BREAKING: MCHUNGAJI KIMARO ASAMEHEWA, KOSA LAKE ni HILI, WAUMINI KIJITONYAMA WATOKWA MACHOZI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • MCHUNGAJI ELIONA KIMARO ASAMEHEWA, KOSA LAKE ni HILI, WAUMINI KIJITONYAMA WATOKWA MACHOZI ya FURAHA...
    Hatimaye sakata la Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wa Usharika wa Kijitonyama jijini Dar, Dk Eliona Kimaro la kusimamishwa kuhudumu kwa siku 60 limefikia ukomo.
    Kwa mujibu wa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Askofu Alex Malasusa, Mchungaji Kimaro ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote hivyo hana budi kumtangazia msamaha.
    VIDEO CREDIT: TBC Online
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 68

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 ปีที่แล้ว +2

    Msamaha huu umenitoa machozi leo asubuhi nikiangalia upendo Tv. Asante sana Baba Askofu Malasusa!
    Mungu akubariki na akuzidishie imani yako iliyokomaa.
    Pole sana Baba Askofu na mchungaji wake.Nilipata mfadhaiko mkubwa kwa jambo hili ,ni kwa nini shetani alijihudhurisha hapa kwa Mtumishi wa Mungu.
    Poleni wote! Shetani ameshindwa!

  • @aminamwakyejo2113
    @aminamwakyejo2113 ปีที่แล้ว +4

    Ni kweli waislam wanatuzidi wee angalia tu mwislam anayefanya biashara ikifika muda wa ibada tu hata Kama mteja uko mlangoni hakuhudumii anawahi ibada lakini mkristo Yuko bize na biashara waislam wana displin,angalia hata mifungo yao wanafunga mpaka watoto wao lakini sisi wKristo kwalesma wangapi waaminifu kufunga

    • @helenmghwira6621
      @helenmghwira6621 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli kabisa wenzetu hawamwamini Yesu lakini kwa discipline wanatuzidi mno. Shida ukweli unauma sana

    • @lailatlailat3850
      @lailatlailat3850 ปีที่แล้ว +1

      Siyo kweli msilam Siyo Mungu usime unafata usimwanga mtu kwanche mwangalie kiundan alaf kufunga nakuomba Siyo tiket yakwenda mbingun ina tengemea umejiandaaje kufunga kwaiyo msipende kuwa mshabik wakila kitu ukitaka kufunga muombe mungu pia kwenda mskitin Siyo kwingia mbingun au kansan je umeokoka je unaiman je unafanya yanayo mpendaza Mungu

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 ปีที่แล้ว +2

    Amen Mungu azd kumtumia zaid katika utumishi wake

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 ปีที่แล้ว +5

    nahisi machozi aisee kweli kazi ya Mungu ni ngumu

  • @gloryngowo2663
    @gloryngowo2663 ปีที่แล้ว

    Ukweli ndiyo hautakiwagi na roho za kuuwana madhabahuni zipo toka wakati Wa yesu

  • @godfreymunuo4626
    @godfreymunuo4626 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji kimaro Ana kosa gani katika hayo aliyozungumza!!Mwenye mamlaka ya kuhukumu ni mungu Peke yake.Kwanini askofu anasimama kuhukumu.Kwa namna hii KKKT LEADERS IS MATTER OF TIME.

  • @happinesscairombuja7606
    @happinesscairombuja7606 ปีที่แล้ว +1

    Tumeuona mkono wa Bwana Baba askofu ubarikiwe sana umeponya wengi.

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel1302 ปีที่แล้ว +3

    Siwaelewi! Askofu anaabudiwa kuliko mungu anaombwa msamaha asamehe. Ni ajabu. Ukweli unauma sana. Kimaro kuwa MAKINI NA HAO WANAOGAWA MSAMAHA KAMA MUNGU. WAKIAMUA U USIWEPO ITAWEZEKANA PIA.

    • @lailatlailat3850
      @lailatlailat3850 ปีที่แล้ว

      Mm niseme tuu amna ukweli mm niko na hawo waislam wanamathaif kibao

    • @julianapeter9893
      @julianapeter9893 ปีที่แล้ว

      acha kupoteza watu kuomba msamaa ni kitu cha kawaida ata kwenye mahandiko ipo

  • @suemundati1765
    @suemundati1765 ปีที่แล้ว +2

    All Glory & Honour To God Almighty !

  • @barakandabunganie6585
    @barakandabunganie6585 ปีที่แล้ว

    Sasa tunaanza kusali kama kawaida glory be to God hongereni sanaaa kwa uamuzi huo

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 ปีที่แล้ว +5

    Hananja alisema kwa wengine hakuna msamaha lakini kwa huyo ni maigizo tu hakuna kitu hapo, ahsante hananja tumeelewa nini kilichopo KKkkt

  • @caroouma3885
    @caroouma3885 ปีที่แล้ว

    Asante Yesu

  • @sayunikihunrwa4949
    @sayunikihunrwa4949 ปีที่แล้ว

    Asante yesu ,yamekwisha yesu aliyabeba pale msalabani ! Nia haikuwa mbaya na Asanten viongozi kwa busara.

