nakukubali nabii elia endlea kuwavumbua vipofu wasie mwamini yesu kristo kuwa ndiye masihi ajae kuukomboa ulimwengu na wakristo woote watakaa mkono wake wa kuume na wasio wakristo wataangamizwa kwa moto wa milele
Aise sheikh unatusaidia sana sisi ambao tuliozaliwa kwenye dini chotara baba mkristo mama muislam. Tumeishi maisha magumu sana kwa kusengenywa na ndugu huku mnaitwa makafri huku mnaitwa wapagani. Yaani unaleta upatanisho wa imani. Ahsante mkuu. Tuache dini sasa rumfuate mwunyaazi Mungu.
Yesu kweli nimekuelewa leo Yesu nimekutambua leo tafadhali nipokeee kweli wewe ndiwe mwanzo na mwisho paulo alisema ata kwamizaa watakukili jmn Yesu nakupendaa
Yaaaaaa ayyuhalladhina amanu tubuu Ilallahi taubatan nasuhan ikiwa utaufezehesha uislam Allah atakufeze hesha duniani na akhrirah ittaqillaha haithu maakunta
Mungu mlinde shekh Amza maana huyu ni mbegu njema na umpe baraka umuongezee wasaidizi. Maana yeye hayumo miongoni mwa waisilamu wasiojua Mungu anataka nini ; wala hayumo miongoni mwa wakristo wasiojua Mungu anatakanini. Shekh Ammza Usikate tamaa endelea kutangaza neno la Mungu kwa njia ya haki nakweli tupowemgi tutakao kufuata kuamini pamoja na wewe.
Nami nimenehemeshwa ku sikiliza wewe nabii Elia kwa kizazi hiki ili nijuwe kweli toka kwako namushukuru MUNGU kuni acha haï ili nisikilize neno hili kuwa korani imeongelea kuhusu YESU Kristo kumbe hawa wa islamu wanao kataaa YESU sio wa tu wa MUNGU ila nabii Elia ishi milele hâta kizazi kijacho ipone 🙏🙏
Umedamshi umenwir baada ya kutokuonea haya injili ya Yesu, litangaze neno lake Bwana kwa matifa mbalimbali Mungu endelee kukujalii afya njema wanakunenea mabaya wakuone ukojuu hongera kwa kukombolewa na kuuweka ukweli waz hukwel umweka mtu huru
Hakuna injili ya kweli kumbuka mmungu alie ya vitabu vyake vinne hata kat uislam bipolar ilajili hi one punguza na kuzidishwa mmungu ana jua na nabee wake ibrahim ndio baby yao wa mitume mzungu hana mitume wala mawalii sadi yao kupunguza na kuichukia uislam na kutunga sheria zao kw kumpinga Allah mmungu ndio mweye haki na dunia yake na mitume wake vp uislam umkubali isa binmariam ila ukristo ulimpinga inamanisha wanashindana na mmungu mwenye mana bee zake mmungu alitetea mana bee wengi Na isa alisema atakuja badayangu na bee wa mwisho mumfate atakae kamilisha dini nakitabunkisicho kua na Shaka muislam hat hiyo bible ilio chakachuliwa hawaichani Lakini makafiri wazungu hichana quruani tukufu sasa nani anaemuogopa mmungu japo walikipunguza makafiri Na kuzidisha mmungu alisema hambaa manabee bada ya mtume wa mwisho muhammad saw ni kwa mwisho leo majafiri wanajita wao manabeewbila kutajwa na mmungu na kuleta mandolin mengine wao wanataka pesa na biasha
Bwana Yesu akulinde na kila hila za mashetani na watu waovu wasiopendwezwa na mafundisho unayofundisha. Mungu akubariki sana. Watu wengi wanakulaani kwa sababu unafundisha wasiyopenda. Lakini laana isiyo na sababu haimpigi mtu. Tunakubariki sana sana sana. Wengi kama wewe watajitokeza tu.
Halafu acha upotoshaji , Quran haina yesu ni jina la uzushi huyo mtu ni Nabii Issa hakuna mungu anaezaliwa Nabii Issa ni binaadam kama wewe na alipaishwa na mwnyzingu kwenda mbinguni na atarud na kuonja umauti kama binaadam wengine na ndipo kiama kitakua kimefika ....Acha unafki
Jesus Christ is our sevior sema ahsante yesu Kristo nilinde na wabaya wote duniani aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nisael Emmanuel ww jidanganye ivo ivo yesu hakuwahi kuingia kanisani tafuta biblia mzima ila utakuta alikua akiingia msikitini ww shangiria mpaka motoni yesu hakuleta ukiristo bali umeletwa na Paulo mtaliano yesu alikua myahudi ndomana mpaka leo ukienda pale Palestina katika mji wa Jerusalem hapana wakiristo zinduka
Usimhukumu ndugu yako usije kahukumiwa lakini Jahannam inawangoja wa Islamu nyote Qur'an ya Mayunga ukulasa 533 kama unyayo soma au uliza Dr Mazinge au Dr Sule
Namupenda MUNGU sana ku sikiliza maana ya luga neno mu kiharabu hâta swahili Haleluya Haleluya Haleluya mimi ni mu Congo ila nakufata toka Oman namupenda MUNGU kwa furaha sana ku sikiliza injili hiyi leo ao nabii huyu kumbe kuna ukweli kama huu duniani? MUNGU sifiwa milele
INALILLAH WA INALILLAH RAJIUNI!WEWE NI MUKUBWA WAMAKAFIRI,INASEMEKANA KAMA ZAMA ZAMWISHO UNGO UTAJUNGUWA PUMBA ZITATOKA,KWAHIO WEWE FUNGUA KANISA LAKO LAWA MURURADI MWENDE WOTE KABISA USIRUDI KUSEMA KAMA WEWE NIMWISLAM. UDUADINI.UTAAIBIKA SIKUZIJAZO.
Waislam tunatukana matusi lakini hamna hoja huyu jamaa anahoja nyingi zenyekueleweka chamsingi tuondoe kwanza ubinafs harafu tumsikilize kwa makini ili tuhoji tuache ushabiki wadini tatizo jamaa ana hoja ya maandiko ni mimi great thinker man
Jaman dini ninjia tuu bustani mwa eden hapakua na dini tuwe makin tusije jikuta tuna ng'ang'ania njia afu hatujui inapo tupeleka tuwe makini dini hazishabikiwi dunia yetu ni ya watu walio potea tusishabikie shabikia mpira na michechezo mingine ila sio dini dini imekuja baada ya sisi kumkosea mungu kazi ya dini nikutufikisha kwa Mungu ukimfikia Mungu dini haina kazi
Njia ya kweli ni Yesu tuu maandiko yapo wazi unapo sema dini unamaanisha njia so Yesu alisema yy ndie njia ya uzima so mnataka nn ?kaeni apo apo majini yanawasumbua
Kitajulikana Mungu sio Asumani. Hukumu zake ziko palepale. Na mkono wake haujapungua uweza. Kama alivyomuinua Musa hadi sasa anawainua watu awapendao wafanye kazi yake
Nimesoma history ya Mohammad, nakuelewa sana..umepatia hayo maneno Mohammad aliwaambia wafuasi wake kwamba ikiwa wana shaka wawaulize “WATU WA KITABU” hawa watu wa kitabu ndio waliomfundisha Mohammad habari za Kristo..
