Na ukija hapa kucomment useme kitu unauhakika nacho...msiongee kufurahisha umati maana hakuna amjuae mwanaume au mwanamke kwa undani...ni heri mnyamaze kuliko kuhukumu na kuwaongelea vibaya😏
Hili suala la mahusiano halina formula wa syllabus rasmi. Na kanuni za ndoa yako mimi haziwezi nisaidia. Unaishi na mtu aliyezaliwa na wazazi wengine, kabila lingine na utamaduni tofauti inahitaji kuchuja madhaifu ya kila mmoja wetu ili tukae sawa.
Sawa dada agape!!!!lakini kumbuka kuna shetani na kuna akili na kuna Mungu lakini efeso 4_27 biblia inasema wala msimpe ibilisi nafasi,kama ibilisi akipata nafasi akili inakuwa haina kazi tena maana anakuwa anacontrol
Inaonekana Uyo kk alivumilia vijimambo flan ivi yakamshinda.. muhoji na ndugu wa marehemu mume wake waandishi kuweni fair 😀. Izi media zetu zinaumwa sana.
Yeye pia amejiua...sasa kapata faida gani. Vitabu vyote vya dini vinasema moto unamsubiri kwa kujiua mwenyewe na kumuua mtu mwingine. Hatupaswi kuhukumu au kutoa maisha ya mtu mwingine. Ni mwenyezi Mungu pekee mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu.
Jamani swala la mausiano ni gumu sana tukio limetokea pia Imani na ofu ya mungu itawale ila msijadili zambi ya mtuhumiwa tumwachie mungu na atuepushe hatua Kama za mtuumiwa
Jelly Ness wanawake badilikeni vitabu vya dini vyenyewe vimewapa onyo wanawake mtaongoza kwenda motoni na jehanamu si mimi vitabu vya Mungu hivyoooo.Wanawake ni chanzo cha kuharibika amani kabisa.Tulia na ndoa.Mwenzio anahangaika mpate maisha timiza wajibu wako mwanamke acha Tamaa na midomo ya ovyooo.
Mungu akubariki sana Bibi umeongea vizuri sana hakika nimekuelewa.Bora ukosee kujenga nyumba utaibomoa ujenge nyingine kuliko kukosea kuoa au kuolewa .R.I.P
Umenena, wanawake wa mjini wanataka ndoa, kuslay, mitandao, pesa, maisha mazuri, wanaume wa nje, yaani huwezi kutaka vyote, "Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote" Ndoa ziheshimiwe.
@@paschalemmanuellutandula8640 Sasa ndio kapata faida gani.? Kama hajajiua ataozea jela. Nyumba hiyo nzuri hewa safi na mihela kibao aliyonayo keshaharibu. Yaani hakuna uamuzi was ovyo kama huo saaa hivi kama yuko hai lazima atakua anajuta sana. Kama amekufa pahali pake ni motoni tu.
@@hashimchaoga9566 hivi unajua maana ya gadhabu? Hawa wanawake waone tu labda kama hayajakukuta, ogopa sana hawa wanawake waliokimbia mapema Kwa wazazi wakaenda kupanga nyumba na kujitegemea, wanajilemba kupita kiasi, Wana mambo makubwa hao ukimuoa labda MUNGU akusaidie kukuepusha na majanga yao, hujawahi kuona mke wa mtu anarejea nyumbani na manundu kapigwa na mpenzi wake wa nje!!! Kaa hivyo hivyo ila huyo bwana lazima aligadhabishwa Kwa matendo ya huyo binti
@@georgemassebu2083 Hasira hasara. Ni shetani tu lakini alichofanya si sahihi hata kidogo. Maudhi yapo sana na mengi mno katika ndoa lakini watu hawauani. Wenye busara wanasema afadhali tu utoe talaka. Kuua ni roho na hulka ya MTU kama maudhi ndani ya ndoa yako mengi mno . Sasa kaua nae kama amejiua tu. Why?!?! Tumsikitikie na wala sioni cha kumtetea. Yeye si wa kwanza kutendwa hayo yapo kila siku na nyumba nyingi tu.
