Inasikitisha sana kuona watu wanaudini nasio iman na uko ndo kukosa maalifa ostadhi mim ni mmoja kati ya watu wanaokubaliana na ww.Jaman mluosoma dini jalibun kumuomba m/mungu kiukwer utakuja kumuelewa uyo ostadhi anachomaanisha ila km mtakua wabishi shauri yenu ila uyo ostadhi yupo sawa kabsa km ukiwa na iman mungu atakuonesha ukwer ila km utakua na udini uwezi kumuelewa uyo ostadhi at kidogo,na wenye dini wengi washenzi tu watu wakukunja nne mala swara yaan wengi wamekuwa wachawi tu wakutembelea nyota za watu hakuna mungu wa ivo anauetaka umfanyie mwenzako kitu ambacho wew aupendi ufanyiwe nakm unataka kulijua ilo mkiingia kanisani msikitini chunguzeni niliyowaambia mtaamin wenye dini wengi wachawi ila ukiwa na iman mungu atakuonyesha anachokizungumzia ostadhi uyu yupo sahihi kabsa yaan namwamin kwa kua mim nimekutana na icho kitu wekeni iman kwa nabii isa mtakuja kuelewa ila kikubwa uwe na iman sio udini Asnt ostadhi fanya kazi ya mungu aliokutuma japo sio wote watakaokubaliana na ww we endelea wenye iman tushajua unachomaanisha🙏🏿🙏🏿
Shehe ni sawa unachokisema.hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuondoa uchafu wa dhambi kwa watu wote au ulimwengu mzima.Lakini inawezekana uchafu Huo ukaondoka kwa mtu mmoja au kikundi Fulani
Sasa shehe ,shida ni kwamba hamna nyaraka au maandiko matukufu ya Issa bin Mariam ambayo mnayo ninyi waislamu. Sasa waislamu wenzako watamwaminije masihi Issa bin Mariam
ukweli kabisa ukristo sio dini kama uislamu...ukristo ni ufuasi au imani kwa Yesu Kristo....Dini zote duniani zimeanzishwa na mwanadamu... Yesu ni Mungu alivaa sura ya mwanadamu - Yohana 1:1,14
yesu alivaa mwl wa mwanadam na pale alipo Seema mungu mbona umeniacha alikuwa anamwambia nana@@saphinalutaha9077 🤣🤣🤣🤣 Yaani umeandika jibu la swali lako lakini hujielewi?? Yesu alifanyika Mwili akawa Mwana wa Mungu kwa hivo "mbona umeniacha alikuwa anamwambia" Baba yake!! Duh...uislamu msibaaa
Allah s.w kwenye qur ani anasema : Hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni uislamu .sasa wewe usojijua lete andiko kwenye bibilia linalosema hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni. Ukiristo achaa kuongeaa pumba saivi tumeshakuelewa ujanja wakoo
Eti "Allah s.w kwenye qur ani anasema : Hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni uislamu"....ni majini yanazungumza sio unayedhani. ANGESEMA "HAKIKA DINI MBELE YANGU"..........WATU SIO WAPUMBAVU BUANA HIHIHIHI
@@saphinalutaha9077 Ufalme wa Mungu haupatikani kwenye dini, ila kwa kushika amri za Mungu ambazo zimehidhiwa katika sanduku la agano / sanduku la ushuhuda.
Uislam unawakubali mitume wote wa mungu ,issa,mussa,Ibrahim,Muhammad wote walikuwa waislam, n.k,shida imeanza alipoondoka issa ,wakaja wapagani wa kiroma walipoanzisha ukristo apo antiokia,na kuhamisha ibada za kipagani na kuziita ukristo wakimuhusisha issa ilihali hakuna sehem yesu alisema dini yake ukristo wala hakuna andiko kwamba aliingia kanisani,wakachoma injili ya ìsa,wakatengeneza biblia na kuingiza maneno yao,yakina matayo,luka n.k,injili alioandika yesu kwa mkono wake wakachoma,hiyo siyo dini ya mungu huo utatu waroma walikuwa wana maana ya nimrod,semiranusi,tamusi,wakawaongopea ni yesu
Hakika huyu mtu si wamoto wala si baridi ,anatumia nguvu nyingi kuchanganya giza na nuru. Niheri kwake kama angechukua nira yake kristo na kusimama katika kweli.
