LOWASSA AJIUZULU UWAZIRI MKUU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2014
  • EDWARD LOWASSA MBUNGE WA MONDULI AJIUZULU UWAZIRI MKUU

ความคิดเห็น • 111

  • @maarifa_home_electronics
    @maarifa_home_electronics 5 หลายเดือนก่อน +23

    Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mimi nimeitizama 2024 mwezi 2 tarehe 13 lala salama lowassa

  • @yasimally9513
    @yasimally9513 3 ปีที่แล้ว +10

    Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe

  • @millenniumtot4565
    @millenniumtot4565 5 หลายเดือนก่อน +3

    95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye

  • @user-iu7dy1mb2i
    @user-iu7dy1mb2i 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 3 ปีที่แล้ว +23

    Nani amepita hapa 2021

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 5 หลายเดือนก่อน +3

    Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania yetu imeandika big history

  • @johnmude1084
    @johnmude1084 3 ปีที่แล้ว +4

    Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida

  • @georgembwana8354
    @georgembwana8354 9 ปีที่แล้ว +10

    Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 ปีที่แล้ว +2

    twende ,2022-2023
    waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 6 ปีที่แล้ว +9

    Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 ปีที่แล้ว +7

    KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA.
    MAISHA YA SIASA SI HASA.

  • @jumamnyambwa7993
    @jumamnyambwa7993 4 ปีที่แล้ว +8

    Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi

  • @njikuhr1875
    @njikuhr1875 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee noma

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 ปีที่แล้ว +14

    2020 leo tunajikumbusha

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 5 หลายเดือนก่อน +2

    Rip mzee lowassa

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 26 วันที่ผ่านมา

    Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote

  • @user-ox1ce7iu8i
    @user-ox1ce7iu8i 6 หลายเดือนก่อน +2

    It's 2024 TODAY

  • @tondisangasanga9825
    @tondisangasanga9825 8 ปีที่แล้ว +3

    hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi

  • @goodluckphilliponguyai3390
    @goodluckphilliponguyai3390 9 ปีที่แล้ว +7

    For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 ปีที่แล้ว +1

      Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u

    • @Waberoya
      @Waberoya 5 ปีที่แล้ว

      kweli

    • @prof.abusakelsaleh3524
      @prof.abusakelsaleh3524 ปีที่แล้ว

      Uoooongo uoongooo bhana🤣🤣🤣🤣2022

    • @HipHop_2024
      @HipHop_2024 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sa hayupo tena😢

    • @marystelaswai5174
      @marystelaswai5174 5 หลายเดือนก่อน

      Yaaan hayupo Tena jaman

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 5 ปีที่แล้ว +3

    Anaye jua ni mungu

  • @makorievans2814
    @makorievans2814 9 ปีที่แล้ว +8

    Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 ปีที่แล้ว +3

    Spika bora kuwahi kutokea.

  • @saiddimwe9508
    @saiddimwe9508 5 ปีที่แล้ว +3

    Daaagh?! In kwere sana

  • @FaustineCasmir-iu3ur
    @FaustineCasmir-iu3ur 5 หลายเดือนก่อน

    Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie

  • @bakarhossen4545
    @bakarhossen4545 6 ปีที่แล้ว +2

    Mpaka namuonea huruma

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 ปีที่แล้ว +11

    Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo

  • @kakazkanda
    @kakazkanda 5 หลายเดือนก่อน +1

    👁️👁️

  • @naimannan5554
    @naimannan5554 10 ปีที่แล้ว +6

    MIMI NASEMA KWA UA
    MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII

  • @mcsabufa2716
    @mcsabufa2716 4 ปีที่แล้ว +2

    Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨

  • @jacoboleparingo5204
    @jacoboleparingo5204 5 ปีที่แล้ว +3

    Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani?
    Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda.
    Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.

  • @mosesgideon6694
    @mosesgideon6694 9 ปีที่แล้ว +2

    Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.

  • @enockwinfred7645
    @enockwinfred7645 8 ปีที่แล้ว +2

    marafiki

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql ปีที่แล้ว

    One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah

  • @prosperulungi2998
    @prosperulungi2998 ปีที่แล้ว

    Nana anaipitia hii. 2022

  • @alvangidion9366
    @alvangidion9366 5 ปีที่แล้ว +11

    Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'

  • @allysinkallah1639
    @allysinkallah1639 5 ปีที่แล้ว +1

    Ndio maana umekufa

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว

    CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.

