NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 1.4K

  • @AliamryBakar
    @AliamryBakar วันที่ผ่านมา +245

    Kama upo single kama mimi gonga like uku tukijipongeza na goma la jux ft diamond nainjoy

  • @_kijanampole
    @_kijanampole วันที่ผ่านมา +213

    Wazazi wapo zao nyumbani gafla mtu anaona mtoto wake analilia mapenzi 😂😂

  • @imavel_01
    @imavel_01 วันที่ผ่านมา +174

    kilichobaki ni kujifunza biblia😂😂

  • @jordanjonas8009
    @jordanjonas8009 วันที่ผ่านมา +37

    Amnakitu kinauma kama unakimbilia comment arafu kumbe wewe niwatatu 😂😂

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i วันที่ผ่านมา +125

    Single tunaejoy sana kuona mambo kama haya😂😂😂

  • @Denatha50
    @Denatha50 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +44

    Mwanaume mweupe mlambalamba lipsi.. mbeba kikoba like cha ally afu mfuga nywele raniiiii mai frendiiiiiiiiiii😂😂😂

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py วันที่ผ่านมา +44

    Mapenzi yanaumaaa asikwambie mtuu shid nikwamba kwanin simu haupokei majibu ni kwamba wamekuchok na anamwamnkee mwinginee anajifany tuu😅

  • @yollandamushi677
    @yollandamushi677 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +6

    Ambao hatujui kulilia mapenzi gonga likes

  • @user-jc3gl6li7e
    @user-jc3gl6li7e 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +11

    Kiredio ungemshitua uyo dada na kibao kashaambiwa alikua anataftiwa sababu Aachwe badala aendelee na maisha mengine analia apokelewi simu😂😂😂😂😂 ifike mahali wanawake tujue thamani yetu

  • @TreasureMagumba
    @TreasureMagumba วันที่ผ่านมา +110

    Sema dada cute alafu mstaarabu sana anapaswa kuwa na mwanaume anayejitabua

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 วันที่ผ่านมา +62

    Ila mwanamke akikupenda na akakuamini ukimvunja moyo analia sana

  • @Kalishi09
    @Kalishi09 วันที่ผ่านมา +24

    Uyu dada mstaharabu sana jmn nimependa buree❤

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 วันที่ผ่านมา +41

    Kiredio mwenyewe alishasemaga anafurahia watu wakiachana😂😂😂😂😂 hayo machozi ya dadaa Kiredio roho yake nyeupeeeee😂😂😂😂😂

  • @user-ul8nf1nw1h
    @user-ul8nf1nw1h วันที่ผ่านมา +36

    Jaman hyu msichana kaniliza sana.

  • @magrethmartin1668
    @magrethmartin1668 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +8

    We dada ni mzuri sanaa you don’t deserve this man 😊

  • @MariaPeter-kv3qk
    @MariaPeter-kv3qk วันที่ผ่านมา +27

    Sema huyu dada anaongea kipole😅

  • @ICEELECTRICCOMPANY
    @ICEELECTRICCOMPANY วันที่ผ่านมา +57

    Single guys gonga like tuki jipongeza

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa วันที่ผ่านมา +53

    Ni bora nijitafutie kazi mapenzi niwaachie wahindi

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mwenyezi Mungu naomba uniongozee vyema bint yangu kuuma mwili haki ya Mungu

  • @saddamikoi37
    @saddamikoi37 19 ชั่วโมงที่ผ่านมา +12

    Nilisha mliza dem kama hvyo kilichonitokea mungu mwenyewe ndo anajua