Sijaona Kichaa Apo Nimeona Mzarendo Kwa Wanyama Hata Ongea Yake Sio Kiuni Bali Ongea Yao Ni Asili Yao Sasa Aimanishi Ni Kichaa Au Bangi Kwani Bangi Sio Dawa Jamani Bangi Dawa Sema Kuitumia Kwa Utaalamu Zaidi
Lafudhi yetu inatufanya tuonekane kama wahuni ila ndivyo tulivyo siyo kila saa chuga bangi mara madawa,mje mtujue kwanza muachage kutupa majina mabaya tu kila siku,hakuna mkoa unaomjua MUNGU km Arusha,Peace n love my Chuganian people nawapenda sanaa
Kaka pole na mchakamchaka Naomba umtafute Benedict Matata anaishi KIJIJI CHA NAMBALA KARIBU NA SHULE YA MSINGI NAMBALA HUYO JAMAA NI MCHEKESHAJI WA KUZALIWA ANA VITU SEMA POMBE NA KUKOSA MTU WA KUMUENDELEZA VIMEPELEKEA KUTO TREND HANA SMART WALA KITOCHI
Kitu watu wengi hawajui,Arusha ni Jiji la kitalii,na ni watu wenye utamaduni wao,so jamii zao ziko tofaut kwakua wanajua wao wenyew ni kivutio Cha watalii ....,serikali isiwakere hao hao ni utalii toshaa achilia mbali vivutio vngne...
Kazi ya kuota au kununua machupa wenyewe watu wadar wanaita chaka ni inalipa ukitulia mm shemeji yangu ndo kazi yake yeye ananunua na anapita mtaani mwenyewe pia kununua na mkokoteni anaishi maisha yake vuzuri nafamliy yake bira shida yani sema huyo mbwa adi ugali anapiga😅😅😊
Unawafahamu wanaume wa arusha au unajiropokea tu na wewe au hao unaowaona kwa social networks ndy unahis ndy hvyo walivyo ? Hao wengi wao wanafanya hvyo vtu kama kuwaigizia tyu in reality ulikutana nao wakogo na mambo yao tyu kuchakarika na maisha yao na wengi wao n wapambanaji na wanafanikiwa sana kimaisha kuliko unavyodhani
Mashaalah Mashaalah mungu akulinde Na akulinde na mabaya ya dunia👏👏👏👏👏❤
Huyu jamaa anaonekana hana shobo na pisi🤣🤣
Sijaona Kichaa Apo Nimeona Mzarendo Kwa Wanyama Hata Ongea Yake Sio Kiuni Bali Ongea Yao Ni Asili Yao Sasa Aimanishi Ni Kichaa Au Bangi Kwani Bangi Sio Dawa Jamani Bangi Dawa Sema Kuitumia Kwa Utaalamu Zaidi
Best comment ever
Halafu anakiri nyingiii kaokota makopa kajinunuria chuma na Simu nzurii🙏
Lafudhi yetu inatufanya tuonekane kama wahuni ila ndivyo tulivyo siyo kila saa chuga bangi mara madawa,mje mtujue kwanza muachage kutupa majina mabaya tu kila siku,hakuna mkoa unaomjua MUNGU km Arusha,Peace n love my Chuganian people nawapenda sanaa
🎉
Tuliwaambia! Chuga ndo home napapenda sana
Watuache na Arusha yetu
Sio muachwe Kuna muda mwengine ni mnajifanyisha mnataka sifa mnajifanya kuweuka, kujipa uchizi ambao hamuna,mkihis kwamba ni ufahari
Mbona kuna wengine wanarafudhi kama unazosema na wanaongea vizuri kabisa tu,ila wengine wanajifanya eti masela 😅😅😅😅
MASHALLAH MY BROTHER ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY BLESSED U AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
MUCH LOVE FROM LONDON UK 🇬🇧 🇬🇧 MAY GOD BLESS YOU BROTHER
Nakupa hongera sana kijana mungu akutangulie katika kazi ya mkono yako❤👍👍👍👍👈👈💖💕💕💕💋👍👍👍
Jamani mimi napenda vijana wa kiarusha! Wanavoongea..😂👍🏻❤
Kamzozo ni fedheha
Watakukula 😅😅
Kwer bbk.
