Ujumbe umefika ,kukubali ama kukataa niutashi wa MTU binafusi ,NABI wa Mwenyezi Mungu kwaajili ya watu wa nyakati za Mwisho ,afefikisha aliyoamriwa kufikisha ,kazi kwenu vipofu na wenyemacho yakuoona haki.
Mathayo mtakatifu 3:15-17 inathibitisha utatu mtakatifu. Yesu akajibu akamwambia, kubali hivi sasa: kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Basi akamkubalia. Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini na tazama, mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua; akija juu yake; na tazama sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni mwanangu , mpendwa wangu ninayependezwa naye. Hapo Mungu alidhiirisha kuwa wapo 3 Mungu baba na mwana anabatizwa na roho mtakatifu msaidizi.
SI MUNGU NI BINADAMU, NI MUNGU TENA.YOU ARE CONFUSING YOUR VIEWERS + YOURSELF. TELL US THE TRUTH, WAPI YESU ALISEMA MWENYEWE KWA BIBILIA MIMI NI MUNGU MUNI ABUDU?
25:27 [mwanzo 1: 26 Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe. {naomba ufafanuzi mtumishi. kwanini pale mwanzo imeandikwa SURA YETU
Wakristo wameongelewa katika quran kwajina la rum ,,,so kama wakristo wa kweli wameongelewa mpaka katika Quran yan inamaanisha wew hata hujui kua issa bin maryam alikufa na kufufuka Quran 3:55 ndugu yangu uislamu ni unyenyekevu usipo kua mnyenyekevu utapotea rudi kundini sisi sote ni wana wa mungu
Kabla roho ya Eliya ya kweli haijaja itaanza roho ya Eliya ya uwongo. Pia Kabla KRISTO wa kweli hajaja tena katika mwili mawinguni ataanza Kwanza KRISTO wa uwongo katika mwili(Mpinga kristo) Huyu ndani yake kuna Roho ya Eliya wa uwongo Kuweni makini. HAMZA RAFIKI ACHA KUPOTEZA WATU TUBU SASA, MUNGU ANAKUPENDA MRUDIE NAYE ATAKUPOKEA. Amen
upeo wako wa bibilia bado unahitaji msaada wa roho mtakatifu. akufafanulie maneno ya mungu, mana unaonekana unajuhudi za kumjua lkn bdo hujapata neema ya mungu
Sawa wew Wasema anaupeo mdogo ukilinganisha na ufahamu wako lakini hata musa alisema hakuna mwenye elimu zaidi yake mungu akamuonesha ,,,kuwa mnyenyekevu sikiliza video yote ukimuomba mungu akuoneshe kua yanaongelewa ni kweli au uongo na kwahakika utafunuliwa🙏🙏
Wakristo kuweninae making sn iyo anaejita nabii eliya anatuchanganya 2 biblia kitabu Cha Mungu akidangany uyo ni mislam asila na wao ndio wmechanganyiw mistal kusem yesu ajafa uku inasem kfa sas atuambie wakristo wmechanganyiw wap sio alete maneno naon ametumwa kusuvulug
Wee kaka omba sana bwana akupe roho mtakatifu mfumbuzi.but uwezi sema utatu wa bwana.yesu sio mwanadamu,mungu akusaidie soma bibilia vizuri.usijidanganye Na bibilia haija jichanganya maana baada ya kuokoka roho mtakatifu muelekezi huanza kukuonyesha njia Sawa za mungu,sasa wewe uweleweki.
Harun Yusuf; Acha theologies za kitoto hizo!!!! Hata huelewi kama kuna agendas za upotofu ndani ya Biblia!!! Umekariri maandiko jumlajumla bila kutumia tafakari yako!!! Kwani mwanaadamu nani na Yesu ni nani!!!? Kama unaweza kufahamu hilo kwanini uzunguuke na maandiko potofu!? Soma na jifunze kwa kutafakari wala usiwe mfuasi wa ovyo.