Dah bro kavuruga system yote ya watoto wake mtu ukiona humuelewi mpe talaka haya umeua na wewe umejiua jamani umeacha mali zako watoto wako na wazazi kwasababu ya wivu tu
We mtangazaji mjinga sana kwanza huna nidhaku unavuta bibi wa watu eti sogea basi!we vipi umekuta wasukuma wastaarabu na wenyenidhamu wengne ungeikimbia a maik
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
@@jumakapilima7295 ndugu yangu mke anauma asikwambie mtu labda hujampenda utaona kawaida.kingine utaendaje sehemu tena hotel hata kama unaenda kupiga picha tu bila idhini ya mme wako??!! Yani huyo.kaka kiufupi alivumilia mengi ndani ya hiyo miezi 5 kwa sabubh gani huyo dada anainekana alikuwa wa kishua sana yanj mtoto wa mijjni mpaka amepitiluza maana ukiangalia hiyo family ya huyo dada kuna wadogo zake 2 alikuwa akiishi nao hapo nyumbani.family yenye maadili mema haiwezi ruhusu watoto wakaishi kwa dada yao haga kama kaolewa na mwanaume mwenye uwezo kimaisha kwa hali ya sasa siyo vyema kabisa hata kwa muislamu pia
Tatizo umalaya na ujeuri mana mtu anahangaika maisha halafu mke anakufanya kama mwehu hakujali hakusukilizi na ujeuri na umalaya uvivu .kiasi umwage damu mtihani kweli
TUZIDISHE IBADA WATU WENGI HAWAPENDI UFANIKIWE. TUZIDISHE IBADA..UPENDO..HESHIMA UELEWA NA UTII KWENYE NYUMBA ZETU. PIA KABLA HUJAINGIA KWENYE NDOA NAOMBA TUCHUNGUZANE NA KUPEANA MDA WAKUJUANA VYEMA MAANA YAZAMANI SI YA SASA MAMBO YAMEBADILIKA.
mwanamke ata awe na bwana mwenye fedha kiasi gan lakin awa viumbe uwa hawatosheki. wanawake punguzeni ujinga mtapungua.. jamaa amejiua ameacha mali zote lol
Endeleeni kusema mwanaume ambaye hana hela wanini muendelee kuuwawa matukio mengi ya wana wake kuuwawa na waumezao unakuta mzee ana miliki kimango ndefu na chuma juu kaeni chonjo
Jumba zuri limebaki halina mtu. Halafu wanaume ukiona mwanamke ameanza heka heka zake zisizoeleweka mambo mengi ni bora umuache aende zake na umuombe MUNGU akupe ambaye atakuwa ni wa kwako yawezekana ulivamia ndoa ambayo sio ya kwako
Acha ufala ulikalilishwa tu ukalilli bila kutumia akili Kila maovu yote yanatendwa na wakulya ? Ukitumia akili Yako vizuri utaelewa Dunia nzima binadamu wamebadirika kuwa shetani ,
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
Wewe ni mjinga kweli sana na huna akili fala wewe. Mtu ameuawa unasherekea...hivi kuna wapumbavu wengi kama wewe. Sasa aliyeua, amejiua amepata faida gani?. Mshenzi mkubwa ?
Ndivyo ilivyo, Mwanamke mpumbavu, anayetanguliza tamaa za pesa na kumvulia kila mtu mwili wake,hajitambui thamani yake, wala hajawa tayari kuolewa kuwa mke na kumtii mumewe hasiingie kwenye ndoa. Wanawake kama hao ndo chanzo cha kuwafanya wanaume waonekane makatili kwa sababu Mwanaume ambaye hapendi ushenzi, maigizo,dharau,katika ndoa hawezi kuvumilia na kukuacha kirahisi,matokeo yake ni kifo. Wanaume chagueni vizuri msihadaike na muonekano, Pia control hasira zenu, ukiona mkeo ni dada wa mjini achana naye, USIUE, USIPIGE, sio solution mwache aende zake. N:B: Mtatukana na kukasirika kuusikia ukweli mchungu, Lakini pande zote zina shida ,na wanawake wanachochea zaidi vitendo hivi. Hata siku moja kichwa hakiwezi kuwa mkia, japo hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mwingine.
