DKT. BASHIRU APIGIWA SHANGWE ZITO BUNGENI, AMTAJA MAGUFULI NA CCM, "SPIKA NAKUVUNJIA HESHIMA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 208

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 8 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.

  • @wardadvaz
    @wardadvaz 9 หลายเดือนก่อน +21

    Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani

    • @joframsa
      @joframsa 9 หลายเดือนก่อน +1

      🙏🏾

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 9 หลายเดือนก่อน +20

    Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 9 หลายเดือนก่อน +22

    Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA

  • @nevermwambela3719
    @nevermwambela3719 9 หลายเดือนก่อน +17

    Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha

    • @kelvinmwombeki763
      @kelvinmwombeki763 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 9 หลายเดือนก่อน +15

    Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke 8 หลายเดือนก่อน

    Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa

  • @DicksonPhanuel
    @DicksonPhanuel 9 หลายเดือนก่อน +12

    Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako

  • @nestor384
    @nestor384 9 หลายเดือนก่อน +28

    Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent
    I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband 9 หลายเดือนก่อน +2

      Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@bobjulieoneheartband
      Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina

  • @eleutermhumba347
    @eleutermhumba347 9 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera Dr KAKULWA

  • @geey7893
    @geey7893 9 หลายเดือนก่อน +12

    Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.

    • @ingozescopion
      @ingozescopion 9 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa

    • @geey7893
      @geey7893 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 9 หลายเดือนก่อน +2

      Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda

    • @senziashwaibu3219
      @senziashwaibu3219 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza

  • @amanijoseph6764
    @amanijoseph6764 9 หลายเดือนก่อน +2

    Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 9 หลายเดือนก่อน +1

    Inapendeza Sanaa MASHAALLAH

  • @JeremiahRichard-oj8up
    @JeremiahRichard-oj8up 9 หลายเดือนก่อน +18

    Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      Kafichwa na nani mbona yupo huru

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 9 หลายเดือนก่อน +24

    Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania.
    Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho.
    Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu.
    Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu.
    Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!

    • @KandidaMtitu
      @KandidaMtitu 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa kabisa...🤝

    • @stanleyamlima2085
      @stanleyamlima2085 9 หลายเดือนก่อน +1

      Uwooooooongooooooo

    • @peteralmas1505
      @peteralmas1505 9 หลายเดือนก่อน +1

      Niko pamoja nawe

    • @bobjulieoneheartband
      @bobjulieoneheartband 9 หลายเดือนก่อน +2

      Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢

  • @PAMA3542
    @PAMA3542 9 หลายเดือนก่อน +14

    Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 9 หลายเดือนก่อน

      Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@festokemibala5832anaongea tu

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 8 หลายเดือนก่อน +1

    Great contribution

  • @michaelmwedimage5515
    @michaelmwedimage5515 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana Baba

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 9 หลายเดือนก่อน +12

    Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.

  • @ebenezerkaaya7345
    @ebenezerkaaya7345 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG
    Acxademician 👍

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 6 หลายเดือนก่อน

    Huwa namukubali sana

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.

  • @DonatiraNdyanabo-wm4rl
    @DonatiraNdyanabo-wm4rl 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera. Bashilubkb. Inawasomi

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 9 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly

  • @masanullahuzuni
    @masanullahuzuni 8 หลายเดือนก่อน +1

    Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi
    Alikuwa mahiri sana zaidi hapa

  • @paldonjonas9489
    @paldonjonas9489 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndo Bashilu ninayemjua

  • @MOSAMAJE
    @MOSAMAJE 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ulifeli sana Dr.Bashiru,wewe ni kinyonga,no one can trust you any more,kabla ya kuteuliwa katibu wa ccm,ulikuwa mwingine baada ya kuteuliwa ukawa mwingine,ukishakuwa kigeu geu ktk maisha hufai tena,fanya umalize muda wako ukatulie tu,huna sifa tena mwanzo ukiwa chuo nilikukubali leo hapana.

  • @edithjosephat7155
    @edithjosephat7155 9 หลายเดือนก่อน +1

    Point Dr MUNGU akutunze

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania

  • @ReonardBushiri
    @ReonardBushiri 8 หลายเดือนก่อน

    Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 9 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Daktari Bashiru ❤

  • @kilungamponda3984
    @kilungamponda3984 9 หลายเดือนก่อน +1

    Very good 👍

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 9 หลายเดือนก่อน +4

    Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.

