KUOMBA NA KUTABIRI // EZEKIELI 37:1-15 // MIFUPA MIKAVU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 มิ.ย. 2024
- MAOMBI MAALUM YA MWEZI WA SABA{7}
Kwa Neema ya Mungu tumepata kibali cha kushiriki na kuwa na ratiba nzuri kabisa ya maombi ya mfungo kwa mwezi wa saba{Julai}.
Kibiblia huu ni mwezi wa ukamilifu na utimilifu wa mambo, na Roho Mtakatifu ametupa nafasi ya kuingia katika maombi haya maalum kabisa yenye lengo la kuombea mahitaji yetu binafsi, hasa yale ambayo yamekosa majibu kwa muda mrefu na tunatamani kuona mabadiliko.
Andiko kuu la kusimamia katika maombi yetu haya,linapatikana katika kitabu cha Ezekieli 37:1-15
“Mifupa mikavu kuishi tena”
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Ee Mungu ukatutendee sawasaw na mapenzi yako❤ god
🙏
Amen NAJIUNGANISHA NA MFUNGO HUO kwa Jina la YESU kristo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾ROHO wa mungu naomba UWEPO WAKO uenende nami 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾unipe nguvu za KUSHINDA MFUNGO huu naomba kupitia Jina lako takatifu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amen❤❤❤❤❤❤
Amen Ameni Ameni
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Nami najiungamanisha na Madhabahu ya Siri za Biblia katika Jina la Yesu
Amina ❤
Amen
Bwana Yesu naomba neema yako Kwa mfungo ujao emeeeen
Amen 🙏 🙏
MUNGU NISAIDIE nimalize MFUNGO salama NIPONE magonjwa yote tufunguliwe kuromani na kiuchumi mimi na familia yangu.
Nami napokea Neema ya Mungu katika Jina la Yesu Kristo, kupokea baraka za kulipwa madeni,kupata kibali kwa watu.
Amen 🙏
Ameen.ubarikiwe.mutumishi.kwamaelezo.mungu.azidi.kukuinuwa.viwangovingine
Yes
Mungu niwezeshe kwenye maombi yanayokuja ya mwez wa saba
Amen amen amen.
Amen 🙏🙏
Naomba kibali mungu na naweka mikononi mwako mfuungo huu shetan asinijaribu damu ya yesu inifunike ktk kipindi hiki Cha mfungo naomba mungu unisaidie niweze kufka mwisho wa mfungo
Ndio bwana nikwaneema yako tuu si Kwa uwezo wangu pokea sifa Na utukufu baba Wa mbinguni🙏❤️
Amen nahamini Nita pokeya kwa Jina la Yesu 🙏
Ee Mungu naomba usikie maombi yetu tunayokulilia usiku na mchana usinyamaze
ameen
Mungu wangu naomba mwezi huu unisadie nikaganikishe mipango yangu ya kiuchumi na biashara nifungulie balaka zako naamini nitafanikiwa nakuamini bado nita amini
Mungu naomba kupitia maombi haya unikumbuke kumbuka mume wangu ,watoto wangu ,wazazi wangu,ndugu zangu,nikumbuke maisha yangu,yesu tukumbuke leo hii
Amina mtumishi wa Mungu tupo pamoja
Emwenyezy mungu❤naomba ubalikikaziyamikonoyangu
Ni kwa neema ya Mungu niko hapa nilipo.Unajua haja ya moyo wangu
HALLELUJAH HALLELUJAH GLORY TO OUR MOST HIGH GOD
Mungu uliye umba bingu na ichi najiunganisha na madhabahu haya siku ya leo...kila kilichokuwa changu na kilipotea mikononi mwangu bila kujua siku za nyuma naomba kuadzia leo ukavirengesha kwa jina la yesu,mipango yangu ambayo nimepanga kuifanya huu mwenzi wa saba naomba bwana ukanifanikishe ninakataa kila nguvu za kunirengesha nyuma kila wakati naomba zishidwe kwa jina la yesu Christo katika maombi haya ninaamini mungu utatenda fanya jambo mungu wangu usinyamaze ulisema tuombe nawe utatupa Baba niko paha
Asante mungu kwa yotee 🙏
Mungu naomba mafanikio maisha mwangu baba 🙌 🙏🏽
Amen Amen Amen mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki sana
Mungu nijalie kulingana na mapenzi yako kamili kutumia katika maisha yangu🙏 Amen Ameni Amen
Nakuahukuru MUNGU wangu kwa kunipigania hadi nkafika hatua hii.Olicia anaelekea kuyashihinda majaribu. Zidi kubiahindia MUNGU wangu bila kujali sauri za watesi wangu
Ameen❤
Eee Mungu naomba biashara yangu iyongezeke iwe campuni nifunge ndoa takatifu kwa jina la yesu
Ezekiel31:1_15
Thank you God
Amen 🙏🙏 asante Kwa Kibaki chako Baba
Alleluyah 😊 naamini katika jina la yesu Kristo nitapokea kitu hapa🙏🙏
Eee Mwenyezi Mungu Napokea Ujauzito Mwezi wa saba hicho Ndo kilio changu Nimechoka Kuzarauliwa Mwenyeezi mungu Naamin Hili pia utajibu Kama Ulivyo Nivushakatika shimo la Umauti Mungu Nahitaji Rehema zako
Umeambiwa unashida gani hosptal
Mungu asikie kilio cha moyo wako hata mm kila siku naomba Mungu anijalie niwe na mtoto,tuenedelee kuomba haupo pekee yako Mungu atutendee kwa wakati wake.
