WAZIRI KABUDI AWATAJA MARAIS na VIONGOZI wa KIMATAIFA Waliohudhuria MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 มี.ค. 2021
- WAZIRI KABUDI AWATAJA MARAIS na VIONGOZI wa KIMATAIFA Waliohudhuria MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI
MWILI wa Hayati John Pombe Magufuli, umewasili Dodoma ambapo leo Machi 22 utaagwa kitaifa jijini humo, ambapo Marais na Viongozi wa kutoka nchi mbalimbali watashiriki zoezi la kutoa heshima zao za mwisho kwa shujaa huyo wa Afrika...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
This guy can be also a good president
Asante waziri Kabudi kwakuonyesha ushujaa na ukakamavu kuwatambulisha viongozi wa nchi nawakimataifa
Mungu ndio kilakitu mungu ni Mwema
hakika umetuumiza baba yetu mungu akulide baba yetu bwana ametwa bwana ametowa bay baba
Rip JPM
dakika ya 2:30 kwa ajili ya utambulisho wa majina
Inauma sana kwakwel. Kazi zako zitakushughudia hata wakat haupo
Bulian shujaa wetu
Next Vice president
Mh Kabudi unafaa kuwa makamo wa raisi wa Tanzania
Waziri Mh Kabudi anafaa kwa makamo wa Raisi
Nakuombea uwe makamu wa rais tz
Palamagamba kabud unafaa kuwa makamu wa rais kwa kwa ukakamavu unaoonyesha
Kauwa sana alidiriki kujiona yeye ndio kila kitu alisahau kama yeye alituomba kazi kutoka kwetu kua mtumishi wetu, baadae akaazakugeuka na kuuwa, kutesa,kunajis,kubambikia watu kesi za kutakatisha, kuweka mashehe wa bara na wa visiwani ndani kwa kesi ugaid Allah hazihakiwi kampulizia Corona hivisasa chali haamki tena hata Bishop Gwajima akizikiri uchi na hata Wilson Mahera akimtangaza tena na tena hatoamka tena kwisha zulma.
Wee fara kweli hujielewi
Duh umekosa hekim nyau wewe
Una laana sana wewe sio bure,, MUNGU Akusamehe bure kwa kukosa hekima na malezi bora utotoni mwako......
Ni bora mama yko angetoa mimba yko kuliko kuleta laan katika ktk nchi yetu
Pole dada kwa kumsema maiti kwa mabaya