I hear u Queen❤
We neng’eneka tu unawashwaaa eeeeh na hamu ya kukunwa eeeeh hahaha
Smart guy. Afike mbali
Big up broo ❤❤❤nimependa unavyo penda wanyama kama mimi
Daa aisee huyu jamaa ndugu yetu kabisa. Njoo huku iringa uishi utapiga pesa, nakuona ni mchapa kazi hodari sana
😂😢😅
Tatizo lenu wabongo ndo hilo kwani hapa bangi inahusika vipi jamaa yupo sawa
Nimeishi sana arusha najua ni mkoa wa kuupiga mwingi bhangi😂
@@sophyodago5062 kwaiyo na wewe ulivyokaa ulikuwa unalipiga
Nakubali Chidy boy
Arusha tuwe na rais wetu tuu, ndani ya miaka mitatu tutakua kama COLOMBIA kabisa
😂😂😂😂 wallah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa, lakin hatuna bandari
Tena awe ana akili za bangi kama raia wake
😂🤣😂🙌😂🤣🤣🙌hasa mitaa ya Ngarenarooo 🥳🥳😂🤣🤣
Mdudu talk about peace and love in chuga Land ✊
Super
Chuga my country ni og
Ahaaaa
Banging.mbaya
🙌🙌🙌🙌
Waoooo mbwa wake ni mrembo
Nimeipenda eeee babake
Kaka pole na mchakamchaka
Naomba umtafute Benedict Matata anaishi KIJIJI CHA NAMBALA KARIBU NA SHULE YA MSINGI NAMBALA HUYO JAMAA NI MCHEKESHAJI WA KUZALIWA ANA VITU SEMA POMBE NA KUKOSA MTU WA KUMUENDELEZA VIMEPELEKEA KUTO TREND
HANA SMART WALA KITOCHI
Tupewe Raisi wetu tujiongoze wenyewe
Really 😂😂
Vijan wa chugaa nawap pongez🎉 nomaaa hawana
Nakataa Arusha Sio Tanzania Arusha ni Nchii Nyengine Ni Vile Atujui Tu Maana Kila Maajabu Matukio Ni Arusha 😂😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!ukiwa na stress nenda Arusha ukacheke ukae sawa!!
😂 😂 😂 😂
😂😂
Napingana nawewe
👍✌️
Haaaaa hiiii Arusha yangu 😅 nimejikuta nacheka tu aise maana aishi matukio aise
Kila ktu bangi mamaeeee zenu Wala chips njooo chuga...
Huyu jamaa ni mwamba na nusu mkiambiwa ajira hamna kaz zipo nying muwe mnaelewa muhun anavyochapika iv afu uje umdhulum au ule hela ake kisoro asikuzmishe😂
Chalianguu.. og
Anapenda dona 😂😂😂
A town
Arusha mji ya wajanja bn
Amebandua mwenyewe pirupiru😂😂😂😂😂
ATI amebandua Maganda simu
Duu!! Unaishi na mbwa magetoni hii kali sana
Arusha tunavijana wa hovyo sana
ameenda huyu
Nakutizama kutoka United Kingdom 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 daa balaa yakweli pongezi Sana ndugu mtangazaji
Mbona unaonekana mshamba 😮
msenge ww unatafuta madem tu, akati upo bariadi uko nkololo kabisa
@user uthiru kinoo 😂😂😂
@@johnzacharia6892uyu ako APA Kenya Uthiru kinoo ndio UK 😂😂
Kaskazin hatoki fala
Huyu jamaa nilijua katoka machimbo. Mererani, kumbe laa😂😂😂.
Bro ivi ukifungua you tube chanel ukibadilisha sim you tube chanel yako inaendelea au
Mdudu kama mdudu
Chuga kila kitu kipo😂😂
Ana pambana pia anampenda mbwa wake
Mimi naipenda lafudhi ya arusha na moshi
Mbwa hapa marekani hulelewa Kama mtoto na akihumwa hupelekwa hospitali, na akifa hufanyiwa maziko
Akiumwa
😂😂😂😮
Akiumwa sio akihumwa
Uwezi kukosa kucheka kwa vijana wa Arusha
😂😂
Nilifkiri kilimo cha bangi kimekomeshwa
Muulize mama ako maana analima
Uhuni tu kuoga Aaaaaaah😂😂😂
Nane nane iyo njiro
Germany shepherd old model ...
