Wanyamwezi na Wamakonde kibao wanamiliki ardhi Zanzibar, tena ardhi yenyewe ni ya kugaiwa bure na serikali ya Mapinduzi. Je, Mzanzibari gani kagaiwa ardhi huko bara?
Tatizo mumezidiwa akili na viongozi wenu mtanganyika hapigi kura zanzimbar lkn mzanzibari anapiga kura tanganyika na aridhi ndio hivo hivo lkn yy hamuna serekali ya tanganyika ipo ya muungano tu ndugu
Yaani mimi hua nawashangaa sana ndugu zetu wa damu...Kwani inchi kua na kanuni zake kuna ubaya?...Kwani hamuoni inchi kama vile Brunei, Singapore si wana sheria zao...Sasa kwanini mshangae na sheria za Zanzibar?? Mfano mwengine: **Pale T.bara unaweza kula mchana Ramadhani na baa hua ziko wazi na ndio utaratibu wao na hawajaingiliwa na wazanzibar ila njooo ule Zanzibar uone**..Sasa kila races ina tabia zao
KUTEMBEA NA BASTOLA NJIA YA KUWAUWA WAZANZIBARI @hamadsuleiman5177.Mimi nawaita ndugu wa jirani sio wa damu kwa sababu wanakuja kumwaga damu zetu kulinda Ukoloni kwa jina la Muungano. Wanatuharibia mila zetu na kutulazimisha mila zao kwa kizingizio cha nchi moja. Ndio maana wameondosha Kadi za Uraia wa Zanzibar baada ya Rais Karume kuondoshwa😂😂
Nyerere na Karume walikubaliana kutotokea kumezwa kwa Zanzibar, wazanzibari wapo kidogo kiidadi,ukiruhusu wabara kumiliki ardhi wazanzibari watapoteza haki na na nchi yao, Zanzibar iliunganishwa na Tanganyika kwa lengo la kulinda mapinduzi na sio kuifanya usiwepo tena.
Tatizo Tanganyika haipo tena ila Zanzibar bado ipo. Ndio maana Zanzibar ina sheria zake na TANZANIA bara inatumia sheria za Tanzania na wazanzibari ni watanzania pia. Kama hamutobadilisha ilo wazanzibari wataendelea kumiliki ardhi na vyenginevyo uko bara
.bona nyie Wazanzibar mnamiliki ardhi zetu ondokeni kwetu rudini kwenu na mama yenu awe Rais wa huko kwenu na Hussein Mwinyi arudi kwetu awe Rais wetu tumewachoka rudini kwenu mtoke huku hatuwataki kabisa
Ivi hw waandishi wa habari huchunguzwa ss hapa imekuwa kioo kwa jamii au mchonganishi wa jamii Mana tujue kila mmoja na uelewa wke huko mitaani wanaoishi ni mchanganyiko huoni km icho kitu so sw habari nyengine so kuzimwaga mitandaoni km humu msiangalie hapa angalieni pia mtakuja kuonana wachungu kisa mtu mmoja tu
Mana huko znz wapo watanganyika wengi tu wanamiliki ardhi na washajenga tena nyumba za kudumu kabisa wanamiliki nyiwanda wanalima bukheri ila habari km izi wizara husika wangekuwa wakiziangalia kwa makini tusipojenga ufa .......
hhahahah ukute huna ata kibanda unasapoti upuuzi wa majumba ya wenye pesa mtz anamiliki nyumba south africa ije ashindwe kumiliki ardhi zanzibar em toeni upuuzi@@hanifahkhamiss8485
Hayo yote yataisha soon as possible...Sheria si msahafu..Umilik wa bastor ni muhim kwa ulinz binafsi...Mwenye nia ovu ata kwa bisibis atakuchom mithir wamasai na fimbo, virungu na sime....Suala la ardhi nalo mkisema hivy ni ktk kuwabagua wabara then uku tuwachukulie poa...Kama TZ ni moja kwann tuwekean mipaka...Mzazibar ana uwezo anunue hana adje bara na huu ndio muungano...Hii sheria haitadumu ila wawekezaj toka nje mnawamilikisha...None sense....inabid mjitathmin... Kama itawezekan muish kama kisiwa bila mashirikian nasi basi iwe hivyo...Na kwa hiz scenario zenu zinalet chuki baina ya vizaz vya bara na kisiwan na huu ubaguz unaend kuanzia mashulen ad vyuo vikuu...Kuwen makini
@@DicksonIgnas-pq1rj Hawa wenzetu wanakasumba san...Zandaaani kbs tuish nao tu halafu pia wanahis kuwa bara bahat mbaya yan bora wangekuw karibu na wakomoro ila si wabara
Kuna kitu huyu hajafafanua vizuri katika kumilik ardhi zanzibar,ili umiliki ardhi zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mzanzibar ,kwahiyo hata waliozaliwa zanzibar ambao asili ni wazanzibar lakin wanaisha tanzania bara basi pia hawaruhusiwi kumiliki ardhi ikiwa hawana kitambulisho na kwa mtanzania bara akienda kukaa na kupata kitambulisho cha mzanzibar nahisi kama sijakosea kwa muda wa mwaka anapata kitambulisho na anamiliki ardhi,so kuna watu wengi wanamiliki ardhi kutoka tanzania bara na haikatazwi kwa mtanzania kumiliki ardhi kwani hata hao wazawa wa zanzibar kama hawana vitambulisho vya pale hawamiliki ardhi
Maji ya bahari hayaathiriki kwa kuingiliwa na maji mto, Ispokuwa maji yamto yanaharibika yakiingiliwa na maji ya bahari, Mkuu wa mkoa wa mjini Maghrib apandishwe cheo kwani ni msema kweli hamung'unyi maneno, acheni chuki binafsi , kazi iendelee.
