LIVE: IKATAE SAUTI HII NDANI YAKO, NI YA SHETANI KABISA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2023
- Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante mtumish nenolako unafundisha vinzuri sana .Hakisikukuwa nimeokoka lakini kupitiya kwafuzo lako naona mkono wabwana ubarikiwe amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nisamehe yesu nisamehe yesu,nisaidie kutembea katika njia yako, kwa ujumbe huu!!mahitaji rehema yako, nianze upya kusimama na kutembea na wewe yesu.
Nibadilishe YESU niwe mwaminifu kwako
Ujumbe huu ni WA kwangu kabisaa nisamehe Mungu nibadilishe niwe MWAMINIFU kwakoo YESU 😭😭😭
Asante MUNGU kwa kunikumbuka
Ahsante Kwa kuniwezesha ehhhh roho mtakatifu Kwa kukamilisha mfungo WA mwezi,,,kesho yangu yaja,,,naahid kutenda matendo ya Baba yangu aliye mbinguni,,,,,Aaamen
Mtumishe ni kwel kabxa 🥺mungu ni mwema kabxa na ni muhimu katika maisha yetu
Hilineno ni langu kbsa ....Asante MUNGU umeniwezesha kumaliza mfungo salama
Napokea muujiza wangu kwa jina la Yesu
Naomba Roho mtakatifu nisaidie pale nilikofanya Kwa ulegevu nisamehe Baba naomba Rehema na Toba Nisamehe Baba
Mwenyezi Mungu nisaidie katika boma langu
Asante mtumishi huu ujumbe umeniimarisha Sana kiroho
Shetani mbaya Sana na neno lake la eti eee,,,,shindwa ndani yangu ktk jina la YESU
MUNGU nisaidie nikutolee zaidi
Mungu Wangu nakushukuru naomba nisimame ktk nafasi yangu wewe unionekanie
Amen ubalikiwe Sana mtumishi🙏🙏🙏🙏 uwezo wa mungu uwe juu yako daima...Kuna muda tunaoishinao wanaweza kutuodoa au kutufanya tukawa mbali na uwepo wa mungu hivyo mungu atutengeneze upya na roho mtakatifu atusaidie Sana...amen
Eeee mungu wangu nisamehe hili neno limeniona Mimi Manisha yangu kwa kweli mtumishi hizi sauti huwa nyingi sana kwanu naomba mungu wangu nizishinde hizi sauti kwa jina la yesu
Amen 🙏
Nakushukuru Mungu kuniwezeshe kufikia siku ya 29/9/29 Haikuwa Rahisi lakini Kwa Neema nimefika leo
Najiungamanisha na ibada hii ya leo Mungu akanibadilishe
Mungu naomba uingilie Katie yangu haya ninayopitia
Mungu nakiri kukusikilza maagizo Yako
amen mungu nisaidie nikama hii ujumbe ni wakwangu
AMEEEN AMEEEN, mtumish ubarikiwe sanaa.
Nakuelewa mtumishi wa BWANA
Napatikana geita jaman mafundisho mazur kabisa yananihusu mimi mungu nisaidie
Napokea baraka zangu in Jesus name Leo loe
MUNGU wangu naomba unisamehe Mimi nimekuwa mtu waambaye sio mwaminifu
Eeee Mungu nisawa unikumbuke nami pia
Nakuelewa mtumishi wa Mungu
ameena hawahi na Wala hachelewi🙏🙏
Amen pasta Mungu akubariki sana
Asante mtumishi kwa mafunzo yako
Ameeen tubadilike watu wa mungu
Amen amen amen,jina la yesu kristo liinuliwe.
Hakika ujumbe huu ni wangu,, niliweza siku tatu za mwanzo, baada ya hapo shetani akajiinua kwa nguvu isiyoeleweka,, mungu naomba nisamehe na kunitegemeza kwako
Ee YESU wangu unapo suru wengine nami naomba pia usinipite
Mungu nisamehe thumbing sangu .naunibariki .asant kwakunipeya nguvu ya kufunga na kuomba
Yesu nisadiye 😢😢❤ nioneye uruma
Baba yangu niponyee🙏🙏
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu nakataa maroho yanayoinuka katika maisha ndoyo za ngono na kurudi shule ndoto za kukimbia bila kujua nako ende eeeh mungu haya maroho nayakataa katika jina la yesu 🙏🙏🙏🙏🙏
Same here Amen
Amen amen umeniona Roho Mtakatifu na kunifanya nisikilize ujumbe huu umenigusa na mm. Asante MUNGU 🙏
Amen nimebarikiwa sana
Amen baba
Ameeeen ameeeen barikiwa sana
Amen,Amen and amen
Amen amen amen.
