Kicheko cha Mama Magufuli Igizo la Vijana Kumbukizi ya Hayati John Joseph Pombe Magufuli Kawekamo.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 464

  • @anamarykaduma5639
    @anamarykaduma5639 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Kijana,Unatukumbusha maisha ya Hayati Baba yetu Mpendwa,tunamkumbuka kwa mengi saana. Iwe kumbukizi Kitaifa.

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 5 หลายเดือนก่อน +42

    Yohana 12:24_26, nazo zile mbegu zilizoanguka kwenye udongo mzuri,zimeota na kuzaa matunda mengi na mazuri, hongera sana kijana uko vizuri

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 หลายเดือนก่อน +16

    Hongera kijana. Joseph una kipaji. Kitumie vizuri. Endelea kuamasisha. Hiyo filamu itauzika sana. Hakikisheni inakuwa na kiwango.

  • @KazimilyEpimack
    @KazimilyEpimack 5 หลายเดือนก่อน +38

    Ningependa kushiriki pia kwenye hiyo Filamu mnayoiandaa kwa ajili ya Baba yetu @MAGUFULI and his political Philosophy❤👏

    • @scholarmawala1403
      @scholarmawala1403 5 หลายเดือนก่อน +6

      Ni zaidi ya igizo jmn.Mungu awainue kiwango Hadi kiwango.❤❤🎉🎉

    • @jenipherishengoma1239
      @jenipherishengoma1239 3 หลายเดือนก่อน +1

      Itawaliza watu Sana

  • @Usxznt
    @Usxznt 5 หลายเดือนก่อน +23

    Mungu awabariki vijana kazi nzuri Sana,nimejikuta nalia

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 5 หลายเดือนก่อน +3

      Hata.mimi aisee nimejikuta nalia tu😢
      Kweli mungu alitupa mtu mzuri nasasa amemchukua tena apumzike kwa amani jembe letu.

    • @julianapatrick7911
      @julianapatrick7911 5 หลายเดือนก่อน

      😢😢

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 5 หลายเดือนก่อน +21

    Jamani watu wanakarama hongera Sana Kwa kumuigiza Rais wetu apumzike Kwa Amani

  • @jonaycemoshi7261
    @jonaycemoshi7261 5 หลายเดือนก่อน +37

    Dogo huyu ameweza sana kwa kweli na atafika mbali sana!Amenikumbusha mbali sana hadi nimetokwa machozi.Mungu akubariki

  • @matondokija
    @matondokija 5 หลายเดือนก่อน +17

    Hongera kijana kwa kazi nzuri . tuendelee kumkumbuka na kumuombea baba yetu Magu

  • @FiniasEnock-uv7lo
    @FiniasEnock-uv7lo 5 หลายเดือนก่อน +6

    Honestly nilikuwa natizama hii igizi but nimeshindwa kumaliza kwa sababu ya uchungu. Napenda kusema you all deserve to make his film. Munaweza sana na mnajua kuzingatia itifaki na maadili ya fikra zake. I'm ready to support your film by whatever way. You're so amazing guys.

  • @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu
    @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu 5 หลายเดือนก่อน +22

    Hongereni sana vijana.. daima tutamkumbuka rais wetu JPM..

  • @neemamahimbo4711
    @neemamahimbo4711 5 หลายเดือนก่อน +14

    Aiseeee kijana ameweza sana,asante machozi yanapungua

  • @user-ig1ch4gy7s
    @user-ig1ch4gy7s 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana kijana, kazi unaweza tena sana. Mungu amlaze mahali pema peponi. Inauma na inafariji we really lost the man. Mungu akubariki Upande zaidi ya hapo. Songa mbele usirudi nyuma.

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 5 หลายเดือนก่อน +12

    Brilliant idea. Nitainunua filamu hiyo kwa gharama kubwa. Good memories live forever

  • @ROBERTBALAMA
    @ROBERTBALAMA 5 หลายเดือนก่อน +26

    Mungu alitumia Sura yake Hayati Magufuli kwaajili ya watu wengine. Aendelee kupumzika kwa Amani. Naendelea kujifunza Falsafa zake

  • @ThomasShija-rn3fy
    @ThomasShija-rn3fy 5 หลายเดือนก่อน +11

    Hongereni sana. Mbegu iliyopandwa imeanza kumea yohan 12,24-26. Mungu awabariki.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 หลายเดือนก่อน +3

