MASHARTI YA AJABU NI KICHAA TU ANAWEZA KUKUBALI "HAYATI JOHN POMBE MAGUFULI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Duh jembe Tanzania tumepoteza kwa kweli R.I.P Mzee JPM u will always be missed
Vizuri Huwa havidumu jmn,na vizuri kupotezwa ni mara moja
Nacho mshukuru Mungu nilimpenda sana Magufuli akiwa hai na nilimsapoti na hata mtoto wangu nimempa jina lake
Narudia tena kusema nadhani hii comment ni ya mwisho kuandika kuhusu hayati magufuri.Nasema hiv haitakuja kutokea Tanzania kuwa na Rais mzalendo kama magufuri sahau kwa nchi yenye walamba asali kama hii wenye fikira za kuifisaidi tu nchi yetu na wenye maono ya kuishi milele na family zao bila kufa wakimiliki pesa ndefu huku wanyonge tukibaki kukosoa macho tu keki ikigawanwa na kikundi kidogo tu cha karakana la shetani wakitamba na kuumiza kila atakeyejitokeza kuwatetea wanyonge RIP mwamba uliyekataa kamwe kuwa upande wa waabudu shetani wakakuua na wao watakufa tu kama ss
Nambii Eliya alidhani amebaki pekee yake Mungu alimjibu wapo elfu saba,Mungu atainua wengine zaidi
Polesana
Tutakumisis sana Magufuli. Raisi wa mfano hajawahi tokea kama wewe. Ulisema na yametimia sasa
Mungu ailaze pema kwa kazi nzuri iliyofanya kwa manufaa va nchi pia ni mkombozi wa wanvonge.
Ee mungu baba usikiae maombi kama ni watu walihujumu maisha ya magufuli watanzania tunakuomba uwajibu hao makatili sawa sawa na matendo Yao patiliza mpaka na vizazi vyao maana ulisema ktk neno lako utawapatiliza Wana maovu Ya baba zao kizazi Cha kwanza hata Cha nne. In the name of Jesus I prayed aaamen!
Logical thinking very critical.
SALUTE JPM kwa kweli hawa wawekezaji wana hawana nia ya kukuza uchumi wala mapato yetu. Sasa Mama na Watu wake wanampotosha tu. Tumesharudi kule kule kuibiwa sana.
Uliyaona haya baba. Tunaomba Mungu tu ainusuru nchi yetu. Endelea kupumzika kwa amani.
Da tutakukumbuka sana,ndio maana uliuwawa ili waishi Kwa kutunyonya ,pumzika baba
Baba nitakukumbukaaa daimaa ww ni genius unaishiiii .....spiritiiii yako inaishiii milele .....ubet wako wa mtanikumbuka kwa mzr na sio mabaya yangu
JPM, JPM, JPM.....ooooooh the son of Africa..., we will be missing u MWAMBA.
Jipm ibilis akukupenda kabisa ila mungu wetu atatusimamia sis wengine tunajua maana ya mikataba ya keep shetani ninani asiyejua maana ya mikataba ya kihuni awezekani lijitu limoja liongwe theni watu wa mungu wanajaribu kuongea. alafu anabezwa na wamalacki walio laaniwa na mungu
Mimi naamini huko Mbinguni uliko endelea kuliombea Taifa mipango ya manyangau walio ndani ya Nchi na nje ya Nchi Mwenyezi Mungu aingilie kati isifanikiwe hata moja
🤲 pumzika kwa amani
The African hero
Our mzee magufuli mpendwa ,
You did lillte in your life time
But you are doing a lot after you left us africans in general .
Viva magufuli ,putin is helping to
Magufulication of africa .
