Ameen mtumishi mm huku niliembali tunabarikiwa kwa Imani tuu maana hata niki kuchukua mawasiliano napokelewaa na watu wengine lakin hatupati nafas ya kukupata mtumish lakini tunakupenda sana na tunatoa Sadaka nikiamin zinakufikia mtumish wa mungu
Nabarikiwa sana sana na maombi yako kuna sehemu December yalinivusha nilipita pagumu ila kwa kukusikiliza wewe kwa TH-cam nilibarikiwa sana,,niko Netherlands
Pastor umebeba future za wengi,,Mungu akutumie zaidi ,be blessed the son of God
Mtumishi wa Mungu Mimi ni mara ya Kwanza kukuangalia na nimependa Sana jinsi unafundisha natamani siku moja nikutane nawe tu Kwa ushauri na maombi
Wee baba unahubiri vizuri mnoo Yani unachambua kimojakimoja nmekuelewa sana🎉
That man is a true definition of man of God..may the Lord do him good❤
Mungu naakubariki NASA Kwa huduma yako Kwangu imenieniwa sana kiroho
Huwa nafarijika sanaaa nikimsikiliza paster huyu
Like your proverbs. Stay blessed
SoMo zuri sana!!Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia uja kwa neno la Mungu
Ubarikiwe sana mchungaji Antony kaponyi kwa mahubr mazr
😂😂😂
Amen 🙏 nakusikiza nikiwa Kenya
Amina
God bless pastor tony
I love this man of GOD I'm from Kenya
I think us all Kenyans should gather and visit him, he's a father to many Kenyan💯
, indeed i love the massage may God bless you pastor nafarijika sana from Kenya
Amen
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu. Natamani kukuona ila mageti ni mengi, pia ramani inanipotea.
Neno la mungu nikubwa Sana hata likiguswa msitali mmoja tu linasisimwa
Nakupenda mtumishi wa mungu kwa kwli wafundish sana tena san
be blessed pastor
God bless u more my pastor
Mungu akubariki mtumishi
So blessing massage. IMANI YANGU IKO WAPI?
Balikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Mtumish wa Mungu ubarikiwe Sana maafundisho yako Yana tubarikia mna
A good teacher indeed 🙏
Pastor strong nakupenda unaubili yalio kweli una future hatar
Amin
❤❤🙏🏿🙏🏿🙏
Watching from kenya roverside been blessed by the word .
Ameen mtumishi mm huku niliembali tunabarikiwa kwa Imani tuu maana hata niki kuchukua mawasiliano napokelewaa na watu wengine lakin hatupati nafas ya kukupata mtumish lakini tunakupenda sana na tunatoa Sadaka nikiamin zinakufikia mtumish wa mungu
Naomba za Sayaka zina majina mangapi Zaid za majina.ya Tony kapola na neema mke wa pastor?
Kiukwel pastor unanibariki sana
🙏🙏
Umenifungua macho pastor Mungu akulinde san@
Like your teachings pastor
Amen mtumishi wa mungu na ubarikiwe sana
Sijaenda ibadani but am blessed with this
Barikiwa sana
Amen tuko pamoja
Huwa na Kuelewa Sana Mtumishi wa MUNGU
Word👏👏👏Glory be to God .
From Kenya with love
🌹🌹 perfect preaching
Amina wapi yupo
Nakuelewa sana mchungaji ubarikiwe mno
God have large store to you be blessed
Ameni mtumishi wangu unanijenga kiimani🙏
Nakuelewa sana pastor ubarikiwe sana,,
Dodoma ni lini tena
Hallelujah
Mungu akubariki Sana
ubarikiwe
Amenn❤️
@Pastor tony Kopala you're a thief... You're not Pastor Tony Kapola
Sichoki kukusikiza. Maarifa unayo nipa basi sitapotea wala kuangamia.
🎉🎉🎉🎉excellent
Uko vizuri mchungaji
Na Mimi pia naitaji iwe muda Wangu wa uponyaji
Nabarikiwa sana sana na maombi yako kuna sehemu December yalinivusha nilipita pagumu ila kwa kukusikiliza wewe kwa TH-cam nilibarikiwa sana,,niko Netherlands
Gbg u
Il
This is very powerful man of God, ( what do we 👂 hear).
Amen.
Nakuelewa sana mtumishi.
Amen 🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana 🙏
When are you coming to Arusha?
Hahahahaha 😂😂😂 ume tu amisha bwana wewe ume gusa point kubwa muno barikiwa
is there a complete English sermon I wish I could have other people here in the US listen to the messages.
Thank you so much Pastor be blessed
Shame on you. You're a thief you're not Pastor Tony Kapola
@@anthonykapola mbona tena
Barikiwa mtumishi wa Mungu tulimaliza pamoja kitopeni 2002 jina lako ni Anthony na jina mingine ni Uwezo Mimi ni Andrew Michael Kihampa big up bro
Barikiwa mtumishi wa Mungu tulimaliza pamoja kitopeni 2002 jina lako ni Anthony na jina mingine ni Uwezo Mimi ni Andrew Michael Kihampa big up bro
Thank you very much man off God
This is a very powerful word of God
Hii ni Marko ngapi paster?
Hii ilikuani lini jmn🙄🙄
ilikuwa mwaka 2020
Amina
Amen
Barikiwa sana
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
@Pastor tony Kopala this guy is using the name of PASTOR TONY... He is a thief
Nabarikiwa sana maombi yako
Nakufwatilia na nabarikiwa pia,be blessed Paster.