Usijidanganya ijili ya kale iko wapi nakuliza ww injili ya kale na isa walimtabiri atakuja muhammad saw bada yangu Mfate hi ya sasa ni ya kuzidisha na kupunguza ya wazungu mzungu hana kwao na bee ibrahim ukiona katokea irag na yy alieanzisha uislam kutoka kwa amri ya mmungu na ukiangalia mitume wote ni wa mmungu mmoja na wote wametoka mashariki ya Kati. Mzungu hana na bee na ktk quruani tukufu na na bee woote wwmetajwa mbona mmungu hakbagua isa anajua ni na bee wake na wote hao ni wamoja na isa nimmuislam safi alisujudu na kutawadha na mmungu alisema mtume wa mwisho atakMilisha dini ninuislam kufaradhisha kila kitu swaum hija sealant sajad na vitu vingi vlikamilka ktk uislam kuvunja masanam baba yake ibrahim alivunja masanam leo mana bee wanajitokeza njaa kujita wao manabee huzeqkua na bee kwa sababu mmungu mwenye dunia yake alisha sema mtume wa mwisho na kitabu kilicho kua hakina shaka ni quruan tu hivyo vilivyobtangulia bilious nusu nusu ya elim kwa wana adam ila watu wamempinga mmungu na kubadilisha injili yake ya kweli . Cc waislam tunakubaliwvitabu vyote viine taurat injili zaburi na furgan cha mwisho
Allah ni mwingi wa rehma .na katika rehma alizo turehemu ni kututumia mitume. Ili tumujuwe Nani muumba wetu naye ni Allah ili tumuabudu .someni Surat Al fatiha na sulati ikhirasi kwa utulivu na kwakutaka kujuwa ukweli . na omba Allah akuonyeshe ukweli na ukujaaliye uufate
Umekosea umeifata njia iliyo nyooka na safi...waionayo ni weng matajiti...lakin iendayo kwenye uzima ni nyembamba na iliyojificha na waionayo na ni wachache ndugu....ucpoteee kizembe shetan nae alileta wa kufana na yesu baada ya yesu kuondoka ndio huyo muhamad ambae amepandikizwa na shetan kuupinga ukweli wa kristo na neno la uzima kaa chonjo cku ni chache...mmi muislam lakin kuna nguvu ya tofaut ndan ya kristo....mmi namkemea pepo kwa jina la yesu kristo bila kutumia mafuta wala njia yoyote ila in the name of jesus only...bad spirit out....na linatii linaogopa lakin wew umeenda kuswali na majin misikitin wew....kama ungekuwa umeokoka kweli ndan ya moyo wako ungetambua kweli mwenye bila kuambiwa itafute kweli kwa bdii ili ukailith nchi mpya
Mashallah! Wakristo wanaona wimbi kubwa la watu kisilimu duniani kote,sasa wanaandaa watu kama Hamza kwa lengo la (1) Kuwavunja moyo waliosilimu, (2) Kuwakatisha tamaa wanaotaka kusilimi na (3) Ikiwezekana kuwatoa Waislamu katika dini, Allah alishasema kuwa makundi kwa makundi wataingia katika dini ya haki,yeye Hamza hawezi na hataweza kushindana na yule aliyempa pumzi, anajifurahisha yeye na Wakristo wenzake.
Ukitaka kuwajua watu wasiomcha Mungu, utawatambua kwa kutukana. Ubarikiwe Ustaadh Hamza, anayekupinga alete ushahidi wa maandiko. Wanaokutakia kifo ni wana wa shetani walioshindwa kujibu hoja kama ilivyofanyika kwa Yesu wakidhani kuwa kuua mtu ni njia ya kufisha ukweli!
Huyu jamaa...atawadanganya sana nyie msio ujua uislam....kifupi hakuna muislam anaempinga yesu ht mmoja na wala injili aliopewa. Isipokua tunachopingana na wakristo ni kitu kimoja tu. Wakristo wanamuita yesu mungu nasisi tunamuita yesu ni mtume wamungu. So kumkuta yesu kwny Quran na wote wanaomuhusu ni jambo sahihi kwasabu yesu anatambulika kwny uislam km ni mtume halali wa mungu. Na kingine kaeni msome ili muelewe vzr. Quran ni combination ya vitabu 4 furqan ambayo ndo Quran yenyewe. Injili,zaburi na tauraat. Kwahiyo si ajabu kumkuta yesu na mitume mingine....so huyu jamaa asichukue kigezo cha kumkuta yesu kwny Quran ndio apotoshe umma. Quran imetaja mitume yotee kuanzia yeye mwenyewe Muhammad,issa ambae ndo yesu, nabii ibraahim, ismail,is-haak, yaaquub nawengine wengi waliopita kbl ya kuja muhammad. So km hamsomi mtadanganywa sana na watu km hawa....ila siwezi kumaliza yote humu coz mtachoka kusoma. But nataman huyu jamaa aingie kwny kumi nanane zangu nitamuuliza maswali matatu tu...na sidhan km mada itaendelea tena.....inshaallah ipo siku
christina biyengo UYO JAMAA NI MUONGO KUHUSU HUO UNABII WA MALAKI.4:5,6).YAAN AJUI UNAMANISHA NINI,HUO UNABII UNAMUHUSU YOHANA MBATIZAJI YESU ALIFAFANUA SASA NYIE JUMHIYA YA WAKRISTO MKIWA WAVIVU KUSOMA BIBLIA NDO UYO JAMAA ATAWATEKA..SOMA APA..(MATHAYO: 17-10-13).KWAIO UNABII ULITIMIA KWA YOHANA ZAIDI YA APO AKUNA NABII MWINGNE WALA MTUME AMBYE ATAKUJA KILICHO BAKI NI KUFATA MUONGOZO KUTOKA KTK BIBLIA BASI ILI UOKOKE KTK DHIKI KUU NA HARMAGEDONI AMBYO IKO MBELE YETU...