Yani hyo kuongea tu n kuchekesha 😂😂😂
Iv arusha mnanini jmn hamuishi vituko hahahahhaa
Kitu watu wengi hawajui,Arusha ni Jiji la kitalii,na ni watu wenye utamaduni wao,so jamii zao ziko tofaut kwakua wanajua wao wenyew ni kivutio Cha watalii ....,serikali isiwakere hao hao ni utalii toshaa achilia mbali vivutio vngne...
Dudu ngaa kamakawaida
Mbona hata apo anachekesha
ARUSHA iwe nchi
Ni aina gani ya mbwaaa
African coco
Mbwa ni muhuni kama mwenyewe 😂
🤣🤣👊🇰🇪
Mdudu
Ila hawa inatakiwa wawekewe uzio sio watu wa kawaida 😄
Kazi ya kuota au kununua machupa wenyewe watu wadar wanaita chaka ni inalipa ukitulia mm shemeji yangu ndo kazi yake yeye ananunua na anapita mtaani mwenyewe pia kununua na mkokoteni anaishi maisha yake vuzuri nafamliy yake bira shida yani sema huyo mbwa adi ugali anapiga😅😅😊
Mbona mbwa kula ugali jambo la kawaida tu
Hapo location jomba imekataa kutoa kionjo😂
Alafu vido nyinyi ni wabinasfi kila kitu Arusha jamaa wa Arusha
Chugas mko Bien bouc
khoo ivi ndo watu wanaongeag arusha au ?
Mother land
Mbwa kawekewa ad kidalek duh
Bongo sihami kwa porojo hzi
Kilo Moja na nusu mtu mbilii dona
Ukiskia chuga hy ndy chugaaa ni raha tupu kiruuuuu
Hakatai wala haikatiki😂😂
Uchumi mdomo mdogo#nidhamu ya pesa
Eh tz kuna mastar wengi
Ashakuwa star huyo
Muda wa kuamka muda wa kukurupuka muda wa kulala na jua 😅
Humjui mbwa wake breed gani
MUNGU akulinde kijana mpambanaji🙏
Achaeni kushangaa hayo mambo ya kawaida Sana mambo yote ni ubatili mtupu,hakuna jambo jipya chini ya jua yote ni ya zamani sisi tunakopi tu
Chuga hiyo chuga hiyoo kila kitu Ni hataryy.......
Mbona munarudia rudia 😅
Chga style
Duh, hapo Arusha kunann jaman
Balaa ndugu hilo
Hiii ndo chugakamachuga
Presenter huja jiandaa
MBONA HUYU JAMAA KAFANANA NA MANDONGA IVO AU NI MACHO YANGU TUU?
Nava 30 nikichfukwa
madagas shazii😅😅😅
Chuga kama chuga😂
ubunifu
Mageton
ndugu mtangazaji umefanana na huyo mshkaji.
Ila Arusha wanaongea kihuni Sana jmn
Ndo walivyo hawa
Sio kihuni nilafudhi ya waarusha kuna kabila la waarusha ndo maana
@@mohammedally9208acha utani bana mbona wapo wanaongea kawaida wengne hao wanaongea kihuni
Huyu kashakula bando la bangi.
Chugastan
Iacheni chuga AmaniAmani tu ile ni lafuzi tu wadudu wako poa
😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾
😂😂😂❤
Me najiuliza tyu uyombwa kwenye ichokibeg kabeba nn😂😂
😂😂😂😂 kabeba Bangi
Bado anasoma
🤣😃😂🤣🤣🤣😃
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanaume waarusha wengi hamnazo bangi tu hawaeleweki wauaji wanaroho ya kinyama kishetani sio watu wengi bangi sana sio watu
ulishwahi kuuliwa au umekosa point, usipagawe na iyo rafudhi bidada
Acha kuwa bwege bac
Unawafahamu wanaume wa arusha au unajiropokea tu na wewe au hao unaowaona kwa social networks ndy unahis ndy hvyo walivyo ? Hao wengi wao wanafanya hvyo vtu kama kuwaigizia tyu in reality ulikutana nao wakogo na mambo yao tyu kuchakarika na maisha yao na wengi wao n wapambanaji na wanafanikiwa sana kimaisha kuliko unavyodhani