ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

EXCLUSIVE ; KIBOKO YA WACHAWI AFUNGUKA KULAZIMISHA WAUMINI KUTOA SADAKA "HATA KIDOGO WANYANG'ANYENI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

ความคิดเห็น • 136

  • @EmmanuelTate
    @EmmanuelTate หลายเดือนก่อน +14

    Watu wa mungu tuwe makini sana maandiko yameshaa tuambia manabii kama Hawo watakuja wenye macho ya kiroho tumeshaa juwa nini kinaendelea

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 18 วันที่ผ่านมา

      Hilo jicho ulilitolea wapi wewe

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 หลายเดือนก่อน +12

    Mtangazaji nmekukubali sana maswali yako n mazuri...ila mlengwa anajua sana kuiepuka😂😂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 19 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi ya Mungu kwann uwatoze pesa jmn ww huna wito

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 หลายเดือนก่อน +22

    Wewe siyo nabii bali mganga wa kienyeji.

  • @zakariamwamburi-7940
    @zakariamwamburi-7940 18 วันที่ผ่านมา +1

    My spiritual father watching from kenya u're right

  • @user-pt1sc4hc1k
    @user-pt1sc4hc1k หลายเดือนก่อน +3

    Mungu turehemu ktk nyakati hizi mbaya

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t 15 วันที่ผ่านมา +1

    Wapige pesa sana mtumishi si hawajaamua kutii kweli ya neno ukiwa nje ya Yesu utataabika sana

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 27 วันที่ผ่านมา +3

    Nashangaa serikali inamuacha huyu mkongo mpaka Sasa badala kumkamata

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ww ni mwizi kwenda kwenu Congo hacha kuibia watanzania

  • @samweli7985
    @samweli7985 หลายเดือนก่อน +5

    Kunawatu wanapenda umaskini sana

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 26 วันที่ผ่านมา +2

    Injili imeingiliwa, shuka mungu kwenye ufahamu wa kondoo wako😢

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 หลายเดือนก่อน +2

    Muda huongea, wakati ukuta. Hata saa mbovu huwa inasema ukweli mara mbili kwa siku !! Hata maandiko yanasema katika (Mathayo 24 : 35, Marko 13 : 31, na Luka 21 : 33 [Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe] !! Kumbuka wakati, walikuja wengi na mambo yao wakapita, watakuja na wengine na wao watapita, siku zote focus yako imtazame Mungu na sio mwanadamu awaye yeyote !! Kila mwanadamu anao uwezo wa kutenda muujiza wowote ule sharti kuu ishi maisha ambayo yanampendeza Mungu, tii sheria zake hakika utakuwa na uwezo wa ajabu !! Mbarikiwe sana

    • @nurdinmvellah4032
      @nurdinmvellah4032 26 วันที่ผ่านมา +1

      Barikiwa Sana mtumishi, watu wang wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, jihadharini na manabii wa uongo, . Mungu aliliona hili ndo maana alitoa msisitizo mapema.

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu naomba pesa mengi nitoe kuwasaidia wanao ongea ongea hawana hela naomba mungu nisaidie pesa nyingi na mimi

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 หลายเดือนก่อน +2

    Amen baba

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 หลายเดือนก่อน +2

    Hizi ni nyakati za mwisho YESU KRISTO yuko malangoni TUJITAKASE TUJIANDAYE TUWE macho wateule

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 28 วันที่ผ่านมา +2

    Nimecheka sana majibu ya Nabii kiboko ya wachawi nimecheka sanaa😝😝😝

  • @ramadhanimsangi9515
    @ramadhanimsangi9515 หลายเดือนก่อน +3

    Tapeli huyooo

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu sio mtumishi wa Mungu ni agent wa shetani

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli kazi ya Mungu ni garama.Watu hua wanapoenda kwa waganga wanatoa garama nyingi sana. Hivyo ni vyema kuthamini huduma za watumishi wa Mungu .