Munafeli yy hamujielewi mzanzibari anapiga kura tanganyika lkn mtanganyika hachangui raisi wa zanzimbar ni uzembe wenu yy wenyewe hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu
lakini anahangaika na maendeleo ya bara kuliko visiwaniutaelewa raisi ni wawapi ukitafiti vizuri hata wanaopata uraisi wakuchaguliwa wengi ni wabara hivyo maakamu ndo wazenji mwinyi ni mbara mkapa nyerere kikwete magufuli kwahiyo adi kufikia sasa raisi mzanzibari ni mama samia tena hakuchaguliwa amepita kikatiba haya endelea na mswada wako binafsi@@user-sl2hk8wp1p
@happynesssamwel2917 Siku utayoambiwa acha kiwanja au nyumba usije sema umedhulumiwa, ni sawa na watu wanaojenga kwenye barabara, siku ukiambiwa vyunja uondoke unasema tunadhulumiwa.
Mm sion faida ya huu muungano cjui wann na ili iweje cye tz tunajtosheleza vyakula madin hifadh za taifa bahari maziwa mito nk so yann kuwa na muungano na hawa
Tulokuwa tunajiuliza ni wengi hata huku zenj tulokuwa hatujuwi ukwelini tunajiuliza Nyerere lengo lakin kutaka muungano na visiwa hivi ila hapo ukifatilia ndugu ndo utajuwa, SISI ni watu wakusema alhamdulillah ukivunjika wew unaringia Mali sisi tunaringia imani Kwa MOLA wetu hatuna shobo na maisha
Mimi naona viongozi wetu ni wabinafsi sana hii nchi ilitakiwa kuwe na Raisi mmoja tuu kuanzia Pemba mpaka Ruvuma pesa ya dhahabu Geita itengeneze hospital Zanzibar na pesa ya karafuu ifike mpaka Mbeya Bunge liwe moja tuu nchi iwe moja tuu
Tukitunga za kwetu mtaweza kufuata? Km wabara hawqwezi kumiliki ardhi znz, basi hivyo hivyo na wazenji wasimiliki ardhi bara,na waliokwishamiliki ikiisha lease warudishe hizo ardhi serikalini huku bara wauziwe wamilikishwe wabara na wasiweze tena kumiliki
Hizo ni propaganda tu za serikali lakini wapo wabongo wengi sana wanamiliki majumba na mashamba sisi wananchi tunawajuwa na hao wanasema hawaruhusiwi kumiliki ardhi ndio wanaowapatia haki za kumiliki
Sija Elewa kwa wawekezaji au hata raia walala hoi kutoka bara hawaruhusii kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule au ndo haipaswi kabisa hata miguu miwili ya uchochoro
Kiongozi anaongelea sheria lakini zanzibar mitaani watu wanatishiwa kwa mapanga.anachozungumza angewakumbusha wakuu wa wilaya wenzake wafike maeneo yao ya kazi na kupata maoni ya wananchi wasikilize wataelezwa kama ni kweli hiyo sheria ya silaha inafuatwa
Sio kweli hakuna tajiri uyo atakae nunua kisiwa hichi wwe acha zarau iyo serikali haina uwezo wa kuwalipa raia kwakila mmoja wabara 3 wawenauwezo acha zarau hakuna kisiwa masikini
Zanzibr kuwa na njaa vp lakin tofaut na uko bara maan kazi zote za kuuza njugu embe mbichi , machungwa ukwaju nyiny ndo mnakuj kufny huku na kuchoma mahind mzanzibr humkuti kutoka nchi yke kenda sehem akapiga debe
Sio kweli iyo yakusema et amna mzanzibar anaefnya ukonda bara mbna wapo wengi sana nawengine wanauza juice zamiwa wapo wengi tuu nawanafnya kaz zakawaida tuu
@@YosephAndrew-zm8zw unawatuma weye hoja so kazi za kawaida hoja njaaa zanzibr na bara wapi kwenye njaa ndo alivosema zanzihar njaa zaid kuliko bora kwa akili ya kawaida icho kitu hakiwezekani
Sheria ya aridh imetungwa kwasabab znz visiwa havihimili watu wengi na mwisho wa siku kutawaliwa wazawa watakuwa hawana haki ndo tulipo sasa mnachaguwa rais wa mkuranga halafu mnalalamika pembeni
Ni kosa pia mzanzibar kununua ardhi ya Tanganyika, siyo Tanzania hapo ndipo wote tunapokosea. Kama ilivyo ardhi haiuzwi kwa wageni vilevile wazanzibar kwenye masuala ya ardhi ya Tanganyika si wenyeji ni wageni vilevile. Tubadili katiba na sheria zetu zitende haki kila upande.
