Wewe mzee malengo yako tushayajua kwamba unatumia kitabu cha waislamu ambacho ni qur ani ili kitetee umani lako ambalo batili la kikristo sasa unafik wako tushaujuaa mbwaa wewe
Fanya utakacho fanya ila dini ya kiislamu huwezi kuiweka sawa na imani ya kikristo ni vitu viwili tofauti wala qur ani haiwezi kutetea imani ya kikristo kwa sababu ni imani batili haina kichwa wala miguu ,yaani kama umejitahidi kujifunza kusoma qur ani ili uwapotoshe waislamu baba umechemkaa waislamu sio watu wa kudanganywa wakaamini kirahisi😂😂
15:30 Hawakumsulubu? Pale msalabani alifikaje??? AMA alijitundika mwenyewe... Lugha fupi Kusulubu= kumtundika mtu msalabani.... Nimekuelewa hawajamuuwa (kifo cha usingizi) Lakini kama aliyeko msalabani ni yeye kama tusiseme amesulubiwa tutasema ametundikwa mtini
Acheni ubabaifu nyie mie binafsi huyu simuamini kila analosema lkn hili la kuwa nabii isaa alipitia mauti (kifo cha usingizi) wewe unapinga hakuna kifo cha usingizi unapinga quran au? Ila faham sio wao waliomuuwa ni yeye Mwenyezi Mungu ndio alimfisha sasa tatizo lipo wapi hapo?
@@sanaf8367 Sio ubabaifu.. Mimi Niko na quran wewe ndio mpingaji... Mimi sijakataa kufishwa... Lakini Quran haijataja location huenda alifishwa akiwa kwake au mskitini.. Wewe Hamza na imran Hussain.. Mumetohowa location kutoka kwenye biblia Quran ikapinga 4:157 Munahusisha msalaba na kifo cha usingizi??? Msalabani mtu analala au anakufa??? Huelewi?? Hajafa, hajasulubiwa, bali amepaishwa.. Biblia ndio inamhusisha MASIH na msalaba na kufufuka...
7:23 Weh hiyo si roho Hapo imetajwa nafsi.. wewe unaongelea roho... Labda ujui tofauti ya roho na nafsi.. Roho ikitoka ndo imetoka... Nafs inatoka na kurudi...
Shehe unafundisha sahihi kuhusu kufa na kufufuka bwana wetu yesu kristo. Lakini waislam wengine hawakubari kuwa yesu alikufa na kufufuka. Wakati quruan inakubali. Je tumwamini nani anaekataa kuwa yesu hakufa. Au tuiamini Quruan maana ndo inayotufundisha
We mzee acha kuzuzua watuuu hapaa kasome 155 hadi 162 Suratu Nisa jibu unalo halafu tafsiri Quran ipasavyo sio kwa hicho kiarabu cha mchongo sui umesoma wapi
Tatizo mmeletewa maandiko kwa lugha ya kukaririshwa.ukweli hamuujui,ndio mana hata mpinga kristo wenu hakujua kusoma wala kuamdika.Kiongozi wenu kipofu.i@@abubakarmhesa5742
Tatizo sis waislam atufundishwi km din inavotaka kufundisha Ila uyu Ostadhi yupo Sahihi San mininachoona anachokosea Yeye Ni kujiita Nabii Tu Ila vitu vyengine yupo Sawa kabsa
12:11 Hakuna kifo cha usingizi dah. Si useme amelala akaamka... Alafu usingizi na damu vinausianaje??? Si unataka tukiri damu yake,, sasa unatwambia amelala hiyo itakuwa ni damu qu udenda???
tofauti ni kwamba, wakristo wanaamini ISSA alikufa na alifufuka wayahudi wanasema ISSA alikufa kabisa wala hakufufuka. wa islaam wanaamini ISSA hakusulubiwa wala kufa, ila ALLAH alimnyanyua kwake na atarudi baadae kutimiza mission yake
@abubakarhesa quran ndio inathibitisha kuwa hakufa wala kusubuliwa isipokuwa yeye mwenyewe Mwenyezi Mungu ndio alimfisha wale mayahudi wakaona wamumsulubu na kumuuwa sasa hilo tatizo wewe kutofaham liko wapi? Wee endelea kudanganyika eti yule alikua mtu mwengine kafananishwa tu hayo maneno ya watu tu ndugu hayana mashiko kimaandiko.