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa ana kipaji cha utangazaji aisee huyu dominic

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 11 วันที่ผ่านมา

    Serikali isimrudishe huyu tapeli aende kwa kagame

  • @engelbertnjau1622
    @engelbertnjau1622 หลายเดือนก่อน +2

    Ziki nyingi mno kwa watu hawatakikufanya kazi wanataka hela raisi acha wapigwe 😂😂😂😂😂😂

  • @rahabmausli4183
    @rahabmausli4183 หลายเดือนก่อน +2

    Nikweli Anafanya Business Aseme ukweli

  • @WilleMtei
    @WilleMtei หลายเดือนก่อน +4

    Watu amkeni ohooo

  • @AshoreAa
    @AshoreAa 4 วันที่ผ่านมา

    Kafanikisha arusha jaman arudi

  • @RachelEmmanuel-r4p
    @RachelEmmanuel-r4p หลายเดือนก่อน +2

    Huyo ni tapeli jamani kimbieni mnapotea

  • @Nipe9
    @Nipe9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo ni mpiga dili

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂 Wajinga ndowaliwao mnapigwa sana aisee

  • @NathanMwakabana-dt9xq
    @NathanMwakabana-dt9xq หลายเดือนก่อน +2

    Hahahaha hahahaha ufafanuzi wa maandiko hayo aisee ni hatariii...

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 20 วันที่ผ่านมา +2

    Uyo jama ni shetani

  • @JohnKitinyagamuga
    @JohnKitinyagamuga 13 วันที่ผ่านมา

    🎉❤😮

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 หลายเดือนก่อน +2

    ujue wengi wanapenda uhojiwe.ili tu wackie umesema nn ili wapate kujirecod na kukushambulia kwa maneno mabaya...lkn cmama imara MUNGU yupo pamoja na ww

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe wachawi wamekufa Arusha? Ndio alienda kuwazika

  • @yohanamorisi9027
    @yohanamorisi9027 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂zingatia neno WANAOTAKA kuanguka wanaanguka na wasiotaka hawaanguki

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 หลายเดือนก่อน +2

    nani tuende tukaanguke😅😅😅

  • @RehemaStannley
    @RehemaStannley 18 วันที่ผ่านมา

    Mm smeumia jaman

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n หลายเดือนก่อน

    Imani yako ndo inakuponya au kukupoteza kila mtu afanye yake zaidi bila uchawi tungefanikiwa sana acha awauwe hata atumie ushirikina hayatuhusu

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 หลายเดือนก่อน +2

    huyu jamaaa hapana😂

  • @Missionary_work
    @Missionary_work หลายเดือนก่อน +4

    Ivi Yesu alitoza Zakayo Pesa. Wewe bwana TAPELI.

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mkongo ni tapeli na mganga wa kienyeji

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 12 วันที่ผ่านมา

      Huyo ji Muhuni na ni Magic

  • @Gamba177
    @Gamba177 หลายเดือนก่อน +3

    Subhaannallah huyu mshirikina na muongo anawatapeli hao wajinga wasiyoenda shule keshawaona Watanzania wengi ni mijinga sana, na ogopeni na hawa WaCongo ni matapeli sana.

  • @user-lx6cf4jf4e
    @user-lx6cf4jf4e 16 วันที่ผ่านมา

    yesu hakuwai kutoza watu fedha kwa muona bali aliponya bure hakuchukua hata senti

  • @imakulathasimon
    @imakulathasimon หลายเดือนก่อน +4

    Hahaha halafu wewe kusaga unacho kitafuta utakipata

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 13 วันที่ผ่านมา

    Hicho kidogo ulichonacho myanganyeni dah kama kwwli ni maandiko yanasema hivo hio sio dini ya mungu kwwli ni dini ilioanzishwa na kaisari 😂😂

  • @samniza1763
    @samniza1763 13 วันที่ผ่านมา

    He is arrogant and apeleke arrogance yake hukohuko kwao Congo. Kwanini asiwe kiboko ya wachawi Congo???..