"Hawatokuwa radhi juu yako mayahudi wala wakiristo mpaka ufuate mila yao. Sema hakika uongozi wa mwenyezimungu ndio uongozi khasa. Na Kama ukifuata matamanio yao baada ya Yale yaliyokufikia ya ujuzi hutapata msaidizi yeyote wala mlinzi. "(2:120). N:B hamza issa sio muislam mwenzangu kuanzia leo labda urejee ktk uislam. Umefuata njia wasiopita waumini hivyo hutaweza kufauli amini ninavyokwambia. "Hakika wale wafichao aliyoteremsha mwenyezimungu ktk kitabu. Wakafadhilisha thamani ndogo (ya kidunia), hao hawali matumboni mwao isipokuwa Moto, wala mwenyezimungu hatawasemeza SIKU ya qiyama wala hata watakasa. Nao watapata adhabu iliyo kali. (2:174). "Hao ndio waliokhiari upotevu kuliko uongofu, na wakakhiari adhabu kuliko maghfira. Je wanaujasili gani wa kuvumilia Moto? (2:175). N:b tumia muda wako wa kuishi Nao ni mchache sana. Na utakapokufa utaujua ubaya wa iliokuwa ukiyafanya. Ulaaniwe na Allah ewe adui wa Allah na Mtume wake kwa haya unayofanya.. Labda utubu na urejee ktk dini ya kiislamu. Kwani hivi Sasa wewe umetoka kwenye dini yetu ya kiislam. Anasema Al immam ibn qayyim(r.a) Wansur kitabu Allah wassunan. (Kinusuru kitabu cha mwenyezimungu na sunna zake). Fainna junud atbai rassul malaika (kwa hakika jeshi la wafuasi wa Mtume ni malaika) wajunuduhum faasakiru sheitwan(na waovu ni jeshi la shetwani). N:B. Tambua kwamba hautofanikiwa katika unalolifanya. Na nakubashiria kifo kibaya Kama hutarejea ktk uislam na. Kutubu.
Amina! Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. Matendo ya Mitume 4:12
Mola akuhifadhi na kukubariki. Mimi nimezaliwa na kulelewa mkiristo. Nasali nyumbani kama waislamu. Nafunga wakati wa Ramadhan na napenda kuutafuta ukweli wa mweziMungu. Nakuelewa
Msiwe wajinga, anawasigia Hali yakuwa yeye ni muislamu mbona habadoli dili kuwa Mkristo Kama ameuamini ukristo! Amewawini kwakuwa Nyinyi mnadanganyika mapema.
Bwana yesu akulinde na akufiche kwa damu yake ilio na nguvu na uwezo dhidi ya mpango ya yule muovu. Usifadhaike hata makafiri waliubwa,na aliye azisha kazi njema ndani yako ataimaliza na atakuwezesha usife moyo yesu ni bwana
Kweri waislam siyo mtu yyt akipotea mlejezeni kwa unyenyekevu mcje mkaingia majaribuni lakn hapo naona mnatukana wenyewe na mnajijibu wenyewe bira hata aipo kweri uo n upofu
Yaani huyu jamaa anaichambua korhani tukufu wengi wanasoma lakini hawajui leo sasa inaelezewa safi kabisa asiyejua anajua kiundani kabisaa barikiwa baba
Anacheza na akili zenu kwelikweli, anawambia takbiiiiiir nanyi mnasema Allahu Akbar yaani Mungu mkubwa. Alhamdulillahi ukuu wa Allah unatajwa makanisani tena kwa shangwe na mihemko!!!!
Kwa bahati nzuri umeusoma uisilamu na unajua fika haki na baatwir ni ipi hvo Allah atakulipa kwa upotoshaji unao ufanya alafu usijiite mwisilamu wewe kwa Sasa upo ktk ukafiri na mnafiki mkubwa hvo ujiite kafir kuanzia Sasa na hzo njaa zitakupeleka pabaya fanya toba kbla ya umauti haujakufika
Yesu kama wewe ni binadamu sio mtoto wa mungu. Mungu Hana mtoto mungu hakuzaa wala hakuzaliwa wewe hukua muislamu usituzingue sisi wewe tunakuona kama kinyago
Dino Castico hapana ucseme hvo we muache mwenyeez mungu mwenyewe atamtumia uyo uyo kufksha maneno ya Allah hakika mwenyeez mungu in mbora wa vitimbi wameshndwa akna filaun yy nae atakaa sawa tu
Naaamini yesu ni issa ila mimi si mkiristo wala kamwe sita ingia kanisani.. kwakua simuamini mungu mtu amabye alikua akila na kunya kama mimi, mtu aliye zaliwa na mwanamke,. Kwakua naamini killa aliye lala kwenye tumbo la mwanamke si mkamilifu. Mmechelewa 😂😂😂
Toka ktk dini yetu, unadhani una elimu kumbe wewe ni mtihani sana, e mola nipe nguvu ya kuvumilia maneno haya nashindwa kwakuwa mm ni mwanadamu, sijui nifanyaje nachukia sana maneno yako, matendo yako, ACHA Kushika Qur'an wewe SI muislam, Daaaah
Tangaza injili bro ukisimama kwa ukweli lazima wanadamu wakuchukie tafuta ufalme wa Baba Mungu usiangalie ya wanadama watakushusha chini. MUNGU akuinue zaidi aibisha shetan. Ukiangalia ya wanaadam watakuelekeza jehanam
Sikuzote ukiwa mkweli mbele ya umma lazima utakuw ni adui WA wale unaowaelekeza, nasimama kusema menye kumjua mungu hawezi kujilipua na kuua hata watu wasiokuwa na hatia huku wakisema kuwa watakwenda ahhela eti kisa kafa na mtu wa neema,mungu akubariki ufanye Nazi yako vile apendavyo mungu na si watu
Yesu Alikua ni mtume wa mungu, but nyinyi wakiristo munampa cheo ambacho si chake, mungu pekee ndio atahukumu, na huyu shekh bandia anapoteza wale ambao hawajaisoma dini ya Allah
Tuje kufanya nn sasa kwa Yesu acha ujinga ww hakika dini mbele ya Mungu ni uislam tu sasa ww kama una andiko lolote linalosema km ukristo ni dini mbele ya Mungu nipe nipo tayar kuritadi km ukinipa andiko katika bibilia
Mm nawashangaa sana viongozi wetu wa dini yetu tukufu ya kiislam kwa huyu hamza mtu anaifasir qur an kijanja janja kwann msimchukulie hatua kama anafundisha ukristo basi aiyache qur an na asijiite ustadhi wala shekh
Nabii Eliya. Usimonee mtu yoyote aibu sema kile mungu alichokuitia hakuna mtume yoyote atakaporudi kuhukumu ila Mungu kamchagua Yesu.wote kuanzia waliopita pamoja na kizazi hiki nitasimama mbele ya kristo yesu .tunakua kundi moja na mchunga mmoja sio wawili .ndio utaratibu mungu aliopanga. Uwe buza uwe mpagani vyovyote vile utasimama mbele ya kristo huo ndio. ukweli .mitume wote watasimama mbele ya kristo. Kwakua nao ni wanadamu watasimama.
