Hakika hiyo ndo injili ya moto. Injili ya kanisa inayofundishwa na Roho mtakatifu. Big up pastor wa kweli. Tofauti na ile inayohubiriwa na maaskofu macardinali kwenye dini na madhehebu yake injili ya kuipenda dunia vyeo dr of divinity, philosophy theology uaskofu, ukardinali, umonsinior etc ofedha, mali kama majumba magari ya fahari ndege na starehe zake. Injili ya dini ni injili ya maandiko ukiifuata utakufa rohoni. Dini na madhehebu yake siyo kanisa bali maigizo tu!! Dini ndizi zilimuua Jesus Kristo na mitume wake.😢
MUNGU akubariki Sana, ni juzi tu nilikuwa nabishana na watu juu ya habari hii! Umenifikirisha, Yawezekanaje watu waliomkataa Kristo wajenge Hekalu kwa ajili ya Kristo??? Je wanamjengea nani???
Ninakufuatilia sana wengi wanatupotosha kwa kusema eti tuko juma la sabini kwa sasa jambo ambalo si kweli majuma sabini yalitimizwa pale majeshi yalipovamia na kubomoa hekalu ambalo halipo hadi sasa.majeshi ya rumi kwa hiyo Israel wa Mungu hawapo kwenye nchi yao
Wamepotezwa na wachungaji wao waliolewa maandiko ya dini. Nikodemu alisaidiwa na Yesu kuelewa NENO maana ya kuzaliwa mara ya pili japo Nikodemo alikuwa mkuu wa mafarisayo waliojifanya kujua maandiko. Hao wapo wengi hadi Leo na wafuasi wao waliowapoteza. Hukupna Eliona Kimaro anawatembeza kule Israeli ya Mwilini. Mulize mstari unaosema nenda kahiji middle east ufike mbinguni. Yaani injili yao ni ya mwilini hasa. Mungu anawaona waliozaliwa kwa Neno na kwa Rohomtakatifu ni bora sana lakini dini inawaonyesha wao ni bure bora malaika. Hawajui thamani yao. Lijue NENO na kulitenda Kristo na BABA atahamia kwako na kufanya makao kwako na kujidhihirisha kwako atakufunulia maandiko na mambo ambayo jicho halijawahi kuona au sikio kusikia. Je neno hili ni jipya kwenu. Ubarikiwe mtumishi piga kazi
Umeongea vzr sana inabidi uwazindue wakristo maana walio wengi hajui kitu wanafuata tu! Wayahudi wale niwapinga wakiristo kweli wanawapinga hata wale wakristo wanaoishi palestina nampinga ukiristo atatokea kwao!
nimekufuatilia sana, ila Nimegundua unasura mbili, kwanz unawaambiaje watu eti yesu ndiye issa bin Mariam? Huo Ni uwongo, yesu alizaliwa kweny hori la kulishia ng'ombe, isa alizaliwa chini ya mtende, je? Mtu mmoja awezaje kuzaliwa sehem mbili? Halafu kwa habar ya wayahud mda wao wa kumkir yesu bado, hv leo kuna muislam anaye mkubali yesu? Halaf kuna tofaut kati ya wayahud na waizrael. Ndo maana hujawah kusikia ugomv kati ya uislam na wayahud, Bali Ni uislam na ukristo.
Ni vigumu sana watu kukuelewa kwasababu unachokifundisha ni mpaka mtu awe na roho ya kristo ndani ndipo ataelewa unachokisema,binafsi namshukulu Mungu kwa uwepo wako.
Pamoja na kwamba walimkataa Yesu wapo masaria wanaomkubali na wengi walikufa ktk yeye.Ila Mungu ajamuacha israel atamrudia tena somen vizur neno la Mungu.
