Kiukweli me namkubali saidi bwanga ila mkola kanifurahisha alivyoongea lakini kwa bwanga hatoboi
Mwisho wa Siku umepigwa😅...kweli mdomo huponza mwili
Tunahamu ya kumuona mdose fighter kwenye runinga
Said mkola nimepend maneno yako lakin 29 kuchezea utachezea tyu said bwanga tumemtuma kazi na tunamuamin atafany kama tulivyomuagiza
Namna hiyo atuongei sana taarabu 😂😂tunatema sumu mikononi sio mdomoni
Vita yakina wajina