MAPENZI YAUA ARUSHA! MUME Ajinyonga BAADA ya KUSHINDWA KUMUUA MKEWE ALIYEJIFUNGIA Bafuni USIKU KUCHA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 212

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 2 ปีที่แล้ว +31

    Arusha Arusha kuna nini eh Mungu turehemu tunakataa hizi roho za mauaji kwa jina la Yesu Kristo. Amen

  • @ebenezamafie796
    @ebenezamafie796 2 ปีที่แล้ว +8

    Kweli nimeamini kila kitu linakusudi lake choo kimetumika kuokoa maisha ya binti mrembo Mungu awajalie neema

  • @aishaathman7340
    @aishaathman7340 2 ปีที่แล้ว +43

    Jinyongeni tu kwa sababu ya mapenzi. Mi huko kufa kwenyewe nakuogopa ni vile tu ni lazima sinabudi siku ikifika.

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 2 ปีที่แล้ว +12

    Poleni kwa maafa ya kimakusudi. Mungu awape nguvu na subira kupitia hayo magumu.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 ปีที่แล้ว +4

    Shetani siku zote yuko kazini!!! Sasa vijana wa siku hizi hawapendi kusali kwenda kanisani kufanya ibada. Bila Yesu utaona maisha ni mazito sana!!! Sasa kazi ni mmoja, twendeni kwa Yesu, atatusaidia, Haleluyaaaaa ameeeennnn.

    • @abdillahhussein3020
      @abdillahhussein3020 2 ปีที่แล้ว

      Nenda mwenyewe kwa yesu ,Mm naenda kwa mtume Muhammad (s,a,w)

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว

      KWANI ANAKAA MTAA GANI??? SI NASIKIA KAHAMA PALE TANDALE.

    • @hassanisadiki824
      @hassanisadiki824 2 ปีที่แล้ว

      Yesu ndio nani?

  • @ilungasalle
    @ilungasalle 2 ปีที่แล้ว +45

    Huyu kima alikuwa na nia mbaya, alitaka kumuua mkewe kisha nae ajiue. Wacha afe mwenyewe aache mtoto wa watu na maisha yake. Suluhu gani hiyo inayoishia kwenye kujinyonga

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 8 หลายเดือนก่อน

    WAnaume wote wangekuwa wanajiua hivi ingekuwa afadhali kuliko wanaume makatili kuondosha uhai wa mwenzie! Umechoka kuishi jiue umwache mwenzio anaependa kuishi aishi kwa raha. Wanaume wengi wanajiona ni mungu mtu wanaweza kumfanyia chochote mwanamke mnyonge

  • @danwayne786
    @danwayne786 2 ปีที่แล้ว +4

    Mwana mke akisha muacha mmewe alafu ambiwe wasuluhishe, huo ni mtego wa kuuawa. Ukiamua kumuacha jua maisha yako yako hatarini. Kuna wanaume wasio kubali kuachwa. Lengo lao ni mauaja baada ya kuachwa . Ukisha muache mmewe hama jiji au hata nchi. Hili ni funzo muhimu kwa wana wake na pia wanaume.

  • @doramakula4785
    @doramakula4785 2 ปีที่แล้ว +1

    Arusha shetan yupo kazini kwa ajili ya mauwaji mungu usie shidwa jambo lolote tunaomba i simama mwenyewe

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 2 ปีที่แล้ว +9

    Duuh mungu atuepushie vifo hivyo inshallah na mungu amuweke mahali panapo stahili 😢

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 ปีที่แล้ว +14

    Jaman tukiachwa tusikubal kurudi tena visa vingi kwa sasa vya mauaji chanzo ni watu kurudiana

  • @mohammedabdala7526
    @mohammedabdala7526 2 ปีที่แล้ว +10

    Mungu kamlaani haya aliyo yataka hajafanikiwa haya malipo ni hapa hapa duniani Ila mungu kasha kulipia nabado hukumu yako

  • @hazlerhussein6486
    @hazlerhussein6486 2 ปีที่แล้ว +4

    Wangapi tumesikia kifo cha taarifa tumekipata badala ya taarifa ya kifo tumeipata

