We East Africans we should stick together especially in protecting our environmental biodiversity, Congrats to all Our presidents , Much love from Tanzania 🇹🇿.
Tunawapongeza waheshimiwa hawankwa kongamano zuri la kuondosha njaa ktk mazingira yetu kwani chakula ni uhai yaani Kula ni uhai na uhaibni Kula kabla ya utajiri wowote . Hongera Rai's Ruto na Rai's Samia mama yetu _ tuwaombee wayaweke ktk utendaji yote . Amen
Naangalia toka Dar es Salaam-Tanzania, na Mh.Ruto, amenifurahisha sana! Nimefurahi kwa hoja hii na umoja huu kwenye summit hii iliyokuja nyakati sahihi
Hey whoever vis talking at the background while while president ruto is speaking that one is unprofessional,it's unfair,am one of the snr international investigative tv journalist from Kenya,
kwa mtazamo wangu hawa ndio marais wasiopendwa na waninchi wa kawaida ira wanapendwa na viongozi wario wateua na familia zao na kwa mh samia kutokupendwa huku uswahilini ni kuuingiza ubaguzi kati ya bara na znz kuwapenda sana wabara kwa kuuza bandari za tanganyika na kuziacha za zanzibar inamaana anawachukia wa znz huo sii ubaguzi umeingia tz??? watatuchukia wa znz tutakwenda znzbarkweli wabara???
Lazima ujifunze Kiswahili tuache kuzungumza kiingereza hio ni lugha mseto lugha ni ya Kiswahili bunge letu tunaongea kiingereza Tanzania bunge lao laongea Kiswahili
We jamaa mbona ni mswahilina kabisa acha zako. Kiswahili unakijua mapungufu uliyonayo hata siye wengine watanzania tunayo wapo tulioathiliwa sana na makabila yetu.
Si eti atujui kuongea Kiswahili, ila tunaongea Kiswahili mufti nanyi mwaongea Kiswahili sanifu, so their is a bit difference but all we speak the same language and we are good neighbors
Kelele za wasanii zipuuzeni jenga nchini zenu agizeni mafuta ya kutosha maana najua kuna ndugu zenu wako kijijini usafiri wao bodaboda kwenda hospital umoja ni nguvu ✌👊
Rais Ruto, I have laughed my tail off. .....but you speak good kiswahili, you need not speak like them (Tanzanians) just like they sweat oil while speaking English.
I didn't vote for Ruto but now i love him & i wish him good health & good leadership.
💯
Ruto speaks good Swahili than kenyans
Bravo Ruto !
Nimecheka hadi mbavu sina!!!
Ruto you made my night!!!!
😂😂😂😂😂
We East Africans we should stick together especially in protecting our environmental biodiversity, Congrats to all Our presidents ,
Much love from Tanzania 🇹🇿.
RUTO NI SHUJAA WAKENYA
HONGERAAAA RAISI WETU
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mr. President Ruto😂 you have made my day. Thank you sooo much. Much love from Tanzania.😂😂😂
Ruto umechekesha sana
Tunawapongeza waheshimiwa hawankwa kongamano zuri la kuondosha njaa ktk mazingira yetu kwani chakula ni uhai yaani Kula ni uhai na uhaibni Kula kabla ya utajiri wowote . Hongera Rai's Ruto na Rai's Samia mama yetu _ tuwaombee wayaweke ktk utendaji yote . Amen
Kwanini Africa tusikuwe na raiz moja ..pesa moja...soko moja
Jana kuna mzungu alisema africa tungeungana tungefika mbali sababu tuko na kila kitu...just like USA...
Raisi ruto hongera kwa kiswahili
hongela rais ruto kuongea kiswahili shukrani
Naangalia toka Dar es Salaam-Tanzania, na Mh.Ruto, amenifurahisha sana! Nimefurahi kwa hoja hii na umoja huu kwenye summit hii iliyokuja nyakati sahihi
Asanta Mheshimiwa Rais Dkt William Samoei Ruto hapo umeweza... Kiswahili kitukuzwe
Mh. Ruto Hongera, Nadhani Wakalenji sio wabantu Lkn wewe unaongea Kiswahili kizuri kuliko hata Nomads wa Tz
Unajipa moyo
huyu jamaa ni mwanasiasa pure
MbonaKishwahil chake ni safi kabisa..
PRESIDENT RUTO MADE MY DAY!!!! KARIBU SANA TANZANIA!!!
Mr President ruto u make us laughing to much .your respect sir
Ruto❤❤
Nimecheka kweli , kumbe rais Ruto ni mcheshi sana 😂😂
Hey whoever vis talking at the background while while president ruto is speaking that one is unprofessional,it's unfair,am one of the snr international investigative tv journalist from Kenya,
Ruto, evarst, na mama na wanaest afrca asanten sana
This guy is more of a comedian than a president 😅
@Habari Digital tafsiri za nn mnatuchukuliaje ????