Amen
Oooh my God,,, Nisaidie nisikuweke pending
Amen Amen
Shalom Shalom
Asante Yesu Amen Amen Amen
Ameen Mungu atuongoze maan mtumishi unayosema nkwel kabsaa
Shalom shalom
Wow this is true I think this massage is mine
Amina barikiwa umenitoa shimoni
Mm nilikuwa siwez kufunga masaa 24 wala mwez hii ndo mala yang yakwanza tangu nizaliwe...asante Mungu kuna vitu vingi sana naviona ni vigen sana kwang..kimoja wapo funga yang ilikuwa ngum mwanzon ila ilifika hatua nikawa sisikii njaa kabisa nilisha fungua kwa kunywa maji tuu na nikafunga tena yaan nakuwa sina njaa kabisa had nashangaa n mm kwel Mungu mkubwa sna...mafungo ya masaa 24 yalifungua tumbo lang nilikuwa siwez kula chakula kilicho tengenezwa kw ngano ila nilipo funga masaa 24 nikaweza nakula vyakula vya ngano had nashangaa...nilikuwa sili ngano kwa zaid ya miaka 10.Mungu ni mwena na namuomba sana anijalie fungu la kumi.Amen
Amen 🙏
Najiunganisha na ibada ya leo ikatende maishani mwangu kwenda kukataa sauti zote za shetani maishani mwangu naenda kuruhusu sauti ya Roho mtakatifu na ya Mungu maskioni mwangu
Hili Neno ni langu kabisa.Mungu nisamehe nimekuwa nikisikiliza sauti ya shetani na kuitii.
Amen Mtumishi 🙏 🙏
Amen🙏🙏🙏🙏nisaidie Mungu niwe karibu na weww
Roho mtakatifu kaa nami mimi na familia yangu uwe tegemeo letu,Amen
Nmejufunza kwa kweli
Yes
From Kenya kilifi town naku pata loud and clear.
Pastor MUNGU akupe maisha marefu,naasidi kuku angazia roho mtakatifu
Amen Ameeeen
Ameen 🙏
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu Asante Yesu kwa kutupa mwalim wa neno lako
Ameeeeeeeeeen❤
Mbona hampokei cm jamn nina shida muwe mnapokeaaaaaaaa
Amen Man of God ur teachings has bn a blessing to me since day 1 of prayer & fasting. May God blss u abaundanty. U have bn a lyf saver to many souls.
MUNGU anaweza jamani
Najiungamanisha na madhabahu hii niendelee kusimama na Adui Aneshindwa Kwa Jina la Yesu
Mungu naomba unisamehe kwakuwa mwiz wa fungu la kumi.nirehem Baba.
Bwana Yesu asifiwe ibda ya Leo imenigusa sana sikuzote nikipanga kufanya kazi ya Mungu awa nishindwaga malanyingine nasikia mwiri kuchoka au usingizi malanyingine nasikia Roho inataka kunichomola Leo hiyi Mungu anitie nguvu niweze kushinda bila Mungu siwezi
Ameeeeen🎉🎉🎉
😭😭😭😭😭 asate papa kwamahubiri yareo yamenigusa kweri papa unapo ombea wegine usinisahawu papa asate kwaneno rareo rimenigusa umeneneswa naroho wamungu kweri papa ubarikiwe Sana Sana mungu akupe guvu naujasiri wake am
en amene papa ubarikiwe
Tuko pamoja
Amina Amina Mtumishi Jina la Bwana lihimidiwe ubarikiwe na Mungu mtumishi wa Mungu
Mungu Baba Naomba nikukaribie ili uniheshimishe Amina
Natamani kufunga jamani kwa haya ninayo pitia daaah ila nashindwa kwakua nanyonyesha mtoto ana miezi 6
AMEN
Wangu ana miezi 8 na Kila siku napitwa na maombi ya mfungo PST jamani tushauri cc wamama tunyonyeshao nifanye nini jamani nataka kufunga mwenzenu nayatamani Aya maombi m o
Mtoto 6months anakula chakula chengne unaeza funga ndo ukifungua utamnyonyesha ndio usipitwe n usacrifice Mungu atakusaidia
Amen Mungu tusaidiye Baba utuwezeshe kuyalio tu Shinda utupe nguvu
Wangu katimiza 6 kamili ndo nimeanza kumpa tuvyakula lakini awezi kula cha kushiba watoto walio nyonya mpaka miezi 6 awajuagi kula vizuri mpaka aanxe kuzoea kuweza kula
Mungu Baba nisaidie nikupende kwani wewe umenipenda zaidi nakushuku Baba yangu wa Mbinguni
Amen nimebarikiwa na maneno ya mungu ,mungu anisaidie nibadilike,pale ambapo sipo sawa na mungu,nienende sawa na kusudi lake mungu,barikiwa mtumishi
Neno la Yesu Kristo nipewe sifa na utukufu Amen Amen 🙏🙏
Napokea Baraka zako ktk maeneo yote ya maisha yangu Napokea Kwa Imani
Toka niaza kukufutilia nabalikiwa sana
Asante roho mtakatifu🙏🏾🙏🏾msaidizi wetu🙏🏾
MUNGU ASANTE KWA YOTE UNETENDA NA KWA YALE UTATENDA UMBALI HUU IMEKUGARIMU AM SOO GRATEFUL. THANK YOU LORD JESUS 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
AMEN asante Mungu kwa kunijalia afya njema jina lako ritukuzwe milele Amen
Amen amen asante Sana Bwana Yesu kwa Neema Na ulinzi katika Maishani Mwangu, barikiwa Sana mtumishi kwa ujumbe Huu mzito .
Mungu nisaidie sana niwe karibu yako bwana🙏🙏
Amen ameni mwimbaji barikiwa kwa wimbo wa baraka Sana sana
Amen Amen mtumishi ubarikiwe kwa somo
Amen amen,barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa hili neno la mungu
Ubarikiwe sana pastor unaeleweka vizuri sana
Yesu tusaidie sio kwa hakili yangu🙏🙏
Mungu wangu kutana na haja ya moyo wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amen amen Bwana Mungu nisaidie
Ujumbe huu ni wangu jaman 😢😢