Halijaisha,ni mawazo yako;Israel.mzabibu wa asiri, mzabibu mwitu ni mataifa inje ya lsrael,hivyo unachanganya ,wewe ni mpinga Kristo Wala hujui Biblia.Amen
The reason Jesus prayed not to be crucified.( math.38~39.)concern for God 2 concern for his followers 3 concern for Israel. IF THE PEOPLE OF ISRAEL HAD FOLLOWED JESUS. 1 Kingdom of Heaven Established on Earth 2 No Jewish -Christian Split 3 No persecution of Christians 4 No second Coming When God first created man,he created him to grow to perfection only by man's completing a share of responsibility. Man can either accomplish his responsibility, as God wants to do,or to the contrary, he can fail to accomplish accordingly, So it was necessary that God give two kinds of prophecies regarding the fulfillment of his Will. So its God's responsibility to send the Messiah but it is man's responsibility to believe in unfortunately, by not accepting Jesus,the Israelites failed to fulfill their responsibility :they did not fulfill God's primary prophecies for the Messiah's coming, which are in Isaiah 9,11 and 60 and Luke 1:31~33,but to the contrary, carried out the alternative or secondary prophecy of the sufferings Messiah, In Isaiah 53 7:47
Huyu ni muislam ambae mwanzo alisoma saaana biblia ili aikosoe ndio kaishia huku watu wengi wa miadhara utakuta mwanzoni walikuaga waislam kwaio wanajikuta wanaelewa saaana biblia kuhusu kitabu chao
Huyu ni MKRISTO aliyevaa kibalagashia mwenye chuki na Taifa teule la Israel. Ninahakika huyu kakutana na mayesu wa kisasa km wakenya . andiken ISRAEL KATIKATI UNABII utawasikiliza watumishi wa Mungu akina askofu Gamanywa wachambua kuanzia asili na kila kitu utaelewa kabisa achana na huyu shekhe
Yohana 1;12 Unaweza ukawa umezaliwa Jerusalem mjini katikati ya mji na ukawa haumini ka Kristo ni Bwana kwa definition hii ya Yohana wewe sio mwana WA Israel!
Kitu kinaniuma Sana ni kuona watu wamebeba bendera za Israel, kanga za Israel, wanaamini Israel Kama physical boundaries yaani Ile milima mabonde, lakini definition ya Israel ni mwana wa Ibrahim ambayo ni Imani ya kuamini kuwa Kristo ni Bwana!
Waambie Ukweli ufalme ulipoondolewa Israel ulipelekwa kwa taifa lingine (Wana wa Ishmael) taifa la Mungu sasaivi ni waislam ahadi hii alipewa Ishmael na Ibrahim Babaake soma Genesis .
Acha uongo ww et Wana wa Ishmael Bible haikusema Kwa TAIFA lingine imesema Kwa MATAIFA mengine pia utambuwe hao Warabu ndiyo wamepotea kabisa labda kama wataamini kuwa yesu alikufa na kufufuka. Matendo 28:28 Halafu Paulo akasema, “Jueni basi, kwamba ujumbe wa Mungu juu ya wokovu umepelekwa kwa watu wa mataifa. Wao watasikiliza!” [
Ibrahimu sio myahudi Wala sio mkristo Mr umedunda we ni mtu unahitajia Dunia agherh huna lolote Bali Israel ni wamelaaniwa Wapaelestina wapo sahihi mashaallah
Kwa sehemu sikubaliani na ww.Naamini Israel hii ya Netanyahu ndio ile Israel ya zamani.Ww hayo ni mawazo yako na mimi nina mawazo yangu.Huwezi kuniaminisha kuwa waisrael waliopo sasa pale Israel sio waisrael nami nikakubali kirahisi.kila mtu bibilia anaijua na anatafsiri zake.
Kama utafanikiwa kumfahamu paulo vizuri utaacha kutumia vitabu vyake, Mission ya Paulo ilikuwa ni kuibadili injili ya kweli ya Yesu Kristo na kuingiza upagani.
Mwalimu imefundisha Vizuri, lakini umetaja juu ya jina Isa bin Mariam ni Yesu. Naomba kujua nini maana ya jina Isa, na asili yake ni wapi hilo jina Isa!???
