wajibiwa maswali yao

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 102

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 ปีที่แล้ว +5

    Mwalimu Ndacha Mungu amempa hekima ya maandiko anajibu maswali kama Yesu alivyokuwa anajibu this is so inspiring

  • @samlomnyaki5749
    @samlomnyaki5749 3 ปีที่แล้ว +8

    Wee pastor MUNGU akuzidishie NEEMA zaidi na akubariki sana....umefurahisha roho yangu.+.

  • @moseskimani6088
    @moseskimani6088 3 ปีที่แล้ว +9

    Mwalimu uko na kazi ngumu

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 3 ปีที่แล้ว +10

    Hyu jamaa hatar, yaan biblia yte ipo kichwani

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 3 ปีที่แล้ว +4

    Heheheheeeeeee unacheza Na Ndacha Wewe...... Piga injjili mtumishi mteule

  • @shomariamurihassani1670
    @shomariamurihassani1670 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa ni mkatoliki kabisaaaaa

  • @nancyabura743
    @nancyabura743 3 ปีที่แล้ว +2

    Imenilazimu nirejelee kamusi nione maana ya vua.
    Ubarikiwe sana Mr Ndacha

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi9615 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu aendelee kuwajidishia hekima na neema yake

  • @johnlichungu2695
    @johnlichungu2695 3 ปีที่แล้ว +4

    Nashukuru Mungu kwa yote Asante sana watumishi hoping that Tanzania meeting will be successful.

  • @makalajonas
    @makalajonas 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Ndacha mungu akubariki sana hao wapo kimwili sana

  • @saimonjohn1166
    @saimonjohn1166 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu azidi kuwabariki

  • @izoomwenyewe1547
    @izoomwenyewe1547 3 ปีที่แล้ว +3

    The grace of our Lord, my Lord and God and saviour is amazingly great.

  • @ArmandMananira
    @ArmandMananira หลายเดือนก่อน

    Mubarikiwe watumishi

  • @rafaelbern2630
    @rafaelbern2630 3 ปีที่แล้ว +3

    Amina sanaaaa Pastor

  • @antonymachogu3051
    @antonymachogu3051 3 ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa saana mtumishi

  • @HbStv-el1zf
    @HbStv-el1zf 3 ปีที่แล้ว +2

    hallelujah, watu wapashwe habari njema ya wokovu

  • @sdasongswithlyrics3978
    @sdasongswithlyrics3978 3 ปีที่แล้ว +5

    Amen amejibiwa na neno lililo hai

  • @lucykamangu5030
    @lucykamangu5030 3 ปีที่แล้ว +3

    Mbarikiwe zaidi mwalimu

  • @daglassqweed2482
    @daglassqweed2482 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Ndacha

  • @BibliaMwangawaDunia
    @BibliaMwangawaDunia ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sanaaaaaaaaa mchungaji

  • @AllanKarani-t7f
    @AllanKarani-t7f 9 หลายเดือนก่อน +1

    Great!!! nimesoma leo

  • @STEPHENAUNGO
    @STEPHENAUNGO 4 หลายเดือนก่อน

    Anayeuliza swali ana upungufu wa kupuuza maandiko mengine

  • @JoyceGidion
    @JoyceGidion 17 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu usife moyo ukonakazi ngumu sana kiukweli unanibadilisha sana

  • @dennismajesonlenamunyi7761
    @dennismajesonlenamunyi7761 2 ปีที่แล้ว +1

    Always Following you . Francis Ndacha and Paulo

  • @Earth-Final-Alarms
    @Earth-Final-Alarms ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarik ndacha

  • @erickangima970
    @erickangima970 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu Ndacha uko sawa

  • @calebleyian2856
    @calebleyian2856 6 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu ndacha naomba ukuje kilgoris siku Moja watu wamepotea uku hawajui neno la kweli

  • @TonnyKamanga
    @TonnyKamanga 2 หลายเดือนก่อน

    Congrats ndacha

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaa Baba La WAJINGA.... Leo umepatikana. Yani wakristo wenzako pia wagongana na Wewe kwa ubozo wako

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว

      Tatizo kila umuonaye barabarani ni mkristo, eti! Mtu yeyote anawezasema ni dini fulani ila Biblia yesema 'utawajua kwa matendo yao'. Hivi wale Al-shabaab ni Waislamu? Kwa matendo yao?!!!! Mbona wewe hujajiunga nao???