  • @faithluande1867
    @faithluande1867 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwiba wa kujidunga hauambiwi pole mashore kibao mpka nyapu zauzwa kimafungu kiumeni kujikaza from mombasa

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi kila mara nikitoka nje wanaume wananiangalia na siwezi kuwazuia yaani inamaanisha kama ningekuwa na boyfriend angesikia wivu kuangaliwa na watu wakati sio makosa yangu jamaa mwenyewe alimua kuwa na demu pisi kali sasa alitegemea nini sisi wanawake tuepuke kuwa na wanaume wenye wivu kupita kiasi unaweza kuuliwa bila sababu

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa hiyo alimwita mwenzake amuue , halafu nae ajiuue, wamwache mtoto yatima mhh. Bora kaenda peke yake.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +4

    Siku ilifika ilikuainatafuta sababu tu inalillah wainailahi rajuun Allah mueke panapo staili lnshallah

    • @queenmunny244
      @queenmunny244 2 ปีที่แล้ว

      🙏🙏nikwel kabisa ndugu

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahq..eti portable, pisi kali, anavutia😃😃😃💃bora pisi kali haijauliwa..hasara ingekuwa mara 2😃

  • @ryobaadams3358
    @ryobaadams3358 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atawasaidia ndugu zetu waarusha.

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 ปีที่แล้ว +9

    Kumbe alitaka kumuuwa mwenzie 😳bora kajiuwa mwenyewe

  • @kashinjepius4096
    @kashinjepius4096 2 ปีที่แล้ว +7

    Oa una miaka 32 hv utakuwa umekomaa kiakili

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว +2

    Mm nasubir ziraili anichukuwe lakini kujiuwa sisubutu mungu anisuru ishaalah🙏🙏🙏🙏💕💕😅😂🤣😘👍

  • @salimkisoja5030
    @salimkisoja5030 ปีที่แล้ว

    Poleni sana kwakujinyonga

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii kesi ichunguzwe how comes....huyo mke achunguzwe maybe ilikua Anajitetea Kwa bahati mbaya ikatokea yaliotokea

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 2 ปีที่แล้ว +9

    Vituko vya wanaadamu wa Leo hata shetani anastaajabu!??Allaa tujaarie mwisho mwema 😥😥😥

  • @BINTIwaKITANGA
    @BINTIwaKITANGA 2 ปีที่แล้ว

    Mmh ninavyoogopa ushahidi mimii 🤔🙄🌝mmh huyu dada WA Kwanza kanyoosha maelezo kama alikuwepo Mie ushahidii 🙌🙌

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 ปีที่แล้ว +8

    Tatizo tumepuuza mafunzo ya Jando na Unyago, lingine vijana wanaendekeza sana michepuko

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke uanze ibada sahii ingekua niwew ndio umekufa

  • @rosetagaye5731
    @rosetagaye5731 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu atuepushe na hizi roho za mauti

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 2 ปีที่แล้ว

    Daaaah.... inauma saan... Maish yenye ndy hayaa....

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 ปีที่แล้ว +6

    Eeh bhana eeh mapenzi tusiyape nafasi sana kias cha kugharimu maisha,mtu fanya kazi pata hela kula vizuri yaan uhakika

  • @queenmunny244
    @queenmunny244 2 ปีที่แล้ว

    Mungu atuepushie hizi roho za umauti

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 ปีที่แล้ว

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu.