Kuna bibi harusi og, ndo Israel, na kuna bibi arusi wa ziada, baada ya yule og kusumbua, lakini ipo siku YESU KRISTO, atamkubali na yule og baada ya masamaha yake. Soma kitabu cha ezekieli sura ya 39:1-29 udhihirisho kua Israel ni walewale akinanathanyahu wa sasa utazame vizuri mstari wa 23-25, anatajwa yakobo hapo! Na yakobo sio baba wa mataifa kama alivo kua ibrahimu, sisi mataifa mengine hatuwezi kua sawa na Israel, sisi tumepata wakovu kwa neema tu.
Ndg zangu wakristo hakika mmepotea, maana hamna njia sahihi Kuna ambao had Leo wanaamin Israel n taifa la mungu, na wengine hawajui hata wakae wapi aisee mna upofu wa kutosha
Roho wa Elia inakuja duniani mara tano. 1 Elia, 2 Elisha, 3 Yohana Mbatizaji ktk Malaki 3, 4 william Branham ktk wakati huu tunaoishi, 5 Elia atakuja na Musa wakiwa wamevaa mavazi ya magunia na kwenda Israel kuwahubiria kuhusu masihi walie mkataa. Na ndipo wataokolewa wale mia moja na arobaini na nne elfu ambao wataamini ujumbe huo Na ujumbe au mahubiri yatakao pelekwa kwao ni haya ambayo tumehubiriwa na mjumbe William Branham na itakua ni baada ya sisi bibiarusi wa mataifa kwenda ktk unyakuo. Kwahio ilikua ni upofu Mungu aliwapiga upofu wasimtambue masihi ili neema ije kwetu sisi mataifa kwanza na sisi baadae. Kwahio bibi arusi wa Yesu kristo wa mataifa atanyakuliwa pamoja na watakatifu wote walio lala mavumbini ktk nyakati zote saba. Watafufuliwa tuondoke pamoja na kila Mjumbe( Nabii) atasimama mbele za Mungu akiwa na waumini wake wale walio amini ujumbe wake au kwa lugha rahisi kila mjumbe atasimama na kanisa lake, wajumbe wote saba ambao ni Paulo, Ireneo, Martin, Columba,Luther, Wesley na William Marion Branham. Kwahio tutakuwa kwenye karamu hewani kwa miaka mitatu na nusu . Wakati huo huo ndio Mussa na Elia wanawahubiria kule Israel ili wapatikane 144000. Baadae watakapo patikana Ndipo Bwana Yesu atatuacha karamuni kwa kitambo kidogo kwenda sasa kujitambulisha kwao na ndio sasa pale kwenye maandiko anasema watamuuliza makovu hayo umeyapata wapi? Ndipo atawajibu na kuwaambia ni miongoni mwa ndugu zangu. Nao watalia sana na kuomboleza. Pia bila kusahau ndani ya hio miaka mitatu na nusu ni ziki kuu inaendelea huku kwetu mataifa.
We ita bangi au vyovyote utakavyo lakini nikwambie kitu kimoja kwamba haya maneno nnayo kwambia siku moja utakuja kuyakumbuka na utakuwa umesha chelewa sana. Nabii Elia alie tumwa na Mungu ktk wakati huu ni William Marrion Branham peke yake. Nyie endeleeni kudanganywa na Eliasa Muigizaji. Kwa taarifa yenu huyu Eliasa wenu anachukua nukuu za William Branham halafu anatumia kuhubiria. Ingia kwenye mtandao umsome Nabii wa kweli wa Mungu na umwamini huyo. Nje na huyo hamna wokovu acheni upumbavu mtapoteaa.