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 2 ปีที่แล้ว

      Huyu anae bisha hana tofauti ya uelewa kama wewe, umemezeshwa na kuburuzwa maneno na kiongozi wako wa Dini toka ukiwa mtoto ndio maana ulipewa muda wa kupevuka na kujitambua na kujua lipi baya na lipi zuri, kama kwako Uislam ndio sahihi! Sasa nikikuuliza kwanini wenye makundi ya mauaji ni waislam haohao? Na wanajitetea Qurani imeruhusu na mnapo Ua lazima mseme Allhakibal na Bismilah na maneno hayohayo unatumia Msikitini. Ndio makundi kama hayo ya Osama bin Ladeen, Alshababu, Boko Haramu, Allzakawi, Libya walomgeuka Gadafi, Saadam Hussein, Magaidi ya Somalia, Wanao jilipua kwa kuvaa Mabomu wote hao ni Waislam, Sasa mbona na wewe aujiungi na hayo Makundi? Umejua kama hawako sahihi ila umeona wapi Makundi ya Wakristo wanajiunga kuua watu? Jitafakari na ubaki na njia ya kweli na uzima

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sir mwalimu ndacha

  • @AmosMbithi-k9m
    @AmosMbithi-k9m 10 หลายเดือนก่อน +2

    God bless u ndacha

  • @yvonnesarah3534
    @yvonnesarah3534 ปีที่แล้ว +1

    Sisi wote kama tunge funza watu kama ndacha.aki YESU WETU.huko mbinguni angefurshi saaaaana

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂hii kazi ni ngumu watu awakubali ukweli 😅😅wanapinga Bible haha 😂 😂😂 God have mercy

  • @stanleymulama7811
    @stanleymulama7811 ปีที่แล้ว +1

    safi mwalimu wangu

  • @ThomasMasha-qs2zp
    @ThomasMasha-qs2zp ปีที่แล้ว +1

    Kwani inayoabudu mungu ni roho ama ni siku? John 4:23-24

  • @Patrick19909
    @Patrick19909 2 ปีที่แล้ว +1

    @mwalimu dacha we want the all video of this

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Ndacha ni dawanol

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi9615 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwanni waisilam wanapenda kubishana na ukweli?

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 3 ปีที่แล้ว

      Ukweli gani eti kuwa mungu anazaa 🤣🤣🤣 mungu nimuumbaji mungu hazai ww Isaya 64:8

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว +3

      @@ustadhfarouq7729 Mungu anazaa kwa NENO wala sio kwa Ngono. Mungu anauwezo wa kufanya lolote, ikiwa Allah hana uwezo huo basi ni dhaifu na amepungukiwa!

    • @albassambakili3757
      @albassambakili3757 2 ปีที่แล้ว

      Ao wakristo enyewee hawafamiani hhhh

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 ปีที่แล้ว +1

    Wacha urongo Wewe Bonzo... Ati Hakuna and iko Yesu amuita Mariam mama!!!! Yohana 2:1-4😂😂😂

  • @justinmulewa2654
    @justinmulewa2654 ปีที่แล้ว +1

    ...na Mungu apewe sifa

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 2 ปีที่แล้ว +1

    When anyone says unkind things about our Blessed Mother Mary, to me it is clear he is not serving Jesus but other powers. Mary was most favoured with very special blessings which no other woman in this world ever received from Almighty God. God chose her among all women on earth to carry His Son in her precious Woumb! She carried the Word of God. She was put right in the middle of salvation plan. She cared forJesus from infant to adulthood. No other woman has ever received these kinds of blessings. Jesus called her "Woman" to fulfil the prophesy in Genesis. Mary became the New Eve. We do not worship her, she is created like all of us, but she definitely deserve our respect, honour and thankfulness for bearing for all humanity a saviour. I love her because through her I have learned to love and adore her Divine Son more deeply. She is the mother of faith in Jesus and we should follow her example.

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 ปีที่แล้ว +1

      Wapi Andiiko ndiye muombezo?

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 ปีที่แล้ว +1

      Wapi Andiko yeye ni muombezi

    • @alicemangat3165
      @alicemangat3165 2 ปีที่แล้ว

      @@BIBLIANURUYADUNIA sina haja ya kukupa andiko. Unaijua biblia, na yote nimeyaandika yanafahamika kutokana na maandiko ya biblia tukisoma kwa maakini bila kupuuza.

