MTANZANIA ALIYETEKWA NA WANAJESHI NCHINI ZAMBIA AHADITHIA:NI BALAAA/CHUPUCHUPU/NYERERE MSAADA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 เม.ย. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari#mbanga #simulizi

ความคิดเห็น • 122

  • @pastorcarolicarlostokunmbo826
    @pastorcarolicarlostokunmbo826 ปีที่แล้ว +9

    Mimi ni shuka Lagos MM airport Nigeria nikaonyesha passport nikawekwa pembeni nikatengwa nikapita bila kukaguliwa free kulikuwa na wasouth na wanigeria wenzao walipekuliwa ila nilipita sikukaguliwa wakaniruhusu niende pasport yetu inajulikana kwa kuwa na wafu wastaarabu haki najivunia utanzania.bado niko ughaibuni najivuna sana kuwa mtz wazee tudumishe undugu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 ปีที่แล้ว +7

    Mwalimu Nyerere kweli ni VISA❤️❤️❤️❤️

  • @RamadhanMakoka-vp9cl
    @RamadhanMakoka-vp9cl ปีที่แล้ว +12

    Kaunda Alipo wekwa ndani Nyelele Alikwenda Kumtembea Gelezani alipofika Kule Gelezani Akaamua Kukaanae mle Gelezani Akakataa kutoka Akasema Tufungeni Wote Mimi Sitoki Humu Ndani Mpaka Tutoke Wote Huyo Ndie Mwalim

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli KK alipowekwa ndani nyerere alimtembelea gerezani mjini Kabwe, Lakini kwamba alikataa kutoka bila KK ni uongo. Aliongea naye, baadaye akaenda kuongea na Rais Chiluba na akarudi Dar. Baada ya siku kadhaa KK alitolewa gerezani na akawekwa kizuizini nyumbani kwake.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale ปีที่แล้ว

      @@suntzu8959 Utawaweza Wabongo kwa chumvi! he he he he

    • @berthatz
      @berthatz 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe nawe siyo Nyelele ni Nyerere

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@TamuzaKale Watanzania ni Watu wa pekee Africa hakuna kama Mtanzania

  • @saidimwishehekienda933
    @saidimwishehekienda933 ปีที่แล้ว +19

    Huyu Kijana ni Mzalendo sana anajigamba na anatamba kifua mbele kua Mtanzania na anaelezea uzuri wa kua Mtanzania. Ni ukweli usiofichika kua watanzania ni wa pekee.....

  • @dullodullodullo686
    @dullodullodullo686 ปีที่แล้ว +7

    Apo kweli kwenye ukabila udini nyerere kafanya kitu muhimu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nyerere Mungu alimsaidia hivi vitu huwa vinadumu ikiwa waliobaki wanatunza haki

  • @juvenaryburchard719
    @juvenaryburchard719 ปีที่แล้ว +4

    Kweri Mwl alifanya kazi kubwa ya kutuunganisha na alitujengea heshima

    • @rshidmwasa8493
      @rshidmwasa8493 8 หลายเดือนก่อน

      Mbona makabila yalishaunganishwa na machifu wetu kipindi cha kupigana na ukoloni? Huyo Nyerere mwenyewe aliunganishwa na haohao wabongo. Asisifiwe sana kwa kazi ambayo hakuifanya yeye.

  • @paschalliving657
    @paschalliving657 8 หลายเดือนก่อน +2

    Am proud to be tanzanian

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 ปีที่แล้ว +2

    Bro nimekuelewa vzr ❤

  • @mashakampembela2552
    @mashakampembela2552 ปีที่แล้ว +2

    I'm proud to be Tanzanian

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 3 หลายเดือนก่อน

    Nabii akubariki kwao

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 ปีที่แล้ว +10

    kweli bro ❤unaongea point 💯salut kwake hata siku zote huwa nafikiria was tu kwetu hamna kama 🇹🇿 ingawa wanatoboa boda mmoja moja siku izi wanatuletea uhalif ni wageni hao ila si uganda si kenya si ruwanga angola wala zibwabwe nitazikwa tz sihami❤❤😂😂😂😂Kwetu

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว

      hiyo sio rais

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว

      Unazungumzia Zambia sioni we bado Sana nenda sudani au Somalia Zambia tunavyumba Lusaka tunaishi. nakila inchi inachangamoto zake. hata tz yapo marangapi wageni wanakamatwa nawakiwa passport. Ila inakutosha changamoto Ila hiyo nikawaida tu