Ukitaka kuishi zanzibar ufake sheriya huwezi ondoka ndomana mkatuona wazanzibari wakarimu na wastaarabu sana ila mnakuja kutoka bara sasahivi zanzibar imekuwa tafrani tupu machangu dowa walevi wauwaji majambazi kila kona. HONGERA MKUU WA WILAYA KAZI IYENDELEE
Wazungu, wahindi, warabu wamenunua sana aridhi Zanzibar na wanaishi, si kwamba wanaishi kama wawekezaji hapana, wamenunua wamejenga nyumba na wanakaaa, na wakati huo huo watu kutoka Bara hawaruhusiwi, sheria imewabagua kwa kigezo cha zanzibar ni kisiwa kinalindwa. Mh. Mkuu wa wilaya hii sheria kwa upande mwingine haiko fair kwa upande mwingine wa muungano tunaheshimu sana sheria na taratibu za Zanzibar lakini kuna haja ya kuliangalia upya. Je wale watanganyika wanaouziwa viwanja hapa na wazawa wanatapeliwa? maana sheria iko wazi haiwapi haki ya kumiliki aridhi Zanzibar.
Hawajatapeliwa, watu wanamiliki aridhi na wanajenga! Sheria inamtambua mtu wa Bara kuwa Mzanzibar mkaazi, baada ya kukaa Zanzibar Kwa muda usiopungua miaka 10! Na uwe registered kutoka ngazi za chini na ushiriki shughuli mbali mbali za shehia na mitaa!! Anachoongelea mkuu wa wilaya ni Ile MTU amajisikia kuja kununua aridhi kutoka Bara na kupata ardhi hiyo ni ngumu! Ukifuata masharit ni rahisi na watu wanajenga vzr!. Ukija Kwa jina la mwekezaji unapata Kwa utaratibu ulio wekwa! Kwani Tanzania Bara Kwa mjibu wa sheria za aridhi kuna MTU anamiliki aridhi au tunakodisha?.
Hiyo sheria ya ardhi zanzibar haifuatwi na si sheria hiyo tu .sheria nyingi za zanzibar zimetiwa kapuni. Katika makubaliano ya muungano pia mengi yamevunjwa.
Ardhi ya Znz almodt inamilikiwa na watanganyika walioko kwa madaraka hiyo sheria iko kwa kitabu tu . Wazanxibar wenyewe wanaondoshwa kwa ardhi zao .zikitakiwa .Hadithi za jaba hizo .
Wazungu mnawauzia Ardhi ila sisi ni marufuku sio😂 sheria za hovyo sana.
Wazungu hawajauziwa ardhi, wanakodishwa
@@rashadmohamed4357 Nashukur kama ni hivyo sawa
😂tatiza .wanaasira baya hao wanajaziba alafu wanawevu na wabogo
Anasema tuu mbona wabara Tele tuu wanamiliki Ardhi ZANZIBAR 😂😂
Wanyamwezi na Wamakonde kibao wanamiliki ardhi Zanzibar, tena ardhi yenyewe ni ya kugaiwa bure na serikali ya Mapinduzi. Je, Mzanzibari gani kagaiwa ardhi huko bara?
Nimarufuku mtu kutoka zanzibar kumuliki eneo Tanzania Bara natowa onto
nna mpango wa kununua kiwanja kigamboni kule😂😂😂😂😂
@marwajoseph8060 wee mpumbavu sasa raia milioni 1 tu wakinunua ardhi znz hao waznz wenyewe wakakae ktk bahari su?
😅😅😅😅
@@mangofish9079😂
Tatizo mumezidiwa akili na viongozi wenu mtanganyika hapigi kura zanzimbar lkn mzanzibari anapiga kura tanganyika na aridhi ndio hivo hivo lkn yy hamuna serekali ya tanganyika ipo ya muungano tu ndugu
Hahaha mkuu Asante kwa hilo la mfano wa kimasai
Very good move....
My beloved teacher 🎉❤ long time 💓
Yaani mimi hua nawashangaa sana ndugu zetu wa damu...Kwani inchi kua na kanuni zake kuna ubaya?...Kwani hamuoni inchi kama vile Brunei, Singapore si wana sheria zao...Sasa kwanini mshangae na sheria za Zanzibar??
