Gem nzuri sana ina ushindani wakutosha
Wewe mwenyewe Class humuwezi Saidi Bwanga!! Makelele tu Kama muuza karanga. Saidi Mkola anakutaka wewe unakimbiakimbia tu Nasibu Ramadhani anakutaka Sana unajifanya humsikii!!!!!
Acha miyeyusho ww ibra Nasibu ramadhani mbona unamkimbia said chino pia unamkimbia ww bondia wa kawaida sana ibra siyo bondia atari ww
😢mm mwenyewe nakutaka ww ibrah alafu ngumi zimekushnda kaimbe taarab
Lakin Ibrahim usiongea Sana 😂😂😂
Sema umpendi said mkola ndomaana unamkanyagia ila uwo sio ubondia lbla
😅😅😅maneno mengi kama dadang
Bondia mkubwa wewe acha usnich
Wewe ibra punguza mdomo wewe kama mwamba nipigie kidukwi
Kwahiyo daby ni sada mkola na sada bwanga
😂😂😂😂
Amenyakanyanga kweli said bwanga hatali🎉🎉🎉🎉
Amenyakanyanga kweli said bwanga hatali🎉🎉🎉🎉