Kukemewa kama wanatenda dhambi ni haki Tangu Agano lake Mungu alitumia manabii kukemea watu na sasa bado Mungu huyo anayekerwa na sisi yupo na lazima atukemee
Hakuna uchawi mbaya kama uchawi wa kurogwa akili.Wahubiri wengi wa leo wanawaroga waumini wao kisaikolojia na kuwafanya mateka wa elimu yao. Biblia inasema yafuatayo:1Timo 6:3-5 " MTU awaye yote akifundisha elimu nyingine wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo wala mafundisho yapatanayo na utauwa,amejivuna wala hajui neno kolote Bali ana wazimu---------na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli wakidhani utauwa ni njia ya kupata faida. Wakolosai2:1-"Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu.kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu,kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu,wala si kwa jinsi ya Kristo.
Ni kweli mchungaji, watu HAWATAKI kusubiri ,wanataka kufanikiwa Kwa haraka! Mungu atusaidie
Amen Mchungaji Mungu akubaliki sana.
Mikasa nina simulizi nzito sana inayofundisha jamii naomba namba tuwasiliane.
Mchungaji kweli Mungu amekupa neema ya neno la Mungu
Mungu andeleee kukubariki na kukupa nguvu mchungaji hananja
Uko sawa kabisaa mungu akutie imani hiyo hiyo mchuganji ananjaa
Kweli kabisa mchungaji
Mungu atupe uvumilivu
Kukemewa kama wanatenda dhambi ni haki Tangu Agano lake Mungu alitumia manabii kukemea watu na sasa bado Mungu huyo anayekerwa na sisi yupo na lazima atukemee
Nikwel kabsa ukubwa wa kichwa udogo wa akili..
Hakika MUNGU ndie kila kitu
Mchunaji hananji mungu akuongoze kuingiya dini ya kweli ya uslamu nawewe huna aya ya kuwa ukiristo ni dini?
Sawa Dada Rose
Mwamini Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yako upate uzima wa milele
Hakuna uchawi mbaya kama uchawi wa kurogwa akili.Wahubiri wengi wa leo wanawaroga waumini wao kisaikolojia na kuwafanya mateka wa elimu yao. Biblia inasema yafuatayo:1Timo 6:3-5 " MTU awaye yote akifundisha elimu nyingine wala hayakubali maneno yenye uzima ya Bwana wetu Yesu Kristo wala mafundisho yapatanayo na utauwa,amejivuna wala hajui neno kolote Bali ana wazimu---------na majadiliano ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli wakidhani utauwa ni njia ya kupata faida. Wakolosai2:1-"Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu.kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu,kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu,wala si kwa jinsi ya Kristo.
Uko sawa kabisaa mungu akutie imani hiyo hiyo mchuganji ananjaa