Huyu popo nimtu mbaya sanaa akiwa anaingia ndani ya nyumba yako..mm nimeamini kwangu yashanifika kuhusu mnyama huyu popo ilikuwa hata simshuhuliki akiingia usiku asubuhi hayupo lkn kila akija mgeni kulala kwangu akimuona tuu popo huyo lazima mtu atapandaaruhani kupandisha nakuleta fujo nyumbani...kisa popo huyu siwapendi ndio chanzo chakunigunjia ndoa yng laana huyu
Tulikuwa tunawaua sana hawa wanyama popo. Walikuwa wengi sana kule kwetu!! Lkn tahadhari, aise mkojo wa huyu mnyama popo isije ikaingia machoni mwako. Utakuwa kipofu sasahivi. Mkojo wake ni sumu kali sana ahhh, sijui mkojo wa haka kadudu kananini!! Ni kali balaa!!
Huyu mnyama anafanana na mmbwa but hayo ya kuingia ndani ya nyumba mtu afe ni urongo juu kuna sometimes huingia kwetu na kuruka huku na huku akitafuta njia yakutoķea 😂
mpk kuna cku nikaambiwa km huamini ngoja tumkamate tumvunje baba kisha umtizame jirani yako km atakua sawa.tungangana usiku huo kumkamata alikuwa ndani mpk tukamkamata tukamvunja mabawa wallai sikuamini kilicho tendeka kwa jirani yng tuuu....toka hapo nikaanza wachukia popo hao
Huyu popo nimtu mbaya sanaa akiwa anaingia ndani ya nyumba yako..mm nimeamini kwangu yashanifika kuhusu mnyama huyu popo ilikuwa hata simshuhuliki akiingia usiku asubuhi hayupo lkn kila akija mgeni kulala kwangu akimuona tuu popo huyo lazima mtu atapandaaruhani kupandisha nakuleta fujo nyumbani...kisa popo huyu siwapendi ndio chanzo chakunigunjia ndoa yng laana huyu
Ila kukariri muelekeo nakubali kwakuwa anamakazi mwalimu na kutembea umbali bila kupoteza makazi yake
Mimi wa kwanza like zangu
Safi sana jastin shad
Maajabu mengine ya popo hata akifa ukamrusha juu haangukii hapo hapo anaenda kutua mbali
Tulikuwa tunawaua sana hawa wanyama popo. Walikuwa wengi sana kule kwetu!! Lkn tahadhari, aise mkojo wa huyu mnyama popo isije ikaingia machoni mwako. Utakuwa kipofu sasahivi. Mkojo wake ni sumu kali sana ahhh, sijui mkojo wa haka kadudu kananini!! Ni kali balaa!!
Asee mkojo wake unanuka bala Sasa ukigosa macho ni hatari
Ahsante Kwa Elimu
Vichwa vyao vilivyo kaa kama cha mbwa,paka au panya😂😂😂
Great brother 💪
Jamaa wana relate sana na vampire
Africa wanatumika kwa uchawi na kudhuru watu mimi alikua akingia ndani ya bedroom yangu na madirisha yamefungwa ndio nilipo jua ni uchawi
Thanks mkuu
Sasa twende kazi ❤
Watam sana hawa viumbe..!
Vinyesi vyao pia ni mbolea yenye nguvu kubwa ....
Tup story dragon
Asante
Mnyama wa uchawi😢😢😢😢
Iko kwangu kwa nyumba
Ila hawa ni watamu sana
Asha mm popo alinizunguka mara mbi naomba usnauri wenu plz
Kwetu juu ya dari wapo kibao zaidi mia2 😂 miaka zaidi 10 now
Hko kwetu kulkua na nyumba Dari lao hivo hivo tunaita nyumba ya majini kisa mapopo ni Imani za kitoto landa
Mnaish kwenyegof au
Hahahahahahahaaaa 😂😂😂😂🎉🎉
Wachafu nyie
Huyu mnyama anafanana na mmbwa but hayo ya kuingia ndani ya nyumba mtu afe ni urongo juu kuna sometimes huingia kwetu na kuruka huku na huku akitafuta njia yakutoķea 😂
😊😊 6:06
Hio popo kuzaa mtoto mmoja nakataa kwakua kwamigomba nawakuta ma na watoto wanne
Mbona kwangu wamejaa kama kuku janani sawa yake yaan sum inapatikanaje niwauwetuu
Kwangu wako kwa ceiling,nitawatoaje
Wana zaa
Hata sisi kanisani wapo Asa tutumie njia gani ili watoke?
Je popo Wanataga mayayi ama Wana zaa
Wanazaa na wananyonyesha, hao ni MAMALIA, yaani wanalea watoto wao kama binaadam , Tofauti wao hawafanyi kazi OFISINI ..!
Apo akija mtu atakufa kweli uleta tarifa za kifo nimeshudia kwa ndugu yangu na kwa jirani na kazini
Niliwah kumkuta mlangoni kwangu, siku2 nzima....... Ila sikumgusaaa mpk kaondoka mwenyeweee.......
popo😢😢😢
mpk kuna cku nikaambiwa km huamini ngoja tumkamate tumvunje baba kisha umtizame jirani yako km atakua sawa.tungangana usiku huo kumkamata alikuwa ndani mpk tukamkamata tukamvunja mabawa wallai sikuamini kilicho tendeka kwa jirani yng tuuu....toka hapo nikaanza wachukia popo hao
Ikawaje?
Kwa hivyo popo ni mwanandamu??
Muchaw
Kutoka Lusaka
Kumla apana
Jee akikaa badae badaa yasiku tatuu akifariki nayo inamanishaa nini???
🥰🥰🥰🥰😇👊💪💕💕💕🙏🏻🙏🏻
Je pop anamkia
Ndio
Wapemba wanakula popo
Wanakula haram hao wapemba
Hata wachina na baadhi ya waty weupe wanakula
Mpka hata paka kuna waty wanakula
Kwangu kaingia nakutoka kaingia ndani kama dakika mbili tu nakutoka pale alipo ingilia mlangoni
Popo ni mnyama mwenye bahati?
Je popo ni mnyama au ni ndege?
Mnyama ni kwa sababu anazaa
Ni ndege kwa sababu anapaa
Ana mkia
Nakupupu atapupu ivyo tu.?
Great brother 💪
Ama kweri kila kiumbe kina umhimu wake