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 หลายเดือนก่อน +2

    Mmmmmmm tuombe Muñgu atupe masikio na maamzi ya tohoni

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 9 วันที่ผ่านมา

    Anaongea kama mtu wa vigengeni.duh.toka apo

  • @bulengedimathias6756
    @bulengedimathias6756 20 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi hajui pesa za Zakayo zilikoenda. sasa ujue zilipoenda tena kwa hiari yake baada ya kuamua kumfuata Yesu.
    Luka 19:8-10
    8 Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.
    9 Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Ibrahimu.
    10 Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa niajent wa ibrsii hafai kuwa mtumshi

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 หลายเดือนก่อน

    Good Job Mgosi, Kussaga.
    Umeuliza maswali mazuri sana.!

  • @aminarama711
    @aminarama711 17 วันที่ผ่านมา

    Muache baba wachawi wakufe

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 หลายเดือนก่อน

    Kukutsna eden garden njiro saa 12 jioni, mbona ni usiku Sana. Wattu wanatoka mbali na usafiri ni wa shida pia. Basi tu tuombee wala usituache, mwenyenzi mungu akuongoze unionekanie mtumishi.

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 หลายเดือนก่อน +2

    Yeye mwenyewe mchawi yeye ni kiboko ya wachawi wenzake Tunawatuma Malaika wazvuruge hiyo mipango yako yote ya KICHWANI wewe mwenyewe ni mchawi wewe mwenyewe mchawi

    • @leonarddamian
      @leonarddamian หลายเดือนก่อน +2

      Huyu ni tapeli,mimi yalinikuta.

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV หลายเดือนก่อน +1

      😢😢😢😢😢pole sana wengi wanalia kutapeliwa na huyu baba kuna mama alitoa lak5 ili kumuona kufika huko hakuna unabii wwt kamuuliza shida yake nn kisha akamuambia toa lak7 nikuombee😢 bora na huyo mwingine katoa lak5 na hata kumuona hajamuona ​@@leonarddamian

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 18 วันที่ผ่านมา

      Hizo ni ctori lkn angetoa huduma bure mngewezaje kumjua kwa televison kwa radios utubu muwe mnafikiria

  • @GraceKazi-z8d
    @GraceKazi-z8d หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa nimempenda leo aseee ana ukomedi ndani yake

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 29 วันที่ผ่านมา

    Safi sana naomba waibie majuha hayo piga pesa MUcongo ile Mutu ya Pesa 😂😂😂

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 19 วันที่ผ่านมา

    Zakayo aliwarudishia wenye.nazo ila Yesu nae alitumia hela kuna.watu walitoa ila kama kiboko ya wachawi anatapeli watu shauri yake yy siku za mwisho hatari sana na si kiboko ya wachawi tu watumishi waombeaji wengiwengi wamesema bahasha kwenye maviumba.ya maombi.yao wanadamu tumefanywa biashara huduma jamani ina Yesu watu walimpelekea mitume walichanga.wenyewe na watu kujitolea leo watu wanachajiwa ile yakupeleka haipo

  • @zamdaAlliy-iu8kf
    @zamdaAlliy-iu8kf 26 วันที่ผ่านมา

    Mngutusaidie

  • @WiliamMatondo
    @WiliamMatondo หลายเดือนก่อน +2

    Mhh wajinga ndio waliwao

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 20 วันที่ผ่านมา

    Na kale kadogo alikonako nmnyang'anyeni duu andiko Hilo halipo😂😂😂😂😂

  • @Mwenjala
    @Mwenjala 27 วันที่ผ่านมา

    Baba hata ukisema million moja tutakuj mbn hata kwa waganga kwa mahospitalin anapeleka Zaid ya mamillion na kam Co nguvu za mungu kwa wagang mnafuatag nin ufisad umewajaa wa tanzania na bd

  • @JofryDaud-kc2du
    @JofryDaud-kc2du 26 วันที่ผ่านมา

    Mat28:19:20)kristo ali tuma watu kuwaokowa watu waovu laki sikatika kuwagamiza)

