Shetani siku zote yuko kazini!!! Sasa vijana wa siku hizi hawapendi kusali kwenda kanisani kufanya ibada. Bila Yesu utaona maisha ni mazito sana!!! Sasa kazi ni mmoja, twendeni kwa Yesu, atatusaidia, Haleluyaaaaa ameeeennnn.
Huyu kima alikuwa na nia mbaya, alitaka kumuua mkewe kisha nae ajiue. Wacha afe mwenyewe aache mtoto wa watu na maisha yake. Suluhu gani hiyo inayoishia kwenye kujinyonga
WAnaume wote wangekuwa wanajiua hivi ingekuwa afadhali kuliko wanaume makatili kuondosha uhai wa mwenzie! Umechoka kuishi jiue umwache mwenzio anaependa kuishi aishi kwa raha. Wanaume wengi wanajiona ni mungu mtu wanaweza kumfanyia chochote mwanamke mnyonge
Mwana mke akisha muacha mmewe alafu ambiwe wasuluhishe, huo ni mtego wa kuuawa. Ukiamua kumuacha jua maisha yako yako hatarini. Kuna wanaume wasio kubali kuachwa. Lengo lao ni mauaja baada ya kuachwa . Ukisha muache mmewe hama jiji au hata nchi. Hili ni funzo muhimu kwa wana wake na pia wanaume.
Mimi kila mara nikitoka nje wanaume wananiangalia na siwezi kuwazuia yaani inamaanisha kama ningekuwa na boyfriend angesikia wivu kuangaliwa na watu wakati sio makosa yangu jamaa mwenyewe alimua kuwa na demu pisi kali sasa alitegemea nini sisi wanawake tuepuke kuwa na wanaume wenye wivu kupita kiasi unaweza kuuliwa bila sababu
Maelezo yenu yanajichanganya Mara alitaka kujinyonga ndo ikateleza akaangukia mtungi wa gesi mara amejinyonga kupitia bimba lakuweka pazia dirishani...Jamani RIP
@@asteriambwei3349 mungu ampungudhie adhab ya kabri kwani mungu ndo mwenye kuhukumu sio sisi binadamu atakama kosa nilakwake mwenyewe binafsi tumuachie mja wake kwani yeye ndo amjua mja wake alikutwa na nini au ndani ya moyo wake kulikua kuna maumivu gani tujifunze kitu mimi na wewe hatujui kesho yetu sio vyema kutoa maneno makali kwa marehemu atujui kuwa tunazidi kumuongedhea dhambi
mauaji yamekisiri arusha,,nawakati wahehe ndo walikuwa wakiongoza kwa kujinyonga,,mi mtu akitaka kujinyonga au kujiua ,,siwezi kumzuia maana ni maamuzi binafsu
Sasa huyo binti wakati kashajifungia chooni kwa nini asipige kelele ? Huyu jamaa inaonekana alikusudia amuuwe huyo binti baada ya kufeli plan zake ndio akajiuwa mwenyewe.. km angefanikiwa kumuuwa asingejiuwa mwenyewe . Salama yake hakumuuwa mtoto .
Khaaswa! Kumng'ang'ania mtu ndio chanzo cha hays. Km mtu mapenzi yameisha endeleeni na mambo mengine kuliko kuwindana roho. Mapenzi gani ya kuuana. Khaaa
Arusha Arusha kuna nini eh Mungu turehemu tunakataa hizi roho za mauaji kwa jina la Yesu Kristo. Amen
Ameeen 🙏🙏😔
Kweli nimeamini kila kitu linakusudi lake choo kimetumika kuokoa maisha ya binti mrembo Mungu awajalie neema
Jinyongeni tu kwa sababu ya mapenzi. Mi huko kufa kwenyewe nakuogopa ni vile tu ni lazima sinabudi siku ikifika.
Good point
Umeona eeeehhh
Kabisaaaa
Kweli kabisa
Maisha yenyewe matamu
Poleni kwa maafa ya kimakusudi. Mungu awape nguvu na subira kupitia hayo magumu.
Shetani siku zote yuko kazini!!! Sasa vijana wa siku hizi hawapendi kusali kwenda kanisani kufanya ibada. Bila Yesu utaona maisha ni mazito sana!!! Sasa kazi ni mmoja, twendeni kwa Yesu, atatusaidia, Haleluyaaaaa ameeeennnn.
