MAJANABA AWAFUNIKA KWENYE BSS AIMBA KIHIND,APIGWA KISS NA MADAM RITA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2021
- Majanaba ambaye amekuwa akitrend kwenye mashindano ya Bongo star Search amerudi tena kushiriki kwa mwaka huu 2021 ambapo aliweza kuimba wimbo kwa lugha ya kihindi na kuibua shangwe kwa mashabiki huku wakati Madam Rita anaingia alionekana akim-kiss Majanaba
Majanaba ni mtu pic saana yaan💓💓
Yaani mimi ni kimuonaga tu na cheka kinoma
Nampenda sana majanaba kwa kufurahisha 🤣🤣
Majanaba katisha aiseeh, ushindi lazima akishindwa tunaenda mahakamani
Uyu jama Mimi namuonaka Kama mukali wa East Africa 🇨🇩🇺🇬💪
Hahaha
Sana
Noma Sana uyo jamaa
Hahaha
Huyu majanaba akikaa kwenye shule muziki wiki kadhaa ni mtu mzuri sana
😁😁😁 Jamaa wakimyima ushindi watakuwa ni wachawi walai maana hii ndio ina jina moja tu *CREATIVITY*
Jamani watu si mnunue apatment uko vilage tangazo liishe
😂😂😂aza wewe kwanza
Dahh linaboa kna mda huwa napita t nikilona
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ahahahaaa
Watu waarusha wako serious hata hawaoni jamaa kama azingua na anachoimba 😂🤣😂🤣😂 very supportive
walio muona yule dada wa rita niachie my wangu 😁
😂😂😂😂
ni yeye
Ataki mchezo yupo kazini hapo
Yaah
Safari hii naona kajipanga vizuri😁😁😁
Ninachokipenda kwa watu wa chuga wanapendana wahawana kinyongo
Hilo tanagazo Kaka linawahusu watu wa Twitter kule
Nakubali 🤣🤣🤣 Tanzania noma sana sihami ng'o
Majanaba kawa handsome😂😂
Una ufala mwingi sana😂😂😂
😂😂
Ripota: inakuwaj
Mwenye mask: eeehhh alooohh
Arusha noma
Talent+Creativity#Majanaba👏👏👏👏👏👏👏👏
JINA CHAFUU - JANABA 😯
😁😁😁 huyu aliyeimba wa kwanza huwa anajua kunifurahisha kweli...
Huyu mwamb creator San😂😂😂
Yechu yechu chuga💯👊👊💪
Majanaba wangemuona tu...awee Tu ambasada WA bidhaa yoyote atatishaa..
Kweli aisee!! Tena akipiga ile kwerekweche tangazo litanoga
Ila alifaa kuwa komedia
*Nakupenda ni wimbo maalum kwa wapenzi waliopo kwenye mahaba mazito sana, huu ni wimbo mpya toka kwangu bofya picha pembeni 👈👈👈💕🙏🙏🙏 kuutazama naamini utaupendaaa*
jina wimbo
Nyimbo za majanaba azijaimbwa dunian nzima
🤣😅😅😅🤣🤣
Majanaba Hahahahahah eti mimi sio saladi 🤣🤣
Majanaba hakatag tamaa yan khaaa😂
Unyamaaaaaaa
Majanaba amepungua tofauti na last tym
Chal yang huy anakwere kabx respecT xanaaa
Namkubali sana huyu jamaa natamani kumuona kwenye Comedy za akina Mkojani na Tin white
Majanaba anatisha sana😅
Sema hii ayo sasaiv inazingua mnaweka matangazo marefu sana
Kabisa yaani 😏🙄
@@aminamnyaruge8574 mambo
Hadi nakelwa yaani na Hawa watu
@@silviamsola3865 sasa kukereka kwako asifanye biashara? Wewe unakereka mwenzako acount inasoma
Chizi huyo amechanganyikiwa akili bangi na njaaaaa kichaaaa
Huyu majanaba,yupo poa, hajui kupanic, anaongea point, anakipaji cha kufurahisha sio kuimba
Majanaba 🙌🙌🙌
Kama unamkubali majanaba ❤️❤️
I ❤️ u majanaba😂😂😂😂
😂😂😂huyu kila mwaka yupo 😂😂😂
Kisha anarudi zake kuokota chupa na chuma chakavu kama kawa😂😂
Tangazo la palm village weka mwsho wa post bro, unazingua
Unataka millard avunjiwe mkataba mzee 😂
@@kizazijeuri2886 😀😀😀😀
Majanaba 🙏🙏
Huyu ni mshindi tayari, upekee na ubunifu wake unafurahisha sana, wa Arusha wana wanachangamsha sana show
Kwa nyuma namuona diamond na kofia nyeupe
Dah kwel wamefanana
Aisee
3:50 Teni katokea wapi 😅😅😅
😅😅😅😅😅😅Imerudi BBs mwendo wa kuwa happy tu 😆😄😄😄😄😄
This is a zipompaah bhan mdada namkubali 😂😂 eti kwamba rita niachie Mai wangu
🤣🤣🤣Huyu Dada WA kuimba madam Rita niachie mume wangu😂😂😂😂😂
Jaman hebu mfikirieni huyu Majanaba Mana yangu aanze no muda mpeni ht M moja
Ila watu wa Arusha 😁😁😁😁✌️
Hahahaaaaa...Majanamba working me...
