@@eliannko NI KITU GANI KINACHO KUAMINISHA KAMA ILE NEMBO NI YA FREE MASSON? KWA KUSIKIA HADITHI ZA MITAANI UTAOGOPA HATA KULA MAANA UTAAMBIWA SHETANI KALA KABLA YAKO. NA JE BENDERA YETU NAYO INA NEMBO AMBAZO MASSONIC HAWATUMII? SASA TUTATWISHANA MIZIGO.
Uko vizuri sheh hamza wazungu asilimia 85 hawaamini mungu ulaya mimi naishishi hapa Australia 😢😢😅😂 watu wako bize na maisha mbio nyingi hakuna yesu wala nini mbio tuu lakini ukirudi Africa dahh makanisa yamejaa bendera za,,,????
@@ramdanmbara8500 unaacha kusoma biblia vizuri kwa jicho jeupe unasoma kiudini pambana na hali yako biblia ni kitabu chamungu na ni sahihi kuliko opinions zake pamoja na wewe
Acha uongo wewe. Acha kudanganya watu wewe. Sioni hoja yoyote ya maana hapo. Zionism is a movement that facilitated re-uniting of Israelites diaspora scattered allover the world. Wasikilize vizuri watumishi wa Mungu Dr. Gamanywa na wenzie. Wewe ni muislamu huwezi kuijua history ya Biblia wewe.
Ndio maana nasema unaokoteza story.. Zionists na Illuminate ni watu wawili tofauti.. nikushauri tu... Nenda kamsome Albert Pike ambaye ndio Godfather wa Illumante ambaye alikua anaweka mikakati namna ya kuwagonisha vichwa Zionists na Atheism .. kasome wataka wake.. kisha utakuja kuelewa unalisha watu matango pori
@mabadamabada8631 Zionism ni movement iliyoanzishwa na wahayudi ili kupigania kuanzishwa upya kwa taifa la Israel na kutetea maslahi ya wayahudi. Atheism ni ideology ya kwamba hakuna Mungu.. yaani wao wanasema hakuna kitu kinachoitwa Mungu.... Illuminate wao wanayo mungu, wanaamini mungu wao ni shetani. Hii haiwaisemi hadharani lakini ndio siri ya uwepo wao. Wanaamini "lucifer is true god " according to them. Na Illuminate wao ndio wanataka kuitawala dunia na kuiweka chini ya mungu wao. Wao ndio wanagonganisha vichwa dini zingine ili kuleta machafuko.. katikati ya hayo machafuko wao ndio watajipenyeza.. ili kuishika dunia iwe na serikali moja, fedha moja na dini moja ambayo mungu ni shetani. Kwenye huu mgogoro kinachotafutwa hapa ni chuki dhidi ya Israeli, na mwishowe wakristo, uyahudi na Uislam upigane mpaka uchakazane kabisa na pengine vita 3 ya dunia. Kisha wao Illuminate ndio waibuke kama watoa suluhisho la uchumi, serikali moja na dini moja. .. hii comment iweke kwenye lamination kabisa. Utakuja kuikumbuka hapa.
Na msikiti mulioujenga mahali pa hekalu je?hamuoni kwamba dio sinagogi LA shetani? Halafu waeslamu mkasema nyinyi dio wayahudi mnaofaa kuishi pale?.waislam mko na vituko. Maadiko ulioyasoma yanawausu nyinyi muliofaamia nchi ya watu mkajifanya kuwa wayahudi.
UZAYONI MWEUPE NA MWEUSI Jee, Mgogoro wa Palestine na Israeli unalingana na ziitwazo Kero za Muungano baada ya Ukoloni wa Uingereza nchini? 1) Palestine 2) Zanzibar 3) Tanganyika NYEREREISM INALAZIMISHWA?
Unacho kizungumza ume tafautisha sahihi kabisa ila wapo ndani ya ukristo ambao wanaitwa christia zionism ambao walianzisha harakat hizi kabla 1700 huku uingereza hivi wanao sema ni hao waliopo pale ni waisrael bila shaka ni christian zionism.
