ROHO YA UTULIVU (THE SPIRIT OF CALMNESS)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2020
- ISAYA 30:15
[15]Kwa maana Bwana MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali.
#KutuliaNaKutumaini
#SpiritOfCalmnessByPastorTony
#KurudiNaKustareheNiUamuziTu
This man he is not only a PASTOR but he is a TEACHER, Yani ni kiongozi wa viongozi nacho mpendea ni ukweli wake the way anavyo preach Hata kama shetani yuko ndani yako lazima utatega sikio na kumsikia maana mahubiri yake yana mifano mingi sana MUNGU AZIDI KUMBARIKI
Kaka mimi Naitwa Rahim mimi ni Muslim lakini ndugu yangu nakufatilia sanaaa nakubali sana speech zako tunaitaji watu zaidi kama wew
This pastor will be known all over the world in 5years to come..
When you teach the word of God Jesus draws people to you...
Haya mafundisho ni deliverance tosha... Dunia inataka mafundisho haya... Mungu apanue mipaka ya hii huduma..
Receive love from kenya
Ukweli
Sure your prophet
Hapo kweli. Glory to God 🙏.
Kabisa
Amen powerful words
Unafariji,unabariki,unafundisha na kuelimisha pia.....ubarikiwe katika huduma pamoja na familia yako
Napokea leo roho ya utulivu ,neno nzuri blessed ,nakataa kusumbuka ,🙏🙏
Aminaa
Naomba nikuoe
Napokea roho ya utulivu shetani kaaa kwako
Amen
Amen nimefunguliwa kwa damu ya yesu
Ubarikiwe San mtumishi wa my Mungu unanipa tumaini San god bless you ❤️❤️
Nabarikiwa sana apa Congo RDC 🇨🇩 🙏🙏
❤
Waoh that great, asante sana Mutumishi wa Mungu, Pastor TK,,, iyo ni kweli kabisa,,,, 📖🕊️❤️
Jaman hv ,Kuna group maalum la pastor Tony kapola
Amina baba namshukiru MUNGU nina moyo wa utulivu❤❤
I receive the spirit of calmness
Amen 🙏 Holy spirit calm my heart and mind
True pastor, mie mme wangu alifariki nikiwa na miaka 27 hiyo ilikua 2014,hadi Sasa Nina msubiri Mungu, Sina hofu nina Amani moyoni kwa sababu najua wakati wake ukifika umefika kwa hiyo bado namsubiri
Mungu akutunze,pole sana
Pole mum
Upo na roh mtakatifu kabisaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤umenipo somo kabisa na linanius kabisa
Kwa hakika Pastor huyu ako na wisdom and teachings that will transform this generation.....a blessing to me each and every day I listen to him.....am a Kenyan currently in doha Qatar....
You are blessed, blessings in abundant
Pastor Kanibariki sana, nitakua na utulivu Kwa Jina La Yesu
Amina 🙏
Amen Amen
Roho ya utulivu iwe juu yangu...ameni
Ooooh Jesus thank you
Amen.uwezo wa kutuliza dhoruba. Storms are not permanent. Nothing stays 4rever
Amen.
Hakika Mtumishi unakitu tofauti sana sijutii kukujua nabarikiwa kila mahubiri yako
Mungu azidi kukuinua viwango kwa viwango
Kwa dakika hii nakataa kuhangaika moyoni na maishani .Mungu tawala mawazo yangu na mienendo yangu kwa maombi hii nibadirishe Amina Amina Amina
I receive the sprit of calmness in Jesus Name !!
Yesu nijaliye roho ya utulivu🙏
Napokea roho ya utulivu
Dah umibarkiwa isivyo kawaida. Mtumish mungu akulinge mtumish
Mungu nipe roho ya kuvumilia na utulivu niwenaamani kwenye ndoa yangu 🙏🙏🙏
Amina
Napokea leo roho ya utulivu katika jina la Yesu 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏
Great wisedom word for the powerfully servant of the most high God
Amen 🙏
Mungu aliempa hii karama anikumbuke na mimi kwakweli
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Unapofundisha, huwa unabadirisha maisha yangu, na akili yangu piya.