Mfano mwengine: **Pale T.bara unaweza kula mchana Ramadhani na baa hua ziko wazi na ndio utaratibu wao na hawajaingiliwa na wazanzibar ila njooo ule Zanzibar uone**..Sasa kila races ina tabia zao
Waarabu na wahindi na wazungu NI Sawa kuwapa
KUTEMBEA NA BASTOLA NJIA
YA
KUWAUWA WAZANZIBARI
@hamadsuleiman5177.Mimi nawaita ndugu wa jirani sio wa damu kwa sababu wanakuja kumwaga damu zetu kulinda
Ukoloni kwa jina la Muungano.
Wanatuharibia mila zetu na kutulazimisha mila zao kwa kizingizio cha nchi moja. Ndio maana wameondosha Kadi za Uraia wa Zanzibar baada ya Rais Karume kuondoshwa😂😂
@@AhmedHassan-vl5zfhao wote wana kodi hakuna muhindi wala muarabu anaemiliki ardhi....hat ukiona muarabu ana miliki ardhi ujue ni mzanzibar.......
Wakija wawekezaji wazungu wakitaka kununua ardhi znz mtawanyima?
Nashindwa muelewa kiongozi anasema sheria sheria atuambie ilitungwa mwaka gani na iliptishwa na bunge gani
Nyerere na Karume walikubaliana kutotokea kumezwa kwa Zanzibar,
wazanzibari wapo kidogo kiidadi,ukiruhusu wabara kumiliki ardhi wazanzibari watapoteza haki na na nchi yao, Zanzibar iliunganishwa na Tanganyika kwa lengo la kulinda mapinduzi na sio kuifanya usiwepo tena.
Ila wazungu wanarusi
Wa😂 hatuna heda naarizi zakibinasi sisi wa bogo tunawajuwa yee niwebinasi mno ila mnasitirika kw jina lakisilam
@@surusuru1994wazungu hawauziwi ardhi bali wanakodishwa au wanatumia kwa jina la mtu, Zanzibar mgeni yoyote haruhusiwi kumiliki ardhi
Wazanzibar tukimpata huyu Jamaa kama raisi hapa visiwani tuta enjoy sana 😂
sasa mbona wao wapemba wana miliki viwanja nyumba na biashara sasa kunamaana gani kua na muungano wa znzbar mungano ni koti lililotubana watanganyika
Hii sio fair kabisa.. i love u my natural nation TANGANYIKA
Safi Sana
Mashallah, Mkuu wa mkoa uko Sawa
Na wenywe wasimiliki ardhi bara😮
Tatizo Tanganyika haipo tena ila Zanzibar bado ipo. Ndio maana Zanzibar ina sheria zake na TANZANIA bara inatumia sheria za Tanzania na wazanzibari ni watanzania pia. Kama hamutobadilisha ilo wazanzibari wataendelea kumiliki ardhi na vyenginevyo uko bara
Tatizo hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu
Mm mzanzibar lakin kwa mbongo asimiliki arthi sio haki mbona mm namiliki aridhi bongo
Yani ndo utaona huu Muungano ulivo wa kinafiki.
Unataki haki gn weye wacha ujinga kila nchi na taratibu zake
Ndio useme ww
@@AwatifAly-gw9qozanzibari ni nchi?
Sio yako hiyo
.bona nyie Wazanzibar mnamiliki ardhi zetu ondokeni kwetu rudini kwenu na mama yenu awe Rais wa huko kwenu na Hussein Mwinyi arudi kwetu awe Rais wetu tumewachoka rudini kwenu mtoke huku hatuwataki kabisa
Pombe zako hizo!!!!
@@makamekhamis871ulimnywesha wewe 😏😏😏
Wewe mchukue hussen Mwinyi tuletee samia Zanzibar sir tutampokea kama una uwezo
Ivi hw waandishi wa habari huchunguzwa ss hapa imekuwa kioo kwa jamii au mchonganishi wa jamii
Mana tujue kila mmoja na uelewa wke huko mitaani wanaoishi ni mchanganyiko huoni km icho kitu so sw habari nyengine so kuzimwaga mitandaoni km humu msiangalie hapa angalieni pia mtakuja kuonana wachungu kisa mtu mmoja tu
Mana huko znz wapo watanganyika wengi tu wanamiliki ardhi na washajenga tena nyumba za kudumu kabisa wanamiliki nyiwanda wanalima bukheri ila habari km izi wizara husika wangekuwa wakiziangalia kwa makini tusipojenga ufa .......
Mimi natokea Tanganyika, hizo sheria safi sana nawapa big up. Zanzbar mko safi sana kwenye sheria, haki na misimamo, sema mnaharibiwa na muungano
Sasa siwavunje huo mkataba?