  • @rmysportstv2734
    @rmysportstv2734 5 หลายเดือนก่อน +1

    Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢

  • @nelsonemmanuel2259
    @nelsonemmanuel2259 9 ปีที่แล้ว

    Lowasa 2015 nchi yake

  • @samwelmashauri9414
    @samwelmashauri9414 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mzee wa ITV

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 3 ปีที่แล้ว

    Duu..Enzi hizo

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 4 ปีที่แล้ว

    Kajiuzulu

  • @user-uv9ps3ow4s
    @user-uv9ps3ow4s 5 หลายเดือนก่อน

    R.i.p lowassa

  • @raphaelbossruvakubusa3031
    @raphaelbossruvakubusa3031 8 ปีที่แล้ว

    this do change

  • @josephkessy5486
    @josephkessy5486 9 ปีที่แล้ว +5

    TIME IS A GOOD TEACHER

  • @pasianichuwa951
    @pasianichuwa951 8 ปีที่แล้ว +2

    huyu ndie kiongozi wa kwel

  • @petrokihundwa601
    @petrokihundwa601 8 ปีที่แล้ว +1

    nomaa jamaa

  • @ramadhanluhweja1860
    @ramadhanluhweja1860 5 ปีที่แล้ว +2

    Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 5 ปีที่แล้ว +8

    najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana

    • @omarypanga4064
      @omarypanga4064 5 ปีที่แล้ว

      Alikuwa mchangamfu sana lakini sasahivi amekuwa mtalatibu sana

    • @mariambablia9126
      @mariambablia9126 4 ปีที่แล้ว

      Maradhi tu

  • @charlesmwandenuka7986
    @charlesmwandenuka7986 5 ปีที่แล้ว

    Sawa

  • @daudilengai7402
    @daudilengai7402 9 ปีที่แล้ว

    Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba8236 5 ปีที่แล้ว +3

    Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie

  • @bakarhossen4545
    @bakarhossen4545 6 ปีที่แล้ว +3

    huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa

  • @lewisshemboko2106
    @lewisshemboko2106 5 ปีที่แล้ว +1

    sita marehemu
    bendera marehemu duuh

  • @victorjoel3177
    @victorjoel3177 5 ปีที่แล้ว

    Wamejipanga kafara haukusika

  • @mudysquare6524
    @mudysquare6524 9 ปีที่แล้ว

    President lowassa

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 ปีที่แล้ว +1

      Sorry we dont elect thieves and fired ministers to be president

  • @christohperwilson4714
    @christohperwilson4714 4 ปีที่แล้ว

    Christopher Wilson selle

  • @omaryswalehe2863
    @omaryswalehe2863 3 ปีที่แล้ว

    Kipindi hicho cha siasa mchwara

  • @yohanasemsaka1420
    @yohanasemsaka1420 9 ปีที่แล้ว

    JOSE WAU KWELI

  • @norascombedule1057
    @norascombedule1057 4 ปีที่แล้ว

    Duuuh

  • @glodykobelo9317
    @glodykobelo9317 5 ปีที่แล้ว +2

    Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?

  • @documentariestvshow
    @documentariestvshow 4 ปีที่แล้ว

    Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..

  • @mtunesalumu8359
    @mtunesalumu8359 4 ปีที่แล้ว

    wewe ni mwizi tu

  • @abdallamaso3848
    @abdallamaso3848 5 ปีที่แล้ว +2

    Lowasa fiiiiii sd

  • @davidmwaipopo9512
    @davidmwaipopo9512 ปีที่แล้ว

    r.i.p

  • @edgapaull5335
    @edgapaull5335 3 วันที่ผ่านมา

    L

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 ปีที่แล้ว +8

    Lowasa alionewa

  • @saidlambertmatwi525
    @saidlambertmatwi525 2 ปีที่แล้ว

    Mmm

  • @yakitanipesha2021
    @yakitanipesha2021 7 ปีที่แล้ว +4

    ulipo
    tupo
    lowasa

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 9 ปีที่แล้ว +1

    fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

  • @jumachilamba847
    @jumachilamba847 9 ปีที่แล้ว

    Mwinzi 2 huyo

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu7434 5 ปีที่แล้ว +2

    Full of Nonsense

  • @ahmedn.kashaga4443
    @ahmedn.kashaga4443 10 ปีที่แล้ว +1

    MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 ปีที่แล้ว

      Chaguo la mafisadi

    • @ahmedn.kashaga4443
      @ahmedn.kashaga4443 9 ปีที่แล้ว +1

      Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?

    • @nwntz
      @nwntz 9 ปีที่แล้ว

      Boniphace Kashaga
      tu pamoja

    • @dct4lif
      @dct4lif 9 ปีที่แล้ว

      Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi

    • @nwntz
      @nwntz 9 ปีที่แล้ว

      WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??

  • @geofreyandrew1063
    @geofreyandrew1063 8 ปีที่แล้ว

    kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali

  • @mamahustru
    @mamahustru 5 ปีที่แล้ว +2

    Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.

  • @shommyjunior6607
    @shommyjunior6607 8 ปีที่แล้ว +2

    huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,

  • @Mbonica1
    @Mbonica1 10 ปีที่แล้ว +2

    Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 ปีที่แล้ว +5

    Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo

  • @petrokihundwa601
    @petrokihundwa601 8 ปีที่แล้ว +1

    nomaa jamaa