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 ปีที่แล้ว +1

      ​@@JohnMalambo-hk5hk Sio mtanzania wewe ndio nyie tunakuwekeeni alama ya kuuliza ambayo ni hii ? Pumbaaavuuuu wee 😂😂😂

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 ปีที่แล้ว +1

      ​@@shinipapaya846 😂😂😂😂 kwakweli

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว

      Papay mwanaume wanamke sijuwi unalewa hicho Kiswahili

  • @Solace577
    @Solace577 ปีที่แล้ว +11

    Watu wanabeza lkn ukiwa Mtanzania nje unaheshimika, Siku moja nimefka Sweden nilipofika tu Allanda airport nikishangaa walipona passport yangu askari wakaniambia are Tanzanian? Lovely people, lovely country hee kidogo machozi ya furaha yanidondoke walivonithamin na nchi yangu

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 ปีที่แล้ว +2

      Sana yaani!

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 ปีที่แล้ว +1

      Aman ya nchi inachangia pia

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 ปีที่แล้ว +1

      Aman ya nchi inachangia pia

    • @yesutuatosha1460
      @yesutuatosha1460 ปีที่แล้ว +1

      Wachache utawasikia wanasema ukweli wa namna hii very impressive.
      Lovely country ❤️

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 ปีที่แล้ว +2

      Nilikuwa jidda airport tuko kwenye foleni ikaonekana kijana mmoja msomali Kama tumemvuruga tukaludi nyuma kumpisha,Alishanga na kuuliza are you Tanzanian,nilifarijika Sana maana alijua busara zetu

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider7155 ปีที่แล้ว +2

    Hilo la iT umeongea kweli serikali inakosa mapato bila kujua kisa Sheria nyingi

  • @aishaz1
    @aishaz1 10 หลายเดือนก่อน

    Bro story kali san umetisha bigp sn ❤❤❤ 254

  • @abbacushabba4110
    @abbacushabba4110 ปีที่แล้ว +3

    Ndio, hapo hitapugua magendo na rusha.

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 ปีที่แล้ว +3

    Jamaa katema madini kweli kweli!

  • @selemanshaban7496
    @selemanshaban7496 4 หลายเดือนก่อน

    MWANDISHI YUKO VZR SANA
    ANAJUA KAZI YAKE

  • @berthatz
    @berthatz 9 หลายเดือนก่อน +2

    Halafu majirani hao wanalalamika kutwa wakiingja TZ na wakikujua wewe Mkenya tu utakoma😂😂Kumbe tabia inawaponza.😂

  • @JamilSalanga-bv9of
    @JamilSalanga-bv9of ปีที่แล้ว

    Nafurah kukuona pacha wangu

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 4 หลายเดือนก่อน

    Ukabila tumeuishinda Ila udini bado upo Tanzania, ubaguzi wa kidini upo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว +2

    Tembea nje ya Tanzania kuna ukabila na udini unaulizwa wewe ni dini gani ukimwambia anakuwa karibu na wewe kama utakuwa itikadi moja tofauti ni kubwa mnoo

  • @user-jf7vx9nb9m
    @user-jf7vx9nb9m 2 หลายเดือนก่อน

    Itakua nyerere kawakomesha ndo maana wanaogopa

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 4 หลายเดือนก่อน

    Yeah!Mwl.JKNyerere ndiye aliyeendesha harakati za ukombozi wa bara la Afrika.makao makuu ilikuwa jiji la Dar es salaam.Hata putin anamjuwa Nyerere ni nani .Nina bahati kiumbe kuzaliwa Tanzania, nchi ya Nyerere.

  • @user-xy4wc9gs7y
    @user-xy4wc9gs7y 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu alikuwa kipao mbele kuwasaidia wa Zambia kupata Uhuru, pili Kyoto wankaunda alimuowa mtoto wa nyerere

  • @fahmyzicoify
    @fahmyzicoify ปีที่แล้ว +1

    Zambia tatizo. Kuna jamaa amesaidia kijana mdogo mgonjwa na familia yake lifti hivyo hivyo. Kijana akafia garini. Walimuambia ameshiriki katika kumuua. $$maelfu kuchomoka kwenye cell na case

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni2688 ปีที่แล้ว +1

    Kijana eleza maswahibu yako yaliyokupata huko, acha kuupinga mwingi. Unapoteza muda wetu na airtime zetu.