Tangu ufukuzwe kazi kule maliasili na kuajiriwa na Wasiojulikana umekuwa mwehu Sana na unawadanganya wehu wenzako!! Inamaana wanashindwa kukuuliza kuwa Kama umemwamini Kristo kwanini hubadilishi dini kuwa Mkristo? Umeamua kuvhumia tumbo Sasa, eti nabii!!! Hovyo!!!!
safi sana sheikh toka umemjua yesu umekua na baraka sana mungu aendelee kukubariki sana
Mungu ambanike
nakukubali nabii elia endlea kuwavumbua vipofu wasie mwamini yesu kristo kuwa ndiye masihi ajae kuukomboa ulimwengu na wakristo woote watakaa mkono wake wa kuume na wasio wakristo wataangamizwa kwa moto wa milele
Cyo kuuokomboa mtumishi ukombozi alishamaliza pale msalabani, Yesu atarudi tena kwajili ya hukumu au kuhukumu ulimwengu.
Aise sheikh unatusaidia sana sisi ambao tuliozaliwa kwenye dini chotara baba mkristo mama muislam. Tumeishi maisha magumu sana kwa kusengenywa na ndugu huku mnaitwa makafri huku mnaitwa wapagani. Yaani unaleta upatanisho wa imani. Ahsante mkuu. Tuache dini sasa rumfuate mwunyaazi Mungu.
Acha uongo we mjumbe wa papa, katengenezeni dini yenu ya CHRISLAM mpate kuupoteza ulimwengu wadini!!!
Napata kubarikiwa sana na venye unachambua bibilia pamoja na qurani.nitafanya juhudi zote nikipata na nikusalimie kwa mikono. Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana nabii elia
Ubarikiwe sana nabii elia
mwl mkuu wangu mimi nakuita hivyo Mungu wa baba yetu Yesu Kristo akutangulie ktk kazi hii barikiwa sana baba
Huyu mtu ni hatari Kwa imani ya wakristo.Tafadhalini kuweni makini.wakristo hatumtambui Muhammad hata chembe.
ahsante yesu hakika imeandikwa kila ulimi utamkili yesu kuwa ni bwana na mwokozi wetu
AMINA.
Yesu kweli nimekuelewa leo Yesu nimekutambua leo tafadhali nipokeee kweli wewe ndiwe mwanzo na mwisho paulo alisema ata kwamizaa watakukili jmn Yesu nakupendaa
Waarabu na waisraeli wameigawanya hii dunia
Yaaaaaa ayyuhalladhina amanu tubuu Ilallahi taubatan nasuhan ikiwa utaufezehesha uislam Allah atakufeze hesha duniani na akhrirah ittaqillaha haithu maakunta
Uisilam hakuna kitu njoon kwa Yesu achen kuabud msivyovijua
Yesu ww ndiwe Bwana na mokozi wa maisha yangu
Nakukubali mtumishi. Bwana YESU atakuhifadhi na HUDUMA YAKO njema.
Mungu mlinde shekh Amza maana huyu ni mbegu njema na umpe baraka umuongezee wasaidizi. Maana yeye hayumo miongoni mwa waisilamu wasiojua Mungu anataka nini ; wala hayumo miongoni mwa wakristo wasiojua Mungu anatakanini. Shekh Ammza Usikate tamaa endelea kutangaza neno la Mungu kwa njia ya haki nakweli tupowemgi tutakao kufuata kuamini pamoja na wewe.
Kabisa
Kaka seleman umesema kweli kabisa. Watu wengi awaja muelewa shehk. Yeye anacho kitaka ni kwamba tusiwe na udin
Ndugu okoka Yesu njo njiya na uzima wa milele ,Una ni bariki sana.Mazinge kipofu ana omba Yesu amu okowe
Dahaaaaa nimekuelewa sana
Yesu nijibu
Jesus all the way
Nami nimenehemeshwa ku sikiliza wewe nabii Elia kwa kizazi hiki ili nijuwe kweli toka kwako namushukuru MUNGU kuni acha haï ili nisikilize neno hili kuwa korani imeongelea kuhusu YESU Kristo kumbe hawa wa islamu wanao kataaa YESU sio wa tu wa MUNGU ila nabii Elia ishi milele hâta kizazi kijacho ipone 🙏🙏
am proud of you jesus..i wish one day meet you in the heaven
Omba mungu njaa ibaki tumboni isihamie kichwani
Unamaanisha nn apo maana anatafsiri quruan au havimo hivo ndugu?
Umedamshi umenwir baada ya kutokuonea haya injili ya Yesu, litangaze neno lake Bwana kwa matifa mbalimbali Mungu endelee kukujalii afya njema wanakunenea mabaya wakuone ukojuu hongera kwa kukombolewa na kuuweka ukweli waz hukwel umweka mtu huru
Hakuna injili ya kweli kumbuka mmungu alie ya vitabu vyake vinne hata kat uislam bipolar ilajili hi one punguza na kuzidishwa mmungu ana jua na nabee wake ibrahim ndio baby yao wa mitume mzungu hana mitume wala mawalii sadi yao kupunguza na kuichukia uislam na kutunga sheria zao kw kumpinga Allah mmungu ndio mweye haki na dunia yake na mitume wake vp uislam umkubali isa binmariam ila ukristo ulimpinga inamanisha wanashindana na mmungu mwenye mana bee zake mmungu alitetea mana bee wengi
Na isa alisema atakuja badayangu na bee wa mwisho mumfate atakae kamilisha dini nakitabunkisicho kua na Shaka muislam hat hiyo bible ilio chakachuliwa hawaichani
Lakini makafiri wazungu hichana quruani tukufu sasa nani anaemuogopa mmungu japo walikipunguza makafiri Na kuzidisha mmungu alisema hambaa manabee bada ya mtume wa mwisho muhammad saw ni kwa mwisho leo majafiri wanajita wao manabeewbila kutajwa na mmungu na kuleta mandolin mengine wao wanataka pesa na biasha
Bwana Yesu akulinde na kila hila za mashetani na watu waovu wasiopendwezwa na mafundisho unayofundisha. Mungu akubariki sana. Watu wengi wanakulaani kwa sababu unafundisha wasiyopenda. Lakini laana isiyo na sababu haimpigi mtu. Tunakubariki sana sana sana. Wengi kama wewe watajitokeza tu.
Siku zinakuja nitampeleka uyu mtu akahubiri injili sehemu zenye Giza nene in Jesus name.Amen
Amen
@@nabiiilyaaseliya2551 yani hamza njaa itakuuwa shezi wewe loh
Mbona hueleweki wewe muislam au mkristo ,et cc waislam halafu aleluyaa
Halafu acha upotoshaji , Quran haina yesu ni jina la uzushi huyo mtu ni Nabii Issa hakuna mungu anaezaliwa Nabii Issa ni binaadam kama wewe na alipaishwa na mwnyzingu kwenda mbinguni na atarud na kuonja umauti kama binaadam wengine na ndipo kiama kitakua kimefika ....Acha unafki
Mungu akubariki uendelee kutufundisha.Asante sana
Nampenda sana huyu jamaa
Wee uyo jamaa humjui t, uyo anapinga vyote.