Muyahudi ni muyahudi either ni mzionist ama Judaism....@nabii eliyas....Elimu unayo lakini mtazamo wako ni wa kislamu ambao ni maadui wa wayahudi na sehumu ya wapinga kristo... ndio maana walibadika msikiti juu ya hekalu ya wengine.....nanjisi hiyo
Uko vizuri nabii eliya Watumishi wengi wa makanisa ya kiprotestant hawayajui vizuri masomo ya kiunabii hasa kitabu cha ufunuo kwa taarifa tu Israel hiyo inashinikizwa kufanya hayo na jamii za siri ili mpinga kristo aanze kazi zake ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa dunia moja serikali moja
Nyie make kimya hamuelewi chochote kuhu wayaudi au Israel Mungu ndo amewakusabya kawaleta mwaka 1948 ahijalishi Mungu aliaidi kuwaokoa Wana WA Israel hizi siku za mwisho hata wafanye vituko vyote haadi ya Mungu ni ya kweli nyie mnaokataa Hao waliopo Israel sio wayaudi tuonyeshe wayaudi wakweli wapo wapi ?
Haya mafundisho angefundisha Mzungu tungemuamini 100% lkn kwa sababu ni mweusi mwenzetu wengine wetu watambeza na kumzodoa pasi na ushahidi wowote. Shida ni moja tu "brain wash" tuliyofanyiwa na Wazungu tukaamini kila wasemalo wao ni kweli, kitu walichofanikiwa sana kutulisha matango pori katika nyanja nyingi sana. Barikiwa sana Mtu wa Mungu endelea kufungua fahamu zetu tupate kujua usahihi wa mambo.
Ukweli mchungu Watu ambao wana wafuasi wengi ni ngumu sana kukubali kwamba mada kama hz hawajazielewa vzr maana tayar washawadanganya waumini wao sasa unapojaribu kuwafumbua watu macho lazima wakupinge kwa nguvu zote Na usikute wengine ni wanachama wa Zionism
Nashangaa kwenye hizi comment wakristo wanamuona huyo jamaa shehe ni mtumishi WA Mungu huyu jamaa anajitambulisha yeye ni mwislamu mara ni mkristo hakuna kitu kama hicho huyu ana mabwana wawili Yesu alishema ukitaka kunifuata lazima ujikane huyu ni commed kwasababu uislamu unapinga ukristo wakristo semeni quruan muone quruan hinaipinga biblia mkitaka kumujua huyu jamaa ni muongo kamuulize kazaliwa mara ya pili kulingana na Yohana 3:1 ,7 huone BWANA YESU alichomwambia Nikodemu kahiyo huyu kumuamini ni mtego waislamu Kwa Imani Yao wanaamini Muhammad yupo juu ya Yesu kristo wasema Muhammad ni mbora kuliko mitume na manabii wote hamuoni kuwa huyo ni mpinga kristo wakristo tusidanganyike Allah WA kiislamu sio Mungu WA kweli kwasababu Allah sio Yehova Yehova kwetu sisi ni Baba Allah sio baba hataki kuitwa baba wakristo tuna sala tuliopewa na Mwokozi wetu YESU Baba yetu uliyembinguni
Asante sana mtumishi wa Mungu aliye hai kwa kuokoa roho za watu waliokuwa wamefunikwa gizani kwa udanganyifu, Mungu akulinde mpaka umalize kusudi lake amina
Sote ni wasomaji vipi kwa makabila yaliyojitenga mawili kwa kumi utasemaje juu yailo maana kama walitenga so kwamba watakuwa wanapatana katika yotehapana .afukumbuka kunawakati makabila mawili yalitaka kwenda kuwavamia wenzao lakini mungu aliwazuia kwamba haiwezekani kumwaga dam zawenzao mungu akawazuia sasa kama wakatihuo walitaka hata kuangamizana sasa leo?ndo watapatana?lazima pamoja na kwamba waoko pamoja hawawezi kupatana ivyo tusishangae wao kutfautiana kwaitikad .wakati ule walitofautiana kwaajiri ya ufalme wa mwana wasuleeman kwajili ya maamuz maabaya kusu skokoa ambalo suleemani aliwapa baadh ya watu lakini baada yakufa mtoto wake akaamua vibaya juuya watu ambao walikwenda kujitetea awapunguzie lakini yeye akubali ushauli wa vijana akawapa utumwa zaid ya ule wa baba yakena ndoikawawazowakujitenga sasa je?kama ndohao?
