AHMED ALLY AFUNGUKA BAADA YA CHAMA KUHAMIA YANGA “WENYE MAMLAKA YA KUMUONGELEA NI YANGA SIO MIMI”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 66

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy 3 หลายเดือนก่อน +12

    Subhaanallah! Ahmed uislam hauabudiwi isipokuwa anaeabudiwa ni Allah hapo ndipo Abubakar Allah amwie radhi alisema kama mnamuabudu Muhammad Basi Muhammad Swallallahu alayhi wasallam amefatiki na kama mnamuabudu Allah basi Allah yupo.

    • @zackmwarabu7251
      @zackmwarabu7251 3 หลายเดือนก่อน +2

      Tumsamehe muislam mwenzetu
      Wana wana zilikuwa nyingi sana 😂😂😂

    • @justinmmbando5386
      @justinmmbando5386 3 หลายเดือนก่อน

      Acha Mbwembwe za udini fala ww

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@justinmmbando5386 nimemrekebisha Ahmed ndugu yangu katika iman sijaongea na makafiri kama wewe kaa kwa kutulia

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk 3 หลายเดือนก่อน +10

    Mimi ni mshabiki wa Simba ila nimefurahi Chama kuondoka Simba,ni kweli ni mzuri ila kwa Simba ya sasa hivi inahitaji wachezaji wepesi sana.Tumekosa ubingwa mara 3 tukiwanaye na tulipata ubingwa karibia mara 4 tukiwanaye.Kwahiyo kwa sasa akatoe radha upande wa pili.Simba bingwa mwaka huu.❤️❤️❤️❤️

    • @vicenttarimo2203
      @vicenttarimo2203 3 หลายเดือนก่อน +2

      Nakuunga mkono bado mabeki 4 na 5 wenye Kasi waongeze na viungo Namba 6 8. Namba 10 lakini pia mabeki wa pembembeni waongezwe ili ikitokea Kuna majeruhi Bado tunakua na hakiba ya wachezaji

    • @daudbutunga1190
      @daudbutunga1190 3 หลายเดือนก่อน +2

      Ahmed Ally umeongea vzri, huo ndo ukomavu

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 3 หลายเดือนก่อน

      😀😂🤣 Washabiki wa Mpira bhan Bola kaenda kinafki angebaki ungeskia hap oooo yanga wameongea san kikowap daaar

    • @baddiekid
      @baddiekid 3 หลายเดือนก่อน

      kwami anacheza peke yake uwanjani... kukosa ubingwa na yeye kuwepo ni nini 😅

    • @baddiekid
      @baddiekid 3 หลายเดือนก่อน

      kukosa ubingwa na chama kuwepo kunahusiana nini 😂😂 mnaumia sana makolo
      kwan huq anachez peke yake uwanjani

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mfariji wa tim hata kama kuna maumivu kias gan lazma mgonjwa apate faraja😂😂😂

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 หลายเดือนก่อน +7

    wewe ulidai kwamba chama awezi kwenda yanga

    • @aileenmphuru5106
      @aileenmphuru5106 3 หลายเดือนก่อน +1

      Alisema kuwa kama Simba inamhitaji hawezi kuondoka ila kama hatumuhitaji ataondoka. Hivyo ameondoka kwa kuwa hatumhitaji

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 3 หลายเดือนก่อน

      Hajawahi kusema hivyo

  • @elizajohn8066
    @elizajohn8066 3 หลายเดือนก่อน

    Ata Mimi pia nimefurahi kuondoka maana alikuwa muhujumu wa simba

  • @NuhuMuhidini-v1r
    @NuhuMuhidini-v1r 3 หลายเดือนก่อน +2

    Usiwatukane mwenzio mbwa wewe sio mwana soka

  • @oscarsakilu2494
    @oscarsakilu2494 3 หลายเดือนก่อน

    Na nyie simba mchukueni gwede wa yanga

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 หลายเดือนก่อน

    Ulivyokuwa unakataa nyau mweusi ww

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 3 หลายเดือนก่อน +4

    Katoka chama kabaki kibu na mzamiru😂😂😂😂😂😂😂

    • @ce-08
      @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

      Mjitahid kuheshimu vya kwenu hyo kasumba wabongo tunayo sana kutukuza vya kuja na kuponda vya kwetu