  • @CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh
    @CONSTANTINEBUKOMBE-ii7zh 8 หลายเดือนก่อน

    Yani huyu msimulizi anafanana sana na niyonzima

  • @RamadhanMakoka-vp9cl
    @RamadhanMakoka-vp9cl 4 หลายเดือนก่อน

    Alicho fanya Mwalimu Ni Rais was Kwanza wa ZAMBIA aliweka ndani na mrisi wake Mwalimu Akapata taarifa Akaenda ZAMBI MPAKA Mahabusu Aliowekwa Akaomba Kuingia ndani Aonane nae Muda Ukaisha Akaambiwa Atoke Akasema Mimi Sitoki Mimi nipo na Rafiki YANGU Mimi Sitoki MPAKA Nitoke nae Twende Kwake Wasaidizi wake Wakawaka Ikabidi Wawatoe Wote

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 ปีที่แล้ว

    Usemavyo ni kweri kabisa mi yamenikuta Greece nilisaidiwa njiani kwa jina la Nyerere,na nilikuwa nime kata boda la Uturuki kingia Greece.

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 ปีที่แล้ว +2

    Main story nzuri lakini anaikata sana kuomgea vipambo vingine!

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 8 หลายเดือนก่อน

    Kijana muelewa sana

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 4 หลายเดือนก่อน

    Thamin vya kwenu

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 ปีที่แล้ว +1

    Ushauri wa kujipendekeza

    • @pericykiko6198
      @pericykiko6198 ปีที่แล้ว

      Kaongea kwa faida yao wahusika wa hio kazi kujipendekeza hio vipi

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale ปีที่แล้ว

      Umri wake unamruhusu!

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm ปีที่แล้ว +1

    anazungumza sana toa point nini fasta sio maneno mengi

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 4 หลายเดือนก่อน

    Nying mnabisha wkt jamaa anaongea ukwl msafir nje mkaone

  • @omarimkettoomari576
    @omarimkettoomari576 ปีที่แล้ว +1

    Kingine ambacho alikua alikuiwbie apush histori book ya rais kaunda ataikita wasifu.wa myerere

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 ปีที่แล้ว +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 ปีที่แล้ว +2

    Mimi natamani Sana siku moja kuishi Lusaka zambia na kufanya kazi uko Zambia napapenda Sana wazambia wako na roho nzuri Sana tofauti na watanzania

  • @talibfoum8643
    @talibfoum8643 ปีที่แล้ว +3

    Nyerere wazanzibari hatumuelewi kabisa kwa mbegu alizozipanda kwetu

    • @theleo3899
      @theleo3899 ปีที่แล้ว +1

      Utamwelewa tu

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 ปีที่แล้ว +1

      Meza viwembe kumi tu ndo utajua kama unamuelewa au vip 😂😂😂

    • @alfinmbilinyi5985
      @alfinmbilinyi5985 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe unaubaguzi huwezi kumwelewa mwalimu alivyowapa fursa watanzania wa visiwani .Nenda pemba ya Msumbiji kote kuna watanzania wa visiwani wanatajilika huko kwa misingi ya Nyerere wewe una baki tu kuutukuza ubaguzi wa kijinga.wenzio wa visiwani wapo songea Dar Arusha Dodoma wanamiliki ardhi na majumba ya kifahali wewe umekalia maubaguzi ya kijinga .Nenda somalia nenda nchi za kiarabu watu wa aina moja dini moja rangi moja wanauana kila kukicha harafu wewe unamdharau baba wa taifa !pumbavu zako.

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +2

    Nani kakudanganya anapumzika kwa Amani? Kule kuna Nyundo

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 ปีที่แล้ว

      @Mansoor Mwarabu koko ww ndio nyie mnawekewa alama ya kuuliza ambayo ni hii? 😂😂😂😂😂

  • @saidimafu9524
    @saidimafu9524 ปีที่แล้ว

    Zambia sio nchi yakuishi

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 ปีที่แล้ว

      Watz niwengisana wanaishi kule nabiashara wanaendesha bila plesha yoyote,lakini wazambia hawawezi kuishi tz

    • @saidimafu9524
      @saidimafu9524 ปีที่แล้ว

      @@josephmakutano7067 ofcouse lakini wanasheria zakuumiza wananchi sana

    • @gabrielsiame5725
      @gabrielsiame5725 ปีที่แล้ว

      Zambia Tunaishi Zambia hatunanga matatizo namtu

  • @emanwelywambura2614
    @emanwelywambura2614 5 หลายเดือนก่อน

    Muongo dogo tena sana

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nyerere was a great man for sure

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 9 หลายเดือนก่อน

    Ati kiongozi wa dunia,Nyerere ni Kiongozi wa shetani

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 4 หลายเดือนก่อน

      Ukimchukia NYERERE wewe ni tahanani😅

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +1

    Watu wake wasukuma

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว +1

      uza sm yako huna wazo,

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +1

      @@JohnMalambo-hk5hk Sindano imekuingia, vumilia.