lla tambua unyakuo Umekalibia mana hii ndio Vita ya mwisho Kwa lsrael lli Yesu Awakute kwenye Vita hii ya Al-magedon,,kuna linasema, Uonapo chafuko linasimama patakatifu pa patakatifu Tambua kuja Kwa mwana wa Adamu kumekalibia ni Wale Wamchao Mungu ndio wanaotambua Jambo hili
Hakika hiyo ndo injili ya moto. Injili ya kanisa inayofundishwa na Roho mtakatifu. Big up pastor wa kweli. Tofauti na ile inayohubiriwa na maaskofu macardinali kwenye dini na madhehebu yake injili ya kuipenda dunia vyeo dr of divinity, philosophy theology uaskofu, ukardinali, umonsinior etc ofedha, mali kama majumba magari ya fahari ndege na starehe zake. Injili ya dini ni injili ya maandiko ukiifuata utakufa rohoni. Dini na madhehebu yake siyo kanisa bali maigizo tu!! Dini ndizi zilimuua Jesus Kristo na mitume wake.😢
You're doing a great work, I'm blessed
Niliwaeleza watu kuwa kule israel hakuna wana wa israeli. Watu wakabisha. Asante sana
MUNGU akubariki Sana, ni juzi tu nilikuwa nabishana na watu juu ya habari hii!
Umenifikirisha, Yawezekanaje watu waliomkataa Kristo wajenge Hekalu kwa ajili ya Kristo??? Je wanamjengea nani???
Nukukubali mwamba pamoja sana mkuu jina la yesu lihimidiwe
Tatizo lako siku hizi unakaa muda mrefu sana bila kutupia nondo, nondo zako nazikubali
Hizi nondo nimezielewa yuko write
Ninakufuatilia sana wengi wanatupotosha kwa kusema eti tuko juma la sabini kwa sasa jambo ambalo si kweli majuma sabini yalitimizwa pale majeshi yalipovamia na kubomoa hekalu ambalo halipo hadi sasa.majeshi ya rumi kwa hiyo Israel wa Mungu hawapo kwenye nchi yao
Thanks brother God give you more strength in educating our dear brothers Christians and orthodox church is the only church Christ left on earth.
Apana mtumishi mungu habadiriki mungu hajatengua agano lake na ibrahimu isaka nayakobo acha kuwadanganya watu was mungu 4:30
Warumi 11:25-32
Mwanzo walikubeza lakini watakuelewa tu
Ubarkiwe mzee Lugusha
tafsiri yake ni kwamba wale wote ambao wame weka bendera za islael kanisani maana yake ni wapinga kristo
Wamepotezwa na wachungaji wao waliolewa maandiko ya dini. Nikodemu alisaidiwa na Yesu kuelewa NENO maana ya kuzaliwa mara ya pili japo Nikodemo alikuwa mkuu wa mafarisayo waliojifanya kujua maandiko. Hao wapo wengi hadi Leo na wafuasi wao waliowapoteza. Hukupna Eliona Kimaro anawatembeza kule Israeli ya Mwilini. Mulize mstari unaosema nenda kahiji middle east ufike mbinguni. Yaani injili yao ni ya mwilini hasa. Mungu anawaona waliozaliwa kwa Neno na kwa Rohomtakatifu ni bora sana lakini dini inawaonyesha wao ni bure bora malaika. Hawajui thamani yao. Lijue NENO na kulitenda Kristo na BABA atahamia kwako na kufanya makao kwako na kujidhihirisha kwako atakufunulia maandiko na mambo ambayo jicho halijawahi kuona au sikio kusikia. Je neno hili ni jipya kwenu. Ubarikiwe mtumishi piga kazi
Sio maanake ..mm nna bendera..na nna Kiri Jesu ndiye mahiya
Hawajuwi na lait wakijuwa hawawez kuweka kwani teal elim wakipata wanajuwa nimapandikizi
Ni kweli Nabii. This is theological well explained. Be blessed by God.
Hata uwapigie madebe na kengere kama hawana roho mtakatifu hawezi jua lolote..🙏🙏🙏
Umeongea vzr sana inabidi uwazindue wakristo maana walio wengi hajui kitu wanafuata tu! Wayahudi wale niwapinga wakiristo kweli wanawapinga hata wale wakristo wanaoishi palestina nampinga ukiristo atatokea kwao!