Nikweli lkn yote hayo nikua Bible imechanganywa na upagani wa warumi ndio maana hao wenzako hawaoni mpaka utumie akili kubwa ndio uone huo upagani ndani ya Bible
@@mabadamabada8631 I don't need to have a bible verse for me to know that this guy is fake/false prophet, na bila aibu ati anachallenge watumishi wa Mungu shame on him
Kama unajiamini muite mfanye mjadala na watu wachambue mbivu na mbichi, kama unampinga bishop ngonyani wewe ni kichaaa hakuna mwinjilist Tanzania anaemfikia bishop ngonyani Kwa elim ya eskatology hayupo nawanaokufatilia kama wakimsikia bishop ngonyani amini amini watajua ukweli
Kumbuka Mungu atainua hata mawe, yatangaze injili iwapo, hatutaki kuamini. Ukisema hakuna mtumishi mwingine unakosea, Mungu bado anainua watumishi wapya, tatizo wengine hawachimbui elimu kamili na kusoma zaidi ya biblia.
@@reginarutazamba5474 unachosema ni sahihi kabisa ILA Kwa sasa bishoshop ngonya ni hatari JAMA anajua histori na bible labda anaemfuatia ni ndacha WA Kenya sasa nakuomba Gusa linki hiyo na umsikilize Kwa makini Kwanza jamaa hapindishi kila anachosema kina ushahidi th-cam.com/video/fk72vIpZJG0/w-d-xo.htmlsi=W-CEVs5njm5l_irQ,
@@petermatabwa2133 ujamsikiliza bishop ngonyani ni generous kama unabisha ingia TH-cam tafuta bishop ngonyani asee jamaa anajua bible na historia sio kawaida
Na hata hayo maandaki yaliopo kwenye hospital Wameyajenga hao hao waisrael kwa sababuzao Wanazozijua huko mbeleni wakati wakijenga hizo hospital Baadae hamas waliyastukia ndio yakawa machimbo yao Ndio maana sasa wanapiga sehemu hizo wanazijua kindaki ndaki Wambie Eliya
Kwa upande wangu nawaamini wote kwani upande wa wazayuni wanaweza wakawa ndo upande wa makabila kumi yaliyojitenga nyakati zile vilevile ata judaizim ni wale kabila kumi nambili zizobakizwa kwaajili ya kumtunzia daudi ufalme kwaiyo wao wakiwa wanapingana ni kawaida nisawa nakuwa na vyama tofaut lakini so kwamba akina netanyau so wayaud hapana
Swali hilo huwa halijibu hata mara moja. Mimi niliuliza swali hilo live lakini sijapata majibu hadi leo na ndiyo maana alikimbia mdahalo tuliokuwa nao online. Akikujibu swali hilo naomba uni tag.
Bado wako uhamishoni ukifika Muda Mungu atawarudisha na watashika Sheria zake. Historia unasema kuwa hao kazar walibadilika na kushika dini ya kiyahudi katika Karne ya 10 ambao ndio haohao inasemekana ni axhkenaz Jews wa sasa
@@samwelimistri5 kwa nini useme inasemekana. Inasemekana na akina nani kama wanao ukweli wote. Kwa nini useme inasemekana. Hii maana yake haina uhakika. Tafut ukweli
Kwa maelezo ya huyu mtumishi inamana, judaism hawafanyi dhambi kitu ambacho sio kweli, ushoga kuufanya ni maamuzi ya mtu binafsi kama dhambi zingine tu, kingine katumia vifungu viwili tu kuelezea haya mambo, biblia ni kitabu pekee kilichojikamilisha ko kina mawanda mapana sana
Nakubali sana aiwezekakani taifa la mungu likubali ushoga
Kwani ni mara ngapi wameadhibiwa kwa ajili ya dhambi? wao ni watu pia na wanafanya vita na shetani.
Wale sio taifa la mungu mbona mbendera yao imewekwa masonic nembo
@@eliannko NI KITU GANI KINACHO KUAMINISHA KAMA ILE NEMBO NI YA FREE MASSON? KWA KUSIKIA HADITHI ZA MITAANI UTAOGOPA HATA KULA MAANA UTAAMBIWA SHETANI KALA KABLA YAKO. NA JE BENDERA YETU NAYO INA NEMBO AMBAZO MASSONIC HAWATUMII? SASA TUTATWISHANA MIZIGO.
