😂😂😂ila mtoto msenge yule anautani wa ngumi,,,et halooo bebi 😂😂😂😂wakat mwenzie anamuona kbs hali ya kupuaji iko 0.1 point af yeye anataka ammalize kbs. Af mbio😅😅😅😅ajasubiri suruhu.
😂😂😂😂yalishawahi kunikuta hayo ila nilimpekesha alienda polis mwenyew mwisho wa siku bwana kapiga sim polis kamwambia amtaki anaipenda familia yake alichanganyikiwa
binafsi kipindi ni kizuri kwa upande wenu kinawaingizia pesa ni sawa ila mnajenga vip hayo mahusiano mnayovunja ama mnawasaidia vp ama lengo lenu ni nini? mfikirie future ya mlichokianzisha je badae kitaendelea kuwepo ama watu wakua wanaogopa,ni kama nawapata siwapati vile🤔
Mimi naona kiredio anatufanya tujue kama mtu tunaye ishi naye anatupenda au laaa kama ni mume je katulia? Na kama ni mwanamke je katulia kama ni rafiki je ni wakweli au kupotezeana muda
Hii huwa nasema kila siku usigombane na mwanamke mwenzio kisa mwanaume ?pambana na bwana ako ndo mkosaji hapo unajichosha tu ukiona hivo ujue mwanaume ni tatizo sio huyo tu wapo wengi kafolenisha ohooo
Unatetea ujinga kwani huyo bidada alikuwa hajui kuwa huyo jamaa ni bwana wa rafikangu ake hata kama alifuatwa kutongozwa alishikiwa bunduki akubali wote wana matatizo hapo usitete mwanamke labda angalau angekuwa hamjui ila anamjua kabisa na anamkubalia half unasema mwenye matatizo ni mwanaume siriasi
@@adrianomaulaga1599 amini usiamini hata Kama wanajisemea et wameumbwa kwa tamaa Ila mwanaume anayekuenda na anayekuheshimu hawezi kutembea na watu wako wa karibu ukiona hivo jikatae hakupendi unaforce tu
@@saniaidrisa3920 mimi pointi yangu ilikuwa unasema dada hana makosa hana makosa kivipi na anajua huyo jamaa ni jamaa wa rafiki ake? Ayo ya kupenda au kutopenda mimi sijui upendo wa kweli anao Yesu tu
Njia ya mwongo nifupi😂😂
Unatuekea vitu vyako nusunusu mzeee siyo kazi hyo kiredio
😂😂😂😂😂😂😂aaah cjategemea mwizi mzembe kama huyu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
Numechekaaa. Eti mwizi mzembe😂😂
Mm sina ushoga na wadada kukugeuka nidakika sifur tuuuuu😂
Hlf kiredio tabia ya kutuletea habar nusunusu ujue sipendi 😂😂 sasa hapo bado atujapata ukwel yan
hadi napata hasira😅😅
Umeona eeeeh yan kiredio anazingua sana
Sa ndo nn kiredio lkn😢
Mwiz kazingua
Lete part 2
😂😂Halafu kiredio Acha kuvuruga mahusiano ya watu 😂😂😂
Mbona haloo beib
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu😂😂😂😂
Ety allo babee😂😂😂😂anaakili uyo dada kweli
Kajichanganya vibaya eti hallo bby😂😂
2:14 kakosea au ndo ile kukamatwa ugon
Hahahahahaha patam hapo ugoni tena bila nguo
Jaman utamu umeishia kati
Mnazungua habari nusu nusu
Mapenzi shikamoo
Hili nalo taila tena hallo baby! Jinga kabisa😅😅😅😅
Mirium Mugabe my classmate 😅
Kaumbuka😅
Yule hakukusudia ilimtoka tu mwisho wa ubaya aibu😂😂😂
Uongo mtupuuu
😂 za mwizi arobain
Eti halo baby😂😂😂😂😂
Dada Kapanic 😂😂
Sio mbaya sijina tuilo
Tafteni hela
😂😂😂ila mtoto msenge yule anautani wa ngumi,,,et halooo bebi 😂😂😂😂wakat mwenzie anamuona kbs hali ya kupuaji iko 0.1 point af yeye anataka ammalize kbs. Af mbio😅😅😅😅ajasubiri suruhu.