  • @Mwenjala
    @Mwenjala 27 วันที่ผ่านมา

    Kweli baba umenena

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 หลายเดือนก่อน +2

    Sina hela ningekuwa nayo ningekupa milioni 20,000 na watanzania wakue hakuna bure kila kinahitaji gharama km hawawezi kutoa pesa wapite hivi hakuna bure jamani maisha imebadilika Kila kitu pesa

  • @emachangale769
    @emachangale769 หลายเดือนก่อน

    Mm hamna kitu kajaliwa TU kuongea sana na kutapeli watu. Mimi aliwahi kunitapeli Sina hamu naye

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA หลายเดือนก่อน

    Safi sana kiboko ya wachawi...man of God

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 27 วันที่ผ่านมา

    Mbona unachukua pesa nyingi sana laki 5 unasaidia vipi sasa

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc หลายเดือนก่อน

    Tumuogope mungu duniani tunapita tuu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya หลายเดือนก่อน

    Wa Arusha ndugu zangu kuweni makini

  • @monicamichael-sr4kx
    @monicamichael-sr4kx หลายเดือนก่อน

    we kiboko ya wachawi mpaka nimecheka kwa sauti

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mkongo man au mtz....
    Mwizi kama mwizi

  • @witnesskessy9705
    @witnesskessy9705 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 hapo kwa mchawi na mm nlimuona anamfukuza

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 หลายเดือนก่อน

    Yeye amesema iwe usiku nani mapepo na wachawi kazi zao ni usiku usituzunguke

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 หลายเดือนก่อน

    Huyu mganga wa kienyeji atawakomesha watanzania

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 หลายเดือนก่อน

    WE NI TAPELI KAMA MATAPELI WENGINE NA UNAKWENDA ARUSHA KUWATAPELI WALE WALIOFUNGWA UFAHAMU NA WASIOIJUA KWELI..WE NI MTUMISHI WA SHETANI..

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni wauongo, narudia huyu ni wa uongo.

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni tapeli kama matapeli wengine..

    • @Wilhelmsalvatory
      @Wilhelmsalvatory 27 วันที่ผ่านมา

      tapeli kabisa huyo

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni kibwetele mwingine kama wa Uganda

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 หลายเดือนก่อน

    Hongera mh nabii..nimekufuatilia utube mara nyingi Sana.. radioni pia.. Pesa mtu anatoa m wenyewe, na wanapona pia.

  • @Nipe9
    @Nipe9 หลายเดือนก่อน

    Wanatoa naigeria

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta หลายเดือนก่อน

    Watu tumezoea vitu vya bure mno wao wataishije

  • @WilliamMtaresi
    @WilliamMtaresi 24 วันที่ผ่านมา

    Baba nitabirie

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 หลายเดือนก่อน

    Huyu freemason Katumwa mkimbienj kama ukoma

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu 29 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 amesema YESU ALICHUKUA FEDHA ACHA UONGO JAMANI YESU ALIFANYA KAZI BURE HAKUCHUKUA CHA MTU😮😮😮

  • @samweli7985
    @samweli7985 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo nyinyi mtu akiongea ukweli niwashetani, eti amkeni, maana yake mmelala au

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 หลายเดือนก่อน

    Mh huyu ni tp

  • @EufranciaNgombo
    @EufranciaNgombo หลายเดือนก่อน +2

    Anaemwongelea vibaya huyu baba anamatatizo yawe kiakili yawe kiuchawi kwasababu hamwiti mtu wanaoenda wote wanashida zao na wanafanikiwa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 หลายเดือนก่อน

    Wewe ndo mchawi mafundisho yako hayaniingii kichwani

  • @Lupembeajua
    @Lupembeajua หลายเดือนก่อน

    Haya magrofus ya nini sasa?

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg หลายเดือนก่อน

    Kweri baba

  • @ramadhanimmana3829
    @ramadhanimmana3829 หลายเดือนก่อน +2

    Haya utayapata tz tyu.