Sila hatuwataki wsrudi kwao hawa walioko huku warudi hatutaki muungano kinachotakiwa ziwe Serikali 3
Mlioko kwetu nyie Wanzanzibar rudini kwenu mmejaa huku mpaka bandari zetu zinauzwa kwa warabu kauzeni bandari zenu hatuwataki jamani muungano ufe kabisa
Safi sanaaa
Sasa muungano Gani huo?
Uyu kiongozi ndie mzanzbar halisi sio mzanzbar mkaazi
Eeeeee......mzanzibar halisi uyo
hhahahah ukute huna ata kibanda unasapoti upuuzi wa majumba ya wenye pesa mtz anamiliki nyumba south africa ije ashindwe kumiliki ardhi zanzibar em toeni upuuzi@@hanifahkhamiss8485
Zanzibar ni nchi ya kula bata tu
Kabisa❤😂
Perfect Zanzibar ni kisiwa kidogo tumilki wenyewe tu
Wadanganye wasiojitambua....kwanini mnatafutaa watu WAGENI KUJA KUMILI ARDHI ZNZ?!
Ukikua utajua
Daah mimi ta nunua bastola maaana naona ntakuja ibiwa 😂
❤ zanzibar
ahhh maneno ya mfamaji wabongontele.wanamiliki ardhi
Hayo yote yataisha soon as possible...Sheria si msahafu..Umilik wa bastor ni muhim kwa ulinz binafsi...Mwenye nia ovu ata kwa bisibis atakuchom mithir wamasai na fimbo, virungu na sime....Suala la ardhi nalo mkisema hivy ni ktk kuwabagua wabara then uku tuwachukulie poa...Kama TZ ni moja kwann tuwekean mipaka...Mzazibar ana uwezo anunue hana adje bara na huu ndio muungano...Hii sheria haitadumu ila wawekezaj toka nje mnawamilikisha...None sense....inabid mjitathmin... Kama itawezekan muish kama kisiwa bila mashirikian nasi basi iwe hivyo...Na kwa hiz scenario zenu zinalet chuki baina ya vizaz vya bara na kisiwan na huu ubaguz unaend kuanzia mashulen ad vyuo vikuu...Kuwen makini
Shida nini hawaaminiki au wabala
Umeongea sahihi
Hujamuelewa
@@DicksonIgnas-pq1rj Hawa wenzetu wanakasumba san...Zandaaani kbs tuish nao tu halafu pia wanahis kuwa bara bahat mbaya yan bora wangekuw karibu na wakomoro ila si wabara
@@dondallas6683 Nifahamishe akhy
Kuna kitu huyu hajafafanua vizuri katika kumilik ardhi zanzibar,ili umiliki ardhi zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mzanzibar ,kwahiyo hata waliozaliwa zanzibar ambao asili ni wazanzibar lakin wanaisha tanzania bara basi pia hawaruhusiwi kumiliki ardhi ikiwa hawana kitambulisho na kwa mtanzania bara akienda kukaa na kupata kitambulisho cha mzanzibar nahisi kama sijakosea kwa muda wa mwaka anapata kitambulisho na anamiliki ardhi,so kuna watu wengi wanamiliki ardhi kutoka tanzania bara na haikatazwi kwa mtanzania kumiliki ardhi kwani hata hao wazawa wa zanzibar kama hawana vitambulisho vya pale hawamiliki ardhi
Kenya pia twatumia security na hapa ipo eti
Mwenyewe anajiona ameongea point kabisa kumbe pointless, huyu kiongozi anaonekana ana ubaguzi wa ndani kwa ndani kabisa, anaichukia Tanzania bara
Mshamba uyooo anaonekana anachuki malaya uyoo
Maji ya bahari hayaathiriki kwa kuingiliwa na maji mto, Ispokuwa maji yamto yanaharibika yakiingiliwa na maji ya bahari, Mkuu wa mkoa wa mjini Maghrib apandishwe cheo kwani ni msema kweli hamung'unyi maneno, acheni chuki binafsi , kazi iendelee.
Mnafeli xhana ndugu zetu
Hatuna ndugu sisi wenztu pemba
Munafeli yy hamujielewi mzanzibari anapiga kura tanganyika lkn mtanganyika hachangui raisi wa zanzimbar ni uzembe wenu yy wenyewe hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu
lakini anahangaika na maendeleo ya bara kuliko visiwaniutaelewa raisi ni wawapi ukitafiti vizuri hata wanaopata uraisi wakuchaguliwa wengi ni wabara hivyo maakamu ndo wazenji mwinyi ni mbara mkapa nyerere kikwete magufuli kwahiyo adi kufikia sasa raisi mzanzibari ni mama samia tena hakuchaguliwa amepita kikatiba haya endelea na mswada wako binafsi@@user-sl2hk8wp1p
Ardhi yao ndogo bora ununue nyumba tu za Bakharesa
Upo sawa mkuu hususani kwnye ardhi
Mbona tushanunua na hayo miliki tunazo na Bado tunaendelea kununua😂😂😂😂 sote wa moja bhana lol
@happynesssamwel2917 Siku utayoambiwa acha kiwanja au nyumba usije sema umedhulumiwa, ni sawa na watu wanaojenga kwenye barabara, siku ukiambiwa vyunja uondoke unasema tunadhulumiwa.
