Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito
Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo
Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa
Hongereni Kwa Shairi lililosheheni Ujumbe Mzurii Kwa jamii.
Mrisho is genius
Hongera mjomba kwa kazi njema Mungu akubariki sana 🎉🎉🎉
Nyimbo zake zina mafunzo tosha mungu amlinde
Inanikumbusha mbali dadaangu wakati yupo kwake ameenda kutafuta kuni aliuwawa kikatili na watu wasiojulikana😢😢,mshukuru Mungu mkeo hata kurudi salama
Pole sana dada😢😢😢
Safi sana mjomba kwa kuelimisha watanzania
Mjomba chukua maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤
Mambo siaya yenye mafunzo yenyeusika maisha yetu ilakunawasani nyimbo zamatusi tuuu
Nimekumbuka enzi za uhai wa mamangu ss wakati wadogo alipitia mambo mengi nimelia sna😢😢😢
Pole😢😢❤❤❤❤
Innalillah wainnaillaihi rajiun. Wamama tunashida.....mmh. Inshaallah M/mungu yupo atatulipa mbele ya safari.
Yan hao wote waliokaa hapo asilimia 98 wako kama huyo baba usione wamevalia suti utafikiri wataalabu kumbe walishakuw hvhv
Yani wa mama tuna itwa mbwa mavi takataka kila aina yama tusi
Poleni
Mmmmmmh mim nimepitia hii ewe Allah 😭 mjomb shukurn
Aisee hii imeniumiza imenigusa usimumuumize wa kumtesa mwanamke yeyote
Wanaume wanahuruma sana😂 etihuyo mama kapigwa kikofi wameenda kumpa els jmn
Fundi sana Mjomba mpoto
Mjomba upewe mauwa yako🎉🎉🎉.ila mbona GS ikojuu sana.uku kwetu ukiwa na mtungi wako tunanunua kg.14 Kwa 25000
Mh. Mpango ameshindwa kumuangalia mama muigizaji.
🎉 haongera ♥️♥️♥️
Good idea Gwiji Mrisho...
Umefunikaa Kongolee kwako...
Duuuu...
Mlio na Mamlaka tumieni vipaji mlivonavyo kutuletea mapinduzi ya Kweli ktk Nishati.
Wanawekentunapitia magumu megisana 😢😢
hii hatar sana japo nam nilihusika lakn naisikiliza hapa naona hisia nikal sana 😢😢
Maisha ya tz hatufanani mjin wanaishi vingine vijijin tunaishi kivingine nchi moja maish tofaunti,,,ingekuwa kama nchi ya oman vijijin kote kunaumeme maji gesi hospital mzuri supermarket zimejaha viongozi wanatakiwa wajifuze kubadrisha maisha maji vijijin tabu mbaka leo watu wanakunywa kwenye mito
Umenikumbusha mbali sana siwezi kusahau mimi
Malaya ni neno jepesi sana kwa waume zetu innalillah wainnaillaihi rajiun
Mjomba🎉
Duh! Mrisho 🎉🎉
Hongera kwa kazi nzuri 🎉
❤🎉😂
Nikweli vijijini akuna sitima uko swa mjomba
Umenikumbusha mengi
Nimeshindwa kuzuia machozi.Nimekumbuka mengi.Mjomba umejua kuniliza
Niuchungu sana😢😢
Camera 🔥
Hya amesha tuliwa anaijaza na nn hyo nishati bdo ttzo lipo watu wanataka ajira ndy matattzo yatakwisha
Mjomba umeweza
Mrisho mbona siku ya wanaume hauigizi wala haina nguvu hizo!!
Sasa wafanyeje vijijini wakati ndio maisha Yetu haya hata gasi hawaijui ikoje wazazi wetu😢😢
Mpoto uracari uwambere 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮na Burundi tunakupenda sana
Kwanini nimecherewa kuona ujumbe wa mana
❤❤❤❤😅
😭
Ipo siku wanaume tutachapwa viboko na wanawake ngoja muda ufike
Ulitaka unyanyasaji uwendelee
Hata naliona hilo
Mhhh umefik mbali
Mhhhh umefik mbali
We mkali
Hawa wanawake mnawapa viburi Sana huko mijini mnatumia gasi huku kwetu hata umeme hakuna mnataka mwanamke wa huku asifate kuni shambani kwamba tunamtesa??? Any way nisije nikaonekana naongea Kama Sina uchungu wa MAISHA ya wanawake lkn uhalisia cyo huo
Umeangalia lakini hukuelewa.Ni kwamba ameleta kuni,hujui ni umbali gani amepata hizo kuni,ni mjamzito bado unamlaumu bila kuona alivyojitahidi.
Faham vxur ujumbe uliokusudiwa, shida sio kukat kuni shida ni kwamb lich ya juhudi anazozifanya mama kutafuta kuni ilhali anaujauzito lkn bado anaonekan mzembe na kutupiwa matus pmoj na kupigwa hiyo sio Sawa. Nadhan utkuw umeelewa
Huji nini anaongea sikiliza na uelewe
Not impressive
Mjomba🎉🎉
Mjomba🎉