Kweli mapenzi sio pesa.....jumba kubwa zuri hivyo na bado amani hakuna
Upuuzi mtu unahangaikia maisha umefaulu baadae unajiua kisa mwanamke
Tusimsahau mtangazaji jamani anaiweza kazi yake vizuri Sanaa
TIBA PEKEE YA MAMBO KAMA HAYA NI YESU KRISTO PEKEE
Huyo uliemtaja huwa anazidaka risasi, wazee wa opportunist bana
@@ramadhankatoto7214 au anageuza risasi kuwa maji? vichwa maji bana
Ww unaongea punba
Yes anao uwezo wa kuzuia ukimuami na kumtumikia
@@aaSs-yf8oq uko sahihi kwa mwenye akili timamu🙏💕
Bibi wnazungumza Safi Sana
Na ukija hapa kucomment useme kitu unauhakika nacho...msiongee kufurahisha umati maana hakuna amjuae mwanaume au mwanamke kwa undani...ni heri mnyamaze kuliko kuhukumu na kuwaongelea vibaya😏
Kwa Kweli Maana Kunawatu Wanarosoka Utadhani Walikua Mabodgurd Wa Marehemu Swalha
Nikweli wengine wanakomment tu
Huyu Bibi aise yupo vzur
Ukimwambia bibi sogea hapa , unatakiwa umwambie naomba bibi usogee hapa , kijana kuwa na nidhamu
Hata mi nimeshangaa
Hata mimi sijapenda alivyomkokota mkono utafikiri ni rika yake.
Kwa kweli
Hvyo mtu unaishi vizur hv unafeli wapi kutulia na mumeo?dah
Hili suala la mahusiano halina formula wa syllabus rasmi. Na kanuni za ndoa yako mimi haziwezi nisaidia. Unaishi na mtu aliyezaliwa na wazazi wengine, kabila lingine na utamaduni tofauti inahitaji kuchuja madhaifu ya kila mmoja wetu ili tukae sawa.
Tamaa nyingi Hakuna jingine
" wadada wengi huwa wanapenda wanaume wenye pesa ,lakini unakuta wanapenda pesa na hawajampenda
Waliozoea kudanga na wanaume wengi hawawezi kutulia na mwanaume mmoja matokeo yake mwanaume asie ongea ana kujibu na risasi Kama huyu alivyo fanya
Millard ayo unafatilia taarifa mpk mwisho hadi raha! 💥💥💥
Yani bibi amejibu vizuri sana
Wanaume poleni kwa kweli. 1. Petro 3:7. Wanaume mmeambiwa ishini na wake zenu kwa akili. Someni maandiko mpate kupona.
Sasa ss tunakosa gani
Akili zipi izo tuelekeze bac
Sawa dada agape!!!!lakini kumbuka kuna shetani na kuna akili na kuna Mungu lakini efeso 4_27 biblia inasema wala msimpe ibilisi nafasi,kama ibilisi akipata nafasi akili inakuwa haina kazi tena maana anakuwa anacontrol
Amina mpendwa ubarikiwe
Inaonekana Uyo kk alivumilia vijimambo flan ivi yakamshinda.. muhoji na ndugu wa marehemu mume wake waandishi kuweni fair 😀. Izi media zetu zinaumwa sana.
