Mahubiri mazuri sana kabisa. Mungu Akubariki sana Mchungaji wangu mpendwa.
Your preach always bless me,be blessed aboundetly.
MONGO ATUTURII 🙏🙏 TWIGWE ENG,ANA YAEEE🙏🙏🙏🙏 . UBARIKIWE MTUMISHI WA BABA
Nxur
Hakika mahubiri yametubariki mno
Murungu atufwie mbonea na uongejiwe lute lwedi mrisha.
Murungu atufwie mbonea na uongejiwe lute lwedi mrisha.
Pastor,, ulicho nacho ni kikubwa sana,, pengine wengine hawakuelewi,, Tunahitaji maelekezo ya Mungu kwa 100% ili tuwe salama,, Bwana akurehemu kwa lolote lile,, maana jinsi ulivyojitoa kwake si kawaida.
Ngoja tusafiri tutafika kwa Rehema za Bwana wetu Yesu Kristo
Bwana atujalie neema yake kila siku
Amen