Daah.!! Basi tu hakika mzee alikua ni mzalendo 😔😔😢
Pumzika anko hakika uliupiga mwangi na hakika mungu akiniweka nitakuja kumsimulia mjukuu wangu kuwa ulipita jembe hakika magu ulikuwa mwanga wa African kwa ujumla
Graeat man
Mungu akumbuke sadaka yako Magufuli wetu, ulikitoa kuitetea haki ya wa Tanzania mambo yamekua hofyo
Mungu mjalie mtoto wako Magu apumzike kwa Amani na atuombee sisi na Tanzania nzima Amina
Magufuli alikuwa peke yake, wote waliokuwa wamemzunguka walikuwa wanafiki wote, ilikuwa ngumu mno kuendelea kuwa hai mzee wetu, maana alizungukwa na mazombi kila kona
Tuta mkumbuka kama alivosema na kawaida yetu tunamkumbuka mtu akisha fariki aliona mbali sana kiufupi
Naungana na wewe ndugu yangu alizunguukwa na mzombi Tu
ni kweli yote yalio baki ni maxombi or tuseme mazezeta ya kihongwa bahadha tu kila kitu wapiga makofi majizi yote
Ndio president nzur zaidi
Ninani aweza kushindana Na Mungu,,machozi ya rohoni anayaona,,,ATAJIBUU UPESi
Ehhh Mwenye Enzi Mungu amsha tena hii roho ya John Pombe Magufuli pamoja na ya Julius Kambarage Nyerere zianze kufanya kazi ndani ya miyoyo ya watu bila uwoga eeh Mwenye Enzi Mungu tutendee nchi yetu Tanzania 🇹🇿
😢😢😢😢😢
Alipo kua hai nyie ndo mlikua wa kwanza kusema ni dikteta
We lost a naturally born intelligent man in our country. RIP sir!
Naamini uko ulipo unayaona yanayo endelea mungu akulinde uko ulipo msema kweli
Tutakukumbuka daima mwamba
Kuhusu bandari waliokuunga mkono wamekugeuka baba lile jambo linaendelea
Merci beaucoup Mzee 👏👏
Waliyokupigia makofi Leo ndio wamekugeuka mzee Bandari imeuzwa kwa miaka isiyojulikana...!
Sina hakika kama wameweka masikio pamba 😢
WaTanzania tuache mambo mengi,,hakika tumemkosea Mungu,,tutubu tumrudie ;Mungu Anao uwezo mkubwa sana wa kufanya mambo yetu yakakaa sawa kabisa
mzee uko wap tunauzwa jaman
Leo wameuza Baba Pumzika kwa Aman.
What ever happened, we will never forget our Hiro , acha yote yafanyike ila ulisema
Hakika tutakukumbuka tumebaki na manyang'au wa magharibi ndiyo wanatuongoza wanaitafuna nchi yetu kweli R.I.P Magufuli
Hivi nyie wabunge hamsikilizi hizi hotuba za jpm? Ama kweli siasa ni unafiki, wakati jpm yupo mlikubaliana nae saivi hayupo mnajifanya hamjui nn alisema. Ndugai oyeeee
Dah! inasikitisha Sana.