Nenda mwenyewe kwa yesu ,Mm naenda kwa mtume Muhammad (s,a,w)
KWANI ANAKAA MTAA GANI??? SI NASIKIA KAHAMA PALE TANDALE.
Yesu ndio nani?
Huyu kima alikuwa na nia mbaya, alitaka kumuua mkewe kisha nae ajiue. Wacha afe mwenyewe aache mtoto wa watu na maisha yake. Suluhu gani hiyo inayoishia kwenye kujinyonga
Kweli mtoto sijui angeishi vp🤔
Ndo vizuri kafa ana angewazuru wengi
NimechekaEti.suruhu.gani.hyo.inayo.ishia.kujinyonga
WAnaume wote wangekuwa wanajiua hivi ingekuwa afadhali kuliko wanaume makatili kuondosha uhai wa mwenzie! Umechoka kuishi jiue umwache mwenzio anaependa kuishi aishi kwa raha. Wanaume wengi wanajiona ni mungu mtu wanaweza kumfanyia chochote mwanamke mnyonge
Mwana mke akisha muacha mmewe alafu ambiwe wasuluhishe, huo ni mtego wa kuuawa. Ukiamua kumuacha jua maisha yako yako hatarini. Kuna wanaume wasio kubali kuachwa. Lengo lao ni mauaja baada ya kuachwa . Ukisha muache mmewe hama jiji au hata nchi. Hili ni funzo muhimu kwa wana wake na pia wanaume.
Arusha shetan yupo kazini kwa ajili ya mauwaji mungu usie shidwa jambo lolote tunaomba i simama mwenyewe
Duuh mungu atuepushie vifo hivyo inshallah na mungu amuweke mahali panapo stahili 😢
Jaman tukiachwa tusikubal kurudi tena visa vingi kwa sasa vya mauaji chanzo ni watu kurudiana
Mungu kamlaani haya aliyo yataka hajafanikiwa haya malipo ni hapa hapa duniani Ila mungu kasha kulipia nabado hukumu yako
Wangapi tumesikia kifo cha taarifa tumekipata badala ya taarifa ya kifo tumeipata
Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole mashore kibao mpka nyapu zauzwa kimafungu kiumeni kujikaza from mombasa
Mimi kila mara nikitoka nje wanaume wananiangalia na siwezi kuwazuia yaani inamaanisha kama ningekuwa na boyfriend angesikia wivu kuangaliwa na watu wakati sio makosa yangu jamaa mwenyewe alimua kuwa na demu pisi kali sasa alitegemea nini sisi wanawake tuepuke kuwa na wanaume wenye wivu kupita kiasi unaweza kuuliwa bila sababu
Kwa hiyo alimwita mwenzake amuue , halafu nae ajiuue, wamwache mtoto yatima mhh. Bora kaenda peke yake.
Siku ilifika ilikuainatafuta sababu tu inalillah wainailahi rajuun Allah mueke panapo staili lnshallah
🙏🙏nikwel kabisa ndugu
Hahq..eti portable, pisi kali, anavutia😃😃😃💃bora pisi kali haijauliwa..hasara ingekuwa mara 2😃
Mungu atawasaidia ndugu zetu waarusha.
Kumbe alitaka kumuuwa mwenzie 😳bora kajiuwa mwenyewe
Oa una miaka 32 hv utakuwa umekomaa kiakili
Mm nasubir ziraili anichukuwe lakini kujiuwa sisubutu mungu anisuru ishaalah🙏🙏🙏🙏💕💕😅😂🤣😘👍
Poleni sana kwakujinyonga
Hii kesi ichunguzwe how comes....huyo mke achunguzwe maybe ilikua Anajitetea Kwa bahati mbaya ikatokea yaliotokea
Vituko vya wanaadamu wa Leo hata shetani anastaajabu!??Allaa tujaarie mwisho mwema 😥😥😥
Allah not Allaa please lakn
Mmh ninavyoogopa ushahidi mimii 🤔🙄🌝mmh huyu dada WA Kwanza kanyoosha maelezo kama alikuwepo Mie ushahidii 🙌🙌
Tatizo tumepuuza mafunzo ya Jando na Unyago, lingine vijana wanaendekeza sana michepuko
Mwanamke uanze ibada sahii ingekua niwew ndio umekufa
Mungu atuepushe na hizi roho za mauti
Daaaah.... inauma saan... Maish yenye ndy hayaa....