Duuu,k na hapa haipo Zanzibar 😢
Huku bogo hatuijui
YAANI KATI YA WATU WABAGUZI HUYU ANAONYESHA DHARAU WAZIWAZI NA KWA KWELI SIMPENDI KAMA JINI VILE,
Wabara hawawezi kuwa na ardhi zenji hatuendani Mila kwanza nyinyi mmefanya Hadi zenji iwe finyu kimaendeleo
Kuongea ukweli sio ubaguzi, tanganyika na zanzibar ni muungano wa mdomoni tu
@@hamicpina1151😂😂😂uvivu umewajaa mnataka kuzaa tu
@@hamicpina1151matako nyie
@@hamicpina1151KWAHY WAZUNGU MNAOWAUZIA NAO MAENEO VP MMEWAPA URAIA?
Mm sion faida ya huu muungano cjui wann na ili iweje cye tz tunajtosheleza vyakula madin hifadh za taifa bahari maziwa mito nk so yann kuwa na muungano na hawa
Tulokuwa tunajiuliza ni wengi hata huku zenj tulokuwa hatujuwi ukwelini tunajiuliza Nyerere lengo lakin kutaka muungano na visiwa hivi ila hapo ukifatilia ndugu ndo utajuwa, SISI ni watu wakusema alhamdulillah ukivunjika wew unaringia Mali sisi tunaringia imani Kwa MOLA wetu hatuna shobo na maisha
Mm ata leo ukivunjika sawa tu hamn ttz
Ni sababu za kiusalama Kaka Ila hakuna faida kiuchumi Wala nini
@@tinejuxfrancis729 kiusalama hapo sawa imani tuidumishe
Hamna bahari bara
Safi sanaaaaaaaaaa ,hatutaki majambqziii
Kwann utembeee na silahaaa tena ZANZIBAR ?
Mimi naona viongozi wetu ni wabinafsi sana hii nchi ilitakiwa kuwe na Raisi mmoja tuu kuanzia Pemba mpaka Ruvuma pesa ya dhahabu Geita itengeneze hospital Zanzibar na pesa ya karafuu ifike mpaka Mbeya Bunge liwe moja tuu nchi iwe moja tuu
Ile pesa ya Zra na TRA inayokusanyw bot inaenda wp
Kumbe Zanzibar haipo Tanzania kabisa n nchi nyingne 😂😂😂
Zanzibar inasheria zake bara tungeni zenu pia tutazifatz
Kwani nyie nao Sasa nchi
Tukitunga za kwetu mtaweza kufuata? Km wabara hawqwezi kumiliki ardhi znz, basi hivyo hivyo na wazenji wasimiliki ardhi bara,na waliokwishamiliki ikiisha lease warudishe hizo ardhi serikalini huku bara wauziwe wamilikishwe wabara na wasiweze tena kumiliki
Hizo ni propaganda tu za serikali lakini wapo wabongo wengi sana wanamiliki majumba na mashamba sisi wananchi tunawajuwa na hao wanasema hawaruhusiwi kumiliki ardhi ndio wanaowapatia haki za kumiliki
Sija Elewa kwa wawekezaji au hata raia walala hoi kutoka bara hawaruhusii kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule au ndo haipaswi kabisa hata miguu miwili ya uchochoro
😎
CCM na watanganyika je kwanini wazanzibari wamiliki kwetu tunataka selikari 3
Mbona wapenba Wana ardhi huku ...huu ujinga sana
Ujinga sana nimesha kasirika
ni bora watanganyika musimiliki ardhi Zanzibar muje huku tuwatume murudi mukajenge kwenu uko hatutaki immigrants.
asa kama kuna mtu nataka nimalizane nae uko uko
Kiongozi anaongelea sheria lakini zanzibar mitaani watu wanatishiwa kwa mapanga.anachozungumza angewakumbusha wakuu wa wilaya wenzake wafike maeneo yao ya kazi na kupata maoni ya wananchi wasikilize wataelezwa kama ni kweli hiyo sheria ya silaha inafuatwa
Anaongea nini huyu mim sio mzanzibar na niko na nyumba nungwi nimenunua kialali kiwanja nanikajenga mwaka wa 7 sasa
Hujijui ndio ushakuwa mzanzibar
Mtanganyika haruhusiwi kumiliki aridhi ila waarabu wazungu mnawapa unagizi udini acheni
Wazungu pia ni waislam ndiomana wanapewa
Sio kweli hakuna tajiri uyo atakae nunua kisiwa hichi wwe acha zarau iyo serikali haina uwezo wa kuwalipa raia kwakila mmoja wabara 3 wawenauwezo acha zarau hakuna kisiwa masikini
Sisi atuna mawazo ya kufikilia mbele wazungu tunawamilikisha aridh ila sisi kwa sisi atuna ruhusa ya kumiliki aridh hii ni fky 😂😂😂
Mzungu gani unamjua anamiliki ardhi Zanzibar
Hii ni nchi ya kistaarabu
Yaani huyu jamaa anajiona kwamba wazanzibar ni watu flani special sana..!! Kumbe Kuna njaa sana na umasikini uliopitiliza.
