LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE NA RAIS SAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 80

  • @jescageorge-fv8yt
    @jescageorge-fv8yt 2 หลายเดือนก่อน +3

    Lisu Zaid ya Simba ❤❤❤

  • @JosephMabibi
    @JosephMabibi 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ongera saaana mweshimiwa Tundu Lissu.
    Hatukutegemea kama utajibu vizuri hivyoo ubarikiwe saaana

    • @Chemba67
      @Chemba67 2 หลายเดือนก่อน

      Lissu na Samia wanajuana...wewe ulidhani Samia kazungumza vile kiholela....

  • @EliamanNnko
    @EliamanNnko หลายเดือนก่อน

    Lisu jina zuri sana
    Na si simba tu
    Bali wewe ni simba yuda
    Hongera sana mweshiniwa

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa 2 หลายเดือนก่อน +6

    🎉🎉🎉🎉🎉hakika tundulisu ni simba

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 หลายเดือนก่อน +9

    Ni kweli Lissu ni machachari ni mtetezi wa Wanyonge na msema kweli hajapinda pinda na mtu anaependa haki Mahakaman na nje ya Mahakama

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 2 หลายเดือนก่อน +10

    Ni kweli huyo ni simba,big up mama umesema kweli...

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 หลายเดือนก่อน

      King of the Jungle 🎉🎉🎉🎉

  • @KhalfanAbdalla-x7u
    @KhalfanAbdalla-x7u 2 หลายเดือนก่อน +12

    Sasa wanachama na mashabiki wa chadema ,Tundu Lisu akipanda jukwaani mshangilieni kwa kumwita simba simba simba ilipwe tishio zaidi katika majukwaa ya kisiasa

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 หลายเดือนก่อน

      Kwani Zanzibar Kuna Simba ? Ni wa baharini au mbugani,je nao ni wawindaji kama WA kwetu au wanapekejewa msosi

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera Tundulisu simba wa Tanzania

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 2 หลายเดือนก่อน

    Mamma Samia ametoajina nzuri sana kwa Mh Tundulisu kweli Mh Tundulisu ni Simba simba la nguvu mamma hujakosea ,mh Tundulisu pokea jina la Simba wewe ni Simba kweli kweli

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 หลายเดือนก่อน

    Simba wa yuda

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 2 หลายเดือนก่อน

    Hongeraaa lissu😂

  • @salamwajeka-yo6su
    @salamwajeka-yo6su 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda mama wa wote Mungu ambariki sana

  • @RosemarykAnthon
    @RosemarykAnthon หลายเดือนก่อน

    Lissu nisimba kweli

  • @FurahaNelson-z6c
    @FurahaNelson-z6c 2 หลายเดือนก่อน +6

    Alijua kuwa anamchafua ansmpandicha juu

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo unasema wewe ila rais hakumaanisha kumshusha kwasababu tumezoea siku zote mtu jasiri huitwa simba, na wapo watu ndio majina yao ya kuzaliwa haswaa

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tundulisu ni jasiri kama simba sasa kwenye uchaguzi je mama atawezana na simba?

    • @EsterNdalu
      @EsterNdalu 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo sasa😂😂

  • @Afsa-z2v
    @Afsa-z2v หลายเดือนก่อน

    Ukimpiga chura teke unamuongezea mwendo lisu jina la simba linamtosha kabisa mfalme wa wa wanyama wote

  • @ChristopherLwiva
    @ChristopherLwiva หลายเดือนก่อน

    Mama acha maneno makali na kejil

  • @athumanidilunga7770
    @athumanidilunga7770 2 หลายเดือนก่อน

    Tumwite yanga yanga yanga

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 หลายเดือนก่อน +4

    Lissu ni simba kweli,mama anajua fika kukiwa na uchaguzi huru na wa haki ,kwa lissu mama hatoboi

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli, wewe unajua kuyapima mambo, Tundu Lisu Yuko juu Sana 2025 ni wa Tundu Lisu.Wanaoishi kwa kukariri hawaamini ila ukweli ni hui.

  • @baalawibaalawi5702
    @baalawibaalawi5702 หลายเดือนก่อน

    😂❤

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 2 หลายเดือนก่อน

    Enzi za awamu ya kwanza, rais mwalimu Nyerere, mhe na baba yetu Kawawa aliitwa Simba wa Yuda. Sasa sina uhakika kama rais Samia alimuita Lissu hilo jina akiwa na hisia za kizalendo za watangulizi wetu au lilimporochoka tu kutokana na kuchoka mchakamchaka hakuna kulala kila muda anakosolewa na akina Lissu na wana harakati wengine!

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hamuoni kwamba huyu simba anateseka sana kufungiwa kizimba kidogo huku wanadamu wakimpigia kelele? Kwa hiyo Lisu ksanyimwa uhuru kiasi hicho? Dawa ya mtu asiyetulia ni kizuizi? Fasihi hiyo😂😅

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 หลายเดือนก่อน +6

    Miaka mitano Tena Tanganyika itakuwa hoi bini taabani, CCM wasipokuwa makini huyu Mama ataigalagaza Tanganyika, inabidi Raisi atoke Tanganyika kama CCM itataka Tanganyika ipate maendeleo.

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w 2 หลายเดือนก่อน +4

      Mshamba wee!!! Unaonekena elimu yako ni ya darasa la saba, unajua maana ya muungano wewe!!??.