Eeh bhana eeh mapenzi tusiyape nafasi sana kias cha kugharimu maisha,mtu fanya kazi pata hela kula vizuri yaan uhakika
Kwel kaka nakubal
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Mungu atuepushie hizi roho za umauti
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.
Rehma gani kutoka kwa Allaah na amejiuwa na mtu akijiuwa hugo amekufa kafiri
Ameen
Wazee huu moto ulikuwa unafukuta chini kwa chini mwanamke aulizwe vzr
Katka kitu cntokaa nifanye nikujiu au kumuua mwanaume Sabab y mapnz never ever
Imemugeka Safi sana
Bora alivyo jiuwa mwenyewe kajibu kwa mungu sasa
Mtihani sana
Du Arusha kuna pepo anatembea jamani kila kukicha mauwaji hayaishi mungu tustiri waja wako.
Dah wanaume tunakwama wapi??? Kila kukicha tunajinyonga kweli?? Dah noma sana
Mapensi matam
Poleni sanaaaaaaaaaaa
Wanaume wakiowa mke mzur, ukisalimiwatuu, wanaona unatongozwa, wanafanya wivu
kwanin nawe usalimiwe na kila mtu
Kumbe mko wanawake wabaya na wazur ww je upo kundi gani mzur au mbaya
Sema tena
@@ayububakari9942 kwani ni mchawi asisalimiwe na kila mtu??
@@ayububakari9942 WAULIZE WANAO MSALIMIA WAO WANAJUWA.
Poleni
Pisi Kali imebaki kwa mabaharia duh haya maisha bhana
Amejinyongaje Uku kalala chin mmmh
Arusha lakin mnanini jamani,mbona mmezidi jamani kila siku matukio makubwa ,ndugu zangu badilikeni
Wa arusha wana roho ngumu sana.dada aisaidie police...huenda ikawa yy ndio muuaji...
Mwanamke nimzuri kipotabo kiukwel anasifiwa kameza mengine ebu njoosheni maneno
Maelezo yenu yanajichanganya Mara alitaka kujinyonga ndo ikateleza akaangukia mtungi wa gesi mara amejinyonga kupitia bimba lakuweka pazia dirishani...Jamani RIP
Jaman
Kufen tuuuuu ..... Lkn mm hapana kabisa
Acheni afe hasira za kumkosa mke kumyonga ndio akaona ajinyonge fila salama huliko
Kufa kufa vipi unaanze kujinyonga kwanza kufa kwenyew sijazoea
Bora kajiuwa mwenyewe
Huyo mke wake achunguzwe inawezekana kampiga na huo mtungi maana maelezo hayaleti maana
Mwandishi msomi kumbe bado ni camera Man mzuri tu , kwenye kioo anaonekana Lebaba mwandishi msomi
''Kifo Cha Taarifa Timekipata''....
😄😄😄naww umeskia eee
😂😂😂 ila watu mpo makini kuskiliza mazungumzo mm nipo busy kusoma comment
Huyo dada alipoingia chooni angeweza kuomba msaada kupitia dirisha la huko bafuni
Mbon ni watoto jmn😥😥😥😥kunjunjuan c kupo jmn
Ameni kumbusha alisha wahi tokea mtaa wa kwetu jamaa alipiga bonge la shonde ndipo akajitundika I say laana
Inashangaza wapangaji wataskia mwenzao anapigwa ananyongwa hawachkui hatua mpk mmoja afe ndio wanaanza story
Yaani ni wapuuzi sana
Sasa alitaka mtt abaki nanan kha akufe tu na mungu asisameh makosa yake
Lkn mnyanya kwann ulifanya ivoo daah 😭😭😭
Mungu akupungudhie adhab ya kabri mnyanya 😢😢😢😢🙏
Atampungunziaje adhabu ya kaburi na kajinyonga mwenyewe Kwanza akitaka kumnyonga huyo dada ashukuru mungu kajimalinza mwenyewe
@@asteriambwei3349 mungu ampungudhie adhab ya kabri kwani mungu ndo mwenye kuhukumu sio sisi binadamu atakama kosa nilakwake mwenyewe binafsi tumuachie mja wake kwani yeye ndo amjua mja wake alikutwa na nini au ndani ya moyo wake kulikua kuna maumivu gani tujifunze kitu mimi na wewe hatujui kesho yetu sio vyema kutoa maneno makali kwa marehemu atujui kuwa tunazidi kumuongedhea dhambi
Hahahahaaaa dada umemsifia asee 🤣🤣Et mzuri hatare dada umemaliza pic kali
Hii Tanzania inaelekea wapi?
