Hello pastor naitwa irine from Kenya but currently in iraq mahubiri Yako imenitoa mbali sana I want to say thank you for your good job may bless you more and more
Amen,Mungu akubariki sana mchungaji kwa kazi ambayo unayoifanya pamoja na wale mnaosaidiana nao ilitupate neno hapa mtandaoni ,nimejifunza mengi,Mungu awajaze nguvu na neema yake itoshe
Asanteni Mchungaji kuendelea kutufunukia Siri ya maisha ya ushindi, Kwa kuwa mbaraka Kwa watu wengine Bwana azidi kutujaza Roho Mtakatifu ili atuogoze katika kanuni HII ya mbinuni ya upendo
Amen pastor unarusaidia Sana kutulisha chakula Cha kiroho.MUNGU wa mbinguni asifiwe na akuongezee miaka mingi maana wengine wetu Kama Mimi umenitoa mbali
Ushukuriwe MUNGU muuba mbingu na nchi kwajiri ya mtumishi wako mbaga nilipo sikiliza kwenye you tube mahubiri ya ushuhuda wako nikaamini nikabatizwa 2020 nikakata tamaaa leo ameniinua tena baba yangu uliye juu nikutumikie sasa maana hili somo limenigusa mimi
Ni kweli mtumishi am from Mombasa kila jumapil family nying huenda apo mahali ( kwa Pere) wanapewa chakula karibia mikoa mitano huilisha na kma mko wengi kw family waeza maliza week nzima hamnunui chakula dukani😂 Ukienda upande wa barabara ni yey upande wa museum ni yey, mahospitali ni yeye... Mungu aendlee kumtunza baba huyu🙏
Ushuhuda wangu siku 1 niliingia katika jaribu la Kwenda kwa Mganga baada ya kutapeliwa gari yanguu lakini rafiki Mmoja akanambia twende Kusini kuna Mtaalam anaweza kukufanyia na mali zako zikarudi nilikubali!!! Ila nilipotoka hapo Roho yangu iliumaa sana nilipiga magoti nikaomba Msamahaa mbele zangu nikiamini Mungu atanitendea japo mpka leo sijalipata gari langu lakini naamini ipo siku litarudi
Niombee mchungaj niweze kupona matenzi yalio kuwa yananiuma kupitia neno lako llkuwa lnasema usihofu majibu ya daktar yanasema nn ww mtumainie mungu pasta nimepona namba uniombee yasirud tena Amina
Jambo Pastor. Naomba maombi kwa ajili ya kaka yangu mdogo ambaye amekumbwa na uvutaji wa bangi na madawa ya kulevya huko Congo na hata amebatizwa kanisani lakini hajabadilika.
Pastor..siku moja nilikusikiliza ulikua unahubiri kuhushu Imani ukasema ulikua unasema Ile gari ni yangu, kwa kweli Hilo neno nilifanyia zoezi mwishowe mungu alinibariki nikapata gari..KDB
Bariki watoto wangu wote wape uponyaji
Nimejifunza mengi sana tangu nianze kukuskiza pr be blessed 😊
Baba Mungu akubariki pastor , nimejifunza mengi sana 🙏
Hello pastor naitwa irine from Kenya but currently in iraq mahubiri Yako imenitoa mbali sana I want to say thank you for your good job may bless you more and more
May God bless you 🙏🙏
Amina
Watching from Nakuru Kenya. Thanks a lot Pastor 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Mungu wetu akubariki sana kwa mafundisho mazuri nimebarikiwa sana kila unapohubiri
pr bwana hasifiwe pastor naomba uniombeye niwe mshindi wazambi na nisimame vizuri kiroho kwajina la yesu Amen
Mungu akuinue ktkt viwango vya juu nasi tupate kufunuliwa neno la Mungu
Nakupa ya sana pastor BWANA akubariki
Amen
Mungu skubariki
Mombasa cement Mungu amubariki amekuwa kioo cha msikin kenya
Naomba uiombee familia yangu isimame katika utoaji wa mpango na kusimama ktk Imani kikamilifu..
Mchungaji ubarikiwe na Mungu atukuzwe
Amen hallelujah
usemayo ni kweli kabisa,,namuomba mungu anisaidie nisimsahau,,asante kwa mafundisho yako,,mungu akulinde David
Amen 🙏🇰🇪
Amen nimbarikwa Na somo hili mungu akubariki mtumshi hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali
Pastor naomba uwaombee watotot wangu wanakuwa wanaugua kila wakati Yesu kristo akatende juu yao,,, amina
Nabarikiwa sana na hili somo nakuombea mema mchungaji ww ni mwalimu sahihi
Namtukuza Mungu kwa ajili ya neno hili ambalo limepenya ndani ya nafsi yangu. Mungu akubariki pastor Mmbaga
Tayari kusikia neno la Mungu
KARIBU
Amen,Mungu akubariki sana mchungaji kwa kazi ambayo unayoifanya pamoja na wale mnaosaidiana nao ilitupate neno hapa mtandaoni ,nimejifunza mengi,Mungu awajaze nguvu na neema yake itoshe
Asanteni Mchungaji kuendelea kutufunukia Siri ya maisha ya ushindi, Kwa kuwa mbaraka Kwa watu wengine Bwana azidi kutujaza Roho Mtakatifu ili atuogoze katika kanuni HII ya mbinuni ya upendo
Amen pastor unarusaidia Sana kutulisha chakula Cha kiroho.MUNGU wa mbinguni asifiwe na akuongezee miaka mingi maana wengine wetu Kama Mimi umenitoa mbali
Amina, Mungu atusaidie kusimama.