Saluti baba
Jembeee
Mungu mulaze mahalo pema peponi magufuli mhh tunanyanyazwa
Tutapate wapi kama Mtazania Magufuli jamani uzalendo mnao kama Magufuli
Great people especially in Africa they don't leave only dictators rule forever
Sawa baba tulikusikia wananchi naturi kusikitikia sana pale ulipo umariza mwendo urikuwa mbaya kwa waovu urishangiriwa kwa unafki na marafiki zako
❤❤❤❤❤RIP JPM
Huyu ndio kiongozi shupavu aliyeweza kutunza rasilimali za nchi hii na kukabili mikataba mibovu...😊
Mungu mwenyezi akulaze mahali pema peponi amen,ila hawa watu wako wa CCM pasua kichwa sana yale yote uliyo waambia hawaelewi cjui vichwa vyao vimejaa kutokujali wameamua kubinafsisha bandari zetu ambazo wewe ulikataa zisibinafsishwe
profesional ni ujinga kweli kukubal ujinga kma huo
...then he died. he died with so much potential and vision of our country. dah tunakukumbuka mno. Mungu Tunaomba umpatie hekima Rais wetu Samia binti yake Suluhu wa Hassan
Ndiyo maana mungu akatoa maamuzi sahihi
RIP Jpm Will miss you
Pumzika mahala pema mungu akuweke peponi amina
Mama Samia husikii kauli za raisi mwenzako mbona unadanganyika wananchi wako watapata shida sana angalia hilo
It is very sad & shameful too
Good president
uliona mbali sana mzee
Maneno yataishi milele💪💪
Mungu akulaze mshara pema pepon
Kiongozi mwenye akili mungu akulaze maharapema peponi
Nikweli
Ret in peace! Hali ya bandali ni hiyo kwa sasa
Sasa tunajua kwa nini walikuua
Mimi sio mwanasiasa ila kwa kinacho endelea picha tunaliona hata kama hatuna digrii zao za mchongo sasa nasema hatukubali
tunakumbuka kaurizako mheshimiwa
😭😭😭
Duuu huyu mzee aliyaona nakwel hayooooo
Mzee uliyoyasema yametia😭😭😭😭😭😭
pumzika mzee uliona mbali
Hawa wa Sasa Hawatafanikiwa kwa Jina la Yesu
Asiye sikia la mkuu
Wale wale waliokuwa wanapiga makofi ndo Walewale wamegeuka leo
Sasa hapo sisi wengine tunashangaa,hawa ccm wa sasa na wale wa makufuli ,wa sasa wanataka kuuza nchi ajabu
@@yussuph-lx7cu 🤣🤣🤣
Walimuuwa ili wale nchi walifanya mapinduzi kikwete na jopo lake ila wote mtakufa
Yesu ni Mungu, na anatupenda wanadamu wote
Yesu sio mungu bali na mwana wa mungu kama ulivyo wewe, yesu usitake kutuongopea
Yametimia yaliyo taburiwa
Mwamba hiyu hapa. Tayal tunakukumbuka kma ulivyosema
Ushauri wangu naona bunge letu Liwe linaweka tuu clip hizi za mzee wawe wanasikiliza tuu mpaka bunge linaisha maana naonaga wanajadili ujinga tuu
Wanazinguwa kwel
Kwahyo wanaendelea kutuchezeea et
Uko sawa baba
Watanzania tunapaswa tuombe Mungu sana.
Mm nilikuwa ccm but magu ccm alikuwa pekeake
Mzeee Amka uoneee kweli kikulacho linguini mwako
Tunakuomba walau urudi uwaone watu uliowaachia kijiti wanachofanya
Inauma sana😢😢😢😢😢
Tunakukumbuka Sana!!
Pumzika kwa aman jpm"tuta kukumbuka kwa mazuri ulio tufanyia"
Baba alisema
😭😭😭😭😭😭😭🤲🏾🙏🏼baba
Missed you alot
Natamani uwamke mwamba uwone wanachofanya huku wala nnchi daah Allah akupe kauli thabit mwamba
Baba ulitupenda tutakukumbuka daima
RIP ❤❤❤
Ulala salama baba
Wew kweli ndio ulikuwa rais wa Tanzania kweli ila wapo wenye roho mbaya wamekuuwa ili wakae wao kwenye kiti shenzi sana
We loose something
Magu R.I.T God be with you
R.I.P
Hata kama sikukuelewa wakati ule sasa nimekuelewa ijapokua nimechelewa.
Xmbona leo wanaccm waliompigia makofi magufuri Leo wanapiga makofi bandari iwekezwe kwa waarabu tena masharti ya ajabu?ccm kumbe tuifikirieje watanzania?
2025 tunaomba mabadiliko Asante
Huu mkataba was Sasa wamepewa kote
CCM inakubali