mauaji yamekisiri arusha,,nawakati wahehe ndo walikuwa wakiongoza kwa kujinyonga,,mi mtu akitaka kujinyonga au kujiua ,,siwezi kumzuia maana ni maamuzi binafsu
Anayehojiowa sasa 😂😂😂😂anasafia kama yote sijui yeye ni pisi baya 🤣🤣😂😂
Mwanamke kumsifia mwenzie ni vzur
Huyo mbona anapaswa kuwa shahidi namba moja
Inamana ma jiran hawakusikia kelele, inawezekana vp mt ulale choon hadi asubuhi, mhhh uchunguzi ufanyike
Kabisa kuna uwalakini hapo, haiwezekani! Kwanz usingzi unatoka wap
Mnakimbilia nini kuoa wadogo zangu? Nini mnakivumbua kwenye hizo mbio? 🤔
Usiwe mmarekani mweusi anayeogopa kuoa
Wanavumbua uroda bado wadogo
RIP
Heee
Na huo ulikuwa ugomvi mkubwa inavyoonekana ina maana majirani hamkusikia au walikuwa wanapigana kimya kimya
Ati bila ukunga
Labda alimpiga na huo mtungi wa gesi katika huo ugomvi
Wengine tunaogopaga aibu tunagugumia ndan kwa ndan
Shetani yupo pembeni anajifunza mengine kutoka kwetu dada ndiyo ile tunaambiwa usimuombee mwenzio mabaya kwasabb. lazima yatakurudia t ndiyo hivyo
Innalillah wainnah illah lajoun
Acha jeshi la police lifanye kazi huyo Binti afunguke tu .
Je wakati yupo bafuni angepiga kelele pengine wangesaidiwa
Bora alivo jinyonga mwenyewe kwakweli
Kujiuwa vizur funza wanasubir kwa ham kwenye kaburi na wadudu kulala bass kusudi haimbii pole
Raha zote hizi za dunia unajinyonga
Jamani 😭
Aaaaah n too much ndpo Tanzania n sna ssa🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Sasa huyo binti wakati kashajifungia chooni kwa nini asipige kelele ? Huyu jamaa inaonekana alikusudia amuuwe huyo binti baada ya kufeli plan zake ndio akajiuwa mwenyewe.. km angefanikiwa kumuuwa asingejiuwa mwenyewe . Salama yake hakumuuwa mtoto .
Hiyo kamchimbia shimo mwenyewe katumbukia mwenyewe
Yani huyo kamuita amuue Kisha ajiuwe na mwenyewe
Dyuiiii atariiii hiiiii jmn jmn jmn jmn
Innalilah waina ilaihim rajiun
Huo ni ujinga,wanawake/wanaume wapo wengi.
Khaaswa! Kumng'ang'ania mtu ndio chanzo cha hays. Km mtu mapenzi yameisha endeleeni na mambo mengine kuliko kuwindana roho. Mapenzi gani ya kuuana. Khaaa
Innalilah wainailah rajioon
Bora kajinyonga mwenyewe kuliko kumuua mwenzie. Kafa kafir na bado adhabu ya kaburini inamsubiri
Arushaaaaaaaaaaaa.tumewachokaaaaaaaaa
Arusha jamani mmeingiliwa na pepo gani
Subuhanallah
Arusha mnanini
Subhanallah innalillahi wainnailayhi rajiuun 😭 mmhu jamani
bibilia ime katala kujinyonga unajuwa ni pepo zashetani kujinyonga
Ndo shida ya kuoa pc kar duh ,,,,r ip
Acha wengine wamiliki pisi hiyo
Endeleeni TU kujinyonga lait huyo angefufuka atasema sio Mimi niliyejinyonga