@@ussikhamisussi4882 hahaha Mimi sio wenu I say! Amenibadilisha yeye yesu ni bwana!,mukubali mukatae shauri yenu! Yesu ni bwana, Hehehehe yesu amenitosha vya kwenu jiweekeeni jamani nilimpata asije badilika, Kwa hiyo kwetu hakuna bus inaitwa ovyo.Hehehehe yesu ni bwana siku zote jua hivyo na jipe shuguli.
Harun Yusuf; Hujajigundua kama unaporojo za kitoto!!! Eti "Yesu ni bwana"!!! Kwani ww na mm si bwana!!!? Kwa hiyo, ww si bwana!!!? Bwana ni Yesu pekee!? Pole sana ndugu, Mungu akusaidie fahamu yako ikue insha Allah. Uhuru ni wako lakini ukweli ni vyema uutafute na uufahamu usiwe mfuata mkumbo tu.
@@ussikhamisussi4882 pliz Mimi sio mmoja wenu,nimeokoka yesu ni bwana Yesu alinisaidia kitambo sana nikitoka kwa giza so sijui ananiambia nini Mwapenda siasa sana naenda uwaambie wahidu porojo zenu Niko sawa na yesu ni bwana so jipe kazi. Yesu ni bwana wa moyo wangu na damu yake ilinikomboa.period.
Mogope mungu! Wewe ulikuwa muislamu kamili lakini kwa saa wewe ni kafiri kamili kwa kupenda uzungu eti wajiita eliya hhhhhhhhh huioni pepo wala harufu yake hutasikiya
Unajitahidi sana kueleza nakupongeza sana. Ninakufuatilia sana kwa siku nyingi. Maelezo ya kwamba Mungu aliposema tuumbe mtu kwa mfano wetu wakati nia ya kumuumba Adam je Mungu alikua akiwaambia akina nani kwamba waumbe mtu? Uliposema alikua akiwaambia malaika ninaomba ukachimbe zaidi hapo. Alikua kwenye kikao na Yesu na Roho Mtakatifu. Sio malaika.
Hizi ni Siku za mwisho za Siku za mwisho Tuwe makini sana na hizi shule za Uongo hapa lengo ni kushusha ukuu na madaraka ya Kristo mwokozi wetu,soma 1yoh 4:1-4
Sasa ndugu yangu kama ameshusha madaraka ya yesu kristo wew ni lini umetatetea ,,,arafu mbona hata wewe unamadalaka hapa duniani arafu umepokonywa na huyatetei na umekua mtumwa wa sera zao ,,,ukumbe kua wew ni mwana wa mungu na ulipewa urithi wa ahadi hapa duniani🙏🙏🙏
Kisha hilo wewe kusema WANA WA MUNGU mpaka kwa ujasiri umesema YESU ni katika kizazi cha KWANZA cha MUNGU?? Kwanza, hii unaipata katika maandiko gani???... Pili, wewe unajua aje kua Mungu ana kizazi cha wana zaidi ya YESU???... Tatu, Yesu amejitaja takriban mara 88 ndani ya Bibilia kama MWANA WA ADAMU, wewe unasema yeye ni MWANA WA MUNGU kivipi???
Soma Yohana 17:3 usitoe suruhisho bila.kufwatilia ukweli wa jambo mungu wa pekee na yesu kristo aliyetumwa hawajachanganywa hapo so usipo jua kuwatofautisha hauna uzima wa milele
Nimeelewa kila kitu vizuri isipokuwa kitu moja tu.... wapi dalili ya neno KRISTO?? Maana yake KRISTO kuwa hicho ni CHEO umepata wapi maneno hayo....hapo ndio hujagusia kabisaaaaa
Kaka wewe endelea kujidanganya eti Yesu Kristo ni mwanadamu wa kawaida tu ila hujui dhamani ya kifo chake msalabani kwa ajili yako , Siku ukifa bila kuukubali wokovu ndio utakuja kujua maana na dhamani ya kifo cha Yesu Kristo amen
Daniel 7:13-14 mwenye kuzungumziwa hapo na sifa zote hizo huyo ni nani? Katita Ufunuo wa Yohana Yesu anasema mimi ndio mwanzo na mwisho.Hii inamaanisha nini?