Nambariki MUNGU ALIYE HAI KWA AJILI YAKO Ust. Hamza Issah wewe ni mtwana wa Mungu aliye hai. USIOGOPE KWAN MUNGU ALIYE HAI YUPO NAYE YUPO NA WEWE
Mungu akuongoze injili iwafikie waisilamu wote
Nashukulu mungu amweza kukuchagua ukajua ukweli, na ukaweza kufunza wengine. Mungu akubaliki
Jesus Christ is our sevior sema ahsante yesu Kristo nilinde na wabaya wote duniani aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nisael Emmanuel ww jidanganye ivo ivo yesu hakuwahi kuingia kanisani tafuta biblia mzima ila utakuta alikua akiingia msikitini ww shangiria mpaka motoni yesu hakuleta ukiristo bali umeletwa na Paulo mtaliano yesu alikua myahudi ndomana mpaka leo ukienda pale Palestina katika mji wa Jerusalem hapana wakiristo zinduka
Amem
Aminaaa
Nisael Emmanuel weeeeee kuma
Uchizi unakusumbua wewe
Wanao kutukana hakika mwenyez mungu awasamehe maana hawajui walitendalo ukweli utabaki pale pale mungu akulinde
Laana za ALLAH ziwe juu yako kwa kupotosha umma. Mm nakuombea ufe hivyo2 na imani yako hiyo ukawe kuni jahannam IshaAllah.
Usimhukumu ndugu yako usije kahukumiwa lakini Jahannam inawangoja wa Islamu nyote Qur'an ya Mayunga ukulasa 533 kama unyayo soma au uliza Dr Mazinge au Dr Sule
We subilia ufe ukamuliwe mavi uende kaburini bila marinda na motoni utafika maana amna Muislam atae ingia mbinguni
Mimi namuombea asife sasahivi ili azidi kuwapotosha waliopotoka wakachomwe wote kuzimu.
Kwanini unamuombea afe...Hiyo ni roho ya Shetani..Afe ili iweje.
Namupenda MUNGU sana ku sikiliza maana ya luga neno mu kiharabu hâta swahili Haleluya Haleluya Haleluya mimi ni mu Congo ila nakufata toka Oman namupenda MUNGU kwa furaha sana ku sikiliza injili hiyi leo ao nabii huyu kumbe kuna ukweli kama huu duniani? MUNGU sifiwa milele
INALILLAH WA INALILLAH RAJIUNI!WEWE NI MUKUBWA WAMAKAFIRI,INASEMEKANA KAMA ZAMA ZAMWISHO UNGO UTAJUNGUWA PUMBA ZITATOKA,KWAHIO WEWE FUNGUA KANISA LAKO LAWA MURURADI MWENDE WOTE KABISA
USIRUDI KUSEMA KAMA WEWE NIMWISLAM.
UDUADINI.UTAAIBIKA SIKUZIJAZO.
uijui din yako kiundan
Piga kazi mtumishi wa Mungu kwa kipindi hiki cha neeema
Mungu akubariki sana Ustaadh kwa kazi ya MUNGU uifanyayo!
njaaa mbaya sana mnafki kama huyo yatakiwa alaniwe
Nimekubari kweri hamza sio muisilamu wewe kafili nia ualibu uisilamu na hautouweza tunajivuna mashe wetu wapo makini sana kwenda zako na kufuruzako
waislamu mko wapi wanye wamapinga kristo bwana yesu asifiwe AMEN
Waislam tunatukana matusi lakini hamna hoja huyu jamaa anahoja nyingi zenyekueleweka chamsingi tuondoe kwanza ubinafs harafu tumsikilize kwa makini ili tuhoji tuache ushabiki wadini tatizo jamaa ana hoja ya maandiko ni mimi great thinker man
Waisilamu ni wagumu kuelewa...mambo mazuri kama haya..
Umeongea kweli mtupu
Unaelewa wew usielewa mbona wew humuelewi Mazinge
Mwambie huyo mpuuzi mwenzie aje kwenye mdahalo anawakaririsha wapuuzi kama nyie
@@jolemerci21550😊😊😊😊😊0
😊
P
P
P
P
Ahsante yesu kwa kuwa mokozi wangu hakika kila kinywa kitakili na kila got litapigwa kwako mkombozi wetu.
Amen amen mungu akubariki sana
Sema kweli shehe na mungu akubariki na kuongeze maisha marefu ..... Waisilamu ilo wnalijua ila jeuri tuu
Kama yeye bwana na baba sasa baba yako na bwana yako ndio nani?
Utaulizwa na Mwenyezi Mungu weye fanya mzaa tu
Jaman dini ninjia tuu bustani mwa eden hapakua na dini tuwe makin tusije jikuta tuna ng'ang'ania njia afu hatujui inapo tupeleka tuwe makini dini hazishabikiwi dunia yetu ni ya watu walio potea tusishabikie shabikia mpira na michechezo mingine ila sio dini dini imekuja baada ya sisi kumkosea mungu kazi ya dini nikutufikisha kwa Mungu ukimfikia Mungu dini haina kazi
Slim,DINI y kwel na y haji n uislam,,,huyo n chiz kam chiz wengne
Njia ya kweli ni Yesu tuu maandiko yapo wazi unapo sema dini unamaanisha njia so Yesu alisema yy ndie njia ya uzima so mnataka nn ?kaeni apo apo majini yanawasumbua
Kitajulikana Mungu sio Asumani. Hukumu zake ziko palepale. Na mkono wake haujapungua uweza. Kama alivyomuinua Musa hadi sasa anawainua watu awapendao wafanye kazi yake
Wewe masikini duniani na akhera.
Kweli kabisa
mwenyez mungu huwa uwislam anaulinda mwenyewe mwachen apotoshe ila ipo cku atarudisha pumzi kwa allah
Alla ndonan
Siku za mwisho simefika kila nafsi itamujua yesu kabla siku ya kiama
Nimesoma history ya Mohammad, nakuelewa sana..umepatia hayo maneno Mohammad aliwaambia wafuasi wake kwamba ikiwa wana shaka wawaulize “WATU WA KITABU” hawa watu wa kitabu ndio waliomfundisha Mohammad habari za Kristo..