  • @eutychusthiongo1335
    @eutychusthiongo1335 6 หลายเดือนก่อน

    Balozi Dr Bashiru Ally Kakurwa siku moja atakuwa Rais. Mimi Mkenya

  • @AlvinMakenzi
    @AlvinMakenzi 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 8 หลายเดือนก่อน

    Wazarendo kama ninyi hamtakiwi na hawa mafisadi wanaotawala Sasa, strong leader bashiru

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      Ile trilion 1.5 ilikwapuliwa kipindi gn ebu nikumbushe kidogo..!

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 9 หลายเดือนก่อน +9

    Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 9 หลายเดือนก่อน +5

    Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki

  • @MalusiCebekhulu
    @MalusiCebekhulu 8 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo

  • @AtanasKameja
    @AtanasKameja 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwa sana baba

  • @godfreyerasto1208
    @godfreyerasto1208 9 หลายเดือนก่อน +3

    Very good

  • @AgnesMathias-xi2he
    @AgnesMathias-xi2he 8 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤🙏🙏🙏

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv 9 หลายเดือนก่อน +5

    Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 9 หลายเดือนก่อน +10

    Hawa watu ndo tunahitaji kutuwakilisha wananchi mbungeni tunahitaji bunge asilia 85 liwe na watu bright namna hii💪

    • @Hassan-ot1mc
      @Hassan-ot1mc 9 หลายเดือนก่อน

      ccm unawajua lkn

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 8 หลายเดือนก่อน

    Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 9 หลายเดือนก่อน +16

    Jiwe walilolikataa waashi Iko siku

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.

    • @jaywi5681
      @jaywi5681 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.

  • @JRltd-yo2py
    @JRltd-yo2py 9 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda

  • @emanuelmarco8102
    @emanuelmarco8102 9 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri

  • @azavelilwaitama1975
    @azavelilwaitama1975 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo ndiye Mwalimu Bashiru Ally ninaye mpa heshima kubwa. Anajua kujenga hoja zenye mantiki kwa umahili mkubwa, umpende au husipende, ukubaliane na hoja anayojenga au husikubaliane na hoja hiyo!

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      Cuf ilitoa watu wenye akili kubwa

  • @jafaryally-g1i
    @jafaryally-g1i 9 หลายเดือนก่อน

    Pongezi sana, Allah aendelee kukupa khekima na abariki kazi ya mikono yako

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 9 หลายเดือนก่อน +4

    KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??

    • @guugug9gt829
      @guugug9gt829 9 หลายเดือนก่อน

      Yote majizi ndiomaana yapokimyaa

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 9 หลายเดือนก่อน

    Akili nyingi✍

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 8 หลายเดือนก่อน

    Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.

  • @mariadaison7640
    @mariadaison7640 5 หลายเดือนก่อน

    Mama Salma umenikaa kwenyemoyo wangu piga kazi wanapika kelele wache wapige

  • @divinemwakapina4059
    @divinemwakapina4059 9 หลายเดือนก่อน +1

    Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee

  • @philbertluhunga5932
    @philbertluhunga5932 9 หลายเดือนก่อน

    Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 9 หลายเดือนก่อน +4

    Nakumbuka kausemi " nafasi hii ni nafasi ya mwisho sitaki uteuzi na Wala sitakubali kuteukiwa hahaha"

  • @ProphetM-c9o
    @ProphetM-c9o 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia

  • @stephenalmas4209
    @stephenalmas4209 9 หลายเดือนก่อน +14

    Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.

    • @zigrondabagenga8585
      @zigrondabagenga8585 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir

    • @jumanneselemani2172
      @jumanneselemani2172 9 หลายเดือนก่อน

      HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 9 หลายเดือนก่อน

    Mpini wa JPM

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 9 หลายเดือนก่อน +5

    Wanasiasa meneno mengi mazuri ila utendaji mdogo sana

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 9 หลายเดือนก่อน +1

    BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.