Hakika, maandiko yanatimia . hii ndiyo ile roho ya Eliya yauongo iliyo tangulia kabra ya ile rohoyakweli ya Eliya , maana mafundisho yako mengi yanakinzana na biblia , sasa niwakati mzuli wakumshukulu Mungu kwakua ametupa roho wa kututafisria kt ya mafundisho ya kweli , na yakishetani , najua hawezi kukosa wakumuunga mkono ila hasa nikwa wale wavivu wakusoma maandiko . Siwezi kusema ushindwe kwajina la Yesu , maana unakamilisha maandiko ya Mungu wetu ..
Kama hujui hata anachokiongea ,,,ni kwanin uumtukane ,siku zote limjaalo mtu ndilo limtokalo ,,,inaonekana katika kichwa chako kumejaa matusi ndomana unatukana nakusikitikia kwakua hujui ulifanyalo ,,,imeandikwa wana wa mungu ni wanyenyekevu wa moyo ,,,kama sio mnyenyekevu hakuna utakachokielewa ,,u need to format your memory u have ,in ur mind ,,so that matunda yako yawe upendo siku zote
uwezi elewa hata kidogo kama utachanganya historia na bibilia. huna evidence ya kutosha hata kidogo. omba mwongozo wa roho upate kufunuliwa. before the foundation of the worlds is laid he existed. the worlds include both spiritual and physical world. remember that the angels are part of spiritual world, so before the angels existed, the word was
Unajitahidi kujifunza na sio kufundisha maana umejichanganya sana kwanza unasema hakuna utatu afu unasema yesu ni mwana wa mungu hapo umekwepa nini?umesoma vitabu kuwa yesu ni mungu na ukasema unachomokaje hapo afu mdomo wako unasema yesu si mungu. Mbona unachanganya watu bro. Kwanini usiende kucheza kalata. Ili uzichange vzur sio biblia. Du pole sana
Jamaa wakat mwingine so mkweli na anachanganya watu. aliwahi kuongeza picha padre anafanya mageuz ya mkate na divai kuwa mwili na damu ya Yesu Kristo. Lakin yeye alisema eti padre yuko anaabudu jua.wakat sikweli,
Acha uongo yesu mwenyewe anasema mtawabatiza kwa jina LA baba na LA Mwana na roho mtakatifu. Soma maandiko usitumie kichwa chako ndo mana waislam wanakupiga vita. Kwahiyo yasu alipo sema yeye yesu na Mungu no umoja alisema uongo? Soma Yohana 10:30-33
Wanao muelewa huyu jamaa gonga like tuendlee kumtizma👍👍👍
I understand him very well
Ujumbe umefika ,kukubali ama kukataa niutashi wa MTU binafusi ,NABI wa Mwenyezi Mungu kwaajili ya watu wa nyakati za Mwisho ,afefikisha aliyoamriwa kufikisha ,kazi kwenu vipofu na wenyemacho yakuoona haki.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu umenifumbua macho
MUNGU akubarikii sana mtumishi wa MUNGU
Mathayo mtakatifu 3:15-17 inathibitisha utatu mtakatifu.
Yesu akajibu akamwambia, kubali hivi sasa: kwa kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote. Basi akamkubalia. Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini na tazama, mbingu zikafunguka, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua; akija juu yake; na tazama sauti kutoka mbinguni ikasema, Huyu ni mwanangu , mpendwa wangu ninayependezwa naye. Hapo Mungu alidhiirisha kuwa wapo 3 Mungu baba na mwana anabatizwa na roho mtakatifu msaidizi.
Amen balikiwa sana
Amen wabie waelewe kabisaa nahao wanao kurushia maneno wajue "Mungu" mwenye amekutuma anawaona ndawayao iko njikoni tu
Mungu akubariki sana kaka nimenjifunza mengi nikaweza kunjua vizuri
Hauweleweki kabisa!!!!!umechanganyikiwa kaka!!!!