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 ปีที่แล้ว +2

    Ni baada ya bango lake kupandishwa au mlikuwa na mpango wa kumsamehe

    • @magreth7981
      @magreth7981 ปีที่แล้ว

      Niliwazaa hilo pia !

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 ปีที่แล้ว

    Mungu amemsamehe why mnaendelea kuyaongelea na kutoa maoni acheni Bwana ametenda

  • @christinamnzava9689
    @christinamnzava9689 ปีที่แล้ว

    hapo ni usharika wakinyerezi sio kijitonyama

  • @stellajoseph9334
    @stellajoseph9334 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji nakupendaga Sana ,umetulia !

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 ปีที่แล้ว

    Pole mchungaji nadhani utakuwa umejifunza huwezi kuwa mkubwa zaidi ya taasisi mchungaji hata kunawili kumeondoka

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ ปีที่แล้ว +1

    Yaani kama kuna kitu huwa sikipendi ni kuogopa ushindani. Kwahiyo mtu akisema waislam ni waaminifu na wakristo si waaminifu hilo ni kosa? Onesha kuwa wewe ni mwaminifu tofauti na madai ya mchungaji, kwani tatizo liko wapi? Kila mtu ana uzoefu wake kwenye maisha na mengine huwa ni changamoto tu huwa tunapeana hata kama kwenye uhalisia halipo hivyo ila ni katika kuweka msisitizo wa wazo unalotaka lizingatiwe.

    • @dismasstanslaus5985
      @dismasstanslaus5985 ปีที่แล้ว

      Imeongea na wewe inaakili nyingi san kimaro ameonewa kwasababu ni kia nauelewa mdogo lile si loss ni kia anaweka msisitizo tu baas

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 ปีที่แล้ว +2

    Yesu akamwambia Petro,ukiongoka utawaimarisha wengine,unasema eti wakristo si waaminifu huku wewe ndiye mkristo,hiyo inakaaje🤔

    • @elinemakundi5011
      @elinemakundi5011 ปีที่แล้ว +1

      Nashangaa cha moto kakipata sasa mdomo utakua na break, atajitafuta, kuna kitu natafakari siku ya mwisho wachungaji maskofu Wainjilisti, maparishiweka nk lazima mtatoa hesabu ya mwisho kwa YESU, km kweli yy aliwatuma kufanya kz yke, au mnafurahisha macho ya watu, lkn nafsini mwenu kuna kamungu kenu mnachokitumikia mnampaka YESU mafuta kwa mgongo wa chupa ole wenu siku yaja mtalia na kusaga meno 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥moto wa milele unawasubiri, si wote akili zao zimepigwa ganzi, msituletee mizengwe YESU atakuja kuchukua kanisa lake wala milango ya kuzimu alitalishinda 👈

    • @japhetdaudmaneno8440
      @japhetdaudmaneno8440 ปีที่แล้ว +1

      @@elinemakundi5011 Mungu si kigeugeu,Leo aseme hivi kesho vile leo kungelikuwepo, wakristo kweli -maana Stefano, Yohana mbatizaji na wengine wengi hawakuwa na kauli mbili, maana neno linasema ndiyo yenu na iwe ndiyo,na hapana yenu iwe hapana

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 ปีที่แล้ว +1

      Ni maajabu sana mchunga kondoo kusifia kondoo wa jirani kwamba wamenona. Si na yeye alishe kondoo wake ili wanone kama wa jirani

    • @maryemanuel6122
      @maryemanuel6122 ปีที่แล้ว +1

      Hivi mtoto wa jirani akijitahidi nashindwa kumwambia wangu hebu jitahidi uwe bora?na kumpa mfano kuwa flani anafanya hivi..vile ujifunze kwake?

    • @dismasstanslaus5985
      @dismasstanslaus5985 ปีที่แล้ว

      ​@@maryemanuel6122imeongea pointi kua ule ni mfano tu wa kawaida sio kwamba hatufai ila baadhi yetu tunkosa displn sas anatuma ujumbe alafu mna coti vibaya ni ushmba tu

  • @charlesinosent1911
    @charlesinosent1911 ปีที่แล้ว

    Wakikuzingua tena fungua kanisa lako sadaka zote ziwe chini yako mi mwenyewe ntakuwa muumin wako

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 ปีที่แล้ว +1

    Utukana mamba kabla hujauvuka MTO,au unatukana wakunga wakati bado unazaa,pia unanyea kambi unayoishi pale na kula hapo 🤔🤷