Ndoa inamiezi 5 tuu
huyu mwandishi ni nazi, bibi kasema ni mgeni halafu anauliza je matukio hayo ni ya mara kwa mara mahali hapo
jinga sana , uliza kwa hekima
@@mereyamhomesmariamhomes3464 uwezi juw wenda walianza kuw n mhusiano muda mrefu mana uyu alikuwa Mke mdogo
Itakuwa ivyo ivyo maana uyo Dada ane naonekana yumo. Nae ila uyo kaka nae kasha jiripuwa Nayy kf
Umeona eee upande wa mume vip
Mtangazaji umefanya disrespect kwa ......mama usinge mvuta sawaaaah
Tena inabidi waanze kujitambulisha maana hizo camera wengine hasa wazee zinawashitua
nikwel aliteleza hapo
Huyo bibi anazungumza safii sana ,,😕
🤣
UPENDO, HESHIMA,UELEWA, UTII NA UAMINIFU vinahitajika KATIKA NDOA MUNGU TUSAIDIE 🙏🏻🥰
Amiin Yarabby 🤲
Ameen
Ashura Tunamtaka Diwani Wetu
@@alphamulokozi35 hahah diwani uyo kwio si kajipeleka mwenyewe 🤣
@@alphamulokozi35 😂😂😂😂😂
Mwanzah 🙌🙌 ni pazur haswaah ntakuj hko sku1
Haya makasiriko sio mazuri kabisa ni matumizi mabaya ya uhai sasa amepoteza vyote..namsihi asirudie tena ..RIP na MALISASI SIO MAZULI BIBI KASEMA APO!
Yeye pia amejiua...sasa kapata faida gani. Vitabu vyote vya dini vinasema moto unamsubiri kwa kujiua mwenyewe na kumuua mtu mwingine. Hatupaswi kuhukumu au kutoa maisha ya mtu mwingine. Ni mwenyezi Mungu pekee mwenye mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu.
😂😂😂😂
@@cattymoganah7064 unacheka😁😁😁
Jifunze qura kwa hukmu gusa maandishi ya bluu
th-cam.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
Kuta hizi zinaficha mengi.
Bibi umeongea vzr sana. Nimempenda sana
Ata mm kiukwelii bib yuko Safi saanaa ✊🏾
Umeona eeh rams
Safi sana bibi.umejibu vizuri mno
🤣🤣🤣🤣😀🙈Yan wewe rose
Bibi ana upeo mkubwa na IQ zake inaonekana iko juu kuliko mtu anayemuoji
Kha!😅🤣😂
😂😂
🤣🤣🤣kwakweli
😂😂😂😂
Ni kweli
Jirani yetu pumzika kwa amani
Afu bonge la mjengo❤️🙌
Muwahoji na ndugu wa mwanaume tusikie
Hâta akihojiwa ndugu wa Mme. Kitendo alichofanya huyo kaka ni ukatili. Akikukwaza muache hâta kama kafanya kitu chochote kibaya
Jamani swala la mausiano ni gumu sana tukio limetokea pia Imani na ofu ya mungu itawale ila msijadili zambi ya mtuhumiwa tumwachie mungu na atuepushe hatua Kama za mtuumiwa
Kitendo Cha kuua unataka wahojiwe iweje? Hata ufanyie nini huwezi kutoa uhai wa mwenzio
Bibi umejb vzr hapo huwezi kumjua mtu ya moyoni mwake kwa kumuona tuu usoni
Apoo mm nimemwelewaa Sanaa kiukwelii 🍾✊🏾
@@ramsikhamis7083 🙂
Ubora wa hii interview umesababishwa na waliohojiwa. Lakini mtangazaji ni sifuri kabisa
Mtu kashasema mm mgeni anarudia tena mshawai kusikia mlio km uo siku za nyuma🌝
Ngoja tupambane nawanaume wetu walio panga ata chumba kimoja
Hivi mnaowahoji hao mnawalipa maana nyie Ayo tv mnatengeza hela kupitia watu kuangalia taarifa zenu
Bibi nimemuelewa anajibu kisomi,maana maswli had yanachosha wa2 wana huzun
Tafuteni mama ya mtoto alikimbia jumba lote hilo kuokoa maisha yake
Acha nitafute maisha yangu aisee wanaumme 🙌🙌🙌
Nimesikia Pia mke wa kwanza alimuuwa pia
@@samiraabdimahamed4449 Subuhanallah kweri au stolituza watu kikitokeakitu
@@samiraabdimahamed4449 heeeh jomon kaua na bado yuko anakula bata
Jelly Ness wanawake badilikeni vitabu vya dini vyenyewe vimewapa onyo wanawake mtaongoza kwenda motoni na jehanamu si mimi vitabu vya Mungu hivyoooo.Wanawake ni chanzo cha kuharibika amani kabisa.Tulia na ndoa.Mwenzio anahangaika mpate maisha timiza wajibu wako mwanamke acha Tamaa na midomo ya ovyooo.