Wakristo wanaamini Biblia isemavo kuhusu kufa na kufuka kwa Yesu...miaka 700 baadaye kukaja mpinga kristo akamdanganya muhammad pangoni apinge habari hizo
mpinga kristo wala sio muislaam, mpinga kristo atakaekuja nyakat za mwisho sis tunamuita DAJJAAL ambaye atajitangaza kuwa yeye ni masihi. ambaye atatokana na kizazi cha wayahudi. so mpinga kristo ni myahudi mwenyewe tena hajaanza leo kupinga , alipinga uwepo wa kristo tang na tangu@@KhalidMwijaku
hata kama issa alikufa na kufufuka we have nuthing to do with it. point is shahada, swala, zaka, swaum, na hija. plus kuamini mwenyezi mungu, kuamini kitabu , kuamini mitume ,kuamini malaika, kuamini Qadar , na siku ys ufufuo
You have everything to lose if you dont believe Jesus Died and rise for the sins of the world....your shahada, swala, zaka, swaum, na hija. plus kuamini mwenyezi mungu, kuamini kitabu , kuamini mitume ,kuamini malaika, kuamini Qadar , na siku ys ufufuo is useless....ni bure tu. "I told you that you would die in your sins; if you do not believe that I am he, you will indeed die in your sins.” John 8:24
Watafute wasabato (waadiventst wasabato) utapata ujuzi zaidi Mungu akubariki
Fanya ubatizwe orthodox Mzee
Wewe mzee malengo yako tushayajua kwamba unatumia kitabu cha waislamu ambacho ni qur ani ili kitetee umani lako ambalo batili la kikristo sasa unafik wako tushaujuaa mbwaa wewe
😂😂😂😂😂😂 huna lolote mzee kelele ya chura
Amen
Nimekubali mwalimu
Fanya utakacho fanya ila dini ya kiislamu huwezi kuiweka sawa na imani ya kikristo ni vitu viwili tofauti wala qur ani haiwezi kutetea imani ya kikristo kwa sababu ni imani batili haina kichwa wala miguu ,yaani kama umejitahidi kujifunza kusoma qur ani ili uwapotoshe waislamu baba umechemkaa waislamu sio watu wa kudanganywa wakaamini kirahisi😂😂
Wewe ndio ujielewi yaaani mnakalilishwa tuuu sikiliza alafu ujibu kwa hoja
15:30
Hawakumsulubu?
Pale msalabani alifikaje???
AMA alijitundika mwenyewe...
Lugha fupi
Kusulubu= kumtundika mtu msalabani....
Nimekuelewa hawajamuuwa (kifo cha usingizi)
Lakini kama aliyeko msalabani ni yeye kama tusiseme amesulubiwa tutasema ametundikwa mtini
Acheni ubabaifu nyie mie binafsi huyu simuamini kila analosema lkn hili la kuwa nabii isaa alipitia mauti (kifo cha usingizi) wewe unapinga hakuna kifo cha usingizi unapinga quran au? Ila faham sio wao waliomuuwa ni yeye Mwenyezi Mungu ndio alimfisha sasa tatizo lipo wapi hapo?
@@sanaf8367
Sio ubabaifu..
Mimi Niko na quran wewe ndio mpingaji...
Mimi sijakataa kufishwa...
Lakini Quran haijataja location huenda alifishwa akiwa kwake au mskitini..
Wewe Hamza na imran Hussain..
Mumetohowa location kutoka kwenye biblia
Quran ikapinga 4:157
Munahusisha msalaba na kifo cha usingizi???
Msalabani mtu analala au anakufa???
Huelewi??
Hajafa, hajasulubiwa, bali amepaishwa..
Biblia ndio inamhusisha MASIH na msalaba na kufufuka...
Lichawi hili
Acha matusi ya kikafiri.
Naona anazunguka tu hajuilikani kipi cha usahihi
7:23
Weh hiyo si roho
Hapo imetajwa nafsi.. wewe unaongelea roho...
Labda ujui tofauti ya roho na nafsi..
Roho ikitoka ndo imetoka...
Nafs inatoka na kurudi...
Mwalimu uko sawa tena sahihi sana endelea na darasa zako sisi wanafunzi wako tunakuelewa
Shehe unafundisha sahihi kuhusu kufa na kufufuka bwana wetu yesu kristo. Lakini waislam wengine hawakubari kuwa yesu alikufa na kufufuka. Wakati quruan inakubali. Je tumwamini nani anaekataa kuwa yesu hakufa. Au tuiamini Quruan maana ndo inayotufundisha
We mzee acha kuzuzua watuuu hapaa kasome 155 hadi 162 Suratu Nisa jibu unalo halafu tafsiri Quran ipasavyo sio kwa hicho kiarabu cha mchongo sui umesoma wapi
Kwanini msikubali na kuachana na huo ukafiri??
