ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Kazi nzuri Tunaomba ufafanuzi wa Kisiwa kinachoitwa REUNION ISLAND kwa kina Malaika Salatis wa Jeje. kilichopo Afrika kwanini bado kinatawaliwa na Ufaransa hadi leo.
More love ❤ from Zanzibar
Hahahaa😂😂 sisi wafipa Sumbawanga hiyo ni kitoweo kikubwa sana
Asante sana ❤
1
Twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Je unaweza kutuletea story ya king Baldwin iv
✌️👍👊.
2017 ilikua hivi: panya walikua wanasumbua usiku chumbani nikaweka sumu kwemyw samaki moja.nilipoamka asubuh nikakuta amekata waya mmoja wa redio . Nikachukia nikatega tena sumu kwenye🐠wawili ,nilipotoka kazini nikakuta amekata waya wapili wa redio.nikaamua kutega sumu chumbani na stoo zilewaya nikaziunga nikawasha mziki vizuurii nikalala asubuh nikasepa niliporudi jioni nikakuta redio haiimbi nilichukia sana nikawaza ivi mbona kama nagombana na mtu anaenifahamu akiliyangu🥸 Asubuh nikaenda kwafundi akakuta spika imekatwa waya akaunga fleshi. Akanishauli niwape idosini apo ndio niliwamaliza woote ilikua mi panya mibonge miwili imeshiba😂😂..
Kazi nzuri
Tunaomba ufafanuzi wa Kisiwa kinachoitwa REUNION ISLAND kwa kina Malaika Salatis wa Jeje. kilichopo Afrika kwanini bado kinatawaliwa na Ufaransa hadi leo.
More love ❤ from Zanzibar
Hahahaa😂😂 sisi wafipa Sumbawanga hiyo ni kitoweo kikubwa sana
Asante sana ❤
1
Twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Je unaweza kutuletea story ya king Baldwin iv
✌️👍👊.
2017 ilikua hivi: panya walikua wanasumbua usiku chumbani nikaweka sumu kwemyw samaki moja.nilipoamka asubuh nikakuta amekata waya mmoja wa redio . Nikachukia nikatega tena sumu kwenye🐠wawili ,nilipotoka kazini nikakuta amekata waya wapili wa redio.nikaamua kutega sumu chumbani na stoo zilewaya nikaziunga nikawasha mziki vizuurii nikalala asubuh nikasepa niliporudi jioni nikakuta redio haiimbi nilichukia sana nikawaza ivi mbona kama nagombana na mtu anaenifahamu akiliyangu🥸 Asubuh nikaenda kwafundi akakuta spika imekatwa waya akaunga fleshi. Akanishauli niwape idosini apo ndio niliwamaliza woote ilikua mi panya mibonge miwili imeshiba😂😂..