  • @joycemosha1898
    @joycemosha1898 ปีที่แล้ว

    Kosalake nini mnamwonea mchungaji hana kosa lolote water wa kanisa hawafai ilitoke kariKooo mambo ya uongo yuko vizuri sana mm nilishangaa sana asiombe rather kakosa nini

  • @Chemba67
    @Chemba67 ปีที่แล้ว +1

    Kusameheana ni jambo jema, hii dunia ya sasa ya utandawazi watu wengi uhukumiwa kimakosa hivyo ni busara kutafakari na kujipa muda (udhuru) kabla ya kuhukumu. Nimefurahi kusikia kua amesamehewa.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 ปีที่แล้ว

    hela si mchezo siku hizi ukiwa kasisi au mchungaji au sheikh ukikosea na kutimiliwa maana yake ukale gerezani huko mtaani kunanuka choo na njaa

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kosa lake nini!? Jinsi inavyopozwa itakuwa mkuu kafumwa tu. Semeni tujue ili Liwe somo basi. Lasivyo haikuwa na maana kupeana misamaha hadharani na wengine tukubali tu bila kujua kosa nini.

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 ปีที่แล้ว

      Unawaza kufumaniwa tuu ndo tatizo,,, wala kosa siyo hilo ndugu fatilia clip zake kuna maneno aliyaongea ambayo hakupaswa kuyaongea ndo kilichopelekea kusimamishwa.

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 ปีที่แล้ว +1

      Mbona kasema mwenyewe kuwa aliongea maneno ambayo yalifanyiwa usanifu na wataalam wa computer hivyo kusambazwa crip yenye uchochezi Kati ya Wakristo na Wailsam.

    • @roseafrael75
      @roseafrael75 ปีที่แล้ว

      @@gibsonjosephat6352 si ndiyo, sasa wengine wanawaza kufumaniwa tuu

    • @danielmarunda153
      @danielmarunda153 ปีที่แล้ว

      Unavyoona Eliona Kimaro ni mtu wa kufumaniwa?

    • @gilliansiara3324
      @gilliansiara3324 ปีที่แล้ว

      Kakosa nini??¿???????

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 ปีที่แล้ว

    Au basi

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130 ปีที่แล้ว +2

    Askofu anatangaza msamaha wa dhambi?

    • @elinemakundi5011
      @elinemakundi5011 ปีที่แล้ว +1

      Acha liende nyuma ya pazia kuna giza nene, hao ujuana kwenye makutano yao siku ya mwisho 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 ปีที่แล้ว

    Kwani alifukuzwa si alikuwa likizo

  • @chrispinedward6356
    @chrispinedward6356 ปีที่แล้ว +1

    M

    • @levinajackson2773
      @levinajackson2773 ปีที่แล้ว +1

      Asante Yesu. Tunamshukuru sana Mungu Kwa ajili ya mtumishi wake. Damu ya Yesu izidi kukufunika. Familia yetu tunaungana na wote waliofurahia urejesho wako.

    • @rachelelias1923
      @rachelelias1923 ปีที่แล้ว

      Amina shetani wa kufarakanisha kanisa ameshindwa. nimelia kwa Furaha mimi..

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130 ปีที่แล้ว

    Kusema yale maneno ni dhambi?

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 ปีที่แล้ว

      Tukiri wazi kuwa yale maneno hayakuwa rafiki kwa sisi sote. Basi kwa kumhurumia ahame kituo tafadhal

    • @nikemsongo6931
      @nikemsongo6931 ปีที่แล้ว

      Ndyo yalikuwa ya uchochezi.. tu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 ปีที่แล้ว

    Alikosea nini

    • @joycemanase7585
      @joycemanase7585 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki baba askofu ww ni baba wakiroho

  • @goodlucknjau77
    @goodlucknjau77 ปีที่แล้ว

    Matumaini yangu ata kuwa ame jifunza kupitia hili jambo

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 ปีที่แล้ว +1

    Wakristo sio wema ila waislam ndo wema. Hakutakiwa kusamehewa.amewadharau sana kondoo wake

    • @jacquelinempondela5895
      @jacquelinempondela5895 ปีที่แล้ว

      Mungu anatusamehe madhambi yetu; kwanini yeye kimaro hasisamehewi?. Rudi kwenye sala ya Baba yetu aliyotufundisha Yesu kristo. Pia Yesu anasema samehe mara saba sabini

    • @lahabesheuya1257
      @lahabesheuya1257 ปีที่แล้ว

      Huu ndio ukristo

    • @helenmghwira6621
      @helenmghwira6621 ปีที่แล้ว +1

      Kondoo wakikengeuka wanakuwa wabaya kuliko mbuzi. Mchg alisema ukweli mtupu.

    • @lailatlailat3850
      @lailatlailat3850 ปีที่แล้ว

      Ww mtu akikukosia amsamehe mara 70 elf