Bwana yesu asifiwe niombee mume wangu aache pombe aache maugovi maana nyumban hamna aman kuanzia watoto had Mimi mwenyewe. Amekuwa ni mtu wa kutoa laan zisizokuwa na maana
Thanks, pastor for the good message, plz pray for my daughters sitting for this year form four to pass and my daughter who doesn't concentrate on her studies always falls asleep whenever the teacher is around but when the teacher is not around she is okay
Amen mchungaji barikiwa sana , ni kweli hata sasa kumekua mambo ya spiritual awakening ambayo imefanya vijana wengi sana kuangukia huko sababu ya watu kuona maombi Yao hayajibiwi mimi pia nilianguka huko Lakini mafundisho yako pastor yameniinua tena , Ubarikiwe sana sana
Amina ukweli nimebarikiwa sana na somo hili nimejifunza somo muhimu kwangu na nimepona kimwili na kiroho .Hakika mchunguji wewe ni nchaguo sahihi kwa Bwana
Amen akika Mimi naona Rehema kwa MUNGU kabisa kwetu tumekuwa watu wa kuishi dhambi za Babu na baba zetu ila mungu ameacha Rehema ameinua mtumishi kwa boma
Amina pr mbaga,muombee dada yangu anaitwa Regina fidelis anasumbuliwa na nguvu za Giza(roho ya mauti) na ugonjwa wa Kansas kwenye njia ya haja kubwa na ndogo Mungu amponye na kumuondolea maumivu.lkn pia amsamehe dhambi zote
Growly to JESUS mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha yetu my GOD bless you naomba kijana yangu anakunywa pombe vibaya lnaomba maombi tuzidi kuamini mungu ako nawezo namlka jm blessed jlm in saudi
Naomba niombee kichwa kinanisumbua muda mrefu
Ninaomba uniombee napenda kumtumikia Mungu Kwa kiwango Cha juu.nijue kuomba.
Bwana yesu asifiwe niombee mume wangu aache pombe aache maugovi maana nyumban hamna aman kuanzia watoto had Mimi mwenyewe. Amekuwa ni mtu wa kutoa laan zisizokuwa na maana
Muniombee sana , sojielewi kwakifupi ,ila nukonipa mdaa nivema
Amina mchungaji nikiwa nachangamoto nafungua yutub mafundisho haya barikiwa pasta
sikiliza hata usipokua na changamoto ni hazina kubwa
Mungu anibaliki katika biashara yangu na aeendele kunishika mkono kwakila kitu na anapo nibaliki nisijikwaze Bali vyote yafanyike Kwa mapenzi yake
Mchungaji Mbaga Mungu azidi kukubariki sana , mimi ni ndugu Blaise kutoka kalemie DRC.
Mungu akubariki saaana
Thanks, pastor for the good message, plz pray for my daughters sitting for this year form four to pass and my daughter who doesn't concentrate on her studies always falls asleep whenever the teacher is around but when the teacher is not around she is okay
Mungu wangu nikumbuke zaidi ya ulivyo nikumbuka, mbariki mch, mbaga awemo ndani ya watakao kombolewa.
Naomba uniombeee huduma yangu isime isitingisike na ndoa yangu jumla familia yangu mungu awainue kwa uchumi
Ahasanti mch. Mbaga mafundisho yako, taangu nianse kuyafuatilia nimepata mwanga mkubwa sana moyoni mwangu. Ubarikiwe sana
Amen ubarikiwe sana pastor Kwa hili neno
Mungu akubariki sana pr
Amen mchungaji barikiwa sana , ni kweli hata sasa kumekua mambo ya spiritual awakening ambayo imefanya vijana wengi sana kuangukia huko sababu ya watu kuona maombi Yao hayajibiwi mimi pia nilianguka huko Lakini mafundisho yako pastor yameniinua tena , Ubarikiwe sana sana
Amina ukweli nimebarikiwa sana na somo hili nimejifunza somo muhimu kwangu na nimepona kimwili na kiroho .Hakika mchunguji wewe ni nchaguo sahihi kwa Bwana
Amina
Asante mtumish
Yesu nihirume
amen ..mchungaji Mbaga sichoki kukusikiliza everyday namshukuru Mungu kwa ajili yako .
Amen mungu akushidishee hekima Na kibali Na pia akulindee Na wewe Na familia yako hakika mafundisho haya nazidii kuniongeza kiimani Na pia kiroho
AMEN! Obeying GOD is something of great importance. May our SOVEREIGN LORD uplift you as you continue blessing many with the word.
