Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻
Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio
Hata mkiwa nao ao wazuri amutosheki waweza kuwa nae mzuri ukenda tafuta goti lakini mi siwalaumu ndivyo mlivyo umbwa na tamaa ya wanawake ndio mkaambiwa muowe wa 4
Daaah....!! Yani wanaume tuna Tamaa sana maana huyo binti aliyevaa jezi ni mzuri sana,Alafu huyo mwenye jezi pia kashaanza kupaniki anajiamini kwa hofu
Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅
Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo
we jamaa ni msenge sana, unaachanisha mahusiano ya watu Alafu unaruka na hao madem za watu kazi kuwagonga madem za watu siku yako ni moja tu inakuja mamaee, tunakuandalia kamati kwa ajili ako msenge wewe unakula madem zetu sana kmk
Mwanaume kama huyo siwezi kujutia kumpoteza mwanaume hana hela hana afya anavaa kihuni sasa wa nn jamani yena malaya jamani yani naumia sana hivi wanaume mmelogwa na nani
Kiredio nakutafuta namm nahis mumewangu ana mwanamke mwingine nasio kuhis nina uhakika kabisaa
Napenda unavyoumbua mapenz fake big up sana mwanangu kiredio/ kaseti😅
Sanaa kiredio ndo dawa ya waongo wa mapenzi ila nayeye asimzungue yule mpz wake tu ajitahidi kuwa good role model wa uaminifu
Et kikaset 😂😂😂😂
HahahqHahaha
😂
Yani mapenzi ya sikuizi ukipata mtu anae kupenda na ni muaminifu mshikilie sana na kama sio ivyo ukipata nafasi ya kuwa single usiichezee wallah khaaaa 😂😂😂😂🙌🏻
😂😂😂😂😂😂😂
Ukimpata tu anarogwa na yeye.
😂😂
Utajuaje kama ni mwaminifu hiyo ndio changamoto 😭
Sikuwahi kuona prank kali kama hii bongo mzee umeuwa sana ipo na true story kaka hii hata view milion itafika kazi nzuri na bora nilizowah kiziona achia part two mtaalamu kiredio
Kiredio 🙌 daaah ila sisi wanaume aa noma sana uyo dada anaumia sana nivile anajikaza tu pole yake
DAH..Mwanasimba yuko na confidence nzuri sanaa I like dat💯
Manaume mwenyewe ndio huyoo balobalo
Utegemee kickucht😂😂😂
Nimewapenda sana Nyinyi wa Kaka yani Mnafanya kama Kenya hapo safi sana
Nishamaliza kuangalia part 1 dondosha part 2
Huyo mwanamme mwenywe km kibaka . Na anaonekNa hana mbele wala nyuma mdada mzuri mwanamme sio material
Exactly 🥱🙌
😂😂😂😂 nyokooo nyie
Nimeipenda hiyo😅😅
Mwanaume mwenyw ndo huyo 😂😂yani ata kiredio handsome afu demu mkali
Yaan nimemuona huyo mwanaume nimecheka balaa khaa😂😂
@@briannahseda8707 Ubaya PESA anazo
😂😂nimelia sana
😂😂 baba af demu pisi daah
Wambea wenzangu kutoka tiktok hallooooo😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Halooi😂😂
😅😅😅
😅😅😅
wanaume nyokoooo kabisa zaidi ya mbwaaaa😏😏😏
Hata wewe ni MBWA sababu umezaliwa na mwanaume MBWA pia
Dah yan kiredio na Mr UK Mungu anawaona na mm bas mnifanyie challenge
Kumbe uyo ndo kaka mwenyewe 😂😂😂...bora tu kamfumania😂😂😂
😂😂😂
Jamn movie nzuri kweli leteni part2
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kiredio baba part 2 jaman uwiiiiii uyo dada kwanz namjua nmesoma nae anaitw khadija shambe (xoxo)
Yes ni yeye
Kiredio nakukubali kazi yako nzuri siku moja nitakutafutaaa
Sio vizuri mnaharibu mapenzi ya watu wanaume wachache wenye msimamo msifanye ivo
Sana yaan sio vzr
Mwana kazingua ana mwanamke mzuri hvyo daaah. Sema jau
KAZI NGUA KWELI MWANANGU ALAFU DEMU WAKE TOKA SAFARI INA ANZA ALIKUWA ANA UMIA SEMA ALIKUWA ANAJIKAZA JAMAA KAZI NGUA SANA
Ayseee mahusiano yasiku hizi hapana kwakweli 😢
Ukipata nafasi yakuwa single usiicezee🥹💔
Nmekuelewa sana 🙏
Umeona eeee😅😅😅
😳
Daaaaaahhhh Yan
Et mpenz wenu😂
Mngetafuta gari yenu ata kwa ajili ya kazi zenu
Kwan wanalipwa au umbea tu unaqasumbua😂😂😂
Comment zenu ndo zinawalipa
Itisha arembee tuchange
😂😂😂😂😂
mungu mwanaume mwenyw ndo huyo
Part 2 please
Hii act jitaidin vtu viwe real sema ni good content
Hizi Mambo huku zipo sana wanaume niatari
Vile nmerudsha nyuma mara 3 tatu kumuangalia huyo mume nmelia😅😅
Me.nmependa huyo dada chumba chake kisafy muda wote na anajiamin
Mm nmecheka ety mashabik wa makolo n wavumilivu wabish mpaka hapa!