@@eliannko Ile alama sio ya freemason wao freemason ndio wame copy kutoka kwa sulemani Ile nyota inawakilisha nyota ya daudi
@@Harrison-zh9sbnyota ya daud kwenye biblia gani inasema hivyo?
Ubarikiwe baba Dunia kwa sasa ipate wasema ukweli kama wewe
yaani wewe unafaa kuwa mwalimu unaeleweka ❤
Mtumishi Elias, Mungu akubariki
Wanaisraeli wa ukweli, uzao wa yakobo ni wabantu (watu weusi) sio wazungu
Mungu akitaka kufikisha ujumbe unabii anamtumia mtu yoyote
KWELI HAWO NDIO MAJAMBAZI WALIOPORA ARDHI NA KUUWA WATOTO HALAFU KANISA LA GWAJIMA WANAWAOMBEA 😢SAD
Yesu nisaidie
Uko vizuri sheh hamza wazungu asilimia 85 hawaamini mungu ulaya mimi naishishi hapa Australia 😢😢😅😂 watu wako bize na maisha mbio nyingi hakuna yesu wala nini mbio tuu lakini ukirudi Africa dahh makanisa yamejaa bendera za,,,????
Kama hawaamini eeeh sisi itusaidie nn ..?? Kila mtu si apambane
@@anordgerison8639muelewe maana hao ndy tunawetegemea kiuchumi
Akili za wabongo sisi tunajuwa wazungu wote wakristo??!!!!Pole zetu sana tuu!!!! Katika watu wasioabudu mungu duniani basi ni wazungu
Hujui habari za unabii wa biblia brother,akina gamanywa na ngonyani wako sahihi kuliko wewe
Wewe ushalishwa Matango pori, umekaririshwa kama mdoli
@@ramdanmbara8500 unaacha kusoma biblia vizuri kwa jicho jeupe unasoma kiudini pambana na hali yako biblia ni kitabu chamungu na ni sahihi kuliko opinions zake pamoja na wewe
Kweli akili za kushikizwa na huna unachojua tena, hao unao sema wanajua ni sehem ya uozo wanao kufundisha😂wewe usie na akili
Uko sawa we jamaa japo sio Nabii
Nakuelewa sana sjui kwanin watu hawahuelew ningekua na uwezo ningefos watu waelewe ata kwa viboko
wanaelewa vizuri maslahi tu yanawauma
Mungu akubariki sana shehe wangu wasipokuelewa hapa Jua washakula wino 666 hawat kuelewa tena unavofundisha hata asiekua naakili anaelewa ukovizur mashalhaa
Acha uongo wewe. Acha kudanganya watu wewe. Sioni hoja yoyote ya maana hapo. Zionism is a movement that facilitated re-uniting of Israelites diaspora scattered allover the world. Wasikilize vizuri watumishi wa Mungu Dr. Gamanywa na wenzie. Wewe ni muislamu huwezi kuijua history ya Biblia wewe.
Shukrani saana mtumishi kwa kutuelemisha wamesha pewa pesaa ao hawawezi kusema kweli
Ndio maana nasema unaokoteza story.. Zionists na Illuminate ni watu wawili tofauti.. nikushauri tu... Nenda kamsome Albert Pike ambaye ndio Godfather wa Illumante ambaye alikua anaweka mikakati namna ya kuwagonisha vichwa Zionists na Atheism .. kasome wataka wake.. kisha utakuja kuelewa unalisha watu matango pori
Tofauti ya zionists na Atheism ni nini ?