    • @saidyssaley1509
      @saidyssaley1509 2 ปีที่แล้ว

      Rehma gani kutoka kwa Allaah na amejiuwa na mtu akijiuwa hugo amekufa kafiri

    • @queenmunny244
      @queenmunny244 2 ปีที่แล้ว

      Ameen

  • @florianhashimu1370
    @florianhashimu1370 2 ปีที่แล้ว +1

    Wazee huu moto ulikuwa unafukuta chini kwa chini mwanamke aulizwe vzr

  • @glorynnko4753
    @glorynnko4753 2 ปีที่แล้ว

    Katka kitu cntokaa nifanye nikujiu au kumuua mwanaume Sabab y mapnz never ever

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega9770 2 ปีที่แล้ว +1

    Imemugeka Safi sana

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 2 ปีที่แล้ว

    Bora alivyo jiuwa mwenyewe kajibu kwa mungu sasa

  • @mwahejaporongdt1766
    @mwahejaporongdt1766 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtihani sana

  • @amnewarji1707
    @amnewarji1707 2 ปีที่แล้ว +1

    Du Arusha kuna pepo anatembea jamani kila kukicha mauwaji hayaishi mungu tustiri waja wako.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 ปีที่แล้ว

    Dah wanaume tunakwama wapi??? Kila kukicha tunajinyonga kweli?? Dah noma sana

  • @tatumussa6813
    @tatumussa6813 2 ปีที่แล้ว

    Poleni sanaaaaaaaaaaa

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 ปีที่แล้ว +20

    Wanaume wakiowa mke mzur, ukisalimiwatuu, wanaona unatongozwa, wanafanya wivu

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 2 ปีที่แล้ว +2

      kwanin nawe usalimiwe na kila mtu

    • @shabanikamsawa181
      @shabanikamsawa181 2 ปีที่แล้ว +2

      Kumbe mko wanawake wabaya na wazur ww je upo kundi gani mzur au mbaya

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Sema tena

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว +3

      @@ayububakari9942 kwani ni mchawi asisalimiwe na kila mtu??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว +1

      @@ayububakari9942 WAULIZE WANAO MSALIMIA WAO WANAJUWA.

  • @noahlarapho3411
    @noahlarapho3411 2 ปีที่แล้ว

    Poleni

  • @officialjclever9879
    @officialjclever9879 2 ปีที่แล้ว +1

    Pisi Kali imebaki kwa mabaharia duh haya maisha bhana

  • @zainabually2968
    @zainabually2968 2 ปีที่แล้ว

    Amejinyongaje Uku kalala chin mmmh

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 8 หลายเดือนก่อน

    Arusha lakin mnanini jamani,mbona mmezidi jamani kila siku matukio makubwa ,ndugu zangu badilikeni

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 ปีที่แล้ว +3

    Wa arusha wana roho ngumu sana.dada aisaidie police...huenda ikawa yy ndio muuaji...

  • @luckyrasuli525
    @luckyrasuli525 2 ปีที่แล้ว

    Mwanamke nimzuri kipotabo kiukwel anasifiwa kameza mengine ebu njoosheni maneno

  • @annachales9623
    @annachales9623 2 ปีที่แล้ว +2

    Maelezo yenu yanajichanganya Mara alitaka kujinyonga ndo ikateleza akaangukia mtungi wa gesi mara amejinyonga kupitia bimba lakuweka pazia dirishani...Jamani RIP

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 ปีที่แล้ว

    Jaman

  • @marryclemence5820
    @marryclemence5820 ปีที่แล้ว

    Kufen tuuuuu ..... Lkn mm hapana kabisa

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 2 ปีที่แล้ว +2

    Acheni afe hasira za kumkosa mke kumyonga ndio akaona ajinyonge fila salama huliko

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 2 ปีที่แล้ว

    Kufa kufa vipi unaanze kujinyonga kwanza kufa kwenyew sijazoea

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 ปีที่แล้ว

    Bora kajiuwa mwenyewe

  • @jackiekimario9324
    @jackiekimario9324 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyo mke wake achunguzwe inawezekana kampiga na huo mtungi maana maelezo hayaleti maana

  • @donsuatv1254
    @donsuatv1254 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwandishi msomi kumbe bado ni camera Man mzuri tu , kwenye kioo anaonekana Lebaba mwandishi msomi

  • @nelsonkazaura5713
    @nelsonkazaura5713 2 ปีที่แล้ว +2

    ''Kifo Cha Taarifa Timekipata''....