Usijidanganya ijili ya kale iko wapi nakuliza ww injili ya kale na isa walimtabiri atakuja muhammad saw bada yangu Mfate hi ya sasa ni ya kuzidisha na kupunguza ya wazungu mzungu hana kwao na bee ibrahim ukiona katokea irag na yy alieanzisha uislam kutoka kwa amri ya mmungu na ukiangalia mitume wote ni wa mmungu mmoja na wote wametoka mashariki ya Kati. Mzungu hana na bee na ktk quruani tukufu na na bee woote wwmetajwa mbona mmungu hakbagua isa anajua ni na bee wake na wote hao ni wamoja na isa nimmuislam safi alisujudu na kutawadha na mmungu alisema mtume wa mwisho atakMilisha dini ninuislam kufaradhisha kila kitu swaum hija sealant sajad na vitu vingi vlikamilka ktk uislam kuvunja masanam baba yake ibrahim alivunja masanam leo mana bee wanajitokeza njaa kujita wao manabee huzeqkua na bee kwa sababu mmungu mwenye dunia yake alisha sema mtume wa mwisho na kitabu kilicho kua hakina shaka ni quruan tu hivyo vilivyobtangulia bilious nusu nusu ya elim kwa wana adam ila watu wamempinga mmungu na kubadilisha injili yake ya kweli . Cc waislam tunakubaliwvitabu vyote viine taurat injili zaburi na furgan cha mwisho
Maandiko yanatimia, ni kwli kila ulimi utamkiri Kristo yakua ni bwana
Gonga like kama huyu kenge ni njaa tu inamsumbua
Yaa hamza soma na hii najua biblia unayo Warumi 10:9-10
Barikiwa sana Mungu anataka akutumie kwa uweza wa ajabu sana
Waisilamu wezangu mfikie mahali mkubali kuokoka
@@michaelrobert3593 huo Ukristo unasema hakuna kuokoka
@@michaelrobert3593 we si muislamu na kama ni muislamu huna elmu ata chembe
Allah ni mwingi wa rehma .na katika rehma alizo turehemu ni kututumia mitume. Ili tumujuwe Nani muumba wetu naye ni Allah ili tumuabudu .someni Surat Al fatiha na sulati ikhirasi kwa utulivu na kwakutaka kujuwa ukweli . na omba Allah akuonyeshe ukweli na ukujaaliye uufate
Hahaaaa Allah kwani mungu
mimi nilikuwa mukristu leo niko Muisilamu wakuamina. kuwa Mungu ni mmoja nayeye ndie anae paswa kuabudiwa pasipo mwengine.
Umekosea umeifata njia iliyo nyooka na safi...waionayo ni weng matajiti...lakin iendayo kwenye uzima ni nyembamba na iliyojificha na waionayo na ni wachache ndugu....ucpoteee kizembe shetan nae alileta wa kufana na yesu baada ya yesu kuondoka ndio huyo muhamad ambae amepandikizwa na shetan kuupinga ukweli wa kristo na neno la uzima kaa chonjo cku ni chache...mmi muislam lakin kuna nguvu ya tofaut ndan ya kristo....mmi namkemea pepo kwa jina la yesu kristo bila kutumia mafuta wala njia yoyote ila in the name of jesus only...bad spirit out....na linatii linaogopa lakin wew umeenda kuswali na majin misikitin wew....kama ungekuwa umeokoka kweli ndan ya moyo wako ungetambua kweli mwenye bila kuambiwa itafute kweli kwa bdii ili ukailith nchi mpya
Mashallah!
Wakristo wanaona wimbi kubwa la watu kisilimu duniani kote,sasa wanaandaa watu kama Hamza kwa lengo la
(1) Kuwavunja moyo waliosilimu,
(2) Kuwakatisha tamaa wanaotaka kusilimi na
(3) Ikiwezekana kuwatoa Waislamu katika dini,
Allah alishasema kuwa makundi kwa makundi wataingia katika dini ya haki,yeye Hamza hawezi na hataweza kushindana na yule aliyempa pumzi,
anajifurahisha yeye na Wakristo wenzake.
Ww umeipima hiyo roho za uislamu????? Inatokan na mungu
Shaitwa is using an advantage of Poverty, may God protect all Muslims yarabi
Ukitaka kuwajua watu wasiomcha Mungu, utawatambua kwa kutukana. Ubarikiwe Ustaadh Hamza, anayekupinga alete ushahidi wa maandiko. Wanaokutakia kifo ni wana wa shetani walioshindwa kujibu hoja kama ilivyofanyika kwa Yesu wakidhani kuwa kuua mtu ni njia ya kufisha ukweli!
Huyu jamaa...atawadanganya sana nyie msio ujua uislam....kifupi hakuna muislam anaempinga yesu ht mmoja na wala injili aliopewa. Isipokua tunachopingana na wakristo ni kitu kimoja tu. Wakristo wanamuita yesu mungu nasisi tunamuita yesu ni mtume wamungu. So kumkuta yesu kwny Quran na wote wanaomuhusu ni jambo sahihi kwasabu yesu anatambulika kwny uislam km ni mtume halali wa mungu. Na kingine kaeni msome ili muelewe vzr. Quran ni combination ya vitabu 4 furqan ambayo ndo Quran yenyewe. Injili,zaburi na tauraat. Kwahiyo si ajabu kumkuta yesu na mitume mingine....so huyu jamaa asichukue kigezo cha kumkuta yesu kwny Quran ndio apotoshe umma. Quran imetaja mitume yotee kuanzia yeye mwenyewe Muhammad,issa ambae ndo yesu, nabii ibraahim, ismail,is-haak, yaaquub nawengine wengi waliopita kbl ya kuja muhammad. So km hamsomi mtadanganywa sana na watu km hawa....ila siwezi kumaliza yote humu coz mtachoka kusoma. But nataman huyu jamaa aingie kwny kumi nanane zangu nitamuuliza maswali matatu tu...na sidhan km mada itaendelea tena.....inshaallah ipo siku
christina biyengo UYO JAMAA NI MUONGO KUHUSU HUO UNABII WA MALAKI.4:5,6).YAAN AJUI UNAMANISHA NINI,HUO UNABII UNAMUHUSU YOHANA MBATIZAJI YESU ALIFAFANUA SASA NYIE JUMHIYA YA WAKRISTO MKIWA WAVIVU KUSOMA BIBLIA NDO UYO JAMAA ATAWATEKA..SOMA APA..(MATHAYO: 17-10-13).KWAIO UNABII ULITIMIA KWA YOHANA ZAIDI YA APO AKUNA NABII MWINGNE WALA MTUME AMBYE ATAKUJA KILICHO BAKI NI KUFATA MUONGOZO KUTOKA KTK BIBLIA BASI ILI UOKOKE KTK DHIKI KUU NA HARMAGEDONI AMBYO IKO MBELE YETU...
ubarikiwe sana mana wewe umetambua ni ipi Dini ya kweli.
"Hawatokuwa radhi juu yako mayahudi wala wakiristo mpaka ufuate mila yao. Sema hakika uongozi wa mwenyezimungu ndio uongozi khasa. Na Kama ukifuata matamanio yao baada ya Yale yaliyokufikia ya ujuzi hutapata msaidizi yeyote wala mlinzi. "(2:120).
N:B hamza issa sio muislam mwenzangu kuanzia leo labda urejee ktk uislam. Umefuata njia wasiopita waumini hivyo hutaweza kufauli amini ninavyokwambia.
"Hakika wale wafichao aliyoteremsha mwenyezimungu ktk kitabu. Wakafadhilisha thamani ndogo (ya kidunia), hao hawali matumboni mwao isipokuwa Moto, wala mwenyezimungu hatawasemeza SIKU ya qiyama wala hata watakasa. Nao watapata adhabu iliyo kali. (2:174).