  • @MedyMjenga-q1n
    @MedyMjenga-q1n 15 วันที่ผ่านมา

    Wapige wajinga wengi wanakufata wenyewe hao

  • @DoriceHyera-tz9vq
    @DoriceHyera-tz9vq หลายเดือนก่อน

    Mtume songea

  • @angolina1768
    @angolina1768 หลายเดือนก่อน

    From dar es salaam tupo pamoja baba watu wako wa dar tunakupenda halafu kama alivyosema yy hamwit mtu na wala hajawah kumsukuma mtu hiv binaadamu mna nn lkn ndoana mwenyewe anasema muwege na Shukrani huwa anamaanisha kitu Wallah hiv huo uchawi mnaomuta angetaka afanye kabiashara kake mahali si angekua bilionea ila kaamua kusaidia watu kosa nyie mshindwe wajuu wa wachawi wakubwaaa

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King หลายเดือนก่อน +2

    Mi uwa sisemagi manabii..Ila huyu jamaa ni tapeli la kikongo limekuja kuwakaanga watanzania.. Hii biashara ya maji na mafuta inalipa

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 29 วันที่ผ่านมา

    Mpuuzi huyu

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 หลายเดือนก่อน

    Amevaa gloves msimchafue na pia corona ipo mjue

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni หลายเดือนก่อน

      Mh? Umo ndan kuna namna ndo maana.akiweka.mikono.tu.unaanguka

  • @goldenvibeztz8579
    @goldenvibeztz8579 หลายเดือนก่อน

    Agent wa kuzimu hasira ya Bwana itawaka juu yako soon

  • @user-el8rp6pd5q
    @user-el8rp6pd5q หลายเดือนก่อน +2

    Watanzania tuna midomo michafu alafu atuna jema . Yaan Mtumishi amekuja kutusaidia na kutuombea na kutuondolea haya maroho yanayotutesa bado mnaropoka ungese. Mtumishi huyu nimejalibu kumfatilia sana anapenda kuongea uhalisia hapo tu ndio anapigwa vita. Kaza baba tunaokuelewa tutapona

    • @Wilhelmsalvatory
      @Wilhelmsalvatory 27 วันที่ผ่านมา

      huyu ni tapeli

    • @user-el8rp6pd5q
      @user-el8rp6pd5q 27 วันที่ผ่านมา

      @@Wilhelmsalvatory una kitu gani mpk utapeliwe hela yenyewe huna

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 หลายเดือนก่อน

    amina baba barikiwa sana bro..ila me cpendi ujibu jinsi vile watu wakusemavyo vibaya plzzzzz nyamaza kimya..maana hiyo vita c yako bali niya MUNGU mwenyewe kaa kimya acha MUNGU atawajibu ila ucjibu kitu

    • @barakabusima
      @barakabusima หลายเดือนก่อน +1

      😂...khaaa yaani na wewe ni wale wale

    • @barakabusima
      @barakabusima หลายเดือนก่อน

      😂...khaaa yaani na wewe ni wale wale

    • @KAHINDITV
      @KAHINDITV หลายเดือนก่อน

      Hata simoni mchawi alfanya miujiza pia ukumbuke hivyo😅😅😅😅alafu hebu muwe mnalinganisha maandiko na mahubiri ya Yesu na manabii wa kale na hawa wa sasa😅😅😅😅neno la Mungu linasema tuhubiriwe toba na ubatizo. TUBUNI NA MBATIZWE. TUBUNI MAANA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA hivy na sio kuhubiriwa ya duniani. Hata Mungu amesema tumtafute kwanza yy kisha mali na amesema kama mtazitaka yan sio lazim ni km tutataka. Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maalifa😢😢😢

  • @user-ec4ou2tj6r
    @user-ec4ou2tj6r หลายเดือนก่อน

    Kwann amevas glops?

    • @JoyceChilewa-oy7nj
      @JoyceChilewa-oy7nj หลายเดือนก่อน

      Hhee sasa gloves zake wewe zinakuhusu nn watanzania bhana akivaa gloves msanii anhaaa akivaa mtumishi tu inawakera