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 3 หลายเดือนก่อน +4

    Unawadanga wenzio hivyohivyo 🤣🤣🤣

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Hujui mpira wewe shangazi mchezaji kuhama timu sio kitu cha ajabu haijaanza Leo wala kwisha kesho hakuna jipya

  • @rasymb6190
    @rasymb6190 3 หลายเดือนก่อน

    Na ndungu zake jamaa Hawa hapa wasani kumbe ona mana KUNA MDA UNAWEZA KUTENGENEZA MAHISIANO YAKO KUPITIA HII MOVIE ONE NA TWO YAKE
    NIWEWE KUTAZAMA HAPA NA UTANISHUKU UKINIELEWA
    NI KAZI YENYE KUJENGA SIO COMEDY TAZAMA
    th-cam.com/video/b1fjhNEBjP8/w-d-xo.html&si=ZE9tNM5ZZFQ8CAwj

  • @ShabanKibindi-m5l
    @ShabanKibindi-m5l 3 หลายเดือนก่อน +2

    acheni ahende zake

  • @MihayoMjomba
    @MihayoMjomba 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani tusijitoe akili mwamba wa lusaka ni hatari hapa kazi tunayo. Na ww mbwa msemaji lopolopo wewe siulisema Chama hawezi kucheza nyuma mwiko. Kbumb ww

  • @DirectorPAJAMWA
    @DirectorPAJAMWA 3 หลายเดือนก่อน

    MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 3 หลายเดือนก่อน

    Samahani msemaji sahihi ni " wale waliokuwa wana muabudu Mohamad basi Mohamad amekufa na wale waliokuwa wakimuabudu Allah basi Allah yupo hai milele " na si kuuabudu Uislamu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hiki kirusi bora kimeondoka

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 3 หลายเดือนก่อน

    Soka la bongo linaenda kuwa kubwa sana mbeleni. Mimi ni Yanga ila Simba sio wa kubezwa wanafanya sajili nzuri kimya kimya naamini kuna kazi ngumu sana msimu ujao. Kuwa na mastaa wengi kuna hasara sana hasa timu ikikosa morale ya kutosha. Lazma yanga ijipange kuwahudumia hao mastaa kwakuwa naamini maslahi ndo kitu muhimu kwao ili wasikose morale lasivyo itatugarimu

  • @ce-08
    @ce-08 3 หลายเดือนก่อน

    Unajua sana kupangilia maneno ukpewa karata kwenye siasa ww utawashika watu mapema tu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 หลายเดือนก่อน

    Kiufupi nimeipenda hii ya kuachana na Chama ambaye ametumikia kwa misimu ya kutosha. Hii itaipa nafasi Simba kusajili wachezaji wengine wenye umri Mdogo ambao wataitumikia kwa hamu ya mafanikio. Ninauhakika Simba itakuwa nzuri sana maana watakuwa wakipambana sana wakiwa wageni kuliko wanaojifanya ni wenyeji.

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 3 หลายเดือนก่อน

    Ahmed bana 😂😂😂. Kuna wakati anaongea ujinga hadi anatamani kujicheka

  • @salumkhalid9792
    @salumkhalid9792 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uislam hauabusiwi anae abudiwa ni allah peke yake

    • @AlexAidan-kq5zn
      @AlexAidan-kq5zn 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kwan wewe unaushaidi gani umalaya tu

  • @ImmanuelNgondya
    @ImmanuelNgondya 3 หลายเดือนก่อน

    Ahmed ally mimi nahitaji kadi ya simba muda wote kama vip niilipie

  • @PeterMghwira
    @PeterMghwira 3 หลายเดือนก่อน

    Jifunze kuwa Msemaji wa soka na punguza mizaha yako, umetudanganya miaka 3, huna jipya