Jamani tusomeni kutokomeza ujinga kumlaumu Eliya sio sawa na sio busara. Elimika kwa kuwa mstarabu usitoe matusi au kumkebehi mzalendo mwezako.
Yes man
SI MUNGU NI BINADAMU, NI MUNGU TENA.YOU ARE CONFUSING YOUR VIEWERS + YOURSELF. TELL US THE TRUTH, WAPI YESU ALISEMA MWENYEWE KWA BIBILIA MIMI NI MUNGU MUNI ABUDU?
25:27 [mwanzo 1: 26 Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe. {naomba ufafanuzi mtumishi. kwanini pale mwanzo imeandikwa SURA YETU
Balikiwa sana
Tatizo LA watumishi wengine hawajui wanachokiamini katika ukristo hawatpfautiani na dini nyingine za kale.Somenk biblia mtafunuliwa ukweli wote
Micah Kasase Bible inaukweli gani wew zaidi yakupoteza watu akasome story za watu na barua za Paulo
Wakristo wameongelewa katika quran kwajina la rum ,,,so kama wakristo wa kweli wameongelewa mpaka katika Quran yan inamaanisha wew hata hujui kua issa bin maryam alikufa na kufufuka Quran 3:55 ndugu yangu uislamu ni unyenyekevu usipo kua mnyenyekevu utapotea rudi kundini sisi sote ni wana wa mungu
Kabla roho ya Eliya ya kweli haijaja itaanza roho ya Eliya ya uwongo. Pia Kabla KRISTO wa kweli hajaja tena katika mwili mawinguni ataanza Kwanza KRISTO wa uwongo katika mwili(Mpinga kristo)
Huyu ndani yake kuna Roho ya Eliya wa uwongo
Kuweni makini.
HAMZA RAFIKI ACHA KUPOTEZA WATU TUBU SASA, MUNGU ANAKUPENDA MRUDIE NAYE ATAKUPOKEA. Amen
Sawa kaka umetumwa kweli wenye masikio wasikie waokoke fishua yaliyo fishwa wanae potea waashe wapotee endelea Nabii wa Mungu ubarikiwe
Sawa kabisa
Mimi kwenye utatu mtakatifu hapo sijakuelewa hata kidogo maana umeongea mengi kama miguu yajongoo anakwenda mbele na nyuma mikono haijulikam
Kama unavyodai kua yesu ni Mungu ungekua ni Mungu angerushiwa mawe hekaluni akajificha kwa kuogopa kutolewa jicho au .meno
Ubarkiwe unatufumbua akili kikwel
Ole wao wale wanaosema katika elimu wasiyokuwa na ujuzi nayo .... Wanasema kwa utashi wao na matamanio ya nafsi zao jahannam ya Allah ipo inawasubiri
upeo wako wa bibilia bado unahitaji msaada wa roho mtakatifu. akufafanulie maneno ya mungu, mana unaonekana unajuhudi za kumjua lkn bdo hujapata neema ya mungu
Sawa wew Wasema anaupeo mdogo ukilinganisha na ufahamu wako lakini hata musa alisema hakuna mwenye elimu zaidi yake mungu akamuonesha ,,,kuwa mnyenyekevu sikiliza video yote ukimuomba mungu akuoneshe kua yanaongelewa ni kweli au uongo na kwahakika utafunuliwa🙏🙏
Sahihi kabisa.
Wakristo kuweninae making sn iyo anaejita nabii eliya anatuchanganya 2 biblia kitabu Cha Mungu akidangany uyo ni mislam asila na wao ndio wmechanganyiw mistal kusem yesu ajafa uku inasem kfa sas atuambie wakristo wmechanganyiw wap sio alete maneno naon ametumwa kusuvulug
Endelea na kazi nasi tunajifunza kutoka kwako.