@@nabiiilyaaseliya2551lione limejibu number ya sadaka ,,,Sasa wewe nani amekwambia waislamu hawapendi nabii ISSA wewe huna Dini wachafua uislamu kama kafiri nenda kwamakafiri wenzio ,,juzi wasema watu wasifunge
Huyu ni mnafik ni haki kuchinjwa hadharani Kwa sababu anatumia maandiko ya dini kupotezaa watu 😢huyu sio sheikh ni kafirii hilii waislamu tujihadhari na watu kama Hawa
Huyu analipwa na waitaliano mimi namjua sio muislam nikatika wale wanaipotosha nakupotosha watu wasio na uelewa wa Dini yao Inshaallah Allah awafahaishe
Muhammad ni muongo tuu . Yesu ndio mpango wote . Kuja orthodox tutakufunza usio ya jua😂
Muhammad na ISSA walipo kuako mamako na babako alikuako umbwa wewe ,,Yani ukristo nani Alie wambia ukristo ni dini
Naam mwalim wang sheikh hamza hua nakuombea baadh ya waislam wakuelewe km mimi inshaa allah
Inasikitisha sana kuona watu wanaudini nasio iman na uko ndo kukosa maalifa ostadhi mim ni mmoja kati ya watu wanaokubaliana na ww.Jaman mluosoma dini jalibun kumuomba m/mungu kiukwer utakuja kumuelewa uyo ostadhi anachomaanisha ila km mtakua wabishi shauri yenu ila uyo ostadhi yupo sawa kabsa km ukiwa na iman mungu atakuonesha ukwer ila km utakua na udini uwezi kumuelewa uyo ostadhi at kidogo,na wenye dini wengi washenzi tu watu wakukunja nne mala swara yaan wengi wamekuwa wachawi tu wakutembelea nyota za watu hakuna mungu wa ivo anauetaka umfanyie mwenzako kitu ambacho wew aupendi ufanyiwe nakm unataka kulijua ilo mkiingia kanisani msikitini chunguzeni niliyowaambia mtaamin wenye dini wengi wachawi ila ukiwa na iman mungu atakuonyesha anachokizungumzia ostadhi uyu yupo sahihi kabsa yaan namwamin kwa kua mim nimekutana na icho kitu wekeni iman kwa nabii isa mtakuja kuelewa ila kikubwa uwe na iman sio udini Asnt ostadhi fanya kazi ya mungu aliokutuma japo sio wote watakaokubaliana na ww we endelea wenye iman tushajua unachomaanisha🙏🏿🙏🏿
Wewe sio muisilamu nadhani
Acha ujinga wewe sio muislamu huyu
Ndio kwa sababu hakuna muisilamu anasema ukweli duniani ndo maana unamkataa
amen kaka barikiwa sana kwa kuwa umelitambua hilo kupitia MUNGU
@@msemakweli243usibishe, soma Aya inayomuelezea Yesu kwenye Quran uelewe kwanza kama anaongopa ama la
Mwanadamu yeyote asimwamini YESU KRISTO kuwa ni Mwana wa Mungu na kubatizwa hata ufie masjid utakwenda jehanam kweupeeee
Pole sana Hamza umepotea na hali unajua njia sahihi bila YESU KRISTO WOTE ni inali jehanam
Shehe ni sawa unachokisema.hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuondoa uchafu wa dhambi kwa watu wote au ulimwengu mzima.Lakini inawezekana uchafu Huo ukaondoka kwa mtu mmoja au kikundi Fulani
Sasa shehe ,shida ni kwamba hamna nyaraka au maandiko matukufu ya Issa bin Mariam ambayo mnayo ninyi waislamu. Sasa waislamu wenzako watamwaminije masihi Issa bin Mariam
Ok kuanzia leo nimekujua kuwa ni shekhe au mwislam hivyo juwa usipozaliwa mala ya pili hata uhubili vp jehanam inakusubili
Mtume alisema uislam ulikuja mgeni na utaludi ukiwa huu ndo ugeni wenyewe
❤❤❤❤ msema kweli❤️👏👏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌✅✅✅✅✅✅
Sasa wambie hao wakriso ukirsto sio dini na issa ni nabii wa mungu sio mungu
ukweli kabisa ukristo sio dini kama uislamu...ukristo ni ufuasi au imani kwa Yesu Kristo....Dini zote duniani zimeanzishwa na mwanadamu... Yesu ni Mungu alivaa sura ya mwanadamu - Yohana 1:1,14
@@chapchap-oz1ouyesu alivaa mwl wa mwanadam na pale alipo Seema mungu mbona umeniacha alikuwa anamwambia nana
yesu alivaa mwl wa mwanadam na pale alipo Seema mungu mbona umeniacha alikuwa anamwambia nana@@saphinalutaha9077
🤣🤣🤣🤣
Yaani umeandika jibu la swali lako lakini hujielewi??
Yesu alifanyika Mwili akawa Mwana wa Mungu kwa hivo "mbona umeniacha alikuwa anamwambia" Baba yake!!
Duh...uislamu msibaaa
Allah s.w kwenye qur ani anasema : Hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni uislamu .sasa wewe usojijua lete andiko kwenye bibilia linalosema hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni. Ukiristo achaa kuongeaa pumba saivi tumeshakuelewa ujanja wakoo
UKRISTO sio dini ni Ufalme wa Mungu , ni wapi kwenye korani imeandikwa uislamu ni Ufalme wa Mungu?
Eti "Allah s.w kwenye qur ani anasema : Hakika dini mbele ya mwenyezimungu ni uislamu"....ni majini yanazungumza sio unayedhani.