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 3 หลายเดือนก่อน

    Unamjua simba mnyama simba anafyanta mkia mnyama

  • @DaruweshAkida
    @DaruweshAkida 3 หลายเดือนก่อน

    Simba imekwisha bado yamtegemea shomari kapombe

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unajipya😂😂

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 3 หลายเดือนก่อน

    Umeanza kujimaliz sasa😂😂😂😂sema nakukubali sana Ahmed Ally,mashine ya kuongea

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 3 หลายเดือนก่อน

    Simba ni taasisi na taasisi aitegemei mtu mmoja simba nguvu moja tutakaa sawa tu

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 3 หลายเดือนก่อน

    Ila huyu jamaa anaonekana anaipenda Yanga tena sana

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 3 หลายเดือนก่อน

    Karibu Mutale tuleteeni kipro akaminko na fei ikiwezekana

  • @AshrafuMuhaji
    @AshrafuMuhaji 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ahmedi hizo ni bangi waislam hawajawahi kumwabudu MTUME Bali wanafata matendo yake

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 3 หลายเดือนก่อน

      Hujamfahamu yy amenuu kauli ya swahaba wa mtume baada ya mtume kufaeiki walikuwa wametaharuki akasima akasema hayo maneno kwasabu walokuwepo wanafiki akisema kama anaabudiwa mtume

  • @elizabethsingano5922
    @elizabethsingano5922 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂kujifariji tuu kuoga aaah

    • @nasrakambimton9522
      @nasrakambimton9522 3 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo unataka ajinyonge kafiw na watu wake wa ma'am aliumia alilila na akanyamaza itakuw chama msituchoshe ban

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@nasrakambimton9522 ukolo tu akili aaah🤣😂

    • @nasrakambimton9522
      @nasrakambimton9522 2 หลายเดือนก่อน

      @@malietamaliet akili kama zako chura wee akili zako ziko matopen

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน

      @@nasrakambimton9522 🤣🤣😂majunguu tu kua na akili aaah

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim3252 3 หลายเดือนก่อน

    ahmed amekoo akili, ingekuwa zamani angepuyanga kumsema chama

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 3 หลายเดือนก่อน

      Anaanzia wapi kumcheka Mwamba wa Lusaka?? Atachekwa nao

  • @brunochoga4932
    @brunochoga4932 3 หลายเดือนก่อน

    Kila la kher chama

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko3841 3 หลายเดือนก่อน

    Huna jipya

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv 3 หลายเดือนก่อน +4

    Tulishinda bila Kula pale kalume juu ya morisson, mmesahau sio😂😂

    • @bone102
      @bone102 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa Morison mlikuwa mnamgombania hadi mahakaman ila Chama hatujakesha mahakamani elewa tofaut boss

    • @silasjacob-j2l
      @silasjacob-j2l 3 หลายเดือนก่อน

      ujinga wako ndio ulikushindisha njaa ww ilikuuma benard morson aliondoka na nini chakwako mpaka ushinde njaa?

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mlitunyanyasa sana,, mbwa nyie

    • @JuliusWandwi
      @JuliusWandwi 3 หลายเดือนก่อน

      Ww mwenyewe maiti c afadhali mbwa?

    • @EdwardMarera-le5qt
      @EdwardMarera-le5qt 3 หลายเดือนก่อน

      Wenda wewe mwenyewe unatokana na hao wanyama make ushabik huo ni wa kishamba huwezi ita watu kuwa n mbwa bro. Jipime na kauli yako . Tambua timu hizi zitabaki miaka na miaka ila sisi matusi haya hayatusaidii baada ya hatma yetu hapa duniani.

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 3 หลายเดือนก่อน

      Matusi hayaruhusiwi ktk majukwaa haya. Huna point bora ukawa kimya