Hata km alikukosea mke wako. C umrudishe kwao? Inahaja gani kumdhulumu roho yke? Utakwenda kujibu kwa Allah
Mungu akubariki sana Bibi umeongea vizuri sana hakika nimekuelewa.Bora ukosee kujenga nyumba utaibomoa ujenge nyingine kuliko kukosea kuoa au kuolewa .R.I.P
Mwanamke ukisha olewa inatakiwa mambo mengine tuyaache mitandao hainafaida kwetu
kweli uko sawa
Nikweli mpenzi ila ilikuwa hana haki ya kumzulumu bora alikuwa amuwache tu
@@sabraabdilnasir8826 upo sawa kabisa alikuwa aachane nae tuu sio kumuuwa
Umenena, wanawake wa mjini wanataka ndoa, kuslay, mitandao, pesa, maisha mazuri, wanaume wa nje, yaani huwezi kutaka vyote, "Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote"
Ndoa ziheshimiwe.
@@queenandchill91 uko sawa kipenzi
mvuta bangi huyo sio bure mijanume mingine jamani ...
Alikua sawa unafkili wewe kumgaramia mwanamke harafu alete usenge unafanya nn
@@paschalemmanuellutandula8640 Sasa ndio kapata faida gani.? Kama hajajiua ataozea jela. Nyumba hiyo nzuri hewa safi na mihela kibao aliyonayo keshaharibu. Yaani hakuna uamuzi was ovyo kama huo saaa hivi kama yuko hai lazima atakua anajuta sana. Kama amekufa pahali pake ni motoni tu.
Yote hupagwa na mungu kwayo labd nisababu ya vifo vyao
@@hashimchaoga9566 hivi unajua maana ya gadhabu? Hawa wanawake waone tu labda kama hayajakukuta, ogopa sana hawa wanawake waliokimbia mapema Kwa wazazi wakaenda kupanga nyumba na kujitegemea, wanajilemba kupita kiasi, Wana mambo makubwa hao ukimuoa labda MUNGU akusaidie kukuepusha na majanga yao, hujawahi kuona mke wa mtu anarejea nyumbani na manundu kapigwa na mpenzi wake wa nje!!! Kaa hivyo hivyo ila huyo bwana lazima aligadhabishwa Kwa matendo ya huyo binti
@@georgemassebu2083 Hasira hasara. Ni shetani tu lakini alichofanya si sahihi hata kidogo. Maudhi yapo sana na mengi mno katika ndoa lakini watu hawauani. Wenye busara wanasema afadhali tu utoe talaka. Kuua ni roho na hulka ya MTU kama maudhi ndani ya ndoa yako mengi mno . Sasa kaua nae kama amejiua tu. Why?!?! Tumsikitikie na wala sioni cha kumtetea. Yeye si wa kwanza kutendwa hayo yapo kila siku na nyumba nyingi tu.
