ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

WAZIRI SILAA WASIPOKUJA NITAWALETEA POLISI | MIMI NATAKA NILIPWE NIONDOKE | WAITENI WAKINA ELIZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 8

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 หลายเดือนก่อน +1

    Mfumo wa kumiliki aridhi,na kumilikishwa unatakiwa ubadilishwe.tena sehemu ndogo tu.

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn mambo yaardhi police wasingeyachukulia kiraisi,kwanini police wakipelekewa kesi hizo wanaweka ndani watu waliouziwa ,hao wanapoleka kesi police KIsa ardhi napolice wanasikiliza nakuangalia nguvu yamtu wanamfunga mtu .Hizo kesi sio zao,wao naingilia mpka kesi zamiradhi wanasikiliza upande mmoja wenye hla Kiukweli police kunasehemu wanakosea sana.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini serikali inahqngaisha raia wandering wapi? Hee majority.mmewapa weupe.

  • @nyiqatonyiqa7114
    @nyiqatonyiqa7114 หลายเดือนก่อน

    Umeulizwa hukumu ya kwa Mwenye kiti ilikuwa yasemaje????..... alafu una sitoriiiiii nyingiiii na hujibu maswali rahisi tu 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward หลายเดือนก่อน

    Kituo na mabusu ni office ya umma. Ila tulijisau ikawa mali isiyo yetu..ni tatizo la kikatiba

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw หลายเดือนก่อน

    Sio Fair kabisa jamani😢

  • @abdulkilihindi7725
    @abdulkilihindi7725 หลายเดือนก่อน

    Tusaidien jamn hv Sheria ikoje kma mtu amewekwa ndani kinyume na utaratibu na baadae ikajulikana hkuwa na kosa, huyo aliyemuweka ndan anawajibishwaje kisheria.?

    • @bilid4128
      @bilid4128 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kumfungulia kesi akulipe fidia