Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe
For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells
Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u
Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani? Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda. Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.
Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.
Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'
fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015
Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi
Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.
Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House
Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!
😭😭😭 Jasiri ameamguka
Tumo
Mimi nimeitizama 2024 mwezi 2 tarehe 13 lala salama lowassa
Apumzike kwa Aman
Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe
95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye
Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu
Nani amepita hapa 2021
Tupoooo
Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.
Tanzania yetu imeandika big history
Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka
Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida
Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka
twende ,2022-2023
waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania
Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!
KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA.
MAISHA YA SIASA SI HASA.
Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi
Mzee noma
2020 leo tunajikumbusha
Rip mzee lowassa
Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote
It's 2024 TODAY
hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi
For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells
Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u
kweli
Uoooongo uoongooo bhana🤣🤣🤣🤣2022
Sa hayupo tena😢
Yaaan hayupo Tena jaman
Anaye jua ni mungu
Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...
Spika bora kuwahi kutokea.
Daaagh?! In kwere sana
Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie
Mpaka namuonea huruma
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
👁️👁️
MIMI NASEMA KWA UA
MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII
Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨
Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani?
Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda.
Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.
Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.
marafiki
One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah
Nana anaipitia hii. 2022
Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'
Mch Paulo
Ndio maana umekufa
CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.
Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢
Lowasa 2015 nchi yake
Huyu mzee wa ITV
Duu..Enzi hizo
Kajiuzulu
R.i.p lowassa
this do change
TIME IS A GOOD TEACHER
huyu ndie kiongozi wa kwel
nomaa jamaa
Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn
najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana
Alikuwa mchangamfu sana lakini sasahivi amekuwa mtalatibu sana
Maradhi tu
Sawa
Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae
Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie
huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa
sita marehemu
bendera marehemu duuh
Na leo lowassa
Wamejipanga kafara haukusika
President lowassa
Sorry we dont elect thieves and fired ministers to be president
Christopher Wilson selle
Kipindi hicho cha siasa mchwara
JOSE WAU KWELI
Duuuh
Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?
Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..
wewe ni mwizi tu
Lowasa fiiiiii sd
r.i.p
L
Lowasa alionewa
Hiyo
Alionewa kipengele kipi ?
Mmm
ulipo
tupo
lowasa
Yakitani Pesha
fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Mwinzi 2 huyo
Full of Nonsense
MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015
Chaguo la mafisadi
Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?
Boniphace Kashaga
tu pamoja
Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi
WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??
kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali
By
Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.
Moyosaf
huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,
nyoko wewe ndo hujitambui
Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
Tatzo la watanzania
nomaa jamaa