybwayz หลายเดือนก่อน

      😅😂😂 poshi tena daa tz raha san😂😂

  • @MrishoRajabu-rx8zp
    @MrishoRajabu-rx8zp หลายเดือนก่อน

    Na nyiee mnaboaa kila sikuu ali masudii piga ww mwenyewe sky walker mbona mwanzonii hakuwepoo

  • @afterx3172
    @afterx3172 หลายเดือนก่อน

    wenzetu wanazidi kufanya maajabu , sisi umbea na unafki ndo kipaumbele chetu

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m หลายเดือนก่อน

    Wanipeleke nikaishi mwezini

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 หลายเดือนก่อน

    Cc wabongo, tunakazi ya kupiga show ,na dada,zetu, kuzaa matako, mtandaoni, wenzentu wachina, wanatuacha na tekenolojia ya hari ya juu

    • @shaibukhamis863
      @shaibukhamis863 หลายเดือนก่อน

      hahaha bad san zaid sabab kul mwak nchi inajenga barbar 2 kil mwak uzenz wa maji sas hatua ii wenzetu washasahau kbs ndug wenzak awajuw lin umeme ulikatk alf unatk ujifananishe nao 😂😂

  • @MAHAN-099
    @MAHAN-099 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wana elimu kubwa sana mungu kawapa

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      Waliamua kwa dhati kupata iyo elimu na wakapata kwa kuwa makini na serious China 1948 ilikua sawa na nchi nyingi sana za afrika wakaamua kujitoa na kukomaa bila kuwa maomba omba wa misaada sisi tumeamua kua watumwa wa wazungu hivyo hatuna chetu hadi net za mbu tunapewa.

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 หลายเดือนก่อน

    Jamaa muongo katupanga sana hasa anaposema hatua ya kwanza ilkua chombo kurushwa na setilite...
    Hapana setilite hairushi chombo
    Chombo kinarushwa na rocket

  • @user-cy8um2jj6i
    @user-cy8um2jj6i หลายเดือนก่อน +1

    KWANI HUYU ANAEONGEA WA PILI HAIWEZEKANI KUONGEKA KAWAIDA NI LAZIMA OONGEE KAMA YUPO KWENYE SM SAUTI YAKE INACHOAM MASIKIO DAAAH INABOA KIIUKWELI😡😡😡😡

  • @DavidTizo
    @DavidTizo หลายเดือนก่อน

    Ama kweli

  • @DavidTizo
    @DavidTizo หลายเดือนก่อน

    Ama kweli