Walioanzisha vipindi vya dini shuleni na vyuoni wabarikiwe
🙏
Ushukuriwe MUNGU muuba mbingu na nchi kwajiri ya mtumishi wako mbaga nilipo sikiliza kwenye you tube mahubiri ya ushuhuda wako nikaamini nikabatizwa 2020 nikakata tamaaa leo ameniinua tena baba yangu uliye juu nikutumikie sasa maana hili somo limenigusa mimi
Nabarikiwa nibariki na nyumba yangu yote ktk maombi
Amen 🙏
Naihitaj nipate kuhama ofisi ninayo fanya kazi kwa jina la yesu
Muombe Mungu akupe office sahihi
Amina amina
Be blessed pr
Amena
Good morning 🌄 pastor, maisha yangu Iko hapo Kwa miiba nijitoe aje 😭😭😭😭
Namba havionekani vizuri madishi ni kidogo sana siono
Mchungaji naomba uponyaji katika Familia yangu
Still waiting
I'm Richard mutisya from Nairobi Kenya pipeline area
Ni kweli mtumishi am from Mombasa kila jumapil family nying huenda apo mahali ( kwa Pere) wanapewa chakula karibia mikoa mitano huilisha na kma mko wengi kw family waeza maliza week nzima hamnunui chakula dukani😂
Ukienda upande wa barabara ni yey upande wa museum ni yey, mahospitali ni yeye... Mungu aendlee kumtunza baba huyu🙏
Pr pia naomba masomo ya.kufanya.kazi kwa bidii iliyaendelee kututia nguvu vijana
Nasubiri
🙏 🙏 🙏 🙏
Ushuhuda wangu siku 1 niliingia katika jaribu la Kwenda kwa Mganga baada ya kutapeliwa gari yanguu lakini rafiki Mmoja akanambia twende Kusini kuna Mtaalam anaweza kukufanyia na mali zako zikarudi nilikubali!!!
Ila nilipotoka hapo Roho yangu iliumaa sana nilipiga magoti nikaomba Msamahaa mbele zangu nikiamini Mungu atanitendea japo mpka leo sijalipata gari langu lakini naamini ipo siku litarudi
Pst Bwana asifiwe, mm nko na swali, je mkristo anafaa kutoa rushwa wakati anatafuta kazi
Barikiwa
Niombee mchungaj niweze kupona matenzi yalio kuwa yananiuma kupitia neno lako llkuwa lnasema usihofu majibu ya daktar yanasema nn ww mtumainie mungu pasta nimepona namba uniombee yasirud tena Amina
Pr utusaidie kuomba tuna case kaka yetu mkubwa alichukua loan n shamba letu tulijua lilipo wekwa gasetini kupigwa mnada,Mungu atujalie iishe sbb atakulipa wakili imekuwa ngumu kw sasa
Poleni sana
Oh maskin. Mungu atawasaidia
Mungu awasaidie
Emeeen
Waiting for
Jambo Pastor.
Naomba maombi kwa ajili ya kaka yangu mdogo ambaye amekumbwa na uvutaji wa bangi na madawa ya kulevya huko Congo na hata amebatizwa kanisani lakini hajabadilika.
Emeeeeni
Hakika MUNGU anasema na mimi Yesu anisaidie kupata kumfanya kuwa wa kwanza
Ombea.alice.apate.kazi
Aimen
Natuma Ombi langu tena pastor, Mungu anibariki na kazi tangu mwaka jana nilipoteza kazi hadi sahii bado sifahulu,niombe Pastor milango yangu ifunguke.
MUNGU AKUPE HAJA YA MOYO WAKO
Bwana YESU naomba umponye mdogo wangu bawasiri kama ulivyo mponya majipu mtumushi wako Ayubu
Mungu akutendee muujiza
Naomba pastor no ya whatsapp, be blessed
Pr naomba namba yako
Mchungaji nimeshindwa kununua kitabu chako mtandaoni sijui tatizo nini
Pastor.nahitaji.maombi.juu.ya.dadazangu.wako.saudi.wanafanya.kazi.lakini.walipwe.pesa.wako.na.miezi.sita.miaka.mbili.na.wengine.miaka.taut.na.nine.nisaidie.kuomba.
AMEN
Pastor..siku moja nilikusikiliza ulikua unahubiri kuhushu Imani ukasema ulikua unasema Ile gari ni yangu, kwa kweli Hilo neno nilifanyia zoezi mwishowe mungu alinibariki nikapata gari..KDB
I say thank you may the God continue bless you abundantly..kupitia wewe mungu amenitoa mbali..na ninaamini ananipeleka mbali zaidi
Aminaaa
Maombi.kwa.dadazangu.wako.saudi.wanafanya.kazi.na.wengi.wao.awalipwell.pesa.na.wame.kaa.wengine.miezi.sita
Amen
Amina na barikiwa sana na mafudisho yako MUNGU akubariki sana pastor
🙏
Still waiting
Pester mu ngu m Elijah from Kenya sana pester mm fundi Nitoke kwa Mandeen y a biashara n.a. ret emeeeni
Amen
Amen