      Lazma atatokea tu mwenye kuamini na kuyafanya ni kama Burkina Faso alikufa Thomas Sankara katokea Ibrahim Traore na anafanya yaleyale

  • @Ambwene
    @Ambwene 5 หลายเดือนก่อน +16

    THE LEGEND OF JOHN POMBE MAGUFULI TUNAITAKA SANA HIYOO

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 4 หลายเดือนก่อน

      I wish ningeshiriki hiyo🎉🎉daah!! RIP my JPM

  • @janepatrickmesso7487
    @janepatrickmesso7487 5 หลายเดือนก่อน +19

    Mungu ikikupendeza, turudishie magufuri, najua ni ngumu lakini ikikupendeza Mungu tunamuomba tena

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu abariki vizazi vyetu tupate wakina Magufuli wengine

  • @firmakisika5073
    @firmakisika5073 5 หลายเดือนก่อน +9

    Hongereni sana wana Mwanza. Keep it up

  • @stellaphilipo5112
    @stellaphilipo5112 5 หลายเดือนก่อน +5

    Big up boy ,,Sauti kama ya aliyekuwa Baba na Raisi wetu wa awamu ya TANO😢..PUMZIKA KWA AMANI KIPENZI CHA WENGI pamoja na wanafamilia wenzetu waliotangu mbele za Mungu.

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 5 หลายเดือนก่อน +31

    Hivi kweli hii kumbukizi imeshindwa kua ya kitaifa mungu gawa sawasawa na mapenzi yako

    • @EverlynKenneth
      @EverlynKenneth 5 หลายเดือนก่อน +1

      Waaaaaaaah 😮 YANIIII 😢😢😢

    • @anthony_genge
      @anthony_genge 5 หลายเดือนก่อน +2

      Daaaaah

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 5 หลายเดือนก่อน

      Walinikera hadi TBC et wakakausha

    • @editamujuni94
      @editamujuni94 5 หลายเดือนก่อน

      TBC wamekausha..yaani

  • @AnnoyedGondola-pi2bv
    @AnnoyedGondola-pi2bv 5 หลายเดือนก่อน +18

    Duh huyu kijana amesababisha nimelia Tena namuomba mungu amsamehe ndugu yetu JPM makosa yake yote picha yake haifutiki kwenye Nuru ya uso wangu

  • @Emma300b
    @Emma300b 5 หลายเดือนก่อน +8

    Je suis à Dakar, je suis très content pour cette video. Qu son âme repose en paix

  • @zurufaseme8595
    @zurufaseme8595 5 หลายเดือนก่อน +40

    Unanikumbusha mbali wee kijana,ila pokea maua yako 🎉🎉🎉🎉

  • @faustinedeogratias4337
    @faustinedeogratias4337 5 หลายเดือนก่อน +14

    Brilliant, kitu kikubwa sana wadogo zangu, natamani niwe na nakala ya filamu hii ktk kabati langu

  • @nshomajuke2553
    @nshomajuke2553 5 หลายเดือนก่อน +16

    Yaaaniii hiiiii soo soooo mwaaaa. I salute u pple

  • @Sebastian-to4qd
    @Sebastian-to4qd 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante kwa Hilo Mungu akubariki Sana kijana. Late Magufuli tutamkumbuka Daima. Tumwombee apumzike Salama. Ingawa ameondoka Lakini kiroho bado Yupo nasi. Tizama vijana wanavyoweza kuiga Sauti yake ni Kama Bado Yupo nasi. Ahsanteni Sana Mungu kwa Maisha ya Dr JPM. Ahsante kwa JPM kwa kuliongoza Taifa hili masikini. Ahsante kwa kujitolea na Ku- sacrifice your Life for our Land Called Tanzania. Ni Bahati KUBWA Sana Kwetu watanzania.

  • @emmanuelpolle4922
    @emmanuelpolle4922 4 หลายเดือนก่อน +1

    Stephano Joseph Shimba nakuona mbali kijana keep moving keep growing!

  • @ceciliamanfred9757
    @ceciliamanfred9757 5 หลายเดือนก่อน +2

    It is amazing congratulation dears you'r talented❤

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 5 หลายเดือนก่อน +16

    MAGUFULI was magician!!