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 ปีที่แล้ว +1

      Leta andiko dada plz

    • @josephmwai4535
      @josephmwai4535 ปีที่แล้ว +1

      @@alicemangat3165 confused Catholics, oooooh Catholic

  • @alexnshimiyimana5526
    @alexnshimiyimana5526 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi mtumishi tuko pamoja

  • @warningvoiceoflastdays5823
    @warningvoiceoflastdays5823 3 ปีที่แล้ว +2

    Mko wapi

  • @philipkoskei8697
    @philipkoskei8697 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha uko kazi ngumu,mungu akuongoze

  • @fredrickmwangangi
    @fredrickmwangangi หลายเดือนก่อน

    Kila siku ni siku ya kuambudu kama mwalimu yuko sawa hata yeye anapaswa kujua hana Mungu,,,sda wanaamini siku wokofu si siku,,huo mlango ulikuwa wa ekalu jerusalem hata yeye anapotea

  • @justinmulewa2654
    @justinmulewa2654 ปีที่แล้ว +1

    Habari hizi ziendelee kuhubiriwa pande zote za ulimwengu

  • @Pixe_lify
    @Pixe_lify 3 ปีที่แล้ว +1

    Ati yesu hajawai ita mariamu mama katika bibilia..ai ndacha really WACHA KUDANGANYA WATU...YOHANA 2:1-4

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 ปีที่แล้ว +2

      Wapi andiko ina sema mamayangu. Ama toa kwa bibilia ya kizungu. Mimi uwita mwanamke yoyote mama ila si mamayangu

    • @Pixe_lify
      @Pixe_lify 3 ปีที่แล้ว

      @@saitotisapiyo9446 ubishi to swali linasema nini

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 ปีที่แล้ว

      @@Pixe_lify nkt Mama yangu ama masikiyo huna?😎

    • @john.j.george418
      @john.j.george418 2 ปีที่แล้ว

      Ujui kitu unalopokatu ww msahili ungekuwa na hakili unaabudu majin pole ukipata elimu utajuwa unakufa unaenda na majin yako uku 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kelvinkamau3174
    @kelvinkamau3174 8 หลายเดือนก่อน

    45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana,Luka1:45

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 2 ปีที่แล้ว +1

    I WISH UNGEKUWA UNATOA ANDIKO MUISLAMU AKIKUULIZA SWALI SIO KUUNGA UNGA VIRAKA HAVINA MWELEKEO.

  • @IntelligentCreatures
    @IntelligentCreatures 3 ปีที่แล้ว +2

    Umesema YESU hajawahi kumuita MARIAM mama yake? Ukitumia njia hiyo kuthihitisha basi pia tumia njia hiyo hiyo kuthihitisha YESU ni Mungu kwa maneno ya Yesu mwenyewe akisema MIMI YESU NI MUNGU la sivyo ni blaa blaa tu.
    Yohana 19:26
    Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao.
    Yohana 2:3
    Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.
    Yohana 2:4
    Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
    Yohana 2:5
    Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni.

    • @abednegokimeu7100
      @abednegokimeu7100 ปีที่แล้ว

      KJV John 2:4
      4 Jesus saith unto her, WOMAN, what have I to do with thee? mine hour is not yet come.

    • @abednegokimeu7100
      @abednegokimeu7100 ปีที่แล้ว

      KJV John 19:26
      26 When Jesus therefore saw his mother, and the disciple standing by, whom he loved, he saith unto his mother, WOMAN, behold thy son!

  • @johnmjata2675
    @johnmjata2675 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyujaa mpumbavu Sana anamaswali yahovyo

  • @priscillamacharia1323
    @priscillamacharia1323 3 ปีที่แล้ว +2

    Sauti

    • @mngwaliussi2668
      @mngwaliussi2668 3 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ndacha pamoja Na hao wapofu wenzako hamukielewi Kiswahili
      Ukisema amebarikiwa katika wanawake maana yake Maria amebarikiwa kuliko mwanamke yeyote duniani wacha.ujinga.wewe.ndacha hujuwi kiswahili

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 ปีที่แล้ว

      Huyu ampangia siku ili nimfundishe lunga tu lakini nataka nijifanye mbara Kwanza Kisha akione cha moto. Sababu huyu azengua watu wa Bara kwa kuwatafsiria na kueleza Maandiko na maneno ya Kiswahili KI-MCHUZI MIX

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว

      @@mngwaliussi2668 kwa hiyo mtu akisema 'mimi naishi KULIKO mji huu' itamaanisha 'mimi naishi KATIKA mji huu'???
      Labda iwe kisukuma, msomi wa Kiswahili kweli WEWE!!!!