Wee kaka omba sana bwana akupe roho mtakatifu mfumbuzi.but uwezi sema utatu wa bwana.yesu sio mwanadamu,mungu akusaidie soma bibilia vizuri.usijidanganye
Na bibilia haija jichanganya maana baada ya kuokoka roho mtakatifu muelekezi huanza kukuonyesha njia Sawa za mungu,sasa wewe uweleweki.
Harun Yusuf; Acha theologies za kitoto hizo!!!! Hata huelewi kama kuna agendas za upotofu ndani ya Biblia!!! Umekariri maandiko jumlajumla bila kutumia tafakari yako!!! Kwani mwanaadamu nani na Yesu ni nani!!!? Kama unaweza kufahamu hilo kwanini uzunguuke na maandiko potofu!? Soma na jifunze kwa kutafakari wala usiwe mfuasi wa ovyo.
@@ussikhamisussi4882 hahaha Mimi sio wenu I say! Amenibadilisha yeye yesu ni bwana!,mukubali mukatae shauri yenu! Yesu ni bwana, Hehehehe yesu amenitosha vya kwenu jiweekeeni jamani nilimpata asije badilika,
Kwa hiyo kwetu hakuna bus inaitwa ovyo.Hehehehe yesu ni bwana siku zote jua hivyo na jipe shuguli.
Harun Yusuf; Hujajigundua kama unaporojo za kitoto!!! Eti "Yesu ni bwana"!!! Kwani ww na mm si bwana!!!? Kwa hiyo, ww si bwana!!!? Bwana ni Yesu pekee!? Pole sana ndugu, Mungu akusaidie fahamu yako ikue insha Allah.
Uhuru ni wako lakini ukweli ni vyema uutafute na uufahamu usiwe mfuata mkumbo tu.
@@ussikhamisussi4882 pliz Mimi sio mmoja wenu,nimeokoka yesu ni bwana
Yesu alinisaidia kitambo sana nikitoka kwa giza so sijui ananiambia nini
Mwapenda siasa sana naenda uwaambie wahidu porojo zenu
Niko sawa na yesu ni bwana so jipe kazi.
Yesu ni bwana wa moyo wangu na damu yake ilinikomboa.period.
Mogope mungu! Wewe ulikuwa muislamu kamili lakini kwa saa wewe ni kafiri kamili kwa kupenda uzungu eti wajiita eliya hhhhhhhhh huioni pepo wala harufu yake hutasikiya
Unajitahidi sana kueleza nakupongeza sana. Ninakufuatilia sana kwa siku nyingi. Maelezo ya kwamba Mungu aliposema tuumbe mtu kwa mfano wetu wakati nia ya kumuumba Adam je Mungu alikua akiwaambia akina nani kwamba waumbe mtu? Uliposema alikua akiwaambia malaika ninaomba ukachimbe zaidi hapo. Alikua kwenye kikao na Yesu na Roho Mtakatifu. Sio malaika.
WEEWE PIGA SHULE WANAOKUPONGA HATA YESU WALIMPINGA.....CONDITIONING IS VERY DANGEROUS....YAANI WANAISHI KWA MAZOEA
Hizi ni Siku za mwisho za Siku za mwisho Tuwe makini sana na hizi shule za Uongo hapa lengo ni kushusha ukuu na madaraka ya Kristo mwokozi wetu,soma 1yoh 4:1-4
Micah Kasase Huwezi kukubali Darsa hili kwasababu huna nuru ya uzima. Njoo kwa Bwana Yesu huelewe.