Mara alienda Kuangalia mpira akachelewa kurudi mambo yanakuwa mengi sana
Dah bro kavuruga system yote ya watoto wake mtu ukiona humuelewi mpe talaka haya umeua na wewe umejiua jamani umeacha mali zako watoto wako na wazazi kwasababu ya wivu tu
Kawatia hasara wazazi wa Binti .Umenena vyema kabisa
Kumbe na yeye amejiua
@@marthageorge7538 kajia tyr
Kwaule wakat huwez kuji control
Hii ya mwanaume kujiuwa sijaelewa vizuri. No kweli wamekufa wote?!
Mhu jamani hatuwez juwa ya ndan mke wa kwanza bona alikimbia kwann aiache mujengo huo
INNALILLAHI WAINA RAJIUN
Majirani munasikia risasi kila siku hamuripoti atakwa mjumbe mtihani kwakweli.
Nyamaza risasi,unawezaje kuwahiii...
🤣🤣heti wamezoea khaaa hongera zao
Bibi shikamoo upo juuu san bibi yng.
We mtangazaji mjinga sana kwanza huna nidhaku unavuta bibi wa watu eti sogea basi!we vipi umekuta wasukuma wastaarabu na wenyenidhamu wengne ungeikimbia a maik
Hata mi nimeona yaani kamvuta kama katoto
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
Huyo marehemu anaonekana alikuwa mtu ambae hana shoo mbovu.yaaan hajatuli😘😘😘bibi umeongea vizuri sana
Hata kama alikuwa hatulii hiyo si sababu ya kumuua
@@jumakapilima7295 ndugu yangu mke anauma asikwambie mtu labda hujampenda utaona kawaida.kingine utaendaje sehemu tena hotel hata kama unaenda kupiga picha tu bila idhini ya mme wako??!! Yani huyo.kaka kiufupi alivumilia mengi ndani ya hiyo miezi 5 kwa sabubh gani huyo dada anainekana alikuwa wa kishua sana yanj mtoto wa mijjni mpaka amepitiluza maana ukiangalia hiyo family ya huyo dada kuna wadogo zake 2 alikuwa akiishi nao hapo nyumbani.family yenye maadili mema haiwezi ruhusu watoto wakaishi kwa dada yao haga kama kaolewa na mwanaume mwenye uwezo kimaisha kwa hali ya sasa siyo vyema kabisa hata kwa muislamu pia
@@omanmobile5746 Kaka nakubaliana na wewe, lakini Kwa Hali yoyote ile haihalalishi kuua kaka
@@jumakapilima7295 nimtihani kwa kweli ALLAH awapunguzie azabu ya kaburi🙏🙏
Bibi anakwambia yeye ni mgeni bado unaendelea kumuliza maswali, Stupid.
nikweli mapenzi ya nauma
ila hadi kufikia kuuwa au kujiuwa
huo niulimbukeni wa ma mapenzi...
Tatizo umalaya na ujeuri mana mtu anahangaika maisha halafu mke anakufanya kama mwehu hakujali hakusukilizi na ujeuri na umalaya uvivu .kiasi umwage damu mtihani kweli
Wewe pia utaua yaonekana
@@estherpeninah7842 nikiwa naishi na wewe mwenye tamaa kila unaemuona unamtamani nakumwaga mavi
Hapo kwa Mwanaume(saidi) sio kwa swalha bhana!!
Mh kiukwel ni bora angechukua uamuzi mwingine kuliko na siyo kumuua kikatili ivo dah wanau
Me
Bibi kanichekesha eti yeye ni mgeni kahamia juzi 😂kila siku nakuona
Poleni na ndoa zenu akaa!!
Labda alidhani mkewe anamsaliti akaamua kumuua
English please!!!
Bibi aliskia "pu, halafu tena pu 😀
unamwambia sogea hapa bila tafadhali utamlipa ngapi
Bb kackia puuuh tena kackia phuuu bb kackia noma sana
Kwa kweli tukasema tumevamia
@@khadijahali4837 tukasema tena tumevamiwa
@@neemazee1864 😁😁😁
😁😁😆😆
Maninti wa vivu muenderehe kupenda wanaume wenye pesa
Mungu atakufanyia wepesi
Mhhh hilo jumba ndomn yule dada alikuwa akipiga lakini hatoki
Hicho kifo imekua wimbo wa taifa?
