BALAA LA MRISHO MPOTO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • kupitia wizara ya nishati iliotuamini na kutukabidhi Elimu burudan kwenye siku ya wan awake duniani

ความคิดเห็น • 59

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hongereni Kwa Shairi lililosheheni Ujumbe Mzurii Kwa jamii.

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mrisho is genius

  • @ibrahimuimaniofficial
    @ibrahimuimaniofficial หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mjomba kwa kazi njema Mungu akubariki sana 🎉🎉🎉

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 27 วันที่ผ่านมา

    Nyimbo zake zina mafunzo tosha mungu amlinde

  • @adventinaanthony8497
    @adventinaanthony8497 5 หลายเดือนก่อน +6

    Inanikumbusha mbali dadaangu wakati yupo kwake ameenda kutafuta kuni aliuwawa kikatili na watu wasiojulikana😢😢,mshukuru Mungu mkeo hata kurudi salama

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 5 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana dada😢😢😢

  • @BoniphaceMathias-ek5gl
    @BoniphaceMathias-ek5gl 5 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana mjomba kwa kuelimisha watanzania

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mjomba chukua maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mambo siaya yenye mafunzo yenyeusika maisha yetu ilakunawasani nyimbo zamatusi tuuu

  • @HappySanga-s6u
    @HappySanga-s6u 5 หลายเดือนก่อน +6

    Nimekumbuka enzi za uhai wa mamangu ss wakati wadogo alipitia mambo mengi nimelia sna😢😢😢

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 5 หลายเดือนก่อน +1

      Pole😢😢❤❤❤❤

  • @jamilakimaro9993
    @jamilakimaro9993 4 หลายเดือนก่อน +1

    Innalillah wainnaillaihi rajiun. Wamama tunashida.....mmh. Inshaallah M/mungu yupo atatulipa mbele ya safari.

  • @HappynesNickson
    @HappynesNickson หลายเดือนก่อน +2

    Yan hao wote waliokaa hapo asilimia 98 wako kama huyo baba usione wamevalia suti utafikiri wataalabu kumbe walishakuw hvhv

  • @modesterchristophermodchri4233
    @modesterchristophermodchri4233 6 หลายเดือนก่อน +9

    Yani wa mama tuna itwa mbwa mavi takataka kila aina yama tusi

  • @user-qb3nr6gl1z
    @user-qb3nr6gl1z 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmmmmh mim nimepitia hii ewe Allah 😭 mjomb shukurn

  • @MichaelMyumbo
    @MichaelMyumbo 5 หลายเดือนก่อน +9

    Aisee hii imeniumiza imenigusa usimumuumize wa kumtesa mwanamke yeyote

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wanaume wanahuruma sana😂 etihuyo mama kapigwa kikofi wameenda kumpa els jmn

  • @Hamisi-nn1gw
    @Hamisi-nn1gw 5 หลายเดือนก่อน +2

    Fundi sana Mjomba mpoto

  • @saidichitopela
    @saidichitopela 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mjomba upewe mauwa yako🎉🎉🎉.ila mbona GS ikojuu sana.uku kwetu ukiwa na mtungi wako tunanunua kg.14 Kwa 25000

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mh. Mpango ameshindwa kumuangalia mama muigizaji.

  • @tatually1366
    @tatually1366 หลายเดือนก่อน

    🎉 haongera ♥️♥️♥️

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 6 หลายเดือนก่อน +4

    Good idea Gwiji Mrisho...
    Umefunikaa Kongolee kwako...
    Duuuu...
    Mlio na Mamlaka tumieni vipaji mlivonavyo kutuletea mapinduzi ya Kweli ktk Nishati.

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wanawekentunapitia magumu megisana 😢😢

  • @MkomboziSailowa
    @MkomboziSailowa 5 หลายเดือนก่อน +4

    hii hatar sana japo nam nilihusika lakn naisikiliza hapa naona hisia nikal sana 😢😢

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umenikumbusha mbali sana siwezi kusahau mimi

  • @jamilakimaro9993
    @jamilakimaro9993 4 หลายเดือนก่อน

    Malaya ni neno jepesi sana kwa waume zetu innalillah wainnaillaihi rajiun

  • @justineonkeo3326
    @justineonkeo3326 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mjomba🎉

  • @gladyssembojas5308
    @gladyssembojas5308 5 หลายเดือนก่อน

    Duh! Mrisho 🎉🎉

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera kwa kazi nzuri 🎉

  • @JoelHokola
    @JoelHokola 21 วันที่ผ่านมา

    ❤🎉😂

  • @suleimansiri1359
    @suleimansiri1359 วันที่ผ่านมา

    Nikweli vijijini akuna sitima uko swa mjomba

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umenikumbusha mengi

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nimeshindwa kuzuia machozi.Nimekumbuka mengi.Mjomba umejua kuniliza

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 6 หลายเดือนก่อน

      Niuchungu sana😢😢

  • @idrissaabubakari859
    @idrissaabubakari859 6 หลายเดือนก่อน

    Camera 🔥

  • @alawi6796
    @alawi6796 2 หลายเดือนก่อน

    Hya amesha tuliwa anaijaza na nn hyo nishati bdo ttzo lipo watu wanataka ajira ndy matattzo yatakwisha

  • @DazuuMwajuma
    @DazuuMwajuma 5 หลายเดือนก่อน

    Mjomba umeweza

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mrisho mbona siku ya wanaume hauigizi wala haina nguvu hizo!!

  • @user-nt8pp4qy1i
    @user-nt8pp4qy1i 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa wafanyeje vijijini wakati ndio maisha Yetu haya hata gasi hawaijui ikoje wazazi wetu😢😢

  • @user-ge4rd9hu6u
    @user-ge4rd9hu6u 2 หลายเดือนก่อน

    Mpoto uracari uwambere 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na Burundi tunakupenda sana

  • @user-rz2qw3ub8z
    @user-rz2qw3ub8z 5 หลายเดือนก่อน

    Kwanini nimecherewa kuona ujumbe wa mana

  • @AffectionateBurger-vk9tt
    @AffectionateBurger-vk9tt 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤😅

  • @eliyapeter8679
    @eliyapeter8679 5 หลายเดือนก่อน

    😭

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ipo siku wanaume tutachapwa viboko na wanawake ngoja muda ufike

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ulitaka unyanyasaji uwendelee

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 5 หลายเดือนก่อน

      Hata naliona hilo

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 5 หลายเดือนก่อน

      Mhhh umefik mbali

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 5 หลายเดือนก่อน

      Mhhhh umefik mbali

  • @chriskay006kenya5
    @chriskay006kenya5 6 หลายเดือนก่อน

    We mkali

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo

    • @mercymichael476
      @mercymichael476 5 หลายเดือนก่อน

      Umeangalia lakini hukuelewa.Ni kwamba ameleta kuni,hujui ni umbali gani amepata hizo kuni,ni mjamzito bado unamlaumu bila kuona alivyojitahidi.

    • @zainabuali9915
      @zainabuali9915 5 หลายเดือนก่อน

      Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa

    • @agnesmartin5716
      @agnesmartin5716 5 หลายเดือนก่อน

      Huji nini anaongea sikiliza na uelewe

  • @jacobotieno3220
    @jacobotieno3220 6 หลายเดือนก่อน +1

    Not impressive

  • @jamilakimaro9993
    @jamilakimaro9993 4 หลายเดือนก่อน

    Mjomba🎉🎉

  • @justineonkeo3326
    @justineonkeo3326 6 หลายเดือนก่อน

    Mjomba🎉