    • @bickosichula986
      @bickosichula986 9 หลายเดือนก่อน

      umejuaje kama hakushauri

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 8 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa

  • @hussenikija6699
    @hussenikija6699 9 หลายเดือนก่อน

    Umeongea point Daktari

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando

  • @josephkapesa5880
    @josephkapesa5880 8 หลายเดือนก่อน

    Nipo pamoja na wewe dr bashiru hata kama ikinibidi kutoa sadaka kubwa ktk karne hii ya 21 kwa sababu wewe ni msema ukweli na kiongozi shupavu

  • @GeorgeNtauka
    @GeorgeNtauka 9 หลายเดือนก่อน

    Yupo makini sana

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 9 หลายเดือนก่อน

    Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa

  • @kiatu
    @kiatu 9 หลายเดือนก่อน

    Sijui kwanini watu kama hawa (akiwemo Polepole) kupewa uongozi wa juu katika chama. Hii ni kukidunisha chama.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jembe la nguvu!💪🏿

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091 8 หลายเดือนก่อน

    Walikuwa wanadharau watu hawa enzi za Magufuli

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni mkweli na sio mnafiki anasimama na kusema sio mambo ya kuanza uchawa wa anaupiga mwingi

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu mnafikitu pasi

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 8 หลายเดือนก่อน

    Dhahabu iliyokataliwa na mafisadi ya nchi hii.

  • @Chemba67
    @Chemba67 9 หลายเดือนก่อน

    Hapa akina Kibajaji, Msukuma ni maluelue kichwani wameachwa mbaaaaaali na huwezi wasikia.................taarifa muheshimiwa spika kwakua sio eneo lao.🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 9 หลายเดือนก่อน

    dk bashiru ni mtu makini sana

  • @ajirathabdulnoor4832
    @ajirathabdulnoor4832 9 หลายเดือนก่อน +1

    🎉

  • @TOMSAMSON-tj3sc
    @TOMSAMSON-tj3sc 9 หลายเดือนก่อน

    Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?

  • @AibaSaidy-jz3xs
    @AibaSaidy-jz3xs 9 หลายเดือนก่อน

    Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.

  • @MichaelJoseph-uc4zk
    @MichaelJoseph-uc4zk 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 hawa jamaa wanaofanya editing ya hizo picha wananifurahisha sana.

  • @EnockCharles-nd5to
    @EnockCharles-nd5to 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini hukumshauri Magufuli?

    • @omanoman-ir1ez
      @omanoman-ir1ez 9 หลายเดือนก่อน +1

      hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 9 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.

  • @superniki5699
    @superniki5699 9 หลายเดือนก่อน

    Dr bashiru naunga hoja hapo kwenye swala la vigezo na kupewa unacho stahili nitatizo kubwa sana kwenye inchi yetu na linakatisha tamaa sana yani jambo linawezekana kufanyika ndani ya dakika tano linafanyika siku tano hadi mwenye jambo lake anakata tamaa na kuanzisha jambo lingine

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa wabunge kila sentence wanapiga Meza hivyo hawaoni Kua wanaleta fujo?

    • @elvira9325
      @elvira9325 8 หลายเดือนก่อน

      Hahahhah hahhahaah jaman

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 8 หลายเดือนก่อน

      Wanaharibu meza bure tu

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 9 หลายเดือนก่อน +3

    In that way , our universities are simply glorified secondary schools .

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 9 หลายเดือนก่อน

      Tht is the fact.

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 9 หลายเดือนก่อน

      You are damn right

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 9 หลายเดือนก่อน

    waallaah kwa uongozi wa mm samia masikini hawa wezi kuvuka kwasababu wasaidizi wake wengi sio wazelendo wana wapiga sana wana nchi na akitokea mtu wa kuwatetea wanaenda kumlisha matango bori raisi anamtoa kwenye hicho kitengo na yy baado hajaguduwa wasaidizi waraisi wengi ni mabom ya yukilia

    • @guugug9gt829
      @guugug9gt829 9 หลายเดือนก่อน

      Mama apumzike awapishe wengine

  • @adidassichona
    @adidassichona 9 หลายเดือนก่อน

    Duu 0:31

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 9 หลายเดือนก่อน +1

    Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 9 หลายเดือนก่อน

      U are right

  • @ShukuruShukuruassani-yj8bs
    @ShukuruShukuruassani-yj8bs 5 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