@mabadamabada8631 Zionism ni movement iliyoanzishwa na wahayudi ili kupigania kuanzishwa upya kwa taifa la Israel na kutetea maslahi ya wayahudi. Atheism ni ideology ya kwamba hakuna Mungu.. yaani wao wanasema hakuna kitu kinachoitwa Mungu.... Illuminate wao wanayo mungu, wanaamini mungu wao ni shetani. Hii haiwaisemi hadharani lakini ndio siri ya uwepo wao. Wanaamini "lucifer is true god " according to them. Na Illuminate wao ndio wanataka kuitawala dunia na kuiweka chini ya mungu wao. Wao ndio wanagonganisha vichwa dini zingine ili kuleta machafuko.. katikati ya hayo machafuko wao ndio watajipenyeza.. ili kuishika dunia iwe na serikali moja, fedha moja na dini moja ambayo mungu ni shetani. Kwenye huu mgogoro kinachotafutwa hapa ni chuki dhidi ya Israeli, na mwishowe wakristo, uyahudi na Uislam upigane mpaka uchakazane kabisa na pengine vita 3 ya dunia. Kisha wao Illuminate ndio waibuke kama watoa suluhisho la uchumi, serikali moja na dini moja. .. hii comment iweke kwenye lamination kabisa. Utakuja kuikumbuka hapa.
Asante sn Nabii Eliya kwa hili darasa. Mungu Akubariki sn uzidi kupata maarifa ya kutufungua macho wengi.
Na msikiti mulioujenga mahali pa hekalu je?hamuoni kwamba dio sinagogi LA shetani? Halafu waeslamu mkasema nyinyi dio wayahudi mnaofaa kuishi pale?.waislam mko na vituko. Maadiko ulioyasoma yanawausu nyinyi muliofaamia nchi ya watu mkajifanya kuwa wayahudi.
Kwa wasiojua, maadhimisho ya ushoga duniani kilele chake kinaadhimishwa Israeli Kila mwaka
UZAYONI MWEUPE NA MWEUSI
Jee, Mgogoro wa Palestine na Israeli unalingana na ziitwazo Kero za Muungano baada ya Ukoloni wa Uingereza nchini?
1) Palestine
2) Zanzibar
3) Tanganyika
NYEREREISM INALAZIMISHWA?
Unacho kizungumza ume tafautisha sahihi kabisa ila wapo ndani ya ukristo ambao wanaitwa christia zionism ambao walianzisha harakat hizi kabla 1700 huku uingereza hivi wanao sema ni hao waliopo pale ni waisrael bila shaka ni christian zionism.
Unajua sana nabii iliya nakukubali sana
Tatizo la wakiristo hawapend kusoma sasa bora sisi waislamu tuwasomeshe ili waelewe
Nimeona makanisa mengi yanaiombea hiyo Israel wanafunga kabisa.
Eeeee huo ndo ukweli wa kisasa ameni barikiwa ndugu yetu wa damu ndani ya kikrsto
Uyiiiii nilizani nimepotea kumbe dunia inajua kwamba Yesu analudu kulitimiza neno lililo andikwa kwenye biblia
Angalau kuna Wakristo kidogo wanasoma elimu na kuufahamu ukweli maana wengi wanaburuzwa tu kwa sababu wanaamini kila wanachofanya wazungu ni sawa.
By blood yes
By ideology no.
Judaism is yet to follow christ.
Still on the law!
2000 yes after christ came and went
Sio watoto wa yacobo wale waebrania ni watu weusi tu
Mm nilikuwa najiuliza kwnn isiraeli anapigana na mpalisitina yan unacho sema ni kwli
Wote kama hawamkubali Yesu Wala Mungu wote ni wahuni hakuna sababu ya kuwatetea.
Amen ….Huko sawa kabisa Nabii Elias….
Sawa kabisa mwalim wangu.huwa nakuelewa sanaa
Hakika unafundisha Nabii eliya
Hiki ni chakula cha watu wazimaa waliokomaa
Mungu akubariki nabii
May God bless you
Akili kubwa inahitajika sana
Naku pataje mtumish
Acha kusema uongo
Ivi biblia ilikusanywa lini
Mwalimu nakuelewa sana
Kwani watu walitegemea nini baada ya chukizo kutua pale? Watafanya zaidi ya hayo
Muyahudi ni muyahudi either ni mzionist ama Judaism....@nabii eliyas....Elimu unayo lakini mtazamo wako ni wa kislamu ambao ni maadui wa wayahudi na sehumu ya wapinga kristo... ndio maana walibadika msikiti juu ya hekalu ya wengine.....nanjisi hiyo
basi wayahudi ndo wapinga kristo WA kwanza kama hujui
thank you so much,nimepata kitu kikubwa sana,MUNGU akubari sana mtumishi
Uko vizuri nabii eliya Watumishi wengi wa makanisa ya kiprotestant hawayajui vizuri masomo ya kiunabii hasa kitabu cha ufunuo kwa taarifa tu Israel hiyo inashinikizwa kufanya hayo na jamii za siri ili mpinga kristo aanze kazi zake ikiwa ni pamoja na kuanzishwa kwa dunia moja serikali moja
Nyie make kimya hamuelewi chochote kuhu wayaudi au Israel Mungu ndo amewakusabya kawaleta mwaka 1948 ahijalishi Mungu aliaidi kuwaokoa Wana WA Israel hizi siku za mwisho hata wafanye vituko vyote haadi ya Mungu ni ya kweli nyie mnaokataa Hao waliopo Israel sio wayaudi tuonyeshe wayaudi wakweli wapo wapi ?