Kubali kuelewa kijana
issa ibn mariam tunamuamini lkn kuhusu kusulubiwa na kufufuka hajawahi, quran inajieleza vema katika surat NISAA
Tatizo mmeletewa maandiko kwa lugha ya kukaririshwa.ukweli hamuujui,ndio mana hata mpinga kristo wenu hakujua kusoma wala kuamdika.Kiongozi wenu kipofu.i@@abubakarmhesa5742
Tatizo sis waislam atufundishwi km din inavotaka kufundisha Ila uyu Ostadhi yupo Sahihi San mininachoona anachokosea Yeye Ni kujiita Nabii Tu Ila vitu vyengine yupo Sawa kabsa
mimi nakuamini sana quran haijichnganyi
Tuko pamoja Mwalimu kutoka Nairobi Kenya
...ila hapo kuna mvutano
Yahudi wanasema wamemuua wao,,
Wewe unasema Allah aliahidi atamuua nani kati yao alifanikiwa???
mwenye masikio na asikie💯✍️ Hii ni Qur’an kwann waislamu hamtaki huu ukweli🙆
Akafafanue andiko kwanza la QURAN 4;157
@@abubakarmhesa5742 Kwani hapo anasoma biblia? Mbona aya zote zimetolewa ufafanuzi
Kamanda Mungu akuongoze
12:11
Hakuna kifo cha usingizi dah.
Si useme amelala akaamka...
Alafu usingizi na damu vinausianaje???
Si unataka tukiri damu yake,, sasa unatwambia amelala hiyo itakuwa ni damu qu udenda???
soma dua ya kulala utakua kama mtu kulala anakufa
@@ahmedmakame1687 NOoooo
kulala sio kufa..
As-hab alkahfi
Wamekaa miaka 309
Allah anasema wamelala 18:18
Wewe usiku mmoja tu unasema amekufa///
Hakuna kitukama hicho
Mungu akufungulie ujuwe uwache kupotosha watu
Sasa anapotosha nini wakati maandiko yanasema hivyo. Tatizo lenu watu wa Africa mnapenda kudanganywa
Ndio Baba nipo APA mi mwanao
tofauti ni kwamba,
wakristo wanaamini ISSA alikufa na alifufuka
wayahudi wanasema ISSA alikufa kabisa wala hakufufuka.
wa islaam wanaamini ISSA hakusulubiwa wala kufa, ila ALLAH alimnyanyua kwake na atarudi baadae kutimiza mission yake
@abubakarhesa quran ndio inathibitisha kuwa hakufa wala kusubuliwa isipokuwa yeye mwenyewe Mwenyezi Mungu ndio alimfisha wale mayahudi wakaona wamumsulubu na kumuuwa sasa hilo tatizo wewe kutofaham liko wapi? Wee endelea kudanganyika eti yule alikua mtu mwengine kafananishwa tu hayo maneno ya watu tu ndugu hayana mashiko kimaandiko.
hilo sisi hatuna shaka nalo@@sanaf8367
Wakristo wanaamini Biblia isemavo kuhusu kufa na kufuka kwa Yesu...miaka 700 baadaye kukaja mpinga kristo akamdanganya muhammad pangoni apinge habari hizo
mpinga kristo wala sio muislaam,
mpinga kristo atakaekuja nyakat za mwisho sis tunamuita DAJJAAL ambaye atajitangaza kuwa yeye ni masihi. ambaye atatokana na kizazi cha wayahudi.
so
mpinga kristo ni myahudi mwenyewe tena hajaanza leo kupinga ,
alipinga uwepo wa kristo tang na tangu@@KhalidMwijaku
❤️❤️❤️
hata kama issa alikufa na kufufuka we have nuthing to do with it. point is
shahada, swala, zaka, swaum, na hija.
plus
kuamini mwenyezi mungu, kuamini kitabu , kuamini mitume ,kuamini malaika, kuamini Qadar , na siku ys ufufuo
You have everything to lose if you dont believe Jesus Died and rise for the sins of the world....your shahada, swala, zaka, swaum, na hija.
plus kuamini mwenyezi mungu, kuamini kitabu , kuamini mitume ,kuamini malaika, kuamini Qadar , na siku ys ufufuo is useless....ni bure tu.
"I told you that you would die in your sins; if you do not believe that I am he, you will indeed die in your sins.” John 8:24
unatuelewesha Sana mwalim