Halo bby😂😂😂😂😂😂😂
Hallo babe😂
Unatengeneza sasa
😂😂😂😂yalishawahi kunikuta hayo ila nilimpekesha alienda polis mwenyew mwisho wa siku bwana kapiga sim polis kamwambia amtaki anaipenda familia yake alichanganyikiwa
Yashanoga hayo hawezi hata kujizuia
🤣🤣🤣 ila mapenz ngj niendelee kuw biz nakutembezaa chupiii
Minabinam yangu mtoto wa anko tunaitanaga beby tunakumbatiana tuna kis ilaatufanyi mapenzi
Halooo babe😂😂😂😂😂😂😂😂
Njooo zanzibar ndgu nimependa hiyo❤❤❤❤❤
😂😂😂
Kweli yani
Yani kiredio unazuiyaga nn Acha mtu afinywe
Hili jinga ety hallow beby
Hallo babe
Hah
Sina shoga sitaki shoga na hata akiwepo mipaka hatomkuta bwana angu kivyovyote lbda wakutane hukoooo
Hallo baby😅😅😅😅😅😅😅
Ila kiredio wew
Mm kwanza kama ww n shoga yangu namba ya mumewangu kwa simu Yako inafanya nn kwanza
Kiredio mmbea
😂😂😂😂😂😂mwizi mzembe sana
Kisha nikasikia sauti ikisema halo baby😂
Ahahahahaha
Mtu enyewe rahim😂
😂😂kaumbuka mtu
😂😂😂😂.bby
Khunanako😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🤲
😂😂😂😂😂
😂😂😂
binafsi kipindi ni kizuri kwa upande wenu kinawaingizia pesa ni sawa ila mnajenga vip hayo mahusiano mnayovunja ama mnawasaidia vp ama lengo lenu ni nini? mfikirie future ya mlichokianzisha je badae kitaendelea kuwepo ama watu wakua wanaogopa,ni kama nawapata siwapati vile🤔
Mimi naona kiredio anatufanya tujue kama mtu tunaye ishi naye anatupenda au laaa kama ni mume je katulia? Na kama ni mwanamke je katulia kama ni rafiki je ni wakweli au kupotezeana muda
😂😂😂😂😂😂😂
Za mwiz40😂😂
Hii huwa nasema kila siku usigombane na mwanamke mwenzio kisa mwanaume ?pambana na bwana ako ndo mkosaji hapo unajichosha tu ukiona hivo ujue mwanaume ni tatizo sio huyo tu wapo wengi kafolenisha ohooo
Unatetea ujinga kwani huyo bidada alikuwa hajui kuwa huyo jamaa ni bwana wa rafikangu ake hata kama alifuatwa kutongozwa alishikiwa bunduki akubali wote wana matatizo hapo usitete mwanamke labda angalau angekuwa hamjui ila anamjua kabisa na anamkubalia half unasema mwenye matatizo ni mwanaume siriasi
@@adrianomaulaga1599 amini usiamini hata Kama wanajisemea et wameumbwa kwa tamaa Ila mwanaume anayekuenda na anayekuheshimu hawezi kutembea na watu wako wa karibu ukiona hivo jikatae hakupendi unaforce tu
@@saniaidrisa3920 mimi pointi yangu ilikuwa unasema dada hana makosa hana makosa kivipi na anajua huyo jamaa ni jamaa wa rafiki ake? Ayo ya kupenda au kutopenda mimi sijui upendo wa kweli anao Yesu tu
This is staged😂
Hii ni fake (staged) 👎🏼
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