#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE TH-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

ความคิดเห็น • 31

  • @shukuruphanuel1729
    @shukuruphanuel1729 หลายเดือนก่อน +4

    Safi kabisa, wasilisho zuri sana

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 หลายเดือนก่อน

    Kidogo kidogo tutafika I stand with you guys 👦 ❤️

  • @kamandaraster7899
    @kamandaraster7899 หลายเดือนก่อน

    Mnatukanwa.bado..mnanyenyekea...sababu.za.ziki.zenu..awo.ccm.hajali..watu..wala.wanyonge..mtalalamika.mpka..acheni.ujinga...G..ez..mtaani.salute

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 หลายเดือนก่อน +4

    Nyinyi wenyewe mnawatia kiburi mlimtuza nakuosha gari yake. Ndio mkome kujikomba

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 หลายเดือนก่อน +4

    Tusipochukua hatua kama GEN Z wa Kenya niwahakikishie tutaendelea kulalamika na hakuna hatua zinazochukuliwa.
    Hawa CCM walishalewq madaraka kwa kuwa wanapewa nafasi na sio kupigiwa kura.
    Jiandaeni uchaguzi ujao watu muamue kufanya kweli sivyo mtaendelea kulialia na kuomba mama mama!!!

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov หลายเดือนก่อน +2

    Kumtuza na kuosha gari yake,,Hapo mlikosea sana

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo watanzania hatuna maamuzi magum ndiomana wanawazalau kiongozi was Kenya awezi Seema ilo

  • @GervasMighayo
    @GervasMighayo หลายเดือนก่อน +4

    alliikosea inchi nzima kauli hizo hata watoto wako huwez watusi hivyo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน

      Wanaviburi vya uzima

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 หลายเดือนก่อน

    Good we unajua kujieleza safi sana

  • @amos878
    @amos878 หลายเดือนก่อน +4

    Siku nyingine huyu chalamila akirudi kuongea nanyi kipumbavu nanyi amjifunze kumuacha aongee peke yake na ufupi wake wa akili mtakuwa mmefanya jambo la busara sana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน

      Sana watu wanatakiwa wajifunze kususa wakivunjiwa heshima maana watu wazima wanafokewa kama watoto wadogo. Hiyo sio nidhamu na maadili ya uongozi

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 หลายเดือนก่อน +2

    Ninyi ameshawaona ni wapumbavu ,SAWA nikuizika CCM vinginevyo ache I mpaka maskini wote wawazike kwenye jabuti moja na kwasikumoja

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni ngonjera fanyeni maamuzi.
    Huyo ni Chalamila mnamwomba asirudie whaaat!!

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 หลายเดือนก่อน +2

    Viongozi wengi wao wana viburi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 หลายเดือนก่อน +2

    Mpaka sasa ccm niwakolofi kirakona

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 หลายเดือนก่อน

      Wanajua watashinda tutake tusitake Mh mwenyewe alisema hata mkishinda mpinzani hautotangazwa

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 หลายเดือนก่อน +1

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

    • @neemageorge7082
      @neemageorge7082 หลายเดือนก่อน

      Chalamila sio kiongoz Bora bala ni mkandamizaji wa haki za watu na pia kajisahau Sana na kuona kafika kwenye uongoz wake sisi tumechoka na matus yake ahamishwe mara moja aende akaongoze Ngombe na sio watu

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo หลายเดือนก่อน +1

    Eti mnasafisha garil loo

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 หลายเดือนก่อน

    Achen uoga mabango yanashida gani ..msiogope mtu hii nchi yetu sote

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi mwenyewe kajaa uchawa, hajitambi! Unahamasisha wafanyabiashara wenzako mmchangie Mkuu wa mkoa vijisenti na kumuoshea gari.Ofisini kwake wameajuriwa watu na serikali wa kuosha magari yake, halafu akiwaita manafiki mnakuja juu. Hadi hapo mtakapojitambua na kuacha uchawa, kujidhalilisha, kujidunisha na kulamba viongozi ya miguu mezeeni matusi, acha kulialia!

  • @eunho9529
    @eunho9529 หลายเดือนก่อน

    Yaani chalamila ni mtu asiye na hadhi hata ya kuongoza mtu zaidi ya mmoja yaani ajiongoze peke yake na si kuongoza mtu yeyote katika dunia hii. Kwa bahati mbaya watu wa namna hiyo Tanzania ndiyo wanaopewa nafasi za kuwaongoza wengine.

  • @sainatv2688
    @sainatv2688 หลายเดือนก่อน

    Huyo anatakiwa afanywe kama tramp ndo watajua watanzania wamejilewa sasa

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 หลายเดือนก่อน

    Mna serekali ninyi?

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o หลายเดือนก่อน

    Jambo kubwa la kushughulikia kwa sasa siyo kauli, bali ni hatima yenu kibiashara.

  • @user-kb6pz9dk8n
    @user-kb6pz9dk8n หลายเดือนก่อน

    Mimi nadhani mgekiwasha kumbe mnajieleza

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน

    Hahahahahahahahahaaa.ngoja niongeze siku za kuishi,Tanzania nchi yangu sihami,kuna vituko chungu nzima.muda mwingine unaweza kulia,muda mwingine unaweza kuhuzunika,muda mwingine unaweza kuumizwa na muda meingine unaweza kucheka.