  • @JustineAloyce-lu8ux
    @JustineAloyce-lu8ux 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani mungu azidi kumpa amani huko aliko baba yetu DR JONH POMBE MAGUFURI JPM.mwanga wa milele aangaziwe

  • @SaidMwaikambo
    @SaidMwaikambo 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana dogo mungu akuongezee zaidi kipaji chako Kwa uigizaji wako

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 5 หลายเดือนก่อน +1

    Woow nimecheka nikalia. Good job young man ❤
    Roho ya Baba yetu magufuli ipate Rehema kwa Mungu apumzeke kwa Amani Amina.

  • @emanuelnyambo7486
    @emanuelnyambo7486 5 หลายเดือนก่อน +8

    Excellent.. Well done...

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 5 หลายเดือนก่อน +18

    JPM you deserve for your sacrifice to Tanzanians
    Kijana pongezi kwa kufahamu legacy ya mtu aliyeishi kwa aliyoyaongea

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 5 หลายเดือนก่อน +4

      Mm nimesikia hii sauti na machozi yameanza kunilengalenga.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน +14

    Hqkika magu 😢😢😢umeondoka na tunakukumbuka kwwli hakika baki salama mola akuhifadhi pema baba magu

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 5 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤❤❤tunakupenda sana mzee magu Mungu akupe pepo ya juu in sha allah

  • @user-ks7tr1fd5d
    @user-ks7tr1fd5d 3 หลายเดือนก่อน

    Daaaaaaah pumzika kwa Amani baba wa wanyonge. Watanzania bado 2likuwa 2nakuhitaj lakin MUNGU kakuhitaj zaid. Ubarikiwe sana kijana kwa kumuenz baba wa wanyonge piaa hongera sana kwa kipaj chako MUNGU azid kukuina zaid na zaid. R.I.P 😢😢😢😢Magufuli

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 5 หลายเดือนก่อน +18

    Hiyo filamu tena nitawatunzia watoto wangu.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kazi nzuri....brings back wonderful memories

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 5 หลายเดือนก่อน +11

    Magu😢😢😢😮😢 kila mtu alimwelewa😢😢😢😢R. I. P JPM

  • @calistgwaydamuy8813
    @calistgwaydamuy8813 5 หลายเดือนก่อน +11

    Mbarikiwe jaman kazi nzr

  • @johnfuraha9151
    @johnfuraha9151 5 หลายเดือนก่อน +5

    All the best.. Good idea

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 4 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaah... Mungu Ni Mwema Kila Wakati...

  • @theodoramzigaba4916
    @theodoramzigaba4916 5 หลายเดือนก่อน +5

    Dogo umetisha sana mungu akubariki sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 5 หลายเดือนก่อน +26

    Ukiskiliza hii utatoka machozi kama magu anaishi ndani yako

  • @meshack3266
    @meshack3266 5 หลายเดือนก่อน +9

    Dah mwamba kaua kinomaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +7

    Tec wako vizuri sanaaaa tafadhalini sana sambazeni jamani hii filamu pesa mtapata sana hayati Magufuli yuko mioyoni mwa watanzania ssna huyo ni sawa na Nwalimu Nyerere hawatasauliwa kabisa

  • @henryngwaulanga3103
    @henryngwaulanga3103 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana,vijana mnaweza, hapa kazi tu

    • @STEVEMAGUFULI
      @STEVEMAGUFULI 4 หลายเดือนก่อน

      Shukurani sana mwalimu wangu❤❤❤❤

  • @user-zj9uz6vz3g
    @user-zj9uz6vz3g 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe ni kiboko😂😂, unaweza sanaaaa🎉

  • @agnesswai7174
    @agnesswai7174 4 หลายเดือนก่อน

    Dah umeipatia Sauti hiyo haswa kuliko wengine wote bro,,Big up kwa kweli🙌🙌

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 5 หลายเดือนก่อน +17

    VIJANA WA MAGUFULI TUPO HUTAPOA SUBIRI WAKATI UFIKE..