Inawezekana umesikiliza hadi mwishoni kabisa halafu bado hujaelewa kitu
Nakuelewa sana mtumishi wa MUNGU. Asiyekuelewa unachofundisha basi wapimwe akili.
wAnaelewa vizuri wanapaficha kwa sababu ya maslahi yao
Amina siku moja ruletee historia ya Urusi nadhani hapo ndio utawatoa jasho
Haya mafundisho angefundisha Mzungu tungemuamini 100% lkn kwa sababu ni mweusi mwenzetu wengine wetu watambeza na kumzodoa pasi na ushahidi wowote. Shida ni moja tu "brain wash" tuliyofanyiwa na Wazungu tukaamini kila wasemalo wao ni kweli, kitu walichofanikiwa sana kutulisha matango pori katika nyanja nyingi sana. Barikiwa sana Mtu wa Mungu endelea kufungua fahamu zetu tupate kujua usahihi wa mambo.
kwa sababu kuna maslahi ya watu pale
Unaongea maneno Yako cjaona umenukuu maandiko
Jitahidi kumfuatilia kwakuweka din na dhehebu pemben afu chambua pumba na mchele.....utaelewa
Preaching good
Ukweli mchungu
Watu ambao wana wafuasi wengi ni ngumu sana kukubali kwamba mada kama hz hawajazielewa vzr maana tayar washawadanganya waumini wao sasa unapojaribu kuwafumbua watu macho lazima wakupinge kwa nguvu zote
Na usikute wengine ni wanachama wa Zionism
Ama hawa ndio walesiku yakiama watakaokuja kwa Yesu na Yesu atawaambia nendeni zenu siwajui mtokako ?
wepi hao mayahudi wanaotangaza ushoga na wafuasi wao
Nashangaa kwenye hizi comment wakristo wanamuona huyo jamaa shehe ni mtumishi WA Mungu huyu jamaa anajitambulisha yeye ni mwislamu mara ni mkristo hakuna kitu kama hicho huyu ana mabwana wawili Yesu alishema ukitaka kunifuata lazima ujikane huyu ni commed kwasababu uislamu unapinga ukristo wakristo semeni quruan muone quruan hinaipinga biblia mkitaka kumujua huyu jamaa ni muongo kamuulize kazaliwa mara ya pili kulingana na Yohana 3:1 ,7 huone BWANA YESU alichomwambia Nikodemu kahiyo huyu kumuamini ni mtego waislamu Kwa Imani Yao wanaamini Muhammad yupo juu ya Yesu kristo wasema Muhammad ni mbora kuliko mitume na manabii wote hamuoni kuwa huyo ni mpinga kristo wakristo tusidanganyike Allah WA kiislamu sio Mungu WA kweli kwasababu Allah sio Yehova Yehova kwetu sisi ni Baba Allah sio baba hataki kuitwa baba wakristo tuna sala tuliopewa na Mwokozi wetu YESU Baba yetu uliyembinguni
Tufafanulie na judaism
Mungu was Eliya
Asante sana mtumishi wa Mungu aliye hai kwa kuokoa roho za watu waliokuwa wamefunikwa gizani kwa udanganyifu, Mungu akulinde mpaka umalize kusudi lake amina
Kulikuwa na maandamano ya ushoga Tel Aviv
Hakika hao kweli watakuwa sinagogi la shetani ni vipandikizi tu.
