Subhaanallah! Ahmed uislam hauabudiwi isipokuwa anaeabudiwa ni Allah hapo ndipo Abubakar Allah amwie radhi alisema kama mnamuabudu Muhammad Basi Muhammad Swallallahu alayhi wasallam amefatiki na kama mnamuabudu Allah basi Allah yupo.
Mimi ni mshabiki wa Simba ila nimefurahi Chama kuondoka Simba,ni kweli ni mzuri ila kwa Simba ya sasa hivi inahitaji wachezaji wepesi sana.Tumekosa ubingwa mara 3 tukiwanaye na tulipata ubingwa karibia mara 4 tukiwanaye.Kwahiyo kwa sasa akatoe radha upande wa pili.Simba bingwa mwaka huu.❤️❤️❤️❤️
Nakuunga mkono bado mabeki 4 na 5 wenye Kasi waongeze na viungo Namba 6 8. Namba 10 lakini pia mabeki wa pembembeni waongezwe ili ikitokea Kuna majeruhi Bado tunakua na hakiba ya wachezaji
Na ndungu zake jamaa Hawa hapa wasani kumbe ona mana KUNA MDA UNAWEZA KUTENGENEZA MAHISIANO YAKO KUPITIA HII MOVIE ONE NA TWO YAKE NIWEWE KUTAZAMA HAPA NA UTANISHUKU UKINIELEWA NI KAZI YENYE KUJENGA SIO COMEDY TAZAMA th-cam.com/video/b1fjhNEBjP8/w-d-xo.html&si=ZE9tNM5ZZFQ8CAwj
Jamani tusijitoe akili mwamba wa lusaka ni hatari hapa kazi tunayo. Na ww mbwa msemaji lopolopo wewe siulisema Chama hawezi kucheza nyuma mwiko. Kbumb ww
Samahani msemaji sahihi ni " wale waliokuwa wana muabudu Mohamad basi Mohamad amekufa na wale waliokuwa wakimuabudu Allah basi Allah yupo hai milele " na si kuuabudu Uislamu
Soka la bongo linaenda kuwa kubwa sana mbeleni. Mimi ni Yanga ila Simba sio wa kubezwa wanafanya sajili nzuri kimya kimya naamini kuna kazi ngumu sana msimu ujao. Kuwa na mastaa wengi kuna hasara sana hasa timu ikikosa morale ya kutosha. Lazma yanga ijipange kuwahudumia hao mastaa kwakuwa naamini maslahi ndo kitu muhimu kwao ili wasikose morale lasivyo itatugarimu
Kiufupi nimeipenda hii ya kuachana na Chama ambaye ametumikia kwa misimu ya kutosha. Hii itaipa nafasi Simba kusajili wachezaji wengine wenye umri Mdogo ambao wataitumikia kwa hamu ya mafanikio. Ninauhakika Simba itakuwa nzuri sana maana watakuwa wakipambana sana wakiwa wageni kuliko wanaojifanya ni wenyeji.
Hujamfahamu yy amenuu kauli ya swahaba wa mtume baada ya mtume kufaeiki walikuwa wametaharuki akasima akasema hayo maneno kwasabu walokuwepo wanafiki akisema kama anaabudiwa mtume
Wenda wewe mwenyewe unatokana na hao wanyama make ushabik huo ni wa kishamba huwezi ita watu kuwa n mbwa bro. Jipime na kauli yako . Tambua timu hizi zitabaki miaka na miaka ila sisi matusi haya hayatusaidii baada ya hatma yetu hapa duniani.
Subhaanallah! Ahmed uislam hauabudiwi isipokuwa anaeabudiwa ni Allah hapo ndipo Abubakar Allah amwie radhi alisema kama mnamuabudu Muhammad Basi Muhammad Swallallahu alayhi wasallam amefatiki na kama mnamuabudu Allah basi Allah yupo.
Tumsamehe muislam mwenzetu
Wana wana zilikuwa nyingi sana 😂😂😂
Acha Mbwembwe za udini fala ww
@@justinmmbando5386 nimemrekebisha Ahmed ndugu yangu katika iman sijaongea na makafiri kama wewe kaa kwa kutulia
Mimi ni mshabiki wa Simba ila nimefurahi Chama kuondoka Simba,ni kweli ni mzuri ila kwa Simba ya sasa hivi inahitaji wachezaji wepesi sana.Tumekosa ubingwa mara 3 tukiwanaye na tulipata ubingwa karibia mara 4 tukiwanaye.Kwahiyo kwa sasa akatoe radha upande wa pili.Simba bingwa mwaka huu.❤️❤️❤️❤️
Nakuunga mkono bado mabeki 4 na 5 wenye Kasi waongeze na viungo Namba 6 8. Namba 10 lakini pia mabeki wa pembembeni waongezwe ili ikitokea Kuna majeruhi Bado tunakua na hakiba ya wachezaji
Ahmed Ally umeongea vzri, huo ndo ukomavu
😀😂🤣 Washabiki wa Mpira bhan Bola kaenda kinafki angebaki ungeskia hap oooo yanga wameongea san kikowap daaar
kwami anacheza peke yake uwanjani... kukosa ubingwa na yeye kuwepo ni nini 😅
kukosa ubingwa na chama kuwepo kunahusiana nini 😂😂 mnaumia sana makolo
kwan huq anachez peke yake uwanjani
Mfariji wa tim hata kama kuna maumivu kias gan lazma mgonjwa apate faraja😂😂😂
wewe ulidai kwamba chama awezi kwenda yanga
Alisema kuwa kama Simba inamhitaji hawezi kuondoka ila kama hatumuhitaji ataondoka. Hivyo ameondoka kwa kuwa hatumhitaji
Hajawahi kusema hivyo
Ata Mimi pia nimefurahi kuondoka maana alikuwa muhujumu wa simba