Nimekuelewa moja kwa moja
nimekufuatilia sana, ila Nimegundua unasura mbili, kwanz unawaambiaje watu eti yesu ndiye issa bin Mariam? Huo Ni uwongo, yesu alizaliwa kweny hori la kulishia ng'ombe, isa alizaliwa chini ya mtende, je? Mtu mmoja awezaje kuzaliwa sehem mbili? Halafu kwa habar ya wayahud mda wao wa kumkir yesu bado, hv leo kuna muislam anaye mkubali yesu? Halaf kuna tofaut kati ya wayahud na waizrael. Ndo maana hujawah kusikia ugomv kati ya uislam na wayahud, Bali Ni uislam na ukristo.
Ww hujui maandiko waislam wanamwani yesu km mtume wa mungu hata yy mwenyweanasema hvo
Nimekuelewaa sana mtumishi ubarikiwe
Unachoeleza sio sahihi
Kasome
Ufunuo vizuri sawa
Haya ndio mafundisho muhimu ambayo wengi wameyakosa.Be blessed
Somo lako tunafatilia zuri Sana Ila video inamalizika wakati bado unaongea
THIS IS VERY SPIRITUAL, wapelekewe watu wote huu ufunuo.
Ni vigumu sana watu kukuelewa kwasababu unachokifundisha ni mpaka mtu awe na roho ya kristo ndani ndipo ataelewa unachokisema,binafsi namshukulu Mungu kwa uwepo wako.
Pamoja na kwamba walimkataa Yesu wapo masaria wanaomkubali na wengi walikufa ktk yeye.Ila Mungu ajamuacha israel atamrudia tena somen vizur neno la Mungu.
Asante sana nabii ni muda mrefu tangu uje hewani
Ubarikiwe pastor
Umetufungua sana akili tulikuwa kwenye kiza kinene May God bless and empewer you,
Nakufatilia Sana kitambo akika Mungu Amekupa Akili na Upambanuzi wa Ali ya Juu
Halijaisha,ni mawazo yako;Israel.mzabibu wa asiri, mzabibu mwitu ni mataifa inje ya lsrael,hivyo unachanganya ,wewe ni mpinga Kristo Wala hujui Biblia.Amen
The reason Jesus prayed not to be crucified.( math.38~39.)concern for God
2 concern for his followers
3 concern for Israel.
IF THE PEOPLE OF ISRAEL HAD FOLLOWED JESUS.
1 Kingdom of Heaven Established on Earth
2 No Jewish -Christian Split
3 No persecution of Christians
4 No second Coming
When God first created man,he created him to grow to perfection only by man's completing a share of responsibility. Man can either accomplish his responsibility, as God wants to do,or to the contrary, he can fail to accomplish accordingly, So it was necessary that God give two kinds of prophecies regarding the fulfillment of his Will.
So its God's responsibility to send the Messiah but it is man's responsibility to believe in unfortunately, by not accepting Jesus,the Israelites failed to fulfill their responsibility :they did not fulfill God's primary prophecies for the Messiah's coming, which are in Isaiah 9,11 and 60 and Luke 1:31~33,but to the contrary, carried out the alternative or secondary prophecy of the sufferings Messiah, In Isaiah 53 7:47
Acha UONGO. Agano MUNGU alilomwapia Ibrahim, Isaac na Israel na mfalme Daud halita badilika. Soma neno acha UONGO.
Huyu bwana keshapotea akili ziliruka siomzima tena 😏😏😏
Wendio siyo mzima
@@shukurumsebaloli kesha chizika kitambo kwani hujui uso umekosa nuru , kwamambo ya kishetani alijingiza
Huyu ni muislam ambae mwanzo alisoma saaana biblia ili aikosoe ndio kaishia huku watu wengi wa miadhara utakuta mwanzoni walikuaga waislam kwaio wanajikuta wanaelewa saaana biblia kuhusu kitabu chao
Uko vizuri sana na unafafanua vizur sana
Ni vizuri ukafundisha sawa sawa na maandiko na ufunuo wa Roho mtakatifu na sio kwa Elimu yako.
