JINSI YA KUPANGUA MIPANGO YA ADUI ZAKO // Efeso
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Ujumbe: AMKA USINGIZINI
Andiko: Efeso 5:14
Pastor: Innocent Mashauri
Efe 5:14
Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Ameen
Mungu naomba nisaidie kutoka kwenye usingizi wa kiroho
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Amen
Ameen mtumishi
Ame
Amen 🙏
Amém Amém 🇲🇿🇲🇿
Ameni mtumishi nimebarikiwa sana
Eemeeeen
Mungu nisaidie nimshinde adui
Naomba Mungu anipe nguvu ya kushinda niwe shujaa .
Washa moto ya maombi ndani yangu baba wa binguni🤲🙏🙏
Ubarikiwe san mtumishi najifunza maarifa mengi san MUNGU azidi kukupa ufunuo zaidi
Nakataa Usingizi wa Kiroho katika jina la Yesu
Mungu anisaidie kutambua adui
Nakataa usinginzi wa kiroho, nakataa uvivu wa kiroho kwa jina la YESU, napangua kila mipango mibaya ya adui kwa jìna la YESU amen 🙏
Amen
Amen amen amen, asante yesu.
Nakataaa mipango mibaya juu yangu na familia yangu kwa jina la yesu
Usingizi wa kiroho nakataa katika Jina La Yesu Amen Amen 🙌🙌
Nakataa kila roho yakurudisha maisha yangu nyuma.maranyigi naloteswa ndoto niko kwenye Shule nanimetoka uko kitambo.nafahamu izo ni roho zakurudisha maisha yangu nyuma
Nanimekutabua leo Wewe adui
Nakutoa katika maisha yangu kwa jina la Yesu kristo
Amen
Baba Mungu akubariki kuna sehemu kubwa sana nakuelewa sana sana
Nakata usingizi wakiloho nakata uvivu wakiloho napangua mipangoyote ya adui mipango yac shetaniyote kwajinala Yesu kristo aliyehayi amen amen
Asande mungu nimwema bariki mtumishi wa mungu nakuombea Mungu akulinde umenitoa mbali Sana amen
Ee mungu wangu nahomba unihone
HALLELUJAH nakataa kila roho za usingizi kusinzia kusiwe kwangu BABA nisaidie barikiwa sana pastor kwa kutufumbua macho
Nakataaa, napangua ,nabomoa kila roho za kichawi, mipango yao manuizo yao juu ya maisha yangu na familia yangu watoto wangu na ndg zangu ktk jina la yesu christo amen.
I received
Duuuuu
Natenguwa kila mitego Na kupanua kila mipango YA moovu shetani Kwa Jina la yesu🙌🙏
Ee Jéhovah rafa niamushe tena kwa mara ingine baba 😭
Amen amen !
Amina 🙏 tangu nianze kuwafuatilia maisha yangu yamebadilika kabisa 🙏🙏 asanteni
Roho Mtakatifu nisaidie kuzifahamu mipango na malengo ya adui kwenye maisha yangu.Bwana nisaidie niweze kumshinda adui katika kila njia zake anazopanga kunidhuru asipate kibari kwa jina la Yesu Kristo.Amen🙏🙏
amin
Loho mtakatifu nipo nguvu ya kuvula roho za kukataliwa roho za kurudishwa nyuma nakataa kupambana na Adui wa kiroho ewe Yesu nisaidie🙏🙏
Nakataa usingizi wa kiroho kwa jina la YESU
MUNGU akubariki San 🙏🙏🙏
😢Mungu wangu nisadie mm kushinda Hali ya usingizi wa kiroho
Asante yesu,baba naomba uniwezeshe nisilalake kiroho ,niondoleee uvivu Wa kiroho nahitaji kukuwa kiroho.mungu nisaidie🙌🙌🙏
Amen napangua kila mipango ya adui kwenye maisha yangu
Mungu nikumbuke nisaindie nitoki kwa uzinkisi n Jesus name amen
Roho mtakatifu nisaidie pekeyangu siwezi vita nivikali
Asante YESU WANGU bila wewe siwezi, naomba unikumbuke.