"Hao ndio waliokhiari upotevu kuliko uongofu, na wakakhiari adhabu kuliko maghfira. Je wanaujasili gani wa kuvumilia Moto? (2:175).
N:b tumia muda wako wa kuishi Nao ni mchache sana. Na utakapokufa utaujua ubaya wa iliokuwa ukiyafanya.
Ulaaniwe na Allah ewe adui wa Allah na Mtume wake kwa haya unayofanya.. Labda utubu na urejee ktk dini ya kiislamu. Kwani hivi Sasa wewe umetoka kwenye dini yetu ya kiislam.
Anasema Al immam ibn qayyim(r.a) Wansur kitabu Allah wassunan. (Kinusuru kitabu cha mwenyezimungu na sunna zake). Fainna junud atbai rassul malaika (kwa hakika jeshi la wafuasi wa Mtume ni malaika) wajunuduhum faasakiru sheitwan(na waovu ni jeshi la shetwani).
N:B. Tambua kwamba hautofanikiwa katika unalolifanya. Na nakubashiria kifo kibaya Kama hutarejea ktk uislam na. Kutubu.
ARAFA MIKIDADI ,
ARAFA MIKIDADI hahahahahaha duuuuu...
Swadakta wa barakta Umesema kweli
Ww arafa nawe mfia din
ARAFA MIKIDADI we kweli mpuzi anae panga kifo na cha aina gani ni Mungu tu nasi vinginevyo
Darasa zuri sana Mungu akubariki mtumishi wa Mungu uko vzri kubabadua.
Amina! Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
Matendo ya Mitume 4:12
Mungu ahimidiwe milele na milele amina,hakika mungu hana upendeleo alivyo sema petero
Allah, anakuona unamuudhi sana, unamchukuza sana, ww ni mtihani sana, umechagua Dunia zaidi, umeniudhi sana siwezi kuacha kuonesha hisia zangu, umefeli jirekebishe kabla hujafa
Huyu umekula kwake mteme tu , anadalilisha dini
Endelea kuwafungua macho ili damu yao isije ikadaiwa mikononi mwako wewe uliyeitwa kwa ajili ya mataifa
Jamani waislam
Mnapinga nn wakati yote yameandikwa kwenye Quaron takatifu....
Msiwe na Mioyo Migumu...
Watu watachagua kwenda Mbinguni au kumkataa YESU ili waende jehanamu ya moto. Hongera Shekhe Amza
MWENYEZMUNGU hakosei na LAANAYAKE Ikojuuyako nawatakaokufuata AMIN
Nawala huna elimu hats uzito waharadali.inabidi ukasome ujue ukweli ukowapi
Jamani mbona matusi
na Yesu ni mutume wake.
Mola akuhifadhi na kukubariki. Mimi nimezaliwa na kulelewa mkiristo. Nasali nyumbani kama waislamu. Nafunga wakati wa Ramadhan na napenda kuutafuta ukweli wa mweziMungu.
Nakuelewa
Ww umemfahamu sasa huyu kafiri mtizame klip zake nyengine sasa ajita nabii ilyas
Inna lillah wa inna lillah lajicuun. Mola akusamehe jihurumie Mwanadamu siku ya haki mbeleni utakosa lakusema.
Huyu mutu mungu amusamehe
Kwani kakosea
Wala hajakosa kasema.kweliiii
Bora mpe Yesu maisha yako ili siku ya mwisho update Neno la kusema kwamba nilikukiri Yesu
Mtumishi uko sawa kabisa,lakini bila ubatizo bado huja maliza safari,ila naomba mungu sana isikuwe ni crislamic imeanza.
Victory belongs to Jesus oh yes!!!!Amen.
Msiwe wajinga, anawasigia Hali yakuwa yeye ni muislamu mbona habadoli dili kuwa Mkristo Kama ameuamini ukristo! Amewawini kwakuwa Nyinyi mnadanganyika mapema.
Y
Amen
Bwana yesu akulinde na akufiche kwa damu yake ilio na nguvu na uwezo dhidi ya mpango ya yule muovu.
Usifadhaike hata makafiri waliubwa,na aliye azisha kazi njema ndani yako ataimaliza na atakuwezesha usife moyo yesu ni bwana
Yesu ndo kimbilio
@@gnakognako9478 Amen Amen Yesu ni bwana.
Hata ukaichukia Dini ya Kiislam huwez kuizima nuru kashindwa fir-aun jee ww
Nabii wewe ulirogwa katafute mganga akuague
Taqbir
Kweri waislam siyo mtu yyt akipotea mlejezeni kwa unyenyekevu mcje mkaingia majaribuni lakn hapo naona mnatukana wenyewe na mnajijibu wenyewe bira hata aipo kweri uo n upofu
Barikiwa sana na Mungu akulinde
Hamwelewi kitu.
Yesu mwenyewe hamumwelewi huyu ndio hamumwelewi.
Kwetu huyu ni KAFIRI ATADHALILIKA HAPA DUNIAN. UTAONA
amen
Kwa Yesu tunaenjoy
Wakristo wanapenda mserereko. Ss wameliwa
SOMO LIMEKOLEA
SAFI SANA
Ni kweli kabisa sisi sote tu wa ktristu
na Mungu ni mmoja Yesu Ktristo
Nakufinika kwa damu ya yesu...
Hautakufa malaika Wana simama kwa zamu kukulinda..... mpaka utimize mapenzi ya Mungu duniani
Amen
Hatokufa! Jahahahaaaa. Ila yesu alikufa duuh
@@rahmashaban8693 alikufa kwa sababu ndio maana akafufuka
@@ayobumwakila6259 Issa hajafa ww ni mzushi
@@mgeniali1768 alienda wapi sasa at niambiee dunia inaamin hvo wew ni nani ucamin....
Yaani huyu jamaa anaichambua korhani tukufu wengi wanasoma lakini hawajui leo sasa inaelezewa safi kabisa asiyejua anajua kiundani kabisaa barikiwa baba
Anacheza na akili zenu kwelikweli, anawambia takbiiiiiir nanyi mnasema Allahu Akbar yaani Mungu mkubwa. Alhamdulillahi ukuu wa Allah unatajwa makanisani tena kwa shangwe na mihemko!!!!
Jamani tuwe makini nawatu hawa
Halafu tafsiri anavurumisha tu ili afikie malengo ya kuwapelekesha hao wafuasi wake😀
Fundi wa upotofu kwa wasiojua tafsiri ya Qur-an maana yake.
Kwa bahati nzuri umeusoma uisilamu na unajua fika haki na baatwir ni ipi hvo Allah atakulipa kwa upotoshaji unao ufanya alafu usijiite mwisilamu wewe kwa Sasa upo ktk ukafiri na mnafiki mkubwa hvo ujiite kafir kuanzia Sasa na hzo njaa zitakupeleka pabaya fanya toba kbla ya umauti haujakufika
Yesu kama wewe ni binadamu sio mtoto wa mungu. Mungu
Hana mtoto mungu hakuzaa wala hakuzaliwa wewe hukua muislamu usituzingue sisi wewe tunakuona kama kinyago
kwani mpera unaaga na Nani?