Na ukiwauliza, ni kitu gani ambacho Mungu ameibariki hyo Israel ya Netanyau ambacho wewe hajakubariki??? Hawajibu
Huyu ni MKRISTO aliyevaa kibalagashia mwenye chuki na Taifa teule la Israel. Ninahakika huyu kakutana na mayesu wa kisasa km wakenya . andiken ISRAEL KATIKATI UNABII utawasikiliza watumishi wa Mungu akina askofu Gamanywa wachambua kuanzia asili na kila kitu utaelewa kabisa achana na huyu shekhe
Yohana 1;12
Unaweza ukawa umezaliwa Jerusalem mjini katikati ya mji na ukawa haumini ka Kristo ni Bwana kwa definition hii ya Yohana wewe sio mwana WA Israel!
Nabii naomba kuuliza kwanini ulusi inashelekea Christmas tar 7/12 Kuna utofaut gani hapa naomba ufundishe
All the world will know the true orthodox church and its teaching ... God bless Russian Putin and the whole orthodox Christian church.
Acha kidanganya watu wa MUNGU , unajiita nabii na hujui maandiko. Very sad.
Endeleeni kudanganywa tu!
Hivi huyu ni mwislamu au ni mwenzetu ktk Kristo ,jibu tafadhali,
Kwaio kama ni muislamu akisema ukweli ukweli wake usipokelewe??
Kitu kinaniuma Sana ni kuona watu wamebeba bendera za Israel, kanga za Israel, wanaamini Israel Kama physical boundaries yaani Ile milima mabonde, lakini definition ya Israel ni mwana wa Ibrahim ambayo ni Imani ya kuamini kuwa Kristo ni Bwana!
Wewe mchungaji feki,acha kupotosha watu,maandiko yako wazi sana
Haujui ISRAEL ni nani wala YESU ni nani.
Soma Bibilia yako vizuri.
Nabii Elia,Alitwaliwa wewe umerudi lini kinyume cha maandiko??!!!
Waambie Ukweli ufalme ulipoondolewa Israel ulipelekwa kwa taifa lingine (Wana wa Ishmael) taifa la Mungu sasaivi ni waislam ahadi hii alipewa Ishmael na Ibrahim Babaake soma Genesis .
Acha uongo ww et Wana wa Ishmael Bible haikusema Kwa TAIFA lingine imesema Kwa MATAIFA mengine pia utambuwe hao Warabu ndiyo wamepotea kabisa labda kama wataamini kuwa yesu alikufa na kufufuka.
Matendo 28:28
Halafu Paulo akasema, “Jueni basi, kwamba ujumbe wa Mungu juu ya wokovu umepelekwa kwa watu wa mataifa. Wao watasikiliza!” [
Lakini shehee amza eneo usika yaani haridhi usika chimbuko la manabii ni wapi???
Mtumishi Israeli wapo wanaoamini kristo na wengine hawaamini.kuna wayahudi,wakristo,na waislaam.
Ibrahimu sio myahudi Wala sio mkristo Mr umedunda we ni mtu unahitajia Dunia agherh huna lolote Bali Israel ni wamelaaniwa Wapaelestina wapo sahihi mashaallah
Kwa sehemu sikubaliani na ww.Naamini Israel hii ya Netanyahu ndio ile Israel ya zamani.Ww hayo ni mawazo yako na mimi nina mawazo yangu.Huwezi kuniaminisha kuwa waisrael waliopo sasa pale Israel sio waisrael nami nikakubali kirahisi.kila mtu bibilia anaijua na anatafsiri zake.
Mzee apo umepita kushoto ufalme haukuondolewa ila alisema unawez ondolewa, tuoneshe andiko likisema umeondolewa ufalme wa mungu katka israel
ASANTE nabii hamza kwa kuwa fungua macho watu.
Biblia ni msitu mnene kila mtu
Anajimegea kipande chake
Shika sana ulichonacho asije
Mtu akaitwaa taji yako, SHALOM ISRAELI SHALOM JERUSALEM 🇳🇮🙌.