Usiwatukane mwenzio mbwa wewe sio mwana soka
Na nyie simba mchukueni gwede wa yanga
Ulivyokuwa unakataa nyau mweusi ww
Katoka chama kabaki kibu na mzamiru😂😂😂😂😂😂😂
Mjitahid kuheshimu vya kwenu hyo kasumba wabongo tunayo sana kutukuza vya kuja na kuponda vya kwetu
Unawadanga wenzio hivyohivyo 🤣🤣🤣
Hujui mpira wewe shangazi mchezaji kuhama timu sio kitu cha ajabu haijaanza Leo wala kwisha kesho hakuna jipya
Na ndungu zake jamaa Hawa hapa wasani kumbe ona mana KUNA MDA UNAWEZA KUTENGENEZA MAHISIANO YAKO KUPITIA HII MOVIE ONE NA TWO YAKE
NIWEWE KUTAZAMA HAPA NA UTANISHUKU UKINIELEWA
NI KAZI YENYE KUJENGA SIO COMEDY TAZAMA
th-cam.com/video/b1fjhNEBjP8/w-d-xo.html&si=ZE9tNM5ZZFQ8CAwj
acheni ahende zake
Jamani tusijitoe akili mwamba wa lusaka ni hatari hapa kazi tunayo. Na ww mbwa msemaji lopolopo wewe siulisema Chama hawezi kucheza nyuma mwiko. Kbumb ww
MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI
Samahani msemaji sahihi ni " wale waliokuwa wana muabudu Mohamad basi Mohamad amekufa na wale waliokuwa wakimuabudu Allah basi Allah yupo hai milele " na si kuuabudu Uislamu
Hiki kirusi bora kimeondoka
Soka la bongo linaenda kuwa kubwa sana mbeleni. Mimi ni Yanga ila Simba sio wa kubezwa wanafanya sajili nzuri kimya kimya naamini kuna kazi ngumu sana msimu ujao. Kuwa na mastaa wengi kuna hasara sana hasa timu ikikosa morale ya kutosha. Lazma yanga ijipange kuwahudumia hao mastaa kwakuwa naamini maslahi ndo kitu muhimu kwao ili wasikose morale lasivyo itatugarimu
Unajua sana kupangilia maneno ukpewa karata kwenye siasa ww utawashika watu mapema tu
Kiufupi nimeipenda hii ya kuachana na Chama ambaye ametumikia kwa misimu ya kutosha. Hii itaipa nafasi Simba kusajili wachezaji wengine wenye umri Mdogo ambao wataitumikia kwa hamu ya mafanikio. Ninauhakika Simba itakuwa nzuri sana maana watakuwa wakipambana sana wakiwa wageni kuliko wanaojifanya ni wenyeji.
Ahmed bana 😂😂😂. Kuna wakati anaongea ujinga hadi anatamani kujicheka
Uislam hauabusiwi anae abudiwa ni allah peke yake
Kwan wewe unaushaidi gani umalaya tu
Ahmed ally mimi nahitaji kadi ya simba muda wote kama vip niilipie
Jifunze kuwa Msemaji wa soka na punguza mizaha yako, umetudanganya miaka 3, huna jipya
Unamjua simba mnyama simba anafyanta mkia mnyama
Simba imekwisha bado yamtegemea shomari kapombe
Unajipya😂😂
Umeanza kujimaliz sasa😂😂😂😂sema nakukubali sana Ahmed Ally,mashine ya kuongea
Simba ni taasisi na taasisi aitegemei mtu mmoja simba nguvu moja tutakaa sawa tu
Ila huyu jamaa anaonekana anaipenda Yanga tena sana
Karibu Mutale tuleteeni kipro akaminko na fei ikiwezekana
Wewe ahmedi hizo ni bangi waislam hawajawahi kumwabudu MTUME Bali wanafata matendo yake
Hujamfahamu yy amenuu kauli ya swahaba wa mtume baada ya mtume kufaeiki walikuwa wametaharuki akasima akasema hayo maneno kwasabu walokuwepo wanafiki akisema kama anaabudiwa mtume
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂kujifariji tuu kuoga aaah
Kwaiyo unataka ajinyonge kafiw na watu wake wa ma'am aliumia alilila na akanyamaza itakuw chama msituchoshe ban
@@nasrakambimton9522 ukolo tu akili aaah🤣😂
@@malietamaliet akili kama zako chura wee akili zako ziko matopen
@@nasrakambimton9522 🤣🤣😂majunguu tu kua na akili aaah
ahmed amekoo akili, ingekuwa zamani angepuyanga kumsema chama
Anaanzia wapi kumcheka Mwamba wa Lusaka?? Atachekwa nao
Kila la kher chama
Huna jipya
Tulishinda bila Kula pale kalume juu ya morisson, mmesahau sio😂😂
Sasa Morison mlikuwa mnamgombania hadi mahakaman ila Chama hatujakesha mahakamani elewa tofaut boss
ujinga wako ndio ulikushindisha njaa ww ilikuuma benard morson aliondoka na nini chakwako mpaka ushinde njaa?
Mlitunyanyasa sana,, mbwa nyie
Ww mwenyewe maiti c afadhali mbwa?
Wenda wewe mwenyewe unatokana na hao wanyama make ushabik huo ni wa kishamba huwezi ita watu kuwa n mbwa bro. Jipime na kauli yako . Tambua timu hizi zitabaki miaka na miaka ila sisi matusi haya hayatusaidii baada ya hatma yetu hapa duniani.
Matusi hayaruhusiwi ktk majukwaa haya. Huna point bora ukawa kimya