    • @salmaadil7122
      @salmaadil7122 2 ปีที่แล้ว

      😄😄😄naww umeskia eee

    • @zaykipini4761
      @zaykipini4761 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 ila watu mpo makini kuskiliza mazungumzo mm nipo busy kusoma comment

  • @zaykipini4761
    @zaykipini4761 7 หลายเดือนก่อน

    Huyo dada alipoingia chooni angeweza kuomba msaada kupitia dirisha la huko bafuni

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 2 ปีที่แล้ว

    Mbon ni watoto jmn😥😥😥😥kunjunjuan c kupo jmn

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 2 ปีที่แล้ว

    Ameni kumbusha alisha wahi tokea mtaa wa kwetu jamaa alipiga bonge la shonde ndipo akajitundika I say laana

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 2 ปีที่แล้ว +4

    Inashangaza wapangaji wataskia mwenzao anapigwa ananyongwa hawachkui hatua mpk mmoja afe ndio wanaanza story

  • @camillahamis1069
    @camillahamis1069 2 ปีที่แล้ว

    Sasa alitaka mtt abaki nanan kha akufe tu na mungu asisameh makosa yake

  • @ashuramatata595
    @ashuramatata595 2 ปีที่แล้ว

    Lkn mnyanya kwann ulifanya ivoo daah 😭😭😭

  • @queenmunny244
    @queenmunny244 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupungudhie adhab ya kabri mnyanya 😢😢😢😢🙏

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 ปีที่แล้ว

      Atampungunziaje adhabu ya kaburi na kajinyonga mwenyewe Kwanza akitaka kumnyonga huyo dada ashukuru mungu kajimalinza mwenyewe

    • @queenmunny244
      @queenmunny244 2 ปีที่แล้ว

      @@asteriambwei3349 mungu ampungudhie adhab ya kabri kwani mungu ndo mwenye kuhukumu sio sisi binadamu atakama kosa nilakwake mwenyewe binafsi tumuachie mja wake kwani yeye ndo amjua mja wake alikutwa na nini au ndani ya moyo wake kulikua kuna maumivu gani tujifunze kitu mimi na wewe hatujui kesho yetu sio vyema kutoa maneno makali kwa marehemu atujui kuwa tunazidi kumuongedhea dhambi

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 2 ปีที่แล้ว

    Hahahahaaaa dada umemsifia asee 🤣🤣Et mzuri hatare dada umemaliza pic kali

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 ปีที่แล้ว

    Hii Tanzania inaelekea wapi?

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 2 ปีที่แล้ว +1

    mauaji yamekisiri arusha,,nawakati wahehe ndo walikuwa wakiongoza kwa kujinyonga,,mi mtu akitaka kujinyonga au kujiua ,,siwezi kumzuia maana ni maamuzi binafsu

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 2 ปีที่แล้ว +1

    Anayehojiowa sasa 😂😂😂😂anasafia kama yote sijui yeye ni pisi baya 🤣🤣😂😂

  • @hambalhusba9638
    @hambalhusba9638 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mbona anapaswa kuwa shahidi namba moja

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 2 ปีที่แล้ว +4

    Inamana ma jiran hawakusikia kelele, inawezekana vp mt ulale choon hadi asubuhi, mhhh uchunguzi ufanyike

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa kuna uwalakini hapo, haiwezekani! Kwanz usingzi unatoka wap

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 ปีที่แล้ว +4

    Mnakimbilia nini kuoa wadogo zangu? Nini mnakivumbua kwenye hizo mbio? 🤔

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 ปีที่แล้ว

      Usiwe mmarekani mweusi anayeogopa kuoa

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      Wanavumbua uroda bado wadogo

  • @robinrizone9129
    @robinrizone9129 2 ปีที่แล้ว

    RIP

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว

    Heee

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 ปีที่แล้ว +2

    Na huo ulikuwa ugomvi mkubwa inavyoonekana ina maana majirani hamkusikia au walikuwa wanapigana kimya kimya

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      Ati bila ukunga

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว

      Labda alimpiga na huo mtungi wa gesi katika huo ugomvi

    • @hamidamnyika5866
      @hamidamnyika5866 2 ปีที่แล้ว +1

      Wengine tunaogopaga aibu tunagugumia ndan kwa ndan

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 2 ปีที่แล้ว

    Shetani yupo pembeni anajifunza mengine kutoka kwetu dada ndiyo ile tunaambiwa usimuombee mwenzio mabaya kwasabb. lazima yatakurudia t ndiyo hivyo

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 2 ปีที่แล้ว +1

    Innalillah wainnah illah lajoun

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 2 ปีที่แล้ว +3

    Acha jeshi la police lifanye kazi huyo Binti afunguke tu .