  • @evantospear8260
    @evantospear8260 3 ปีที่แล้ว +1

    Dacha uko sawa but uko arrogant kimpango

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndacha umepatikana sasa kwasababu unapoteza watu sana

    • @moseskimani6088
      @moseskimani6088 3 ปีที่แล้ว +1

      We Sugulika na waislamu

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 2 ปีที่แล้ว

      Nyie mnaopata neema ya kusikia ukweli na bado mnaupinga! basi tambueni hata muda wahukumu ukifika ndio nyie mtakua mnaongozana na kumpokea Mpinga Kristo na Dunia nzima inajua Yesu ndie atakuja Kuuhukumu Ulimwengu ndio maana tunasubiria ujio wa Mpinga Kristo na kila kilichotabiriwa kwenye Biblia kitabu cha zamani kuliko Quran vitu kibao vimesha tokea na vinaendelea kutokea sasa sijui kipi kinawafanya mnakuwa wagumu kuelewa kwa faida ya Roho zenu. Muhamad mwenyewe yupo aridhini nae anasubiria Hukumu na kashasema hajui atafanywa nini siku hiyo ya Hukumu.

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 ปีที่แล้ว

    Mungu yuwazaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @raelmsafiri
    @raelmsafiri 22 วันที่ผ่านมา

    Hawa watu ni ubishi tu hawana lolote wanapora tu watu wabatizwe wawe wasabato wajifunze biblia

  • @vincentasava1529
    @vincentasava1529 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli ni mchungu

  • @hemoasna4138
    @hemoasna4138 ปีที่แล้ว

    this guy is asking rhetorical questions....

  • @ireneochieng100
    @ireneochieng100 2 ปีที่แล้ว

    Ndacha hapo kwa katika wanawake nimekataana na wewe

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 ปีที่แล้ว

    Wakristo wanapambana AllahuAkubaru

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว +1

      kama vile Shiya na Suni; waislamu wanaopingana. Au ulidhani watu hawajui Waislamu wana madhehebu mbalimbali?!!!

    • @crispuskasanga8487
      @crispuskasanga8487 2 ปีที่แล้ว

      Abdullah wasiojua wanapambana kujua hakuna makosa hapa

  • @janekwada6805
    @janekwada6805 3 ปีที่แล้ว

    Kama vile nyinyi munatumia history maneno ya watu kwa siku ya saba ni jumamosi, lakini Bible ni siku ya kwanza ya week ambayo ni jumapili, ndiyo siku ya sababu.

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 ปีที่แล้ว

      Wewe umepotoka, jiulize Good Friday ni nini. Hata wakatholiki wanajua Ijumaa ndio siku Yesu alikufa na akazikwa upesi kwa kuwa Sabato ilikua karibu kuingia yaani Jumamosi! Hiyo ni Biblia inasema, vitabu vya historia vinaunga mkono tu! Au wewe unamaandiko yanayothibitisha Yesu hakufa na kuzikwa siku ya Ijumaa?!

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha ati jumamosi ni siku ya kwanza kwa bibilia hahaha hatari sana

    • @janekwada6805
      @janekwada6805 3 ปีที่แล้ว +1

      @@saitotisapiyo9446 nani kasema jomamosi soma mandiko siyo history tutaishi kwa neno la Mungu siyo ya wanadamu. Ufunuwo 1 :3

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 ปีที่แล้ว +2

      @@janekwada6805 nkt Yesu alifufuka siku ya kwanza ya juma yani jumapili. Wewe una kuja kusema sabato ni siku ya kwanza ya juma yani jumapili 😂😂😂😂duu. History inaendana na bibilia wewe una soma vitabu kweli? Alafu unatoa ufunuo 1:3. Iyo andiko inakusaidia nini wakati ujui siku ya saba ni lini😂😂😂

    • @janekwada6805
      @janekwada6805 3 ปีที่แล้ว +1

      @@saitotisapiyo9446 it's like you don't understand what I say. Plz I don't say Sabato is a day no it's meaning it is Luke 23 :56. Plz don't answer what you didn't understand