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 2 หลายเดือนก่อน +2

      Udinibaya sana ndionunaewatesa baadhi yenu sio wote

    • @loserian-mj1gj
      @loserian-mj1gj 2 หลายเดือนก่อน +1

      Cku hiz LA 7 ni werefu huyu adui

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@KhamisAli-r1wSiyo mshamba ni mtazamo wake kwani darasa la saba hana uwezo wa kuonyesha mtazamo wake na Mimi nawaza Kama yeye hakuna shida

    • @BilalMuhammad-jt6sq
      @BilalMuhammad-jt6sq 2 หลายเดือนก่อน

      Tatizo si elim mana lasaba tupo wengi tatizo lake ni ubaguzi na ujinga​@@KhamisAli-r1w

  • @LukasNgunda
    @LukasNgunda 2 หลายเดือนก่อน

    Wengine angalieni kauli zenu hizo kama huwezi kuchangia hoja muache

  • @KondaMijingo
    @KondaMijingo 2 หลายเดือนก่อน

    Mama tupunguzwa namajangili

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu mwehu ni utaila

    • @SephaniaMsigwa
      @SephaniaMsigwa 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona wewe mama ako taila kakuzaa chinzi hopeless af hatukujaj

  • @AllyMohamed-w5x
    @AllyMohamed-w5x 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe unae sema ataliwa nani angalia kauli zako hujui hoja za kisiasa na ubora wa Simba ,,Dogo tunza kauli waaache wenye kujua lugha

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂👏👏👏🔥

  • @babaBig-m7w
    @babaBig-m7w หลายเดือนก่อน

    66

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 2 หลายเดือนก่อน +2

    Anajipendekeza kwa lissu ataliwa

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mama anapenda kusifiwa huyu 😂😂😂

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 2 หลายเดือนก่อน

      na ww msifie mama yako ata Kama ni Mama nitilie. Wivu hata kwa wanawake. Uwe unazaa bc

    • @BarakaSagamba
      @BarakaSagamba 2 หลายเดือนก่อน

      Hacha wivu mlaamu mama yako kwa nn alikimbia shule

    • @wiliamkatala6688
      @wiliamkatala6688 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@BarakaSagambaumejuaje Alikimbia shule.

    • @cyprianboniphace-oz5lw
      @cyprianboniphace-oz5lw หลายเดือนก่อน

      ​@@wiliamkatala6688labda kwa sababu sio rais.

  • @PhildorinPhocus
    @PhildorinPhocus 2 หลายเดือนก่อน

    Ujumbe umefika

  • @RafaelyMmbede
    @RafaelyMmbede 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwann kauli kama izo mbona rais anambo yakijinga sana uyu nchi imearibika watu wanabakwa kutekwa kuuwawa lakin rais unaongea ujinga tu bwege sana ww unaejiita rais

    • @ChumHaji
      @ChumHaji 2 หลายเดือนก่อน

      Ole wako

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 2 หลายเดือนก่อน

      Mdomo umeisha KUPONZA

    • @SephaniaMsigwa
      @SephaniaMsigwa 2 หลายเดือนก่อน

      Duniani tunapita kufakupo

    • @AbuuYasri
      @AbuuYasri 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo matusi unafikiri yanaishia chumbani kwako eti?naona wataka kuongeza idadi ya waliopotea,jichunge na hicho kisimu chako

  • @AllyMohamed-w5x
    @AllyMohamed-w5x 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera CCM

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 2 หลายเดือนก่อน

    Rais aliongea kama matani tu

  • @samiuabubakary5434
    @samiuabubakary5434 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mhh

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 หลายเดือนก่อน +4

    Zanzibar inameza Budget ya Tanzania bara, ndo maana miradi mingi na malipo kwa wakandarasi sector mbalimbali yamekwama kabisa pesa zote zinaenda Zanzibar na nyingine kwenye account za mawaziri na wakurugenzi kwenye taasisi kubwa.

    • @KhamisAli-r1w
      @KhamisAli-r1w 2 หลายเดือนก่อน +4

      Wewe ni waziri was fedha au wa tamisemi!!!???..

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@KhamisAli-r1w Vp? Mshono umeguswa?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acha chuki wewe, ukifuatilia mambo ya muungano utaona Zanzibar inadhulumiwa sana.
      Hata kipindi cha Ndungai alipokuwa spika aliwahi kusema maneno haya: we are bullying Zanzibar.

    • @wiliamkatala6688
      @wiliamkatala6688 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@mohdkhatib223mnadhulumiwa nn,tueleze

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 หลายเดือนก่อน

    Watu Msijofanye Amjui Tundu Lisu Kila Siku Kwenye Mikutano Anamuita Raisi Mama Amduli Inamana Tundu Lisu Na Samia Kama Simba Na Yanga2 Kasolo Mmoja Ni Raisi

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kila Raisi akiingia madarakani anatengeneza himaya ya ikulu nyumbani kwake siyo sawa kabisa.

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa uliitaka atengeneze kwenu? Chagua ndg yako awe raisi ili ajenge kwenu muache kujibanza kwa ndg zenu

    • @AGM19697
      @AGM19697 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MohammedAwadh-gq9siDuuuh, kipindi hiki mnanyooodo za kutosha 😂.
      Watoto wa mwisho

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 หลายเดือนก่อน

    Mh. Dr Samia Suluhu Hassan, ni Mwanasiasa makini. Lissu kwishnehi

    • @SephaniaMsigwa
      @SephaniaMsigwa 2 หลายเดือนก่อน +1

      Lisu kipenzi cha wanainchi

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc หลายเดือนก่อน

    Wee MAPENZI pumbavu SANA samia amshinde ,Lisu mavi yako na wajinga wenzi0

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 2 หลายเดือนก่อน

    Mhomi !

  • @PauloMassawe-py6eb
    @PauloMassawe-py6eb 2 หลายเดือนก่อน

    Siasanimchezomchafusana

  • @PauloMassawe-py6eb
    @PauloMassawe-py6eb 2 หลายเดือนก่อน

    Katikakilaporimnyamasimbaanaogopekawewendiokinaraunayosumbuaccmwanakupakamafutaurudiccm