Zanzibr kuwa na njaa vp lakin tofaut na uko bara maan kazi zote za kuuza njugu embe mbichi , machungwa ukwaju nyiny ndo mnakuj kufny huku na kuchoma mahind mzanzibr humkuti kutoka nchi yke kenda sehem akapiga debe
Sio kweli iyo yakusema et amna mzanzibar anaefnya ukonda bara mbna wapo wengi sana nawengine wanauza juice zamiwa wapo wengi tuu nawanafnya kaz zakawaida tuu
@@YosephAndrew-zm8zw unawatuma weye hoja so kazi za kawaida hoja njaaa zanzibr na bara wapi kwenye njaa ndo alivosema zanzihar njaa zaid kuliko bora kwa akili ya kawaida icho kitu hakiwezekani
Huyu anatakiwa km anacheo atumbuliwe
Wee mtumbue sasa kosa lake lip apo
MBONA SS WANAMIRIKI AONIMATAPELI
Wapo wengi tu watanganyika wanamiliki ardhi Zanzibar
wabongo sisi tanganyika ndo mdudu gani🤣🤣🤣🤣
Mmmmh
Jamani leo mi wakwaza
Acha ushamba, wenzio wameona mda tu, hawana mambo mengi wametulia
Hawa wanajichongea wenyewe maaana ivi vitu avivutiki kabisa
Hutaki ww km nani km huna raisi wa tanganyika ni bure ndugu
Sheria ya aridh imetungwa kwasabab znz visiwa havihimili watu wengi na mwisho wa siku kutawaliwa wazawa watakuwa hawana haki ndo tulipo sasa mnachaguwa rais wa mkuranga halafu mnalalamika pembeni
Daimond alikuwa nayo mbona
Ile wanapewa watu wenye akili ww umemuona nayo lini
@@user-sl2hk8wp1p wewe angalia video akiwa zanzibar utaona anaitowa
MUFTI FUWATILIA WAPO WABARA WENGI WANAOYO MAENEO HAPA
Ni kosa pia mzanzibar kununua ardhi ya Tanganyika, siyo Tanzania hapo ndipo wote tunapokosea. Kama ilivyo ardhi haiuzwi kwa wageni vilevile wazanzibar kwenye masuala ya ardhi ya Tanganyika si wenyeji ni wageni vilevile. Tubadili katiba na sheria zetu zitende haki kila upande.
Ubinafsi,utengano,ujinga na masifa ya kipumbafu☹️🤫
kuhusu mguu wa kuku police wanatakiwa wazungumze sio wewe ndomana mnalizaraulisha jeshi la police
Na mama anakabizi na kuingia na lungu?
Iwepo sheria pia mzanzibar asimiliki ardhi Zanzibar wamalizie kununua ardhi kwao
Huyo anajenga ubinafsi co kiongozi
Ndio Kwa maana mama anauza tuu ardhi ya bara
Muungano upi sasa hapo daaah hawa jamaa wanahila sana Nyerere Uliwaza Nini??😮😮😮😮😮
Hukijui alichokiwaza na wala hutokijua unatakiwa uishi kwakutulia
ukila na kipofu usimshike mkono
Wewe ni Kati waznzri nnaowataka mm mana nazani tulizaliwa siku moja nakupongeza Sana na exclusive km hizi unatakiwa uzifanye nyingi sana
Duh, wao Tanganyika wanamiliki, ila kwao no, udumu muungano.
Hakuna tanganyika kuna Tanzania 🇹🇿 tu
Nimesema hivi kama Mtanzania bara marufuku Mzanzibar kumiliki eneo huku wala kupiga kura olewenu niwakute ntawanyoosha
Hivi munajua hata wachezaji wa bara kwenye kulipa kodi ni tofauti pale ZFF
DOTTO MAGARI TYPING 😅😅😅
Haya yanaubinafisi sana
sasa mbona nyiye mnamiliki ubaguzi wa rangi
Na nyie tungeni sheria
Hizo sheria zipo kwenye makaratasi tu lkn wangapi kutoka tanganyika wanamiliki ardhi
Ukitaka kuishi zanzibar ufake sheriya huwezi ondoka ndomana mkatuona wazanzibari wakarimu na wastaarabu sana ila mnakuja kutoka bara sasahivi zanzibar imekuwa tafrani tupu machangu dowa walevi wauwaji majambazi kila kona. HONGERA MKUU WA WILAYA KAZI IYENDELEE
Wewe choko kumbe
Hatanyinyi huku bala hatuwaitaji kumiliki arizi
Ubaguzi huu kwa nini wao huku bara wamiliki huko tusimiliki ila ipo siku yatafika mwisho na iwe haki sawa
Huyu ni Muongo hata huko Pemba kuna Watanganyika tele wanamiliki ardhi na majumba ya kifahari
Hapa sijamuelewa aliposema Tanzania inaruhusiwa😮😮😮😮😮
Kuwe na kiwango Cha umiliki. Sio kukataza kabisa kumiliki ardhi
Hata hatujui nani kamchagua huyu jamaa hanaga akili
Kuna busara,kuna kiongoz, hivi vitu tofauti
Watnzania bara kibao wanamiliki ardhi na wanauza zanzibar.