Emen,kweli tujifunze kukaa kimya pale dhoruba zinakokuja mbele yetu((Bora waseme unadharau/kiburi au vyovyote lkn wakati wa bwana ukifika wataelewa))
Napokea roho ya utulivu ameen🙏🙏
Napokea kwa jina yesu
Pastor I declare as an Apostle of the Lord that you will preach where God want you to preach in Jesus name .You are blessed Pastor
Lord give me Power of Perseverance, I receive this prophet words in Jesus Mighty Name
Mungu naomba nipatie roho ya utulivu
Nimekuelewa Pastor,Yesu nijalie hiyo neema
" it's only in stillness that we can find answers"
"to the mind that is still the whole world surrenders"
Amen
Isaiah 30 : 15
Napokea roho ya utulivu kwa damu ya yesu napokea roho ya mafanikio amen
Very good man of GOD
We are SO blessed for all your sermons
Napokeaa
Hili neno limenisaidia kutulia na kumsubiri Mungu.God bless you man of God.
Mee too sheila
May God increase my praying soul
Aminaa...Leo napokea Roho ya kutulia, Roho ya utulivu, nakata Kuhangaika napokea pumziko
Napokea roho ya utuliv nienende katka mapenz ya Mwenyezi Mungu 🙏
Amen 🙏🙏 true story
Amen 🎉🎉
Akili kubwa Sana hii. MUNGU akupe baraka tele Mwalimu wangu.
Amen.
PST nimekupenda Bure,more grace man of God...such sweet prophetic guidance are rare to find
Pastor kuzema kweli wafundisha na kuelimisha pia ubarikiwe sana tena sana
Amen
Amen mtumushi barikiwa sana
🙋🙋🙋 mfundisho.yako.mzuri.mtumishi
Huu ni ujumbe "MNENE",safi sana.
God gave this pastor a very different gift. His sermons are never tiring to listen to, and in fact what he teaches has healed my heart a lot. God bless him very much
Pastor Tony mafundisho yako yananibariki sana na kunivusha.Mungu akubariki sanasana
Thank you Jesus Christ for this word and prayer man of God be blessed
Napenda mafundisho yako yaan najisikia raha yaan unanifany namuona mungu kila mda
Nimesikiliza April 2023 nimeingia you tube nikitamani neno la kunisaidia na ni perfect word i was looking for; Haleluya!!
Naomba Mungu anipe roho ya utulivu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kuyatunza mafuta amekupaka
Pastor wewe una Mungu Kweli Niko Congo na wa Oba wa minifu WA bwana wetu yesu ni obeyeni mipaka ya pesa ya anguke Nika muobe uyu baba pastor ni ta furhai sana Niko Congo RDC 🇨🇩 😘 🇹🇿🇹🇿
Hayo mafundisho yamenijenga kweli kweli 💯
Amen mtu wa Mungu nimebarikiwa sana Yesu akudhidishe 🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi kwa huduma unayoifanya.
Pasta ubarikiwe kweli jiwe
Umesema nami kabisa Mtumishi wa MUNGU. Asante ROHO MTAKATIFU kwa maono haya. Naomba unisaidie niwe na moyo wa SUBIRA..Amina na Amina
Daaaaah somo linanihusu mwanzo mwisho
Asante Yesu kwa neno hili leo limenipa majibu napokea pumziko
AMEN napokea roho ya utulivu Mungu nipe roho ya utuvuli
I claim the spirit of calmness in Jesus name
Amen man of God
Ilijaribu na pita katika jina laYESU NAPOKEA PUMZIKO NAKATAA KUHAMAKI AMEN
Mungu akubariki sana mtumish
Asante kwa somo zuri mchungaji
Neno zuri,simamia kweli.
Amen, nimefarijika sana.
Mungu yupopamoja na ww
Ee Yesu naomba unijalie roho ya utulivu
Ubarikiwe sana mtumishi
Oooh Lord........thx for the teaching
Napokeaa rohoo ya utulivu Kwak jinja laa yesu kristo
Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
I'm so blessed, pastor Tony my God Protect you forever more!!
Ameni napokea pumziko
I receive the spirit of calmness in my life in Jesus name
Pastor tony Unatubariki 🙏🙏
@Pastor tony Kapola Dear Pastor Is This My Message? Or I've confused my Self?🤔
@Pastor tony Kapola I've Already sent 640 U$D To Acc details you Gave Me to DM Ask him Now!🤔
Thank you And Be Blessed!🙏
Hahahahaaa eti utatuuwa tunawatoto 😂😂 Mungu akutunze pastor Tonny
AMEN...patience pays...I pray for peace & waiting upon my God...AMEN, 🙏🙏🙏
Asante ubarikiwe napokea
ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Yesu nijalie Roho ya utulivu
MUNGU akubariki sana kwa Mafundisho haya Mtumishi...
Amen napokea roho ya utulivu kwa Jina la Yesu Christo...be blessed servant of God
Amen, amen, amen, que Dieu te restaure Pastor
Ufunuo mkubwa sana
Bwana akuongezee maarifa
Napokea roho ya utulivu katika jina la yesu christo