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 3 หลายเดือนก่อน

    Congratulations keep it up good job ❤❤

  • @AlredDeousdedith
    @AlredDeousdedith 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mko Vizuri Sana Vijana Mungu Awabariki Sana

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 4 หลายเดือนก่อน +1

    It's So Sensitive... 😢

  • @sananeDotto-xe7ht
    @sananeDotto-xe7ht 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shimba kumbe kipaji hicho bado unakiendelelza nakukumbka sana kula Mlale jkt op mabeyo songea Ruvuma 2022 big up sanaa

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu3169 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mkongomani , nili hishi Tanzania ukimbizini , naipenda sana Magufuli ali kuwa rais nilie mpenda sana kwa utendaji kazi wake , nita endelea kumuenzi , Mungu aendelee kumpumzisha mahali pema ❤❤❤❤❤❤❤

  • @leonardRuben
    @leonardRuben 5 หลายเดือนก่อน +5

    Very good Brother

  • @zainabuabdulahi5012
    @zainabuabdulahi5012 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ipo vizuri vizuri sana hongera kijana hata ukichukua line ya uongozi itakufaa sana baadaye

  • @marymabuga1036
    @marymabuga1036 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmmm
    Sina la kusema.
    Apumzike kwa Amani Rais wetu mzee MAGUFULI

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tunakumbuka daima JPM😢😢😢😢😢 Mwaga waa milele ukuangazie ameen😢😢

  • @chazp6436
    @chazp6436 5 หลายเดือนก่อน +5

    Very impressive...

  • @stephanosimon
    @stephanosimon 5 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee Mr Mwaka mmetishaaaa❤

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 5 หลายเดือนก่อน +3

    Dahhhhh vizuri sana

  • @estherraphael4739
    @estherraphael4739 5 หลายเดือนก่อน

    Lo! Nawashukuru sana vijana Hawa kwa wazo hili zuri la kumbukizi ya Hayati Rais wetu John PombeJoseph Magufuli.
    Mungu Awaongezee vipaji zaidi na Awezeshe kupatikana kwa Uzinduzi wa Filamu hiyo ya Mpendwa wetu . APUMZIKE KWA AMANI.
    Tutamkumbuka daima kwa Utendaji Kazi wake na Falsafa nzuri za Uongozi na Uzalendo wa Hali ya Juu!
    AMINA.

  • @nassorowaziri3076
    @nassorowaziri3076 5 หลายเดือนก่อน +7

    Safi Sana mko vzr

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nice one stephano

  • @VeronickaAdam-jn4rn
    @VeronickaAdam-jn4rn 4 หลายเดือนก่อน

    Kijan hongera sana kwa kumwekti bwana John pombe magufuli, naamini tutamkumbuka kwa mazuri!😊

  • @josephsamwel2845
    @josephsamwel2845 5 หลายเดือนก่อน +3

    Amina Nice job

  • @TabibuGift
    @TabibuGift 5 หลายเดือนก่อน

    Nice job brother, continue to use your talent that God grant to you

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 5 หลายเดือนก่อน

    Amazing and very interesting waooo keep it up 💪💪

  • @SmilingBoaSnake-sw3zx
    @SmilingBoaSnake-sw3zx 5 หลายเดือนก่อน +4

    Daaah inaumiza sana

  • @user-ek6td4kt4t
    @user-ek6td4kt4t 5 หลายเดือนก่อน +4

    Kipenzi Cha watu wanyonge. Mtu mnyenyekevu 😭, I fill to cry but kijana ameweza kutukumbusha yote mazur mema aliyokuwa anatenda rais wetu Kwa Upendo wa dhati

  • @MariumIbrahim-zm9cx
    @MariumIbrahim-zm9cx 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimelia San ongera San vijan wenzangu mmefanya kazi nzr adi mama kacheka amani ya bwan iwe nanyi

  • @nipaelkinkoro3169
    @nipaelkinkoro3169 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana Joseph Tumia vyema kipaji alichokupatia Mungu.Hakika Rais pendwa wa Taifa la Tanzania na Afrika Mashariki hatatoka kwenye MIOYO yetu

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kazi nzuri....
    May God bless you all.

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 5 หลายเดือนก่อน +3

    😢😢😢ila sijui kama tutampata kiongozi Bora kama magufuli duh

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo 5 หลายเดือนก่อน +5

    Umetukumbusha mbali sana, na hivi tunavo pambana na warasimu, wanaouza lasiamali yataifa, tuombe sana aje magufuli zaidi ya wakwaza

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana

  • @luciajohn8962
    @luciajohn8962 5 หลายเดือนก่อน +5

    Yaan nimejikuta nalia tu 😭😭😭😭 pumzika kwa aman JPM tutakukumbuka kwa mengi sana acha vijana wakuenzi na kukumbuka mambo uliyoyafanya enzi za uhai wako🙏🙏🙏🙏

  • @user-sj2ii4gm7z
    @user-sj2ii4gm7z 5 หลายเดือนก่อน

    Kijana, umefanya vizuri. Ila jambo moja ninakuomba uweke number ya simu yako ili watu waweze kukusuport.
    Tutaendelea kukukumbuka mgalme Magufuli. Rest in power King.