Machali wa chuga wananiacha hoi
😅😅😅😅😅😅
Namkubali Majanaba
Majanaba ni 🔥🔥🔥
😂😂😂😂kwa kwl katisha
Hilo tangazo wekeni mwisho
Linafanya kugaili kuangalia wanaboa sana
Afu ni Siku nyingi Hawa nao wanazingua
Kweli
skip tangazo tuu ama peleka mbele
Wabongo mnapenda kupangia watu kaz,Kama utak kuangalia c unaacha tu kwan umeitwa,Hilo ndo linamuingizia hela we utampa hela ya kulisha familia yake?
Millard hili tangazo lako linaisha lini, kama huwezi litoa basi lieke mwisho.
Maarufu kwa bsss majaji wamuone
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
R chuga 🙌🙌🙌
Wouyooooo yechuyechu
Tafadhali fatilieni elimu ya fire extinguisher namna ya kutambua expire yake maana barabarani na kwenye biashara wanatuchanganya na kutunyasa mshale ikiwa kijani ime expire ikiwa nje ime expire haina lable ya kuonyesha makosa na saazingi ile nikaratasi hufutika hivyo mshale unabakia ndiyo njia pekee ya kuangalia hebu tusaidieni ili kuondowa mkanganyiko huu
Jamani huyo Majanaba kasota sana na akati tamaa bora ata mmpe ushindi kidogo
Huyu baharia anajua Ila majaji hawataki kujiongeza namna ya kumsupport kwa namna nyingine hata ya kisaikolojia
Kwel umeticha babangu...
Najivunia kuwa mtanzania hakika arusha rahasanaaaaaaaaa yechu yechu
Hongera yake jamaa kapambana
Pam village huu upumbafu upumbafu unamaliza mb zetu
Oya mbona nimemuona km milna ally iv anafloo
Unaimbaga vyema ujue🥰
Jamaa katisha sana
Kuna demu mwenye tisheti nyeusi anafanana na mena ally
Yaah
Uyu jamaaa mbona kila mwaka ajuwagi t
Et majanaba. Sijui janaba gan
Majanaba uko juuuu
Asa mbona watu wa R mnaleta vituko tuu jamn mko seriously kwelii
Nimemkubali Dada Bonge
Pamoja love you so
Jamaa anaweza ana sauti anajiamini sema tu anavojiweka ni kama mvuta Bangi !! Na hamna meneja Aliyetayari kusimamia Hapo!!aa
Nimeanza kucheka kabla sijasikiliza😆😆😆
😂😂😂😂😂💃💃🇹🇿🇹🇿🥰 penda guys
Wawoooh nice
Huy jmaa namuelew san
Hili tangazo liwekwe mwisho please
Naikubali sna majaba
jamani jamani mbona mkoa wa moro hamji? kunanani?
Majanaba yup peac Han noma
Bingwaa uyoooo namwelewi kila mwaka asipokuwwpo siangaalii
Majanaba😂😂😂😂😂
Hakati tamaa
Home sweet home all ze time alike bwaxing
Watu wa arusha hatar🥰
Sidhani Kama hiyo Palm village inatuhusu maana wengi humu nikapuku unatuchosha wala hatuwezi kufika huko 😂
Wapi Papaa Mafido
Huyo babaaa majanaba
Majanaba amekuwa muhindi balaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Yani huyu kaka ananichekesha sana
Mamong'oo ni noma baba-angu
Anadanganya huyo sio nyimbo ya kihindi jamani anaropoka maneno ya kwake
Huyo jamaa wa mwisho kauwaaa
huyu jamaa 0345 anakaza misuli ya uso mbona😳
Oooooooooh nawakubari
Vijana mko wapi waowen dada zetu wanateseka jaman
majanaba anatufundisha tusikate tamaa