Kinacho niumiza roho Sana adi wachungaji wanamsikiliza uyu baba
Pigaaa injiliii
We sio muislamu acha kuichafua dini ya Allah utaishia pabaya
anatia hasira na anavojikesha bas anazid kuchefua
Ushapotea ALLAH akuongoze
Quran Ndio anayo soma sasa kapotea nn kisa anasema ukweli
wanaokupinga wengi wao wanaburuzwa kwenye dini hawana wanalo lijua katika mungu😢😢wamerithi tafsri za vitabu toka kwa mababu zao ☺mungu mmoja
Inshaallah mungu akuweke na mwisho udhalilike mpaka ardhi ikukatae.
Dino Castico hapana ucseme hvo we muache mwenyeez mungu mwenyewe atamtumia uyo uyo kufksha maneno ya Allah hakika mwenyeez mungu in mbora wa vitimbi wameshndwa akna filaun yy nae atakaa sawa tu
Kama unamuamini yesu ambae Issa wewe ni mkristo
Na je anayo yasoma sikweli au kweli
Naaamini yesu ni issa ila mimi si mkiristo wala kamwe sita ingia kanisani.. kwakua simuamini mungu mtu amabye alikua akila na kunya kama mimi, mtu aliye zaliwa na mwanamke,. Kwakua naamini killa aliye lala kwenye tumbo la mwanamke si mkamilifu. Mmechelewa 😂😂😂
Kumkiri Kristo ni nguvu ya Mungu
tamaa itakuua ww.pumbavu mkubwa ww.laana za Allah zitakushukia.
Chunga athabu isikurudie wewe..
@@zacharynganga2124 hakuna icho kitu jiangalie musije ikakukuteni wewe na uyo mnafik apo
Toka ktk dini yetu, unadhani una elimu kumbe wewe ni mtihani sana, e mola nipe nguvu ya kuvumilia maneno haya nashindwa kwakuwa mm ni mwanadamu, sijui nifanyaje nachukia sana maneno yako, matendo yako, ACHA Kushika Qur'an wewe SI muislam, Daaaah
Tangaza injili bro ukisimama kwa ukweli lazima wanadamu wakuchukie tafuta ufalme wa Baba Mungu usiangalie ya wanadama watakushusha chini. MUNGU akuinue zaidi aibisha shetan. Ukiangalia ya wanaadam watakuelekeza jehanam
Sikuzote ukiwa mkweli mbele ya umma lazima utakuw ni adui WA wale unaowaelekeza, nasimama kusema menye kumjua mungu hawezi kujilipua na kuua hata watu wasiokuwa na hatia huku wakisema kuwa watakwenda ahhela eti kisa kafa na mtu wa neema,mungu akubariki ufanye Nazi yako vile apendavyo mungu na si watu
Huyu mzee kachanganyikiwa
Kwa kweli nimependezwa na mafundisho haya mungu akuwezeshe kufundisha zaidi
Aliye na skio na asikie, Yesu ni Bwana Wa yote
Amen
Inaalilahi waina illahi rajuun wewe ustaadh humuogopi mungu wewe sio muislam wa kweli
Huyu hata haeleweki Allah amtoe huko aliko inalilahi wainailahi rajiuni
Njooni kwa YESU KRISTO enyi watu wa Mungu tupo ukingon MASIHI ANARUDI KUUHUKUMU ULIMWENGU
😠😠😠😠ujinga kilamtu naimani yake😢😢😠😠roh yabibi yako
ubarikiwe
Yesu Alikua ni mtume wa mungu, but nyinyi wakiristo munampa cheo ambacho si chake, mungu pekee ndio atahukumu, na huyu shekh bandia anapoteza wale ambao hawajaisoma dini ya Allah
Kweliii
Tuje kufanya nn sasa kwa Yesu acha ujinga ww hakika dini mbele ya Mungu ni uislam tu sasa ww kama una andiko lolote linalosema km ukristo ni dini mbele ya Mungu nipe nipo tayar kuritadi km ukinipa andiko katika bibilia
AMEN, Mungu akubariki sana mtumishi
Ama kweli fanyeni uchunguzi musimuamini kila mtu huyo ndugu zangu njaa inamsumbua
Njaa ndio nn?
Mungu hua hajikani .kama anatumika na Mungu kazi yake itasimama .pia kama sio mungu basi ataanguka tuu Mungu hadhihakiwi.
Kwa hayo aongeayo ni ya kweli isipokua hakuna mwingine baada ya yesu yaan hakuna nabii mwingine baada ya yesu labda wa uongo
Mm nawashangaa sana viongozi wetu wa dini yetu tukufu ya kiislam kwa huyu hamza mtu anaifasir qur an kijanja janja kwann msimchukulie hatua kama anafundisha ukristo basi aiyache qur an na asijiite ustadhi wala shekh
Wewe njaa inakusumbua
Nabii Eliya. Usimonee mtu yoyote aibu sema kile mungu alichokuitia hakuna mtume yoyote atakaporudi kuhukumu ila Mungu kamchagua Yesu.wote kuanzia waliopita pamoja na kizazi hiki nitasimama mbele ya kristo yesu .tunakua kundi moja na mchunga mmoja sio wawili .ndio utaratibu mungu aliopanga. Uwe buza uwe mpagani vyovyote vile utasimama mbele ya kristo huo ndio. ukweli .mitume wote watasimama mbele ya kristo. Kwakua nao ni wanadamu watasimama.
Innalillah wa innaa ilayh rajiuun
Umeongea kiarabu maana yake hujui
Ubarikiwe san Hamza isa mungu yupamoja nawe
Uyu jamaa kichaa musimshange. Na njaa inamtesa
Yesu alidhihakiwa
Huyu jamaa yuko sahihi ila waislam mnaabudu mashetani
Sikushangai, mulibashiriwa mtakuja watu km nyinyi zama zamwisho.
@@elishakayagwa9371 anaitwa nani uyo shetani alafu nimegundu ndugu zangu mumekosa akili ata kidogo
kweli njaa...zinampelekea Mtu kumuasi Mwenyezi Mungu
Analaan huy pes hana nd njia aloiona 😠😠😠😠😠😠jihubir mwenyewe sema upewe pesa ss unazaniu taishi milele
jamaa amejitambua na hakuna atakae Muona Mungu aspo mkiri Yesu
Tangu ufukuzwe kazi kule maliasili na kuajiriwa na Wasiojulikana umekuwa mwehu Sana na unawadanganya wehu wenzako!! Inamaana wanashindwa kukuuliza kuwa Kama umemwamini Kristo kwanini hubadilishi dini kuwa Mkristo? Umeamua kuvhumia tumbo Sasa, eti nabii!!! Hovyo!!!!