  • @alphoncegadafi1341
    @alphoncegadafi1341 5 หลายเดือนก่อน +4

    Good work

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +8

    Jamani tutainunua hiyo filamu sanaaaa

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hskika kijana umetisha,umenikumbusha mbali

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 4 หลายเดือนก่อน +1

    Daah aisee inaumiza sana..... Yule mzee😥😭😭😭🙏

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 หลายเดือนก่อน +19

    Nitaipataje filamu hii tunaiomba muiuze kwenye makanisa yote ya Roman Katoliki mtauza sanaaaa

    • @user-yk5gm5qj4u
      @user-yk5gm5qj4u 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sio Roman Catholic tu huyu ni kipenzi Cha watanzania wote waislam, wakristo madhehebu yote wahindu , na wasio na dini ni hivyooo

    • @barakalawrence742
      @barakalawrence742 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-yk5gm5qj4uumesema kweli

    • @SmilingAlpineVillage-ee7if
      @SmilingAlpineVillage-ee7if 5 หลายเดือนก่อน

      Haha sisi tunataka

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kaz nzr sana

  • @bahatirashidi2793
    @bahatirashidi2793 5 หลายเดือนก่อน +4

    Uyu kijana yupo vizuri sana ndiye aliyeigiza sauti ya rais samia

  • @bakarindemanga2318
    @bakarindemanga2318 5 หลายเดือนก่อน +3

    Well done

  • @kherryserera9451
    @kherryserera9451 5 หลายเดือนก่อน

    Hakika umetukumbushaa Rais wetu kipenz..Mwenyez Mungu ampumzishe mzee wetu Mahala pema..🤲🙏

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 5 หลายเดือนก่อน +8

    Waio amaizing Magufuri oyeee

  • @deodatuscabwine4148
    @deodatuscabwine4148 5 หลายเดือนก่อน +9

    Meseji send and delivered

  • @mathiasRobert-jv6zl
    @mathiasRobert-jv6zl 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubark San br anko magu alikua mt tofaut San apumzk Kwa aman.

  • @michaeltuingilegewaubaridi8570
    @michaeltuingilegewaubaridi8570 4 หลายเดือนก่อน

    Nice work

  • @nestor384
    @nestor384 5 หลายเดือนก่อน +5

    Magufuli dah💔 sijui Tanzania itakuja kupata Rais tena wa aina hii.. M/mungu tuinulie Magufuli mwingine
    Please tunataka Magufuli day Ana haki na kila sifa ya kupewa siku maalum ya kumkumbuka na kuenzi kazi yake njema

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 5 หลายเดือนก่อน +6

    Natamani ningeweza kusave ili kila mara naingalia hongerani sana mlishiriki tulimpenda sana king of afrika mzee jembe john magu rip

    • @reginamagere9910
      @reginamagere9910 5 หลายเดือนก่อน +1

      Unaweza download ikaingia kwenye offline

    • @mwinjilistiaristidesmeja1834
      @mwinjilistiaristidesmeja1834 5 หลายเดือนก่อน +2

      Nitumie namba yako nikutumie mimi ninayo hii

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 5 หลายเดือนก่อน

      @@mwinjilistiaristidesmeja1834 sawa

  • @thebrainundefeated4792
    @thebrainundefeated4792 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ila MAGUFULI dah... Our beloved PRESIDENT 😊😊😊😊....MUNGU ATAMLETA MWINGINE

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ongeleni sana mungu awape nguvu sana sana sana

  • @user-dk5kd5wl2q
    @user-dk5kd5wl2q 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda sana

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena 4 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli nimelia jaman,Mungu awatangulie kwakipaji vipaji iv🎉

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 5 หลายเดือนก่อน +7

    Hadi mmeniliza aisee ila Mungu yupo kwa nini uliruhusu ikawa hivi

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 5 หลายเดือนก่อน

      Mimi siwezi cheka na hiyo sauti kweli

    • @antybabybintrashid2333
      @antybabybintrashid2333 4 หลายเดือนก่อน

      Am sure ata mama Janet na wanawe machozi yamewatoka😢😢