ANGESEMA "HAKIKA DINI MBELE YANGU"..........WATU SIO WAPUMBAVU BUANA HIHIHIHI
@@IvanChrisantusSasa bila dn uo ufalme wa mungu utaupata je
@@chapchap-oz1ou😂😂😂 ety majn mkikosa point mwasema majni
@@saphinalutaha9077 Ufalme wa Mungu haupatikani kwenye dini, ila kwa kushika amri za Mungu ambazo zimehidhiwa katika sanduku la agano / sanduku la ushuhuda.
acha kuongonisha onganisha aya za ku Quraan na mada tofauti tofauti
ongera mtaalam
Ubarikiwe nabii Mungu akuinue ktk viwango vya juu watakuelewa tu na wataokoka🎉
Sioni haja mtu kutukana,kejeli na mengine yasio namanufaa.kama mtu hataki basi asitazame wala asisikilize...
Uislam unawakubali mitume wote wa mungu ,issa,mussa,Ibrahim,Muhammad wote walikuwa waislam, n.k,shida imeanza alipoondoka issa ,wakaja wapagani wa kiroma walipoanzisha ukristo apo antiokia,na kuhamisha ibada za kipagani na kuziita ukristo wakimuhusisha issa ilihali hakuna sehem yesu alisema dini yake ukristo wala hakuna andiko kwamba aliingia kanisani,wakachoma injili ya ìsa,wakatengeneza biblia na kuingiza maneno yao,yakina matayo,luka n.k,injili alioandika yesu kwa mkono wake wakachoma,hiyo siyo dini ya mungu huo utatu waroma walikuwa wana maana ya nimrod,semiranusi,tamusi,wakawaongopea ni yesu
Issa ni zaidi ya mtume kaka
KAMA MNDANGANYWA ,issa,mussa,Ibrahim,Muhammad wote walikuwa waislam,...NI MANGAPI MENGINE MNADANGANYWA?????
UISLAMU ULIANZISHWA NA MUHAMMAD!!!!!!!!!!
@@chapchap-oz1ouYesu anasamehe kila kosa, na wewe je?
@@lilianluhasi311
Nia yako ni ipi? mambo ya msamaha Yesu na mimi ni wapi na wapi? fikiria kabla hujauliza jambo!!
@@DarmianDimatteo-rm3qkkwa mjnga issa ni Zaid ya mtu lakn kwa mwelevu no kwamba mungu alimtumia issa kuonyesha miuzja yake
Hakika huyu mtu si wamoto wala si baridi ,anatumia nguvu nyingi kuchanganya giza na nuru.
Niheri kwake kama angechukua nira yake kristo na kusimama katika kweli.
Huyu mtu anaongea ukweli mtupu
Siyo Mkristo na Unamuhitaji KRISTO😂😂😂
Nyinyi ndio wale mnaoendekeza udini em mskize vizur analenga nini
Hapo uliposema Issa ni mwana wa Mungu ndo nimejiridhisha kuwa wewe sio Muislamu
Upo vizuri kaka ,Issa sio mwana wa Mungu bali ni Mungu mwenyewe kwenye human form
Kwa sababu kakwambia ukweli
Ata wewe ni mwana wa mungu pia. Aujuwi ilo?
Hivi mtu akikuita " mwanangu" lazima awe emekuzaa? , hiyo tu ni heshima , kama vile neno " lady "
Anaezaa ni mwanamke lkn hili azae lazima aingiliwe na mwanaume
Kuna aina mbili za mwangu wa kumzaa au kwakumweshimu basi
Unaswali sheghe na unafunga?
Wewe ndiyo dajal mwenyewe
Kosa Kila kitu sio Radhi za wazazi
4:05 wewe sio muislam
Hapa ni kweli muchungaji ni ushetani kabisa,ufiri na uchafu kweli
Hajasema mchungaji, kasema mchungaji kiongozi mwanamke
Thanks brother comes to orthodox Christian church.
Naomba namba yko ndugu.
Namba ya sadaka
Tigopesa +255714750521
Jina inasoma nani ndugu..mahubiri yako yamejaa ukweli sana@@nabiiilyaaseliya2551
@@nabiiilyaaseliya2551lione limejibu number ya sadaka ,,,Sasa wewe nani amekwambia waislamu hawapendi nabii ISSA wewe huna Dini wachafua uislamu kama kafiri nenda kwamakafiri wenzio ,,juzi wasema watu wasifunge
Kabisa nabii
Leo umetuthibitishia wazimu wako. Mara mkristo, Mara muislam. Kwanza kujiita eliya dio uchizi kabisa.
Huyu ni mnafik ni haki kuchinjwa hadharani Kwa sababu anatumia maandiko ya dini kupotezaa watu 😢huyu sio sheikh ni kafirii hilii waislamu tujihadhari na watu kama Hawa
Kafiri mkubwa, elimu Hauna weye.
Huyu analipwa na waitaliano mimi namjua sio muislam nikatika wale wanaipotosha nakupotosha watu wasio na uelewa wa Dini yao Inshaallah Allah awafahaishe
Hamza hakil zmesha ruka nikama tito