VITASA | Emmanuel Mwakyembe vs Said Bwanga | Pambano kali | NGOMA NZITO 24/02/2023

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • USIKU WA VITASA: Bonge moja la pambano likimkutanisha mkongwe Emmanuel Mwakyembe dhidi ya kijana mgeni kwenye ngumui za kulipwa… Said Bwanga. Zilikuwa ni raundi sita tamu, vitasa vikitembea kikamilifu lakini shughuli ikamalizika kwa sare.
    Ni #VitasaNight #NgumiImenyooka ndani ya #UbungoPlaza kuelekea pambano kuu kati ya Tony Rashid vs Sabelo Ngabinyana LIVE #AzamSports1HD

ความคิดเห็น • 52

  • @josephmanyama9012
    @josephmanyama9012 ปีที่แล้ว +3

    Yani mie sina cha kumdai BWANGA aiseeee tuna mabondia wazuri sana bado hawajapata promo jamaaaa ni mkali sana yani ngumi zake zinahamasisha kuangalia yuko vizuri sana well-done BWANGA

  • @mengiuswege3654
    @mengiuswege3654 ปีที่แล้ว +2

    HII FIGHT IWE MAIN CARD KTK MARUDIANO ITAPENDEZA

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 ปีที่แล้ว +2

    Champion Side bwanga umeshinda game kabisa umeonesha mashabiki zako ngumi zinachezwaje utafika mbali sana Kwa uwezo wa mwenyezimungu 💪

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว +4

    Kwa sisi tulio bahatika kumuona Rashidi Matumla eke SNAKE BOY wakati wa enzi zake
    Basi huyu mtoto Saidi Bwanga eke RING MASTER ni Snake boy 99 per cent.
    Na kama anatokea Mbagala bila shaka kapitia mikono ya gym ya Matumla .
    Mungu ampe mwendelezo mwema wa mwanzo wake.

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 ปีที่แล้ว +2

    huyu dogo angejiandaa kwa hili pambana mwakyembe alikuwa anakaa mapema sana

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 3 หลายเดือนก่อน +1

    dogo bwanga unatisha Sana pia hongela mwakyembe Kwa kuonyesha ukongwe wako

  • @tentwice9291
    @tentwice9291 ปีที่แล้ว +3

    TOKA NIANZE KUANGALIA VITASA ILI PAMBANO SIJAWAI ONA UYU BWANGA ATARI

    • @nuruworldinsight2957
      @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว

      Ana pambano lake lingn kamgonga kichizi Mchanjo. Mtafute HANA kazi mbaya DOGO anajua

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 ปีที่แล้ว +3

    tangu nimeanza kucheq ngumi sijawahi ona ngumi ambazo zimepigwa kimpangilio kama hizi

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaa mzee

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 ปีที่แล้ว

    Saidi atafika mbali ameonyesha ana uwezo,ujuzi,uvumilivu na mbinu, keep it up Saidi Bwanga.

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 ปีที่แล้ว +2

    Huyo dogo BWANGA kama akiwa AMATEUR naziona MEDALI 🏅 Za DHAHABU MIKONONI MWAKE akiziletea TAIFA la TANZANIA
    (umri unamruhusu)

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 ปีที่แล้ว +1

    Oyaaa Uyu Bwanga ni Hazina Ya Taifa

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 ปีที่แล้ว +1

    Ukiacha Mbwana Matumla na Rashidi enzi zao,,,Bwanga anapiga ngumi za kiwango, pambano bora la mwezi ni hili

  • @kizz_kido
    @kizz_kido ปีที่แล้ว +1

    Sideee maweee👊👊

  • @jastinmsigwa4154
    @jastinmsigwa4154 ปีที่แล้ว +1

    Ukiwekeza kwabwanga inabaki tuu kuvuna faida. Bonge labondia

  • @neemamangushi8187
    @neemamangushi8187 ปีที่แล้ว

    Naomba serikali imlinde Hyu Bwanga ni🔥🔥

  • @eddykatamba1008
    @eddykatamba1008 10 หลายเดือนก่อน +1

    bwanga yuko vizr lakin kwa mwakyembe ajipange

  • @dramadravany7251
    @dramadravany7251 ปีที่แล้ว +1

    ❤ boy anajua kazi umetisha mwamba anacheza kwa hakili sana

  • @EvalistTokwa-lw8hf
    @EvalistTokwa-lw8hf ปีที่แล้ว +1

    Dogo bwanga nimoto naona atawapa changamoto kubwa sana mabondia watz dogo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪

  • @mikimkele9726
    @mikimkele9726 ปีที่แล้ว +2

    Saf dogo

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 ปีที่แล้ว +1

    Bonge la fight...

