MAMA amchongea KAMISHNA ARDHI KWA MAKONDA "TULIENDA ATUKABIDHI KIWANJA AKASEMA KAJA KUTOA ELIMU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 59

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 26 วันที่ผ่านมา +13

    Siku hizi sitazami ata jua kali naangalia tu kazi za makonda adi raha Sana mungu akulinde kabisa, mwakan gombea urais tutakupa baba, mie sijui kwann utekelezaj wa mahakama haifanyi kazi wanaweza ata kuomba ufe ili waishi kwa dhulma

  • @gracejaphet8744
    @gracejaphet8744 24 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu dada apewe MAUA yake..nimependa UJASIRI wake KATIKA kutafuta haki yake daaa..🎉🎉❤

  • @user-nz6xy1vs5i
    @user-nz6xy1vs5i 27 วันที่ผ่านมา +6

    Saàaaaaafi mkuu Mungu akulinde

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 27 วันที่ผ่านมา +1

    Big up mkuu, Mungu akulinde ili uendelee kuangaza kwenye kiza, na palipo na haki itendeke

  • @adampanga2892
    @adampanga2892 27 วันที่ผ่านมา +4

    Mama Yuko vzr

  • @OMONDIMTUKAZIOG
    @OMONDIMTUKAZIOG 27 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda Sik Moja awe laisi tanzania inatajilika san🎉🎉

  • @imanuelzakayo8703
    @imanuelzakayo8703 27 วันที่ผ่านมา +2

    Uyoo dada Yuko vizuri maji papo papoo

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 27 วันที่ผ่านมา +3

    I salute you makonda 🎉

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 27 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda ni taa huwezi izima kirahisi, he fits everywhere 🎉

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 27 วันที่ผ่านมา +5

    Kama Sheria inhekuwepo kwamba wakuu wa MIKOA watatue KERO kwa njia hii..tungefika mbali

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 27 วันที่ผ่านมา +5

    Kliniki kama hii,wangefanya mawaziri na wakuu wa mkoa wote. Hali ingekuwa vema sana

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mama anajiamni mpka rahaa😂🎉🎉🎉

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 27 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu jamaa makonda hakuna anae muweza Tanzania nzima

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 27 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂😂😂kamishna anatoa elimu wote kaeni kimya darasani!!

  • @robertmhilu132
    @robertmhilu132 22 วันที่ผ่านมา

    Hii Ngoma itatulia atawalia watu mb zao sana mana inafaa sana kuangaliwa

  • @user-bf4vw3rv3x
    @user-bf4vw3rv3x 23 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 22 วันที่ผ่านมา

    Ila hii nchi imeoza sana jamani Makonda heshma yako

  • @BakariKibauri-qh7gf
    @BakariKibauri-qh7gf 26 วันที่ผ่านมา +1

    Yan tunauozo wa kutupwa sna dah viongozi hawajui kufanya haki kisa rushwa ndogondogo

  • @jessechristinme3923
    @jessechristinme3923 27 วันที่ผ่านมา +3

    JESUS DID IT 🎉🎉🎉🎉

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu atakulipa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 23 วันที่ผ่านมา

    Dada umemtoa kamishna Jasho

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 26 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @mpwanyachande1905
    @mpwanyachande1905 27 วันที่ผ่านมา

    Hongera makonda

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 24 วันที่ผ่านมา

    LOVE YOU MAKONDA UWISHI MIAKA 100

  • @sallynakey_tz
    @sallynakey_tz 27 วันที่ผ่านมา

    MAKONDA KIBOKO ASEEEE ❤❤

  • @PlodencianaJames
    @PlodencianaJames 26 วันที่ผ่านมา

    Makonda mm nikuombe tuu baada ya rais samia kumaliza mihura yake yote jiandae kwenye kiti chako cha urais na sio hapo ulipo hongera sana kwa kazi yako zaman ulikuwa wap?

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 25 วันที่ผ่านมา

    Citizens are more competent than doer of government isn't.

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 27 วันที่ผ่านมา +1

    Apewe ulinzi huyo dada

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu 20 วันที่ผ่านมา

    Sasa izi kelo kwa makonda tu wakuu wamikoa wengine vipi jamani vipi

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 27 วันที่ผ่านมา

    What 😢😢😢😢😢 dalali nizaidi ya kamshina na hakimu?

  • @LydiaPeter-ix2sq
    @LydiaPeter-ix2sq 27 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wa ardhi karatu wilayani wachunguzwe hatasisi kesi tumeshinda lakini hatujapewa haki yetu jmn

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 27 วันที่ผ่านมา +3

    Wakuu wa mikoa mingine muige hiii

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 25 วันที่ผ่านมา

    Kazi za makonda nazifatilia balaa piga kazi baba midomo mali yao acha waseme unaigiza.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 27 วันที่ผ่านมา +1

    mwanamke akiamua kukuchongea utoki.

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 27 วันที่ผ่านมา +2

    Aaaaaaaaaaaa dada wa taifa

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda wewe nichaguo la mungu afu anaemtukana tutamshughulikia

  • @jobungure7195
    @jobungure7195 27 วันที่ผ่านมา

    Naomba Huu uongozi ufike huku Kenya maanake sisi wakenya ndio tukonashida kulio nyinyi wa TZ

    • @yohanamagehematictok
      @yohanamagehematictok 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂niwaombee neema kwa Mungu wazaliwe viongozi kama hawa kwa mamlaka YESU KRISTO WA NAZARETH MWANA WA MUNGU ALIYE HAI

    • @MagrethCharles-ne2ts
      @MagrethCharles-ne2ts 27 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂 Tutawaombeaa mpatee kama huyo !

  • @oscarmisiru9725
    @oscarmisiru9725 24 วันที่ผ่านมา

    Kuna vitu vya ovyoo huwezi dhania vinafanywa

  • @TheresiaFrancis-kt1lz
    @TheresiaFrancis-kt1lz 27 วันที่ผ่านมา

    Kazi ya serikali ni kutekeleza hukumu ya mahakama

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂kimeuma unakuna kiparangoto😅😅😅😅😅

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 27 วันที่ผ่านมา

    Hiooo imeenda Mheshimiwa Makonda

  • @user-tj5sn8lq8x
    @user-tj5sn8lq8x 27 วันที่ผ่านมา

    Hizi kazi za makonda zinatumalizia bando

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 27 วันที่ผ่านมา +1

      yaani Mh.makonda na Mh Jeri silaha mnanimalizia bando na sichoki kujiunga bando kwaajili yenu

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 26 วันที่ผ่านมา

      Kwel kabisaas

  • @mstaraabusantiago747
    @mstaraabusantiago747 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 Tanzania bana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 26 วันที่ผ่านมา

    Shamba limepigwa uchawi.

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 25 วันที่ผ่านมา

    Dhulmaaaa nyieee

  • @TheresiaFrancis-kt1lz
    @TheresiaFrancis-kt1lz 27 วันที่ผ่านมา

    Haki na usawa Tanzania