Pastor naomba izo mada za maisha ya kikristo natamani kuzifahamu hasa kusuka na kuna mafungu yanakataza kuwasha moto siku ya sabato, naitaji msaada wa uelewa huo Ahsantee pastor
Pastor Mungu azidi kukuinua. Lile Neno WATUBIDISHA umelivunja kiyunani mara tatu na hubiri lote likakaa hapo ubarikiwe sana. Nimejifunza kuwa huwa tunasoma maandiko juu juu tu.
Nimebarikiwa sana Mchungaji yaani maswali haya ni mbaraka sana kwangu, ni kama Randy Skeete na Doug Batchelor ulimwengu wa Kingereza wanajibu maswali ambayo yamenitatiza na mengine watu wananiuliza napatia humo, ubarikiwe sana
Mungu akubariki sna mtu wa mungu maana mmi huwa unibaliki sna ipo sku nitakuwa kama ww
Barikiwa pr
Mungu akubaliki pr
Pr. Semba, ubarikiwe sana Kwa ujumbe makini wa kumtegemea Mungu Kwa njia ya neno lake kujibu maswali ktk siku ya Sabato hapo Dodoma...
Namshukuru Mungu nimejifunza kitu ambacho nilikuwa sijui ,ubarikiwe sanaa pastor
Be blessed pr
Hakika
Pastor naomba izo mada za maisha ya kikristo natamani kuzifahamu hasa kusuka na kuna mafungu yanakataza kuwasha moto siku ya sabato, naitaji msaada wa uelewa huo Ahsantee pastor
May God bless your effort you have to educate Christians about Godliness of guiding to walk in peace with God
Pastor Mungu azidi kukuinua. Lile Neno WATUBIDISHA umelivunja kiyunani mara tatu na hubiri lote likakaa hapo ubarikiwe sana. Nimejifunza kuwa huwa tunasoma maandiko juu juu tu.
Mze semba hapo kwa mjane wa serepta sijaelewa ulivojibu haswaa..rudia
Swali namba 05 umunibariki ulilivyo lijibu
Nimebarikiwa sana Mchungaji yaani maswali haya ni mbaraka sana kwangu, ni kama Randy Skeete na Doug Batchelor ulimwengu wa Kingereza wanajibu maswali ambayo yamenitatiza na mengine watu wananiuliza napatia humo, ubarikiwe sana
Tunatazama kutoka Nyamaraga west SDA CHURCH Isbania Kenya
Sauti Ipo chini mtumwa wa Bwana
Pastor nakuombea sana na hogera kwa kazi kubwa.
We love you pr❤❤