Hongera heshiwa raisi wetu
kwa mtazamo wangu hawa ndio marais wasiopendwa na waninchi wa kawaida ira wanapendwa na viongozi wario wateua na familia zao na kwa mh samia kutokupendwa huku uswahilini ni kuuingiza ubaguzi kati ya bara na znz kuwapenda sana wabara kwa kuuza bandari za tanganyika na kuziacha za zanzibar inamaana anawachukia wa znz huo sii ubaguzi umeingia tz??? watatuchukia wa znz tutakwenda znzbarkweli wabara???
Uko sawa broo ww nganganatu
Lazima ujifunze Kiswahili tuache kuzungumza kiingereza hio ni lugha mseto lugha ni ya Kiswahili bunge letu tunaongea kiingereza Tanzania bunge lao laongea Kiswahili
Anaitua ruto Mr prezo 😂😂
Kura yangu hii,haikupotea wewe ni mwakilishi wa kweli, thanks Mr president
Nimecheka kweli
My president ❤ twende kazi ruto
We jamaa mbona ni mswahilina kabisa acha zako. Kiswahili unakijua mapungufu uliyonayo hata siye wengine watanzania tunayo wapo tulioathiliwa sana na makabila yetu.
Wakenya wao wakiongea wenyewe huwa sawa ila hukosa amani wakiongea na watz wanahisi tz wanaufasaha zaidi
Azimio kenya inatesa Ruto
Hata mkubwa ukosea, kiongozi wake amemsaidia kusahihisha kile alichokusudia kuongelea.
Kuchochea , ni kweli umeweza leta mambo mazuri. Wenye kuchocheya kwa mambo mbaya , ni wachawi , wasubiri kiloko kabisa kabisa
Sisi hapa Kenya Tunakupenda Rais Suluhu Hassan, na Uongozi wake Bora. Na pia ametuonyesha kuwa mwanamke, anaweza kuongoza kuliko wanaume pia.
Kaa kwa kutulia ww hv unajisikia kweli
Nabii hasifiwi kwao lakn Samia aminia
Acha uzwazwa
Mtafsiri angeacha..kiingereza ni lugha rasmi ya biashara kwa nchi yetu
cjui katumwa kazingua mbona Ruto hajamtafsiri
Nice
SWA mweshimiwa
😂😂😂😂My president
Ruto mtoshe WAJINGA wote . Muwapatishe ni vizuri kwa WOTE
Sisi tunacheka😅.Ni vipi mkenya hajui kiswahili ila anazungumza kiingereza kwa ufasaha!?
Afrika bado ina safari ndefu...
Kiswahili chenyewe hatujui tunabananga maneno "kiswah-english"
Si eti atujui kuongea Kiswahili, ila tunaongea Kiswahili mufti nanyi mwaongea Kiswahili sanifu, so their is a bit difference but all we speak the same language and we are good neighbors
Gods.must be crazy 1
Umenichekesha kuliko wacheshi wengine
Hapo ni wapi?nauliza jmn
Eti Azimio ni nini Rais Mpendwa?! 😮❤
Kswahili ni kizuri sana
Ruto hajuwi kiswahili?😂
Congratulations for my president Ruto Kenya 🇰🇪
marais wako pamja kkn wanayojiita kıoo cha jamii hujıfanya wao ndıo waoo.
Ndio ujue Azimo wako na mambo mazuri
😂😂
Watu si wachinga bwna😂😂
Ww ach siasa bwn ww ongea
Ngorongoro
Kelele za wasanii zipuuzeni jenga nchini zenu agizeni mafuta ya kutosha maana najua kuna ndugu zenu wako kijijini usafiri wao bodaboda kwenda hospital umoja ni nguvu ✌👊
🤣🤣🤣azimio iko na fujo sana😂😂😂
Sura ya maamzi inaonekana katika maongezi.
Ruto hapo ulina ndipo
😅😅😅😅
Upovizuri
Too much talking.
And Kenyans are starving and completely confused about their future.
Hata kujaza gas watu wameshindwa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyo wnaetafisiri anatupigia kelele..tumemuomba hiyo huduma??
😂😂😂😂
Kumbe unaakil meku
O
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Azimio ni chama cha upinzani 😂😂
Enyewe rais mwenye anabeba mambo ya kwake kwa wenyewe ni ujinga
jama akiskia azimio anahaha chonde chonde waheshimiwa msitaje tena asije akakimbia ruto wa watu
😅😅😅
😂😂😂😂😂
Huyu president amechaguliwa na GOD alisema mambo ni matatu upizani ikaanza kelele soma maadiko diyo ujue ukweli
Rais Ruto, I have laughed my tail off.
.....but you speak good kiswahili, you need not speak like them (Tanzanians) just like they sweat oil while speaking English.