Mungu naomba unipe mme kutoka kwa mungu nakuish ktk nyumba yangu nimechoka kwanyumba zakupanga
NITAFUNGA NAMINI NITAWEZA KATIKA JINA LA YESU
AMEN AMEN,, COUNT ME IN ✅📖🙏✝️
Eeee MUNGU wangu waponywe wazazi wangu magonjwa yao baba kidonda cha mguuni wakapone kwa Jina LA Yesu
Asante mungu kwa kunivusha
Mwezi wakukamilika kwa mambo ❤
Amen. Mungu nisaidie
Sylvia amen amen amen,asante mungu Kwa Neema yako kubwa maana hata kufika masala Haya nikwa Neema yako🙏❤️
Mungu naomba ukombozi.
Amen 🙏 Nashua sana baba mungu akubaliki sna
Amen God give me faith and wisdom
Mungu kwangu wewe ni Ebenezer,Wacha nikushukuru kwakua ulio yatenda kwangu ni mengi...nashuhuda zako hazielezeki, najua upo kazini utatimiza Kwa wakati 🙏🤲
Mungu wangu nisaidie kupitia mfungo huu nivuke kwenye changamoto nilizopitia Kwa miezi 6 iliyopita
Amen MUNGU nisaidie nisikose😢
Asante sana mtumishi ❤❤
Amen nitashirki na mfungo huyo
sion maso ya kusoma
Amen nimekupata pastor
Ubarikiwe na bwana
Amina❤❤ nimebarikiwa Sana 🙏🙏
Mungu nisaidie kuniondolea roho ya uziinzi mm sijitambui but watu ananiona kuwa ninamacho ya kikahaba eee mwenye Mungu nisaidie niwe ujasiri zaidi isiwe mlegevu kwa kuongea na kumtazama mtu nikupende e ww.
Ameen mm napenda kujiungamanisha na MAZABAHU YA SIRI ZA BIBLIA naomba Mungu anisaidie na Mimi nipate kazi
Amen baba
Amina❤
Emungu naomba nipate ndoa takatifu ndani ya mwaka huu
Wao naenda kufanikiwa Kwa jina LA YESU nitapakata mwakan Kwa jina LA YESU ❤
Asante yesu umesikia maombi yangu yamefika kwak maana nilijiandaa kufunga mwezi huu wangu wa kuzaliwa
So God help me nisikose
NAOMBA MUNGU ANISAIDIYE MAFANIKIYO NAMAISHA MAREFU😢 ASANTE MUNGU KWAYOTE UNAYO TUTENDEA UYUMWENZI MIMI NAMUTUMISHI WAKO INOSSA
Mtumishi siku ya maombi ni lini?
Niko na swali hii sadaka nitaiachilia Kwa madhabahu gani ya Siri za biblia au kanisani ninaposhiriki?
Amen.
Achilia sadaka yako pale unapoongozwa na Roho Mtakatifu. Usitoe kimazoea
Amen❤❤❤❤❤
Amen 🙏🏾
Amen
Amen
Amen
Amen