Niwafundishe kidogo mpinga kristo anatoka Asia
Nakutahadharisha, unaowaita Maaskofu , wamejipa uaskofu , hawajateuliwa wala kupakwa mafuta. Wenyewe wapo, wanajua mengi. Wapo kimya kama Bwana wetu yesu kristo alipokuwa anahukumiwa.
Sharom sharom nabii elias nasadiki unacho nifundisha napata neno kamili
Sote ni wasomaji vipi kwa makabila yaliyojitenga mawili kwa kumi utasemaje juu yailo maana kama walitenga so kwamba watakuwa wanapatana katika yotehapana .afukumbuka kunawakati makabila mawili yalitaka kwenda kuwavamia wenzao lakini mungu aliwazuia kwamba haiwezekani kumwaga dam zawenzao mungu akawazuia sasa kama wakatihuo walitaka hata kuangamizana sasa leo?ndo watapatana?lazima pamoja na kwamba waoko pamoja hawawezi kupatana ivyo tusishangae wao kutfautiana kwaitikad .wakati ule walitofautiana kwaajiri ya ufalme wa mwana wasuleeman kwajili ya maamuz maabaya kusu skokoa ambalo suleemani aliwapa baadh ya watu lakini baada yakufa mtoto wake akaamua vibaya juuya watu ambao walikwenda kujitetea awapunguzie lakini yeye akubali ushauli wa vijana akawapa utumwa zaid ya ule wa baba yakena ndoikawawazowakujitenga sasa je?kama ndohao?
Nikweli lkn yote hayo nikua Bible imechanganywa na upagani wa warumi ndio maana hao wenzako hawaoni mpaka utumie akili kubwa ndio uone huo upagani ndani ya Bible
Yaani we mtumishi ww nakuelewa vizuri mnoo,ubarikiwe.
Nimwambie kitu alilolipanga Mungu hakuna mtu atakaye pangua lazima maandiko yatimie sio wote waliopangwa kuingia mbinguni
Mtumishi barikiwa
Asante kwa kuwapa elim wachungaji maana bendera ya israer imetawara makanisa
Nabii eliyas mwanafunzi wako hapa
Huwa napenda sana kukusikiliza sana tena sana,na umenijuza vitu vingi sanaa.
Asante Yesu kwa kuinua watumishi kwa wakati uliokubalika,
👊✌👍.
Kwa ambao hawajui, maadhimisho ya ushoga duniani kilele chake kinaadhimishwa Israeli Kila mwaka
ase congratulation
Kutoka katika vitabu mbalimbali
Nimekubali kwa asilimiya mia, hiyo nikweli kabisa
This is nothing but heresy, bro na unajiita ati nabii? You need to repent and unadanganya kuliko unaosema wanadanganya
Toa ukweli wako wewe
Eliya ni mmoja wa manabii wa uongo PERIOD.
Huna mstari ndani ya biblia wala Aya ndani ya quran inayosema Hamza issa au nabii eliya ni Muongo., Unayo?
@@mabadamabada8631 I don't need to have a bible verse for me to know that this guy is fake/false prophet, na bila aibu ati anachallenge watumishi wa Mungu shame on him
Kama unajiamini muite mfanye mjadala na watu wachambue mbivu na mbichi, kama unampinga bishop ngonyani wewe ni kichaaa hakuna mwinjilist Tanzania anaemfikia bishop ngonyani Kwa elim ya eskatology hayupo nawanaokufatilia kama wakimsikia bishop ngonyani amini amini watajua ukweli
Kumbuka Mungu atainua hata mawe, yatangaze injili iwapo, hatutaki kuamini. Ukisema hakuna mtumishi mwingine unakosea, Mungu bado anainua watumishi wapya, tatizo wengine hawachimbui elimu kamili na kusoma zaidi ya biblia.