Kiredio Mimi nataka hiyo challenge nifanyie boy Wangu
Jamani huyo dada ni mzuri sana,,hawaendani na huyo mwanaume
Yan na nimesomq nae n mzir sanaa cjh kimempqta nn ila ciunajua sisi wanawake tukipenda tumependa
@@AisaaMurro kweli dia hako.ka mwanauje kanaonekana ktoto hakamfai,,,atulie tu apate mtu anayejielewa
yah my man yupo loyal😀 kubababakeee kizazi hiki cha nyoka wachache sanaaaaaaa
Mashabiki wa Simba ni qwarite Sana wavumiivu ndomana Wana tuzo ya ubora wao wanaitwa mashabiki bora
Kidada kipole sana ila kinaumia..hii challenge siyo nzuri mtakuja kuachanisha watu bana 😢
Nyie mnawivu sana hampendi mahusiano ya wezenu shenzi
Kwa mahusiano gani yakudanganyana acha waaumbuliwe 😏😏
After wadada muwe mnakataa mitego kama hyo mana kama mnavyojua sis wanaume n wapenda totoz nzur! Ko watakuwa wanawagombanisha na mashoga zenu!!
Hata mkiwa nao ao wazuri amutosheki waweza kuwa nae mzuri ukenda tafuta goti lakini mi siwalaumu ndivyo mlivyo umbwa na tamaa ya wanawake ndio mkaambiwa muowe wa 4
Mbona uyo uyo mzr?
Kuna wanaume tumetulia na tumerdhka
@@ombeninnko1800mtakuwa machoko
Kwani unashindwa kukataa!? Na wakati unajua kabisa ni best ya mpenz wako?
Mwenye bwana kakosa raha jamani 😂😂😂😂
Hii ni nzuri sana fanyeni serious hii like loyality test kwa wakenya mtasaidia wengi, but u nailed it damn!!
😂😂😂😂😂kwanza nimecheka mpenzi ndo huyo barobaro wadada tuna huruma nyieeee😅
mi mwenyewe nimeshangaa asee
Huyo mdada mwembamb mrembo sanah°°
Si ndo hapo mwanangu, manzi mkali
Nikwel ila. Wnaume nishida
Mwembamba yupi sasa mana wote wembamba 😮
mwembambaa ni yupi sas😂😂😂 na mnene ni yupi
WALA bonge cjamuona apo wote wembamba
Hamna mtu anaeza tengeneza content kama hii Tz nzima kiredio hongera sana tulikua tunatizama movie za action asaivi ni live bila chenga
Daaah....!! Yani wanaume tuna Tamaa sana maana huyo binti aliyevaa jezi ni mzuri sana,Alafu huyo mwenye jezi pia kashaanza kupaniki anajiamini kwa hofu
Basi mimi nataka mke wake mzuri kweli😊
Jamni party 2 iko wap....vty on 🔥🔥 fire
Kuwa serious kiredio, na kazi yako watu waamini kazi yako.