  • @pericykiko6198
    @pericykiko6198 2 ปีที่แล้ว +1

    Je wakati yupo bafuni angepiga kelele pengine wangesaidiwa

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 ปีที่แล้ว +1

    Bora alivo jinyonga mwenyewe kwakweli

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 ปีที่แล้ว

    Kujiuwa vizur funza wanasubir kwa ham kwenye kaburi na wadudu kulala bass kusudi haimbii pole

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 ปีที่แล้ว

    Raha zote hizi za dunia unajinyonga

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 ปีที่แล้ว

    Jamani 😭

  • @pwararirapwapwiiiii9730
    @pwararirapwapwiiiii9730 2 ปีที่แล้ว

    Aaaaah n too much ndpo Tanzania n sna ssa🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว

    Sasa huyo binti wakati kashajifungia chooni kwa nini asipige kelele ? Huyu jamaa inaonekana alikusudia amuuwe huyo binti baada ya kufeli plan zake ndio akajiuwa mwenyewe.. km angefanikiwa kumuuwa asingejiuwa mwenyewe . Salama yake hakumuuwa mtoto .

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo kamchimbia shimo mwenyewe katumbukia mwenyewe

  • @salmaabdulabdul1057
    @salmaabdulabdul1057 2 ปีที่แล้ว

    Yani huyo kamuita amuue Kisha ajiuwe na mwenyewe

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 ปีที่แล้ว

    Dyuiiii atariiii hiiiii jmn jmn jmn jmn

  • @aishaddddhh6272
    @aishaddddhh6272 2 ปีที่แล้ว

    Innalilah waina ilaihim rajiun

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 ปีที่แล้ว +7

    Huo ni ujinga,wanawake/wanaume wapo wengi.

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 2 ปีที่แล้ว +1

      Khaaswa! Kumng'ang'ania mtu ndio chanzo cha hays. Km mtu mapenzi yameisha endeleeni na mambo mengine kuliko kuwindana roho. Mapenzi gani ya kuuana. Khaaa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +1

    Innalilah wainailah rajioon

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 8 หลายเดือนก่อน

    Bora kajinyonga mwenyewe kuliko kumuua mwenzie. Kafa kafir na bado adhabu ya kaburini inamsubiri

  • @lifhonlee3427
    @lifhonlee3427 2 ปีที่แล้ว

    Arushaaaaaaaaaaaa.tumewachokaaaaaaaaa

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 ปีที่แล้ว +1

    Arusha jamani mmeingiliwa na pepo gani

  • @LoveStory-ne2ee
    @LoveStory-ne2ee 2 ปีที่แล้ว +1

    Subuhanallah

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 ปีที่แล้ว

    Arusha mnanini

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 ปีที่แล้ว

    Subhanallah innalillahi wainnailayhi rajiuun 😭 mmhu jamani

  • @glodynkondo9800
    @glodynkondo9800 2 ปีที่แล้ว

    bibilia ime katala kujinyonga unajuwa ni pepo zashetani kujinyonga

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 ปีที่แล้ว

    Ndo shida ya kuoa pc kar duh ,,,,r ip

  • @Oscarmarwa-fitnesstrainer
    @Oscarmarwa-fitnesstrainer 2 ปีที่แล้ว +1

    Acha wengine wamiliki pisi hiyo

  • @Samwelsamwel1152
    @Samwelsamwel1152 ปีที่แล้ว

    Endeleeni TU kujinyonga lait huyo angefufuka atasema sio Mimi niliyejinyonga