@@reginarutazamba5474 unachosema ni sahihi kabisa ILA Kwa sasa bishoshop ngonya ni hatari JAMA anajua histori na bible labda anaemfuatia ni ndacha WA Kenya sasa nakuomba Gusa linki hiyo na umsikilize Kwa makini Kwanza jamaa hapindishi kila anachosema kina ushahidi th-cam.com/video/fk72vIpZJG0/w-d-xo.htmlsi=W-CEVs5njm5l_irQ,
Na akina mgisa mtebe
@@petermatabwa2133 ujamsikiliza bishop ngonyani ni generous kama unabisha ingia TH-cam tafuta bishop ngonyani asee jamaa anajua bible na historia sio kawaida
Na hata hayo maandaki yaliopo kwenye hospital
Wameyajenga hao hao waisrael kwa sababuzao
Wanazozijua huko mbeleni wakati wakijenga hizo hospital
Baadae hamas waliyastukia ndio yakawa machimbo yao
Ndio maana sasa wanapiga sehemu hizo wanazijua kindaki ndaki
Wambie Eliya
Nakikubali sanaa uchambuzi wako u wai tena wa kisomii sana
Tatizo letu ni elimu ndogo, hatuchimbui kujua siri zote.
maslahi ya watu tu ila wanayaona vizuri kwa macho
Mimi nakuelewa kabisa mungu akulinde
Kwa upande wangu nawaamini wote kwani upande wa wazayuni wanaweza wakawa ndo upande wa makabila kumi yaliyojitenga nyakati zile vilevile ata judaizim ni wale kabila kumi nambili zizobakizwa kwaajili ya kumtunzia daudi ufalme kwaiyo wao wakiwa wanapingana ni kawaida nisawa nakuwa na vyama tofaut lakini so kwamba akina netanyau so wayaud hapana
Wewe nae ndugu yangu vp humo kichwani
tuelezee kuusu ulusi pia
Nakubali sana mkuu
Stachoka kuhuliza professor ,
Where's physically a true isarael
Swali hilo huwa halijibu hata mara moja. Mimi niliuliza swali hilo live lakini sijapata majibu hadi leo na ndiyo maana alikimbia mdahalo tuliokuwa nao online. Akikujibu swali hilo naomba uni tag.
Bado wako uhamishoni ukifika Muda Mungu atawarudisha na watashika Sheria zake. Historia unasema kuwa hao kazar walibadilika na kushika dini ya kiyahudi katika Karne ya 10 ambao ndio haohao inasemekana ni axhkenaz Jews wa sasa
@@samwelimistri5 kwa nini useme inasemekana. Inasemekana na akina nani kama wanao ukweli wote. Kwa nini useme inasemekana. Hii maana yake haina uhakika. Tafut ukweli
@@BAYYINATDMTV bila shaka ni mkristo utanielewa ukisoma mwanzo 10 na Ezekiel 38-39 uhusianishe na Yale yanayotekea sasa middle east
Amina amina Baba nakuelewa sana.
Naaam naaam
Kweli imeniweka huru
Mwongo sana wewe hujui chochote
ww unayejua tuambie ukweli
@@swalacopper5792 Kabsaaa atuelimishe yy basi
😂😂njoo utoe yakwako..iyo elimu....!!!
Una zikiliza ya NINI Acha ujinga NENDA kwenye page nyingine
Kweli watu wa Mungu tuna kazi imagine huyu mjinga anacho sema🚮 huku ujaitwa broo nenda kule kwa ngamaji au gwajima
Nakuelewa sana sana
Wewe ni Baba 🙏
Kwa hiyo hao judaism wapo wabi Mtumishi Eliya, naomba kujuaa.
Judaism wapo palepale israel lkn hawana power km hao zionist hapo israel wamefunikwa
Kwa maelezo ya huyu mtumishi inamana, judaism hawafanyi dhambi kitu ambacho sio kweli, ushoga kuufanya ni maamuzi ya mtu binafsi kama dhambi zingine tu, kingine katumia vifungu viwili tu kuelezea haya mambo, biblia ni kitabu pekee kilichojikamilisha ko kina mawanda mapana sana
Neta nyau Gou
Uko vizuri mkuu
Mafundisho yenye vioja😅😅😅
Kwel kabisa
Leo naraha sana nikimaliza kuangalia natoa sadaka yangu🙌🙌🙌😊
Amina
HUYU JAMAA ANATAKIWA AFUNGUE CHUO ILI TANZANIA IKOMBOLEWE.
Pumba sana.
Kichwa chako kibovu huekew tafsili za biblia we unasoma biblia kama gazeti afu mnadanganya watu jinga kabisa tulia
Mekuelewa hata asie elewa darasani akafeli hata std 7 atakuelewa tuu