Asantee Mungu kwa ukuu wako ulontendea wa kimjua adui yang ,naomba unifanye kua imara miweze kushinda hii vita mbele yangu
Amina
Roho mtakatifu nisaidie
NAKATAA, NAPANGUA, NABOMOA, NATEGUA MIPANGO NA MITEGO YOTE YA ADUI NA MUOVU SHETANI KWA JINA LA YESU NA KWA DAMU YA MWANA KONDOO,, MM NA FAMILIA YANGU TUMELINDWA NA YESU HAKUNA SILAHA ILIYOWEKWA KWANGU NA KWA FAMILIA YANGU ITAFAULU KTK JINA LA YESU KRISTO,, AMEN AMEN 🙏🙏🙏✝️♥️
Eeeh Mungu Niokoe Katika magonjwaa Afya yangu Ikaimalike Sasa Tumbo Langu la Uzazi Nalisafishakwa Damu ya Yesu huu uvimbe Kwenye Yai Naamuru Ukayeyushwe na Damu ya Yesu Natangaza Uzima Kwenye Maisha Yangu na familia yangu Mungu Ukanipganie Na hunipe Ushuhuda mbele ya Adui zangu Mfalme Wa Aman
Jesus we need you! Thank you Holy spirit for the message. Mtumishi be blessed 🙌
Nashukuru mungu kwakila jambo 🙏 nineema yamungu tuuu ✍️
Asante yesu ,i am from Moçambique
Amen asante
Amein
Asante mutumishi
Mungu nisaidie nimsinde adui yangu nipangue mpango yao kwa jina la yesu Amen
Emfalume Wa Mbingu Na nchi Achilia Uwezo Na Mamlaka Ndali Yangu Wa Kuharibu Mipango Ya Nguvu Za Giza Kwa Jina La Mwanao YESU Nimeomba Niki Amin Amen❤❤❤
Hayo usemayo Mutumishi nkweli kbc maan sai vita n vingi katika ulimwengu wa Roho at maisha bila kuongozwa n Roho mtakatifu tutashidwa😢😢
Nakataaa Uchovu wa kiroho Nakataa Usingizi wa kiroho Napangua Kila Mipango Ya Adui zangu Eeeh Mungu Kupitia Damu ya Yesu Ukanipganie hii Vitaa
Roho mtakatifu naomba niongoze zaidi kukua Kiroho namaarifa zaid
Amen Amen mm Hua nko macho ktk ulimwengu wa Roho lkn mchana Hua sikumbuki chochote
Nakataa roho ya usingizi rohoni MUNGU naomba unipe macho ya rohoni
Napangua mipango ya adui katika ulimwengu wa Roho katika jina la Yesu na damu ya Yesu kristo.Amen
Na kataa usingizi wa kiroho Kwa Jina la Yesu, na panguwa mipango mibaya ya adui zangu na leta ushindi kwenye maisha yangu ya kimwili kama vile yakiroho Kwa Jina la Yesu Ameena
Mungu wangu nisaindie kutoka kwa uzingizi na Pia nakataa kushindwa katika damu ya yesu,nitengeneze upya mungu wangu
My situation right now 😢
Mafunzo mazur Lakin Jaribuni kutoa sauti Yani music kuingiliana unasumbua kuelewa nini unafundisha
Napangua mipango ya maadui zangu
Mm ninashida nisinge penda kutaja jina langu muchungaji mm kila siku naota ndot za kukuta na watu ambao hat kunawengine nisha wasahau kweny maisha sijui ni kwann
Kama mimi nimejoka
Pastor unaongea sanaa, tufundishe namna ya kuisha maneno ya Mungu,
Hata anachoongea ni namna ya kuishi maneno ya Mungu
Tunaongozwa na Roho Mtakatifu na hatuongei kwa matakwa yetu kama watumishi, jifunze hekima
Ameen
Amen
Amen🙏
I received
Amina
Ameen
Amen
Amen
Ameen
Amen
Amen.