Mbona watu wanakufa kila siku.
Ahadi imefika imeshafika kama hamuna habari zengine za kutuonesha fungeni channel.
Waabie kabisa
Mtulie kwenye doa zenu wanawake jamaan
🙄🙄🙄🤐
Tuwe Waaminifu LasivyoDhuuu. 😶
Nyumba yakishamba mno..eti wanamuita bilionea...kweli bongo watu wengi wanaishi maisha duni
TUZIDISHE IBADA
WATU WENGI HAWAPENDI UFANIKIWE.
TUZIDISHE IBADA..UPENDO..HESHIMA UELEWA NA UTII KWENYE NYUMBA ZETU.
PIA KABLA HUJAINGIA KWENYE NDOA NAOMBA TUCHUNGUZANE NA KUPEANA MDA WAKUJUANA VYEMA MAANA YAZAMANI SI YA SASA MAMBO YAMEBADILIKA.
Kamanda alisema Kama mumechokana achana kuepusha Shari wanawake ni wengi
Jamani dunia twaipeleka wapi
Ukichagua mwenye pesa kuliko mcha mungu. Mwanaume ametumia nguvu kuliko akili ameharibu maisha yake mwenzie na watoto wake pia
Kweli kabisa, inasikitisha sana, si bora angejiua yeye mwenyewe akamwacha Dada wa watu😭😭😭
Beautiful home is empty now
😢😢😭
Inasikitisha sanaa
mwanamke ata awe na bwana mwenye fedha kiasi gan lakin awa viumbe uwa hawatosheki. wanawake punguzeni ujinga mtapungua..
jamaa amejiua ameacha mali zote lol
Dada uyo kaka atalaaniwa nenda kwa amani rip
Bibi kasem ni mgen lkn ndoa anajua ina miez 5
Bibi ana hana dogo
Bibi nimempenda bure
Na wanaume wasiacheache
Bibi anaongea vzr kweli
Endeleeni kusema mwanaume ambaye hana hela wanini muendelee kuuwawa matukio mengi ya wana wake kuuwawa na waumezao unakuta mzee ana miliki kimango ndefu na chuma juu kaeni chonjo
Nasikia nae kajiuwa, mait imekutwa baharin yazaniwa kuwa ndiye
Ziwani ndugu mwanza hakuna bahari
Ziwan
Baharini Mwanza 🙄
Ok Stan pamoja
jamaa yupo Kama amza
Jumba zuri limebaki halina mtu. Halafu wanaume ukiona mwanamke ameanza heka heka zake zisizoeleweka mambo mengi ni bora umuache aende zake na umuombe MUNGU akupe ambaye atakuwa ni wa kwako yawezekana ulivamia ndoa ambayo sio ya kwako
Ila.kubadilisha.badilisha.wanawake wengine wanakuwa wachawi watanzania.tumheshimu Mungu tutapona
Jamani kuna watu hawajipendaki kweli. Ona hilo jumba
umemfanya Vibaya kumkamata Bibi Kama Mtuhumiwa
Kwa kweli ucha wi upo uyu jamaa kalogwa Mambo ya uke wenza hayo
Ww inawezekana eeeh?
Umeonaee joy ukewwnza mama hapo n ndumba umefanya kazii
Acha ujinga na majungu, na yule mwengine alijipigaga risasi huku dar nae ni ukewenza?
Ni nyumba
Duuuu Maamuz bwana atar saaana. Sasa kaacha huo mjumba Kamuachia Nan aasa
Kamuachia mtt wake si anae mmoja
watakutana mbinguni sio shida tabu iko palepale yani vita bado mbichi.
Hapo ni Kwamwanaume,SIO KWA MWANAMKE,HIYO NYUMBA IMEJENGWA KWA MIEZI MITANO,
Sasa nini maana ya ndoa?Kama walikuwa wanaishi wote Ina maana ni nyumba yao wote
Unawajuwa
@@jacklinejacklinejonh6530 Yaani hata simwelewi huyu ndugu?