Wazungu, wahindi, warabu wamenunua sana aridhi Zanzibar na wanaishi, si kwamba wanaishi kama wawekezaji hapana, wamenunua wamejenga nyumba na wanakaaa, na wakati huo huo watu kutoka Bara hawaruhusiwi, sheria imewabagua kwa kigezo cha zanzibar ni kisiwa kinalindwa. Mh. Mkuu wa wilaya hii sheria kwa upande mwingine haiko fair kwa upande mwingine wa muungano tunaheshimu sana sheria na taratibu za Zanzibar lakini kuna haja ya kuliangalia upya. Je wale watanganyika wanaouziwa viwanja hapa na wazawa wanatapeliwa? maana sheria iko wazi haiwapi haki ya kumiliki aridhi Zanzibar.
Hawajatapeliwa, watu wanamiliki aridhi na wanajenga! Sheria inamtambua mtu wa Bara kuwa Mzanzibar mkaazi, baada ya kukaa Zanzibar Kwa muda usiopungua miaka 10! Na uwe registered kutoka ngazi za chini na ushiriki shughuli mbali mbali za shehia na mitaa!! Anachoongelea mkuu wa wilaya ni Ile MTU amajisikia kuja kununua aridhi kutoka Bara na kupata ardhi hiyo ni ngumu! Ukifuata masharit ni rahisi na watu wanajenga vzr!. Ukija Kwa jina la mwekezaji unapata Kwa utaratibu ulio wekwa!
Kwani Tanzania Bara Kwa mjibu wa sheria za aridhi kuna MTU anamiliki aridhi au tunakodisha?.
Si kwel ukiangalia hati zAo ni kwa ajili ya udhibiti ila mzanzibar imeandikwa kuimiliki nenda kaangalie
Passport pia irudishwe wanaoingia wawe na passport
Hamjamuelewa mbn raia wa kawaida wapo kibao wamejenga zanzibar mm ninaojiran zang watatu na washikaji pia ni watanganyika na wamenunua na wanejenga
Hiyo sheria ya ardhi zanzibar haifuatwi na si sheria hiyo tu .sheria nyingi za zanzibar zimetiwa kapuni. Katika makubaliano ya muungano pia mengi yamevunjwa.
😏😏😏😏😏😏
Basi wote wakae iwao zanzibar watuachie bara kwetu hata sisi hatuwataki kwetu wamiliki ardhi
Makamo wawili wa raisi hiyo siasa banaa
Mbona sisi wamasai ngorongoro
Hawatuachii uhuru kwenye aridhi yetu
Sasa ngorongoro nchi
kwenye ardhi hapo mh! ila chamuhimu Amani kama kumiliki ardhi kwa wa Bara ni hatari kiusalama basi wacha tuenzi wazee
Imeeleweka hyo ndio shida ya kutoelewa sheria
Yoooo wow 😢manaake wao wanaweza miliki tz lakini sisi hatuwezi kumiliki zanzimbari
Sasa si ndio sheria ya Tanzania na sheria ya Zanzibar coz zanzibar ni ndogo sana tofauti na Tanzania bara
Tanganyika sio Tz
Mmmh mbona wapo wabara wana ardhi muheshimiwa..kama kweli hawatakiwi..basi wacha tukupe urais akimaliza hussen mwinyi ..ww uta tufaaa pengine 😂
Wako wa bara tele wananunua viwanja tena wengi hawana lolote story tu hz
Ardhi ya Znz almodt inamilikiwa na watanganyika walioko kwa madaraka hiyo sheria iko kwa kitabu tu . Wazanxibar wenyewe wanaondoshwa kwa ardhi zao .zikitakiwa .Hadithi za jaba hizo .
Hatutaki wageni waruhusiwe kumiliki ardhi Zanzibar isipokuwa Mzanzibar tu
Ndo tushajenga ivooh 😊
😂😂Na hapa ipo ardhi kamilikini bara uku njoo utusalimie ila mie nikija uko mtanimilikisha😂😂😂 any way zanzibar ni nchi naiheshimiwe