Unaongea hata hujielewi we mzee. Pole san subiria hukumu tu ww
Huna lolote we mrutadi
Kwa ww unafikiri mungu aliwaaacha wayahudi moja kwa moja?????
Acha uongo wewe... soma Warumi.. ROMANS 11:24-26...
Nadhamini mno mahubiri yako, lkn nilikuwa mwanafunzi wako kwenye group la WhatsApp nilikatwa huenda nilijioa pacpo kujua ikikupendeza niunge tena.
Barikiwa zaidi mtumishi
Israel gani mashogaa ware wapigwetu
Huyu ni mtume alokosa kitabu anatumia vitabu vya mitume iliyopita😂
Nakuelewa xna ila unanichanganya kusema we ni nabii elia
Kama utafanikiwa kumfahamu paulo vizuri utaacha kutumia vitabu vyake,
Mission ya Paulo ilikuwa ni kuibadili injili ya kweli ya Yesu Kristo na kuingiza upagani.
Kivipi?
Isaya 28:13-20
Kwa sasa Aleruya wahisilam awataki waongo aito gusa uislam
Waislam wana amini yesu anashukia msikitini una amini Hilo?
Unapotosha watu et unajiita shekhe
😂😂😂😂😂 wewe kaka Elia 😂😂😂😂ni wewe Tena
Mwalimu imefundisha Vizuri, lakini umetaja juu ya jina Isa bin Mariam ni Yesu.
Naomba kujua nini maana ya jina Isa, na asili yake ni wapi hilo jina Isa!???
Check spelling,,, yissa (kiarab) yesu kiswahi, Jesus kingereza, mbona huulizi Mariam NI yupi, na vitabu vyote vinasema mamake yesu NI Mariam,
YESU ndio mfalme wa wafalme.
Lakini Israel ni mbarikiwa na siku ya mwisho atapata neema tena na akiamini ataokoka
Amen
Kuna bibi harusi og, ndo Israel, na kuna bibi arusi wa ziada, baada ya yule og kusumbua, lakini ipo siku YESU KRISTO, atamkubali na yule og baada ya masamaha yake. Soma kitabu cha ezekieli sura ya 39:1-29 udhihirisho kua Israel ni walewale akinanathanyahu wa sasa utazame vizuri mstari wa 23-25, anatajwa yakobo hapo! Na yakobo sio baba wa mataifa kama alivo kua ibrahimu, sisi mataifa mengine hatuwezi kua sawa na Israel, sisi tumepata wakovu kwa neema tu.
Sio taifa lingine bana ni mataifa mengine
😀
Kaka njaa inakupeleka pabaya sana
Ubarikiwe mahali ulipo
Subhanallah
Ahsantesanamtumishi MUNGu Akutienguvu
Ee SI kweli ndugu
Very powerful
NDIO YENYEWE NAIBARIKI ISRAEL,NA ITAKUJA KUKOMBOLEWA NA YESU ,BAAADA YA KANISA KUNYAKULIWA.
Ile ardhi ni ardhi ya israel lakini siyo watu (wazayuni) waliopo sasa pale.
Kama sio waisrael je na ile nchi inaitwaje ?
Mzee unashindwa kuelewa
Uliyosema ni kweli kabisa Wa-Israel *HAWAMKUBALI YESU* (Nabii Isa) AMKENI.
Umeeleweka saaaana kaka
Amen from Kenya
AMINA 🙏🙏🙏💯
Amina
Ndg zangu wakristo hakika mmepotea, maana hamna njia sahihi Kuna ambao had Leo wanaamin Israel n taifa la mungu, na wengine hawajui hata wakae wapi aisee mna upofu wa kutosha
Sio wote kama tanzania sio wote kenya sio wote wamwaminio kristo ndivyo ilivyo pia hapo Mungu anawatu wake hapo hapo israel
Kweli kabisa rehema
info haitoshi
Nakuelewa vizuri Sana ,mwl
Ukweli utatuweka huru
Ukweli kbs
Kweli
Kuna kitu najifunza hapa
Hii nondo ni moto Sana........Shalom Mtumishi!!!!