Nyumba kalii ila mke hayupo mpka saa sita usiku dahha😔
Majibu mumejiandaa nayo au mnachukua maamuzi tu bila kujua kuna hukumu huko muendako
Pole familia
Kiufupi wakuria Wana roho mbaya Sana awaogopi damu ya mtu kabisa
Wakurya iyo vepe inamana wanaoua wote niwakurya tu
Acha ufala ulikalilishwa tu ukalilli bila kutumia akili Kila maovu yote yanatendwa na wakulya ? Ukitumia akili Yako vizuri utaelewa Dunia nzima binadamu wamebadirika kuwa shetani ,
@@wemapiano4420 hajielewi tu cjui hafatilii matukio
Hahaha dah nomaa sana noma sanaaaaaa.
Mwanddishj unakela bibi kakwambia yeye ni mgeni lakin inazidi kuuliza hamsikiagi Rosas zinalia
Wanaume wenye pesa ndio huwa Ego zao hawajiamini, kila siku wanawaza kubiwa tuu.
th-cam.com/video/laB9Ha0ZU5M/w-d-xo.html
Pazuri mwanza eeh duh🤦♀️kama Masaki vile
Patamu sanaa, tena huko Buswelu pa kishua kinyama. Mwanza classic sana
Karb xn
Heshima ipo juu Mwanza . Ukileta zako unatulizwa
Wanawake wengine atujaturia kwenye ndoa
Mke wa mtu usupa6 wa nn ukikubali kuolewa ulale bila nguo, maana yake acha manjonjo yko yote lea familia. Hili ni funzo kwa wanawake wa ulimwengu huu wa sasa. Wajue ndoa ni agizo la Mungu mwenyewe na c ngonjera na madrama, Enyi wake watiin waume zenu, lakn Leo mmebadili Ss mnataka mwanaume amtii mwanamke haki sawa zmewapa vbur sna wanawake wa Leo utii hakuna kila kitu 2ko sawa solution yake ni haya tunayoyaona leo.
Wewe ni mjinga kweli sana na huna akili fala wewe. Mtu ameuawa unasherekea...hivi kuna wapumbavu wengi kama wewe. Sasa aliyeua, amejiua amepata faida gani?. Mshenzi mkubwa ?
Nonsense
Mhh alikuwa amuache kwa nini kamuuwa
Ndivyo ilivyo, Mwanamke mpumbavu, anayetanguliza tamaa za pesa na kumvulia kila mtu mwili wake,hajitambui thamani yake, wala hajawa tayari kuolewa kuwa mke na kumtii mumewe hasiingie kwenye ndoa. Wanawake kama hao ndo chanzo cha kuwafanya wanaume waonekane makatili kwa sababu Mwanaume ambaye hapendi ushenzi, maigizo,dharau,katika ndoa hawezi kuvumilia na kukuacha kirahisi,matokeo yake ni kifo. Wanaume chagueni vizuri msihadaike na muonekano, Pia control hasira zenu, ukiona mkeo ni dada wa mjini achana naye, USIUE, USIPIGE, sio solution mwache aende zake.
N:B: Mtatukana na kukasirika kuusikia ukweli mchungu, Lakini pande zote zina shida ,na wanawake wanachochea zaidi vitendo hivi. Hata siku moja kichwa hakiwezi kuwa mkia, japo hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mwingine.
@@queenandchill91
Umeongea Point sana Sister.🤘👊
#TUKIO KAMILI HILI HAPA th-cam.com/video/XDQlaMEen-g/w-d-xo.html INASIKITISHA SANA KWAKWELI
Bibi anajibu maswalii vizuri sana
We mtu anakwambia ni mgeni unamuuliza mambo ya maguuumu ya siku za nyuma.
Ulikuwa unapika nini