Sasa ndugu yangu kama ameshusha madaraka ya yesu kristo wew ni lini umetatetea ,,,arafu mbona hata wewe unamadalaka hapa duniani arafu umepokonywa na huyatetei na umekua mtumwa wa sera zao ,,,ukumbe kua wew ni mwana wa mungu na ulipewa urithi wa ahadi hapa duniani🙏🙏🙏
Mtumishi wewe endelea, wanaokupinga wanaishi kwa mazoea achana nao.....TIME WILL TELL
Kisha hilo wewe kusema WANA WA MUNGU mpaka kwa ujasiri umesema YESU ni katika kizazi cha KWANZA cha MUNGU?? Kwanza, hii unaipata katika maandiko gani???... Pili, wewe unajua aje kua Mungu ana kizazi cha wana zaidi ya YESU???... Tatu, Yesu amejitaja takriban mara 88 ndani ya Bibilia kama MWANA WA ADAMU, wewe unasema yeye ni MWANA WA MUNGU kivipi???
Bila shaka Yesu ni Mungu wa kweli
Samuel moses Yohana 17:3,4)
Samuel moses; Pole sana aise!!!!
Soma Yohana 17:3 usitoe suruhisho bila.kufwatilia ukweli wa jambo mungu wa pekee na yesu kristo aliyetumwa hawajachanganywa hapo so usipo jua kuwatofautisha hauna uzima wa milele
kumbe kristo si dini ..ni cheo...
mh bas kaz ipo..
Yesu ndie dini
Eliya alikuja tokea enzi za yesu lakini hawakumwamini yani ndie yesu
Nimeelewa kila kitu vizuri isipokuwa kitu moja tu.... wapi dalili ya neno KRISTO?? Maana yake KRISTO kuwa hicho ni CHEO umepata wapi maneno hayo....hapo ndio hujagusia kabisaaaaa
Kaka wewe endelea kujidanganya eti Yesu Kristo ni mwanadamu wa kawaida tu ila hujui dhamani ya kifo chake msalabani kwa ajili yako , Siku ukifa bila kuukubali wokovu ndio utakuja kujua maana na dhamani ya kifo cha Yesu Kristo amen
Ndio no mwanadamu bwana
Daniel 7:13-14 mwenye kuzungumziwa hapo na sifa zote hizo huyo ni nani?
Katita Ufunuo wa Yohana Yesu anasema mimi ndio mwanzo na mwisho.Hii inamaanisha nini?
Hakika, maandiko yanatimia . hii ndiyo ile roho ya Eliya yauongo iliyo tangulia kabra ya ile rohoyakweli ya Eliya , maana mafundisho yako mengi yanakinzana na biblia , sasa niwakati mzuli wakumshukulu Mungu kwakua ametupa roho wa kututafisria kt ya mafundisho ya kweli , na yakishetani , najua hawezi kukosa wakumuunga mkono ila hasa nikwa wale wavivu wakusoma maandiko . Siwezi kusema ushindwe kwajina la Yesu , maana unakamilisha maandiko ya Mungu wetu ..
Shida yako unaamini kila kilichoandikwa kwenye biblia ni maagizo ya Mungu maneno mengine ni ya mwandishi sio maagizo ya Mungu
@@kisangageorgethomasi2830unaongea point
Cha msingiii it's jesus spirit in the heart
Binafsi nakulewa
Hizi ni simu za Maisha za simu za
Yohana 17: 5 Yesu mwenyewe anasema alikuwa pamoja na Mungu kabla ya minsi ya ulimwengu. Sasa atalinganishwa na Adam , au Daudi kivipi ?
Mpumbavu sana weye sijui waongea nn hapo
Nasry Twalib; Umegundua kama akili yako ndogo ama kubwa!!!? Maana, hueleweki!!!!!!
Kama hujui hata anachokiongea ,,,ni kwanin uumtukane ,siku zote limjaalo mtu ndilo limtokalo ,,,inaonekana katika kichwa chako kumejaa matusi ndomana unatukana nakusikitikia kwakua hujui ulifanyalo ,,,imeandikwa wana wa mungu ni wanyenyekevu wa moyo ,,,kama sio mnyenyekevu hakuna utakachokielewa ,,u need to format your memory u have ,in ur mind ,,so that matunda yako yawe upendo siku zote
Asante sana ,wasiokuelewa washapoteza na shetani
uwezi elewa hata kidogo kama utachanganya historia na bibilia. huna evidence ya kutosha hata kidogo. omba mwongozo wa roho upate kufunuliwa. before the foundation of the worlds is laid he existed. the worlds include both spiritual and physical world. remember that the angels are part of spiritual world, so before the angels existed, the word was
Notsi zako umeGoogle hujasoma, hujui
Iposiku utakoma hakika. Wewe ni ibilis ulieshiba ujinga.