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 ปีที่แล้ว +1

    Said bwanga ww ni boxer mzuri saana 👏

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 ปีที่แล้ว +1

    Bonge ya game bwanga uko vizuri sana

  • @tysonking9675
    @tysonking9675 ปีที่แล้ว +1

    Said kaza njanja we2 nakubali ipaishe mbangala mponda

  • @emmanuelmnyambugha4512
    @emmanuelmnyambugha4512 ปีที่แล้ว +1

    Bwanga yupo vizuri sana

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta ปีที่แล้ว +1

    Said noma

  • @kamagaissa4561
    @kamagaissa4561 ปีที่แล้ว

    Huyo dogo mpinzani W Mwakiembe yupo vzr sanaaa Kama inawezekana awezeshwe afikie ndoto Zake kwny ngumi na kutangaza Taifa pia

  • @medsonmligo-vx9gk
    @medsonmligo-vx9gk ปีที่แล้ว +1

    Bwanga the champion

  • @dorineenock-by1ni
    @dorineenock-by1ni ปีที่แล้ว +1

    Bwanga the king

  • @kidunapoletano3118
    @kidunapoletano3118 ปีที่แล้ว +1

    Bwanga ni 🔥

  • @denisimria3109
    @denisimria3109 ปีที่แล้ว +1

    bwangaa🔥🔥

  • @nicodemusmsemwa2040
    @nicodemusmsemwa2040 ปีที่แล้ว

    Good fighter.. Emmanuel mwakyembe.. keep it up

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 ปีที่แล้ว

    Ongera mwakiembe zidisha mazoezi ila uyu dogo said bwanga akiwezeshwa atafka mbali mvumilivu sana

  • @yudaaraphati9673
    @yudaaraphati9673 ปีที่แล้ว

    Said
    bwanga💪🖤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว

    Fight bora usiku huu

  • @agronomistamanikingu7340
    @agronomistamanikingu7340 ปีที่แล้ว

    Bwanga ni hatari sana... Kiufupi wapate wafadhili watafika mbali sana

  • @thobiasluanda224
    @thobiasluanda224 ปีที่แล้ว

    Tanzania kuna mabindia wazuri sana hao kina kiduku sijui mwakinyo wamebakia majina tu

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 ปีที่แล้ว

    Huyu bwanga ni professional boxer hatari sn

  • @lamerckmsuya5513
    @lamerckmsuya5513 ปีที่แล้ว

    Sema kitu nimeona,watangazaji wanafanya promo

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 ปีที่แล้ว

    Draw vipi tena wakati huyu alimwangusha mwenzie kwa konde zito. Hapo ndipo judges wa Bongo mnakoseaga.

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth ปีที่แล้ว +2

    Azam jaribuni kuongea na hao majaji wenu wanazngua .. mchezo mzuri lakini mshindi kaonekana ni mwakyembe .. kila siku mapambano ushindi unatolewa kwa mikelele ya watu na si kanuni za boxing

    • @allymwachipanga2486
      @allymwachipanga2486 ปีที่แล้ว

      nisawa lkn huenda wameangalia kummotisha bondia Mchanga ambaye wengi hawakumjua wala kumuona

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 ปีที่แล้ว +1

      SAIDI BWANGA MSHINDI WAMEMUONEA DOGO.

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 ปีที่แล้ว

    Ngumi Burudani

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 ปีที่แล้ว

    Bwanga ni hatari

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 ปีที่แล้ว

    Yeah, hawa vijana wanacheza na kupigana ngumi za ushindani. Wakiendelezwa watafika mbali.

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali2122 ปีที่แล้ว +1

    Mwakywembe alishinda Hill pambano ngumi nyingi zilifika usoni kwa mpinzani wake hakuna dro hapo