Amen akika Mimi naona Rehema kwa MUNGU kabisa kwetu tumekuwa watu wa kuishi dhambi za Babu na baba zetu ila mungu ameacha Rehema ameinua mtumishi kwa boma
Amina pr mbaga,muombee dada yangu anaitwa Regina fidelis anasumbuliwa na nguvu za Giza(roho ya mauti) na ugonjwa wa Kansas kwenye njia ya haja kubwa na ndogo Mungu amponye na kumuondolea maumivu.lkn pia amsamehe dhambi zote
Mungu amsamehe na kumponya magonywa yote kwa huruma na Neema yake🙏
Mh pole sana mungu amusaidie maana ugonjwa mkubwa sana ,,mungu hatamuacha yu pamoja naye
Asante mtumishi wa mungu nafarijiwa sana kwa mafundisho yako mungu azidi kukuongezea maharifa 🙏🙏💖
Amina Amina Mungu akubariki sanaa pastor Asante kwa somo hakika Nitainuka tena Bwana AMEKWISHA nitendea hitaji la moyo wangu Kwa jina la Yesu Amen
AMEN pastor mmbaga bwana asifiwe masomo yako nisiraha kwamaisha yakiroho nakimwiri maubiri yako yananisimamisha imara yesu asifiwe Mimi nimu zambia tunapokea maubiri yako Mimi peter m sikazwe
Mungu nmwema kwako aliko nitoa nmbali sana kumbuka mum yangu na ndugu zangu wamalize shule aminaa Mungu amwandalie mum ushuhuda
Naomba njsaidiwe namna ya kupata hiyo maombi app,,nipate hivo vitabu
Nimekuwa na naden sana paka nachanganyikiwa naomba naombi Kwa hili
Amen
Mungu wetu asifiwe sana❤
Hakika Mungu amesimama nasi katika nyakati zote ni mengi magumu na mazito ambayo Mungu amenivusha Hadi Sasa nashukuru Mungu Yuko nami
Barikiwa mtumishi Mungu atusadie kutembea ktk ukamilifu ili tumpendeze km kazi ya mikono yake, AMINA
Samahan pr maombi app haipo praysto na mbaya zaidi nilikua nayo tayari lakin ikaacha kufanyakaz mpaka Leo haipo
Amen nashukuru Kwa fundisho nzuri naomba mungu aniwezeshe kusimama tena.....🙏🙏
Naomba.umuombee bint yang amengiriwa.na.pepo
Amen.hata ingawa baba na mama wataniacha Mungu hatoniacha kamwe.
Barkiwa milele mtu wa Mungu
Bwana yesu asifiwe mtumishi nabarikiwa na maubiri yako niombee ndoa yangu
Niombee Mungu azidi kunitetea katika changamoto na magumu nayopitia
Virginia.from.saudi.maombi.juu.ya.mtoto.wangu.alice.apate.kazi
Asainte sana mtushi wa mungu mungu akubariki sana u menitia nguvu sana amen amen amen ❤
Dada yangu anasumbuliwa na mauivu makali Bwana amponywe
Growly to JESUS mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha yetu my GOD bless you naomba kijana yangu anakunywa pombe vibaya lnaomba maombi tuzidi kuamini mungu ako nawezo namlka jm blessed jlm in saudi
Mungu azidi kukutumia kama kipaza sauti mtoto wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo na hitaji maombi 🙏
Mtumishi.niombee mwiri.wangu.unamaumivu.kira.kona
Mungu asifiwe kweli Yani mchungaji ma theme yote yenye munasemaka inanigusaka sana
Amen pastor natamn Sana katk siku 10 hz za maombi Mungu anijb ombi langu
Pastor morning God bless you.plz ombea mtoto wangu mwenye Ako na shida ya miguu.
Amen mungu akubariki sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mutumishi 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Asante japo sioni mambi app play store
Mungu aguse maisha ya familia yangu tumtumikie Kwa uaminifu
Man of God be blessed
Muombee my mom afya yake ulcers and high blood pressure asante
Mungu atubariki sote kwa somo la Leo
Ameniì naomba maombi ya familia yangu
Naomba uniombee nimekuwa mrahibu wa ponogirafia
Amen Pastor nimebarikiwa sanaa
Amen God bless you pastor, ombea family yangu upendo
Nabarikiwa sana
Yesu anisaidie katika masomo yangu na mapenzi yake yatimie katika maisha yangu
Amen ubarikiwe Pastor.
Amina Mungu azidi kukuinua ili tuendelee kubarikiwa.
Asante YESU kwa kutusikia na kuitika tukuitapo 🙏❤
Nmeamini Bwana ametenda
Mungu nisaidie na family yangu
Emeeen
Amen 🙏
share pastor Mmbanga no.
Nataka maombi na umwa na titi
Natafuta moto kwa mda mrefu
@@shadrackkahindi4894moto gani?
Amina
Niombee Mungu anitetee nitoke katika changamoto nyingi nilizonazo
Amen
Amen
Amen