NGUVU YA SHUKRANI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 04/09/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
nimekuwa nikifatilia masomo yako yamenitoa mahali na kubarikiwa sana
Kabssaa❤
Mungu akupe Maisha marefu pastor
Asante sana Pastor nashukuru kwa masomo yako nimefurahi nimeyapata sasa Mungu amenisaidia kupata haya mafundisho ubarikiwe mchungaji.
Nimepona leo pastor Mungu akutunze
Amen 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mungu akupe ulinzi
Ubarikiwee sanaa Mtumishi wa Mungu nimejifunzaa mengi saana kupitia wewe
Amen 🙏🙏🙏🙏 shukurani ina mazuri sana sana imenifunguliya mazuri juyangu nitaendeleya kumushukuru mungu.
Nimeshukuru sana pastor kuna jambo muhimu umenikumbusha na pia inanipasa ni mshukuru Mungu kwa kutoa shukurani ,Asante
Asante sana Baba nakufuatilia sana. Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri.
Hakika Mungu atukuzwe Mchungaji Munguakubarikisana
Mungu akuinue na akupe maisha marefu sana
Mungu azidi kukupa afya njema unatubariki kwa Neno zuri
Mtumishi ninamshukuru sanaYesu kwaajili yako. BWANA azidi kukutunza
Mungu ni mwema namshukuru kwa ajili ya mafuta yaliyoko ndani,Asante Yesu kwa kunipa hekima ya kushukurubarikiwa mtumishi
Mungu akuongezeee ck za kuishii
Amen👏👏 glory glory to God.
Amen and amen humble in Jesus mighty name, thank you pastor for the wonderful teachering 🙏🙏
BABA NAPOKEA NEEMA WA KUA MTU WA SHUKRANI....amina
Mungu akubariki sana Mtumishi na aendelee kukutumiaa zaidi
Mchungaji umenibariki sana na Hilo SoMo la shukrani
Asante pastor, na shukuru sana kwa neno la Mungu
my mentor mungu akuinue zaidi hakika unanipa ufunuo wa kiroho
Namshukuru MUNGU kwaajili yako, Maana uwepo wa MUNGU nauona kwangu
nakushukru Mchungaji kwa mafundisho yako yamenifanya kuwa mtu mwingine Mungu akubaliki sana
Ameen paster nimekuelewa sana Mungu akubariki sana
Na Mungu atupe moyo wa shukrani
Hakika mungu ameweka vitu ndani yako kwa ajili yetu mungu akupe afya njema
My Pastor My Mentor Mungu Akutunze Kwa Ajiri Yetu
Mungu akuongezee siku za kuishi
Asante kwa mahubiri mungu akubariki mtumishi wa mungu
Mungu akubariki Baba
Mungu akubariki sana pastor
Barikiwa mtumishi kwa hekima hii
Mtumishi mungu akusidie neema maana unanibariki sana
Ameeen Mtumishi Mungu
wewe pia ni mmoja wa watumishi waliokuwa na msaada wa kiroho nauliza sadaka yangu naweza kuitoa aje kwa ajili ya kumshukru Mungu kwa mafundisho yako
Tuma kupitia number kwenye screen yako
George Mukabwa
Namshkuru MUUMBA kwaajili yako mchungaji
Mungu andelee kukupa maaalifa mchungaji
Ubarikiwe mtumishi🙏
Asante kwaneno la mungu
Ameni ubarikiwe
❤❤❤ BABA asante kwa mafunzo mazuri
Amen. Amen❤❤
amen amen❤❤
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amina!!
Amen baba yangu
Amina
Kuomba nikwetu, Mtendaji ni Mngu
Pia Anae Lipa watumishi ni Mngu
Amen baba
Amen Amen
AMEN
Kweli nilikuwa sijuwi maana ya shukurani
Hakika ndivyo hivyo
🌷❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amennnn
Ameeeen
Najifunza kushukuru walio waaminifu kwako
Jamani nahombeni mnisaidiye namba za huyu mchungaji tafadhali namuhitaji
George mukabwa uyu ana ubiri ukweli kabisa kuliko matapeli wengine
Amen wacha mungu ainuliwe na akubariki sana mtumishi kwa mafundisho unayo tufunza
Amen baba
Amen 🎉
Ameen
Amen ❤❤
Amen
Amen amen amen
Amen
Amen