Ya moto kweli kweli, Shalom
ila wao wanasecond chance according to bible soma vizuri
Ndio warumi 11:25-32
Amen
Roho wa Elia inakuja duniani mara tano. 1 Elia, 2 Elisha, 3 Yohana Mbatizaji ktk Malaki 3, 4 william Branham ktk wakati huu tunaoishi, 5 Elia atakuja na Musa wakiwa wamevaa mavazi ya magunia na kwenda Israel kuwahubiria kuhusu masihi walie mkataa. Na ndipo wataokolewa wale mia moja na arobaini na nne elfu ambao wataamini ujumbe huo
Na ujumbe au mahubiri yatakao pelekwa kwao ni haya ambayo tumehubiriwa na mjumbe William Branham na itakua ni baada ya sisi bibiarusi wa mataifa kwenda ktk unyakuo. Kwahio ilikua ni upofu Mungu aliwapiga upofu wasimtambue masihi ili neema ije kwetu sisi mataifa kwanza na sisi baadae. Kwahio bibi arusi wa Yesu kristo wa mataifa atanyakuliwa pamoja na watakatifu wote walio lala mavumbini ktk nyakati zote saba. Watafufuliwa tuondoke pamoja na kila Mjumbe( Nabii) atasimama mbele za Mungu akiwa na waumini wake wale walio amini ujumbe wake au kwa lugha rahisi kila mjumbe atasimama na kanisa lake, wajumbe wote saba ambao ni Paulo, Ireneo, Martin, Columba,Luther, Wesley na William Marion Branham. Kwahio tutakuwa kwenye karamu hewani kwa miaka mitatu na nusu . Wakati huo huo ndio Mussa na Elia wanawahubiria kule Israel ili wapatikane 144000. Baadae watakapo patikana Ndipo Bwana Yesu atatuacha karamuni kwa kitambo kidogo kwenda sasa kujitambulisha kwao na ndio sasa pale kwenye maandiko anasema watamuuliza makovu hayo umeyapata wapi? Ndipo atawajibu na kuwaambia ni miongoni mwa ndugu zangu. Nao watalia sana na kuomboleza. Pia bila kusahau ndani ya hio miaka mitatu na nusu ni ziki kuu inaendelea huku kwetu mataifa.
Acha bangi
We ita bangi au vyovyote utakavyo lakini nikwambie kitu kimoja kwamba haya maneno nnayo kwambia siku moja utakuja kuyakumbuka na utakuwa umesha chelewa sana. Nabii Elia alie tumwa na Mungu ktk wakati huu ni William Marrion Branham peke yake. Nyie endeleeni kudanganywa na Eliasa Muigizaji. Kwa taarifa yenu huyu Eliasa wenu anachukua nukuu za William Branham halafu anatumia kuhubiria. Ingia kwenye mtandao umsome Nabii wa kweli wa Mungu na umwamini huyo. Nje na huyo hamna wokovu acheni upumbavu mtapoteaa.
@@imranihussen5764😂😂😂dah!
Uko vizuri Mzee, ila umemsahau simioni, maana alipewa mihadi na YESU KRISTO, Kwa ufalme wa duniani, hata mbinguni.
Uongo wenye maneno matamu.
Asante, ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
lla tambua unyakuo Umekalibia mana hii ndio Vita ya mwisho Kwa lsrael lli Yesu Awakute kwenye Vita hii ya Al-magedon,,kuna linasema, Uonapo chafuko linasimama patakatifu pa patakatifu Tambua kuja Kwa mwana wa Adamu kumekalibia ni Wale Wamchao Mungu ndio wanaotambua Jambo hili
Mungu alisema atawakusanya wana wa israeli huko waliko na jambo hilo litazidi lile lakupasua bahari ya israeli
Huyu si ndio Yule alie jiita mtume
Waislamu walikataa utume wake amekuwa mtume upande wa pili
We ndo ulifunga nvua kw jina lako, na mvua haikukuskia ikanyesha,,,,leo unatudanganya ten mwongo wew sikuamini.