Gilbert Samson; Tulia ndugu, jifunze kwanza.
Siku zote mkristo wakweli hana.mamlaka yakuhukumu ,,,maana imeandikwa sheria utumiayo kuhukumu ndiyo itakayotumika kukuhukumu
Muogope Allah ndugu yangu ,wewe Quran umesoma unajua unachokifanya kumsingizia Allah mtoto mbingu zinatikisika ,Refer Lam yalid walam yuuladu
Pole kumbe humuelew huyu🙄🙄🙄
Msikilize.vizuli.na.kama.mwisilam.tujivunie.muwa.waisilam.mm.nimemuerewa.sana.allah.amuongoe.anaijuwa.dini.yahaki.
Alla.syo.mungu.kama.ndomaana.walslm.wasigekuwa.wanaenda.kanisan
Utatu wa bwana ni kweli na yesu sio mwanadamu soma bibilia vizuri.waaah!! Mafunzo yako yanapigana na neno la mungu
Unajitahidi kujifunza na sio kufundisha maana umejichanganya sana kwanza unasema hakuna utatu afu unasema yesu ni mwana wa mungu hapo umekwepa nini?umesoma vitabu kuwa yesu ni mungu na ukasema unachomokaje hapo afu mdomo wako unasema yesu si mungu. Mbona unachanganya watu bro. Kwanini usiende kucheza kalata. Ili uzichange vzur sio biblia. Du pole sana
Bro unajichanganya sana. Hisitoria unazo toa hazina usibitisho ktk maandiko.
Jamaa wakat mwingine so mkweli na anachanganya watu.
aliwahi kuongeza picha padre anafanya mageuz ya mkate na divai kuwa mwili na damu ya Yesu Kristo. Lakin yeye alisema eti padre yuko anaabudu jua.wakat sikweli,
Kamwe milango ya kuzimu, haiwezi kulishinda kanisa. Maana Neno la kweli linadumu katika kanisa
Nimekusikiliza mwanzo mwisho, wewe ni bingwa wa kujichanganya. Maneno mengi yasiyo na ushahidi wa maandiko.
Mwaka John huijui bibilia wewe
@@marthamasawe5060 wewe ni wakara wa shetani, huwezi nijua
Unazinguwa naku unfolw hunifai Tena huna lolote.
Hata hii meseji kureply hakukuomba ureply ,,,so kama una mu unfollow its nothing sio shidaah kwake ujumbe umefika.and.that is the point to.him
Kwa kuwa hujapenda yale aliyoyaongea
wewe unazingua!!!!?? ahera aupo jahanam wanakutafuta
Acha uongo yesu mwenyewe anasema mtawabatiza kwa jina LA baba na LA Mwana na roho mtakatifu. Soma maandiko usitumie kichwa chako ndo mana waislam wanakupiga vita. Kwahiyo yasu alipo sema yeye yesu na Mungu no umoja alisema uongo? Soma Yohana 10:30-33
Japhet Lameck,,, bro jap~ unasoma lakini uelewi fatilia yohana 10:37-38
Japhet Lameck;Kutumia akili kupo, usibishe kiboya, hata maandiko unapoyasoma na kuyafahamu huwa unatumia akili.
Unajitahidi sana kupotosha kwa wasio na ufahamu wa ki-Mungu watakuamini. Ila wewe ni mpotoshaji wa kweli ya Mungu
Japhet Lameck Wakristo hamna akiri nyie. Bakini na upumbavu wenu mngoje kuchome.
Japhet hii yohana 10:30 ni kufuru kubwa kabisa wala usisubutu kuizungumzia hii