Kiredio mjinga sana..et anamcheka huyu dada mwenye bwana
Bwana eee weka part 2 msela wangu maana mi nacheka heka heka za chaka tu chaka mwamba alifuata nini usiku huo kama sio kichupa kujaaa mchuzi wa pweza 😂😂😂😂😂 nataka niangalie mateke ma magumi puuuuu😅😅😅😅😅
Baadhi ya wanaume wengi sana sio waa minifu kabisa hata u ngefanya nini kwao hawana shukrani
Naongopa mapenzi kam ukoma😂 bora niwe single
Usiogope Nitafute nikupe mbinu hadi yatakukimbia😂
Naupend Moyo wang sita kuumia😀
Yaani, Daaaah!! Basi tu
Yaan mwanaume anakuaminisha anakupenda haswa na kuapa juu anaona kama wamuonelea😅
Kweli
Dah ila kiredio hadii mtoto wa watu amelia😂😂💯🙌
😂😂😂 naogopa mm utafikiri mm ndo mwenye bwana
Mwanaume mwaminifu ni mimi pekee💪
Mashabiki wa simba ni wavumilivu kila sehemu kwa kweli😅😆
😆😆😆
Hahah kula chumaa ichooo
Jamani wana ume mungu ana waona 😢😢😢😢😢
Tatizo Wanawake Wengine Inje Kwa Watu Upendo Lakini Chumbani Sasa Tendo Unapewa Kwa Bajeti Mpaka Atake Yeye Unalala Msumali Juu Sasa Utaacha Kuchepuka Apo
Kama unataka mapenzi nenda tanga
Deuxième partie 2🙏🙏🙏
Tuma part2 Pole sana bint
Kaka kiredio please part 2 jamaniii
😂daah! najivutia taswira mie cku ikatokea kwangu😂😂
Asee kiredio kwann hujajiita kiredio mbao kwa umbea🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wanaume mbwa sana jmn kidada cha waty kirembo kweli
Mbn yup vzr hat mm naweza kumula😂😂😂😂😂
Nyienae mmefika kwenye nyumba ya mtu mnaanza kuchunguza😂😂😂😂😂
Mi napenda haya mambo😄😄😄
Hahaaa
part twoo please coz nimefeel sooo sad kumuona school mate wangu anasalitiwa
😂😂
Kwani kweli jmn??
Sio kweli, wametengeneza story
Nimeshabonyeza bhana toka hapo tuendepee plsee
Aiseee dada badilisha mwanaume huyo ndio mwanaume uliekua unamsema au kuna mwingine😮😮
Hako kajianaume chenyewe sasa 😢😂😂😂😂😂🙌
Part 2 Please 🙏🙏🙏
Mwanaume mwenyew ndo uyo au kuna mwingine 😂😂😂
Uyo jamaa anapajua maan amepajua vip Kwa huyo bi dada😢
KATUMIWA LOCATION ALAFU AMEFATWA NJE
Leteni part 2 wapenda umbea tumetulia hapa 😂 Ila uyo dada amekosea kwasasa watu hawaminiki hasahaswa wanaume hata Mimi ningeshikwa 🤣🤣🤣
😂😂
❤❤❤ Napenda sana
Jaman mwendelezo plz
Dada mzur kibwna ovyo. Kbs
The way Kiredio laughs at the ladys😂 😭💔💔💔💔
part 2 jamniiii
we jamaa ni msenge sana, unaachanisha mahusiano ya watu Alafu unaruka na hao madem za watu kazi kuwagonga madem za watu siku yako ni moja tu inakuja mamaee, tunakuandalia kamati kwa ajili ako msenge wewe unakula madem zetu sana kmk
We nawe mmmh demu wako yupi
Ndo muache umalaya
Kina kitu kilikosewa olitakiwa demu wake ampohie nae amuhitaji tuone angemuongopea nini
Kiredio tunangoja hyo part two mzee..
😂😂😂kiredio akija arusha Kuna watu wataumbuka huku
Fanya utume part2
Hakuna mwanaume anaeweza kukwepa uwo mtego ..ww kuweza
Hio part 2 musiicheleweshe tafadhalini😅
🎉wacha niendeleee kuwa single
Kwakweli
Next please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mr uky nakupenda jaman 😊😊
Ni ujinga huo kiredio bhana
Mwanaume kama huyo siwezi kujutia kumpoteza mwanaume hana hela hana afya anavaa kihuni sasa wa nn jamani yena malaya jamani yani naumia sana hivi wanaume mmelogwa na nani
😂😂😂😂😂
Jamni yajayo yafurahisha muendelezo jamni
Wakwanza nipeni like zangu
😅 Unanywea chai??
Bro tupe muwendelozo nata nishudie tukiyo ❤❤❤❤😂
eniwei 😅@@victoriarichard8761
C ujitengenezee content yako upate like zako unataka like kweny post za watu
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wa Kwanzaa Leo nipen like zangu
Ila anaharibu mahusiano ya watu sio.vzr walla siku utaumia
Ep ya2 please 😢😢😢
Nazikubali kazi zenu mnafanya poa sana
Nimempenda uyo alie singo nimuoe kabisa
Hadi nime kususcribe nasubiria part 2 sijui unachia saa ngapi
Daaah mapenz nyoko 🇶🇦
😂😂 wanaume....Bora wangu
Mwendelezo