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว +1

      @@mansooralaisri5200 hoja yamsingi sijaiona ukabila tz tangu lini mnaiga fikira

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว

      @@JohnMalambo-hk5hk iko hoja mifereji ya msingi iko kwako

  • @alexikagoma5135
    @alexikagoma5135 ปีที่แล้ว

    Acha wazambia wanampa nafasi kila mtu bwana kitu kingine usijidanganye sana eti mwalimu nyerere katembeye nchi zawatu Pila kibali ukataje nyerere tuone kama watakuacha

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 ปีที่แล้ว

      We sio mtanzania Baki kwenu😅

    • @alexikagoma5135
      @alexikagoma5135 ปีที่แล้ว

      @@dainangei6608 mimi sina haja na Tanzania hakuna kitu inaweza kunisaidia sasa nanyinyi baki kwenu tz mbona mnazulura katika nchi zawatu mnatafuta nini

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@alexikagoma5135Kwanza wewe unatokea nchi gani 😅 kongo au Burundi au Rwanda 😅

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 ปีที่แล้ว

    Acha story hizoooo zambia no zingy people

    • @charlescharles8531
      @charlescharles8531 ปีที่แล้ว

      Kwer kabisa Zambia ni peace sana .bola angesema ata Zimbabwe Ndo waduanz

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 ปีที่แล้ว

    Nyee vijana nawaonea. Huruma kwanini munafanya porojo zabure kabisa ,au nyee watoto wamaccm,mzambia hawezi kuishi tz kugumu,acha unafiki nyerere aliharibu mfumo wautawala

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 ปีที่แล้ว

      Sio mtanzania wewe jinga wewe @Joseph fanya uludi kwenu tu 😂😂😂

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 ปีที่แล้ว

      Kwani umemuelewa anachozungumzia wewe? Kwan kakwambia wazambia wanaweza kuishi tz 😂 muone kwanza Baki hukohuko Zambia usije huku

    • @JohnMalambo-hk5hk
      @JohnMalambo-hk5hk ปีที่แล้ว

      @@shinipapaya846 mshamba wamazingira

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 ปีที่แล้ว +1

    Unafukiri utapata kazi selikalini kaeni kwenye nchi yenu ya manyanyaso nchi ya unanijua mimi ninani

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว +1

      ZAMBIA NI NZURI KWA VILE HAWATUUI ILA HAWAPENDI KUONA TUNAFANIKIWA , KUNA JAMAA ALINYANG'ANYWA WATOTO NA MALI NA KUFUKUZWA KABISA. NA CHECK POINT ZIKO NYINGI TOFAUTI NA TZ , NA UKAGUZI MWINGI ILA HAWATUUI.

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +2

    Ukabila alileta Magufuli kujaza watu serikalini.

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 ปีที่แล้ว +2

      Shukuruni sana WaBongo, njooni Kenya mujue maana na athari za Ukabila !

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 ปีที่แล้ว +2

      Mansoor pole hujui ukisemacho

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 ปีที่แล้ว +1

      @@mathewtwimanye92 Tanganyika inapata Uhuru mimi nipo mtu mzima nina akili zangu. Usiojuwa kitu wewe. Madhambi ya kila Rais ninayajuwa kuanzia Nyerere.

    • @wilfredaxwesso7394
      @wilfredaxwesso7394 ปีที่แล้ว +3

      Et unajua madhambi ya kila raisi ,je nani anayajua yakoooo? .Kafiri mkubwa wewe

    • @wilfredaxwesso7394
      @wilfredaxwesso7394 ปีที่แล้ว +1

      Kama Tanganyika inapata uhuru una akili zako kweli ulikuwa mtu mzima ila maoni ya kitoto

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 หลายเดือนก่อน

    Wazambia walishakuwa huru acheni uongo! Zambia ilkuwa ni miongoni mwa mataifa yaliyokuwa mstari wa mbele katika kulikomboa eneo la SADC!

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 7 วันที่ผ่านมา

      Mimi nyerere simkubali kwa sababu kaisaliti nchini yangu kwa na alikuwa ikituchukia pamoja na taifa letu kalitia umasikini kwa ubinasfi wake